Jamn uchebe unajua ana busara sana siri ibaki siri msitiri mke wako kesho allah atakulipa jazaa yako na iwe kheri
@shakilamasoud29834 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu aendelee kukupa subra insha allah' una kifua haswaa. Safi sana.
@fotintz4 жыл бұрын
Uchebe ata kama ana mapungufu yake jmn lkn nimempenda bure.Anajitambua mno.nimejifunza mengi kupitia uchebe.Mungu akubariki sana sana ww ni wapekee jmn dah
@faudhiasalum72794 жыл бұрын
Woooooooooooooooooooooooooooow 🌹zama. We ni. Noma.. Dah. Japo mkewe. Ana mchafua ila wewe ukujali. Wow 🔥nawependa sna. 😍
@rebornmimi78724 жыл бұрын
shilole kapoteza mume bora kisa usanii. yani so humble
@sirlankagirl62564 жыл бұрын
Heeee mume wakupiga bibi yake
@ashahussein32474 жыл бұрын
Nani hadarwi darwi kwa Ndoa lazima mutake kutiana mangumi au mupigane tusizenguane shilole kapoteza #LULU popote alipo najuwa yuwajuta 😂😂😂😂 Brother Uchebe msamehe bana ndoo ndoa hio.
@ramadhankeya65594 жыл бұрын
Wanawake wengi wenye hela hupenda huolewa na vijana wadogo wasio na hela kwa lengo eti anaweza kumcontrol mwanamme anavyotaka. Wanasahau nature ya mwanamme hata kama hana hela yeye ni baba na kichwa cha nyumba na mlizi wa. Nyumba. Uchebe ana maadili ya dini na dini hairuhusu kumsema mtu mapungufu yake h mbele za watu. Big up uchebe. Pia nimshauri dada yangu shishi katika maneno yakuzingatia kwenye ndoa huwa tunaambiwa tunaoana kwa wema na ikibidi kuachana basi kuachana iwe kwa wema pia. Hebu ikumbuke hata furaha moja tu aliyokupa uchebe na hiyo ikakufanya nawewe ukamstiri aibu zake. Kama ambavyo nawewe anakusitiri. Hasira ni hasara hasira zikiisha unaweza kummiss sana mumeo ila utashindwa kurudi kwa sababu unaongea mengi sana. Samehe saba mara sabini. Dunia mapito tu. Umaarufu na hela zinapita. Tufikirie kesho yetu.
@bahatisunga16424 жыл бұрын
Ni kweli kabisa ndivyo tulivyo wanawake wengi kasoro mimi
@aminahamisi28374 жыл бұрын
Shilole akiangalia hii interview imejaa password kila swali huwa cijui anajifikiriaje kwa kuropoka Kule inaonekana uchembe ameficha Siri zote lkn mke ni lopo lopo Mungu wangu mpe shilole akili
Honestly I love the way u do ur interview....I saw many interviews for this guy regarding shilole believe me this the only only that is really good.. keep it up zama
@anitamollel50784 жыл бұрын
If you think is good go and date uchebe you will know what shilele was passed away
@susanejd77754 жыл бұрын
@@anitamollel5078 you can have a wine dear👍
@mariamjuma33094 жыл бұрын
If u didn’t understand me better chill I was commenting on the person interviewing not interviewed..let me enlighten u most interviews he’s doesn’t give answers..was congratulating zamaradi for a great but I guess u missed ....
@nyotalaprincess33934 жыл бұрын
I was mad at you ila no matter what shishi did sio kwakipigo hicho. Pia i like your interview una busara na umejielewa vzr. I forgive you piga like kama umemusahe Uchecheeechebe
@zaitunisinamenye17994 жыл бұрын
Namkubali uchebe anakifuwa, mwanaume anapashwa kuwa na kifuwa siyo kila kitu kuweka inje,ni vizuri kumustiri mwenziye. Shilole anaongeya saana, apunguze
@classicvisiononline83344 жыл бұрын
Hii interview angekuwa mtu ambae sio mzoefu isingeanza wala kuisha...Uchebe sio mtu wa interview wala sio mtu wa kuongelea mtu sana..Allah akulipe na akusamehe ulipokosea kama binadam na hongera Zama..
@rakanmahmud38294 жыл бұрын
Jamaaa kakubali mwenywe kamaa kampigaa shilole halafu anadharao juuu na watu wana comment eti anabusaraa hana busaraa ilaa unafikii tu salute kwa unafiki wake na. Shilole kamumbuwaa mnafiki anastahili ambuliwee wala asiowee tenaa akiowaa atauwaa tu
@rayaadam34464 жыл бұрын
Wewe ni mwanaume ulieenda jandoni, Mwenyezi Mungu akulinde na mabaya na wabaya Uchebe 💪💪
@babyhamisi53314 жыл бұрын
Ameen ameen ameen
@sajidseleman66414 жыл бұрын
Masha Allah sheikh uchebe umezungumza vyema ndoa ni siri baina ya wewe na mtalaka wako pamoja na Allah (s.w)
@shikugitati35444 жыл бұрын
Napenda vile uchebe anarudisha maswali. Huu ni mwanaume kamili na anahesima yake.
@babyhamisi53314 жыл бұрын
Kwanza wanawake tuna mambo mengi haswa Hawa wasanii, uchebe anajaribu kutustiri sisi wanawake wallai
@ashahussein32474 жыл бұрын
Sanaaaa 😔
@umsulaiman74684 жыл бұрын
ManshaAllah Ndugu yangu Uchebe Allah atakupa mke mwenye kheri na ww Unaongea maneno mazuri na unamtaja Mungu wako Shilole atakukumbuka Hakutaka kurudi kwa Mola wake humuwezi kwa sababu ww ni mtu una dini yko ManshaAllah 😍😍
@zakiamseka96984 жыл бұрын
Hahaha
@aishaally27304 жыл бұрын
Mashallah ALLAHUMA BARIK yaani una hekma na busara unamstiri mkeo
@carstuslucas42484 жыл бұрын
Nimekupenda bule uchebe mwenyezi mungu azidi kukutunza na akupe hitaji la moyo wako.
@husseinndevu94384 жыл бұрын
Mashallaah Brother Akujalie kupata Mke Alie kua kher kwako daah mm pia natamani kua Hkma kama wewe Brother
@zalhayahya24134 жыл бұрын
Amiin
@faithklove94194 жыл бұрын
Napenda vile uchebe anaongea
@clotildachao89754 жыл бұрын
Si akuowe ww
@fadiajunjuwithmyfamily5804 жыл бұрын
@@clotildachao8975 ww kinge nn
@ferdausferdaus20554 жыл бұрын
Uchebe nakukubali wew nimjasiri mungu akupe maisha mema
@johnnydepp32184 жыл бұрын
@@clotildachao8975, wambeya mtapata tabu sana Uchebe anajielewa huyo si Mwijaku mbeya mwenzenu
@mariamothman74044 жыл бұрын
😁😁😁😁
@mbuyutv82714 жыл бұрын
I like the research method you are using in questioning, probing questions, they give answers more tnan you can tell. Congratulations. Goog qualitative analysis, good questioning style
@pattykosse99324 жыл бұрын
True
@salhamrishoaish92924 жыл бұрын
Anaimani mnoooh nimependa waanza nabimisillah🙏allaah akujaalie kila lakheri😚
@hannylove17163 жыл бұрын
Daaaah,uchebe I like the way u comversate....more private,more secrecy,but yet with more fear of the supreme.....jirekebishe yaliyomapungufu kwako ili upate maisha mazuri here after,indhaalah
@lightnesselia7654 жыл бұрын
Nakupenda sana we kaka yaan nakupenda mpaka kesho
@rasmbegu4 жыл бұрын
Mpe saluti zangu nyingi kutoka kwangu namkubali sana uyo mtu kila siku nasema dada yangu uchebe siyo rahisi kumshinda kwa hoja anajua sana kuongea
@veronicacyprian54894 жыл бұрын
Mungu akuweke uchebe wewe una busara Sana mungu atazidi kukuinua na uo msimamo wako wewe nimwanaume haswa unamsimamo na kifua pia hongera kwa ilo
@leylahleylah45994 жыл бұрын
maasha Allah...mwanaume kalelewa busara nyingi zimetumika katika maneno yake...Allah akujaalie subra kakangu kila lenye shari ndani kuna kheri.
@mwanaidyibrahimu88614 жыл бұрын
Amiin Allah amjalie aliye mwema inshaallah
@aminasalum19544 жыл бұрын
Ahuwez Amini alikua mkirsto kasilmu kawa Muslim
@leylahleylah45994 жыл бұрын
@@aminasalum1954 maskini
@jamilasaidi10204 жыл бұрын
We ni mwanaume acha nayule mdangaji hana jipya atajutia ipo siku
@ramlaomar79234 жыл бұрын
Mashaallah ka uchebe mungu amkupa hkma na busaraa mungu atalta kheri inshaallaah
Uchebe umefanya niendelee kumpenda mume wangu wallah😭umenigusa wanaume kama nyie mpo wachache mno Allah azidi kuwapa moyo na kustahamili ya dunia awape mema Aamiin😍
@mariamyusuphu54344 жыл бұрын
Niwachache kweli aisee namm nampenda wangu aiseee ndoa ni uvumilivu tu Mungu atusaidie wote
@kimarohuba74414 жыл бұрын
@@mariamyusuphu5434 Allahumaa Aaamii uchebe hana ubaya tu kwa shishi bali kuna mema ambayo amefanya wallah najua nakuelewa hayo yote ila naamiin.....Allah atamlipia yote yote shishi hatokaa apate mume kama huyo abadani ataishia kulizwaa😭
@chekeleeismail22944 жыл бұрын
Jaman uchebe ni mwanaume kamili kbs yani awe na subra mung atampaa mke mzuri mwenye heshima na maadili mema inshaallah
@ZaharadaffaZaharadaff4 жыл бұрын
Zama we ni msikivu sana nakupenda sasaiv saut iko vzr big up
@shamimhassanzimzimahuyokij45214 жыл бұрын
Kwaujuzi wangu uchebe anajificha na dini lakini ukorofi anao
@lutfiarashid87704 жыл бұрын
Kweli hasaaa...lkn kwa mtu ambae hajui atabeba tu hayo maneno yake na kusahau maneno si vitendo
@fatmaalmujhairu19774 жыл бұрын
Kabisa anaonekana kiundan mkorofi ila anajua maadili yadin hayo ndio yanayo mfichia ukolof wake
@emmanuelzao4 жыл бұрын
Unaweza kuwa sahihi, ila mm naona ni mtu anaependa kusimamia nafasi yake kama mwanaume. Ukileta usenge lazima akuzingue lakini kama huna mambo mengi ni mtu peace sana.😎
@esthermachangu49704 жыл бұрын
Huyu ni type ya wanaume wakorofi maneno mazuri mengii ila anaonekana mkorofiii mnooo
@joycejohn76504 жыл бұрын
Mashalla uchebe amejibu maswali bila kukurupuka na kupaniki kajib ipasavo
@rayaali75514 жыл бұрын
Daah sijawahii kumuona kijana mwenye nidhamu na uungwana kama huyu MWANANGU UCHEBE KWANZAA ONGERAA SANAA ila zidi kuwa muungwana ilaa mmungu akuzidishie subra na kuwa na moyo wa ujanadume rijaali inshaallaah mmungu atakujaalia mke mwema mwenye kheri na wewee kwakwelii GOMBE LA MJII HALIFUGIKI ZIZINII so liache likazuzukee na mji dunia ipo inamsubirii kiila lenye kupeperukaaa liache liende mwenye kheri mmungu atakuandalia tuu NSKUPENDA SANAA ASHRAFF
@rahimalewe28354 жыл бұрын
Olewa na yy uishi nae ndio usifu😂😂😂
@evelynerwebangira73274 жыл бұрын
Mashauri kua mke apigwiiiiii, unaempenda. Mwambie ukweli hata kama viip
@ambrosiamlinga84024 жыл бұрын
Siku atakayo mpiga mwanao ndio utajua huyu ni nyoka mwenye sumu kali Mikono yake iko na evil
@susanejd77754 жыл бұрын
Raya ww ni mwanamke haifai kusema hayo. Huyo unaemuona ww gombe la mji aliamua kuolewa na alimuheshimu na kumpa mapenzi yote mumewe. Na kama kakosa adhabu yake ni kudundwa? Maana kile sio kipigo ni kudunda na sio mara moja. Ngoja mwanao au mtu wako wa karibu adundww hivyo ndo uje hapa umsifu huyo bwana. Acha kujichetua bibie
@neemayatosha16184 жыл бұрын
Aisee,wanawake sisi. Hivi ni ngumu kiasi gani kuelewa huyu kaka ni ana matatizo? Then uko hapa unamdhalilisha mwanamke mwenzio hivyo. This guy control freak,and very manipulative ndo mana mko hapa mnamtetea na pia ana low self esteem, so ingekua ngumu kuishi na Shishi.
@ashuraussein75824 жыл бұрын
Nakupnda zamaeadi jomoni 💃💃unajua kumuhojimtu Uchebe God bless u 👏 Namuona shilole siku akiojiwa ataropoka adibasi 🤣🤣🤣 a to aca atanukta
@christinelihavi79234 жыл бұрын
Big up Zamaradi..Good work,I Love you
@rahmarashid56354 жыл бұрын
Masha Allah Mashallah Ashraf umeonesha utu WA hali ya juu hujamkashifu itakavyokuwa wema na ihsani kubwa mlitendeana alikuwa mkeo juu ya mitihani uliotokra ikumbukwe kuwa shilole alifikia Hadi ya kutamka kupigana pale mumewe alipokuwa anaona anavunjiwa heshima ama dharau na alikuwa anatoa onyo Kali Kwa mumeww shilole pia amebadilika mno tayari alikuwa kishaelwkwa kwenye mapishi hata kuliko mziki sheytwani tu mrudie Ashraf mkeo ukajichumie Pepo yako hata shilole ana Imani kubwa mdomo ndo tulivyo sie wanawake hatujitambui tunaweza kusema niwache lkn mwanamme uwe na subra ndio maana talaka akapewa mwanamme maana sir wanawake hatuna uvumilivu ninwepesi mno usipoteze Pepo yako Ashraf umefanya jihad kumtoa mwanammke kwenye janga na kumtoa njia usimsikilize ya walimwengi sikiliza nafsi yako mlipendeza Sana wwnyenu napenda na Aya unavyozitoa Allah akusimamieni weye na mwenzio zuwena
Hakuna kitu kizuri km kuisoma dini yako na kuielewa big up sana uchebe nimekuelewa sana
@beautyibrahim84284 жыл бұрын
Asante sana wiki iliopita niliomba utuletee uchebe now umemleta ubarikiwe sana love uuuuu mungu anipe mwanaume kama uchebe anajielewa sana mwanamke ukitaka kushindana na mwanaume utapigwaaa tuuu mwanaumw awe na kipato asiwe nacho atasimama kwenye nafasi yakee nimependa uchebe hatak kusema mapungufu ya mwenzie mm niliachana na mme lkn sijawah kumzungumzia vibaya zaidi zaidi huwa namsifia sana sabab mapunguf yake inabak kuwa siri yangu mpaka nawachanganya watu wanashindwa kujua tuachana kwa sababu ganii
@vivianlucas63894 жыл бұрын
Usimuangalie mtu kwa nje
@AishaAisha-rh1fc4 жыл бұрын
@@vivianlucas6389 we namjua kwa ndani uyo ndio mwanaume mshazowea kusikia bwawa yure malaya mlevi mpate vya kuandika
Huyu mwanaume anajielewa saana.ni MTU anayejua nn maana ya ndoa na mambo ya ndani.kiukwel ana staha zake.mtaratibu.hayo mengine staki kujua.all in all I love u uchebe.
@neemasumari47114 жыл бұрын
Ingekuwa mwijaku angemwaga yote hapa😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@lisajohns93014 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 hii mwisho
@justinelazaro48644 жыл бұрын
mwijaku ni kama bahari haikai na uchafu
@reinerodero27274 жыл бұрын
Kabisa
@radhiamussa88034 жыл бұрын
Swadakta uchebe malipo ni hapahapa duniani mungu hajalala utalipwa kheri kaka Inshaallah yatapita maisha yanaendelea
@shadiayunus98594 жыл бұрын
Wallah uchebe sio mjinga, kuna kitu. Kamsitir na ikitokea akasema wallah kuna familia zitavurugana shilole ana mambo meng na ifike hatua amuogpe mungu hipo sku ataulizwa, tyu,. Shishi ana mambo meng san na ajatulia hta kidg. Hta unaona kabisa kwamb hana stara ya mdomo , kwaio mtu wa hivo ugomv auwez kukosa
@benbenedict27204 жыл бұрын
Shishi anajulikana na kila mtu makosa yake na mapungufu yake yoote kayaanika nje. Mtu mwenye dini mwenye busara aliwezaje kumtongoza na kumuoa Shilole? mwanaume anayeoa mwanamke mpumbavu ujue yeye ni mpumbavu kuliko huyo mwanamke aliyemuoa. tena hiyo ndoa ya pili inavunjika. Wenye akili wataelewa.
@shaabanramadhan67704 жыл бұрын
Kabisa
@pillkassimwakike24744 жыл бұрын
kabisa Yani siku atakayo funguka ucheb daah watu watakuwa kimnya
@shadiayunus98594 жыл бұрын
@@pillkassimwakike2474 kabisa
@susanejd77754 жыл бұрын
@@benbenedict2720 nimekupenda bure kwa kweli ubarikiwe. Jibu dogo lkn maana lina maana kubwa
@umsulaiman74684 жыл бұрын
ManshaAllah ww ndugu Uchebe Allah atakupa wenye kheri na ww anae jielewa kama ww .mwanaume kama ww niwachache Allah azidi kukuongoza Allah awape janat ferdaus wazazi wako walio kulea vizuri
@wemakalamu35384 жыл бұрын
Wengine mnatoa povu huyo ndie mwanaume rijali mushazoe kuzalilishwa mitandaoni mwenyeezi mungu amtangulie uchebe kwa kumstiri mwanamke
@janeejjs93454 жыл бұрын
Ni kweli
@fallymetoo1914 жыл бұрын
Allahumma Ammin
@hjhj62304 жыл бұрын
Naam
@sharifusaidi16034 жыл бұрын
Kuna watu wanajifanya hawajui Kama mtu ata awe na Imani vp inafika wakati mtu anashindwa
@wardaally76444 жыл бұрын
Amiin
@reinerodero27274 жыл бұрын
Asante sana uchebe.
@mukamirubi10154 жыл бұрын
Honestly Zama your questions wow! Gal your pinning the guy down but in a good way 👏👏 This uchebe guy HERI! SHARI! is a punchline he Likes it so much 🤣 lets just not judge matters related to 2 people but all in all violence against WOMEN is wrong PERIOD!
@salmashiraz64564 жыл бұрын
Zama opra wa tz I really like the way she conducts her interviews
@damariszuckschwert94894 жыл бұрын
I thought he was born in maka the way he talks about Islam? Kumbe he was born a Christian he just turned himself 9yrs ago. This guy haaa.
@mukamirubi10154 жыл бұрын
@@damariszuckschwert9489 🤣🤣
@damariszuckschwert94894 жыл бұрын
@@mukamirubi1015 He can preach Islam more than those Arabs
@mukamirubi10154 жыл бұрын
@@damariszuckschwert9489 🤣🤣🤣 his punchline is HERI & SHARI so funny all time favourite lazma he uses these 2 words
@faulatafahmi77334 жыл бұрын
MaashaAllah Uchebe anajielewa sana...ana amini sana Allah..tumeshajua ukweli hicho hicho kidogo ulichosema wenye akili tumefahamu..Allah atakusitiri
@narizadimasoka15104 жыл бұрын
Yani mimi na mupenda sana anajieshimu san 💞💞💞💞💞💞💞👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌
@hidayah12954 жыл бұрын
Yani Uchebe u naongea kwa utulivu sana mungu akuzidishie
@saidhamad5334 жыл бұрын
Watu wamezoea kusikia siri za watu kaa upande wangu nimependa umejibu kisomi na kistara ila coment nyingi zinatak uchimbue yandani kwako
@ferdausferdaus20554 жыл бұрын
Kwani alimkuta ni masikini hana ata kandambili nakawaida mke na mme kusaidizana sio makosa
@fatumakassam14924 жыл бұрын
Ulienda kutafuta kiki
@newmuscat16984 жыл бұрын
@@fatumakassam1492 ujielewi kiki ya nini wasanii wakike niwatu Wa kupuyanga
@johnnydepp32184 жыл бұрын
@@newmuscat1698, achana na hao wambeya wa Tz roho zina wauma Uchebe kawanyima umbeya Uchebe anajielewa na akiweka mambo yote wazi hao hao wambeya watasema ana dhalilisha wanawake
@newmuscat16984 жыл бұрын
@@johnnydepp3218 kabisa bro Yaani wabongo ni shidah mtupu Aisee
@khadijayusuph93164 жыл бұрын
Mm nimekupenda tu bure uchebe nafuatilia intetview zako sana unajua kujbu ksom na unahof ya mungu naomba mung anijaalie nipate mume kama ww jmn,lve u uchebeeeeèe😘😗
@kingcobra92384 жыл бұрын
Uchebe wewe ni mwanaume ktk ya wanaume na wewe unawajua sana kina HAWA maana hawakawii kutoa ulimi kinywani kuupeleka puani safi sana. Uchebe unasifa ya kua mwanaume kati ya wanaume (( UMEJIBU KWA KUTUMIA ELIMU YA TASWAUFU SAFI SANA ))
@tatuathmani8834 жыл бұрын
uchebe mungu akulinde akupatia mke mwema siwamitandao nakupenda sana kaka angu mungu akusaidie
@ladiyahylton30104 жыл бұрын
Wow this men said doesn’t want to talk what is you’re problem live him alone please
@ashahussein32474 жыл бұрын
Tell them Ooooo...
@hyasintapeter2044 жыл бұрын
Wanaume kama hawa wachache sana Mungu akujalie uchebe
@elarifmohamed56814 жыл бұрын
Ta bien parlé vraiment dieux a vous teprotege inchaalah 🍹🍹🍹
@florahosea65834 жыл бұрын
Nilimwambia utahojiwatu wote nawatakuropokea Mambo Yao ya ndoa nasio uchebe leo umekutana na nkoki masta wewe unapenda kuongealea yamwenzio yako ukiulizwa unaficha Leo umepambana na kichwa
@sarahmohamed3374 жыл бұрын
Zamaradi wew n anchor shupavu ulie bobea,,Uchebe ana busara kujibu maswali kwa zamaradi lakin kwa wengne anakua jeuri....Zamaradi Asante mummy kwa kazi yako nzuri.
@aishamussa25634 жыл бұрын
Zamaradi anajua mnooo kuuliza, Kuna namna Leo uchebe amejibu vyenye maana,
@mwanajumaomahundumla65044 жыл бұрын
Aisha wajina wa Mama yangu Yaani Zama ni professional reporter kuna vitu uchebe kajibu bila kutaka wakati mwingine hajajibu kabisa
@nellymatalanga50334 жыл бұрын
Zamaradi ni brand anajielewa and I think Uchebe kampa heshima hata kufanya interview hivi
@aishamussa25634 жыл бұрын
@@mwanajumaomahundumla6504 kabia yaani mwanangu
@aishamussa25634 жыл бұрын
@@nellymatalanga5033 she is next levels
@pillyomary61274 жыл бұрын
Uyu kaka anaakili nyingi sana na anaufahamu mno mungu akuongoze hapo ndo utajua umuhimu wa kuwa kalibu na allah
@ashaphiliph80844 жыл бұрын
Kiukweli uchebe kutokea achana na shilole ananawiri keep up bro
@eshalibaba11954 жыл бұрын
Sana anapendezaa anawaka
@fraziamsonge44924 жыл бұрын
Sana tu Lile shuga mamy lilikua linamnyonya kijana mashallah
@khdijaahmed84584 жыл бұрын
Tenaa San yupo vzuri mashaallh
@fatmafaki56654 жыл бұрын
sana tena wallah
@karthala66764 жыл бұрын
This guy is deep mashaAllah. Mungu atakupa mke wa hkeir naweye InshaAllah
@mwoney14 жыл бұрын
Wallahi dada kapoteza Mme..Mungu amnusuru
@neemapaul85594 жыл бұрын
Huyu ndomwaname sasa hana koo lakike safi sana mungu akusimamie manake unajitambua nakujielewa. Usijali mungu atakupa mke mwema
@anisiakayombo58514 жыл бұрын
Dah kiukweli wekaka unabusara japo pengine yawexekana ulikosea lkn unajielewa mno Mungu akupe zaidi busara na uzidi kuwa na uelewa zaidi
@fediliaulomi49694 жыл бұрын
Kwanza uchebe anaonekana yupo romantik sana kwa mwanamke uyo shilole atamkumbuka tuu
@mwatumsaidi51044 жыл бұрын
Shilole kaweka dunia mbele hana malezi kabisa wala dini Allah atakupa mke mwema ishallah
@munnawwaryaqub85244 жыл бұрын
Wewe ungekua na dini ungemuombea na shishi Allah amuongoze, na huo ndo uisilamu, na kila mwanadamu anamapugufu yake, hakuna aliye kamilika, ndo maana ikawe kwa Tobba
@KhadijaKhadija-uc2uw4 жыл бұрын
Wewe mwenye dini
@susanejd77754 жыл бұрын
Umeona ya shishi kwa sababu yuko mitandaoni ebu na ww leta yako tupate kukuhukumu. Nyie ndio mnafanya wasio kua waislam watutukane kwa ufinyu wenu wa elimu ya dini. Sasa hiyo kashfa kwa shishi ndo uislam? Wacha kujichetua
@fatmas73384 жыл бұрын
@@susanejd7775 labda nisaidie kidogo hapa kweli wa sio waislamu wanatudharau lkn kabla ya wao kutudharau ss wenyewe tyshajudharai kwanini tuweke mambo yetu ya ndoa kwenye mitandao wakati vyombo vya sheria vipo na vinafanya kazi vizuri tujiangalieni sana wanawake wa kiislamu maana Allah alishasema kwenye Qur'an tukufu wanawake ni fitna kubwa katika dunia kwahio hili.halitafutika mpaka tujirekebishe tabia zetu sio lazima kila kitu.kuweka mtandaoni bora kufata sheria iwe za kidini au serekali ni maoni yangu.tu
@susanejd77754 жыл бұрын
@@fatmas7338 uchebe angetaka stara asingeoa msanii. Wasanii ni kawaida vitu vyao kua hadharani. Kwa hili sijapenda shishi kwenda mitandaoni. Lkn kilichomfanya afike huko. Ameshapigwa sana akisuluhishwa na watu wzke wa karibu mmoja wapo makonda. Lkn uchebe keshapata pancing bag hawezi kuacha. Na shilole kashindwa tena kuvumulia. Mbona mara zote hizo hatukukua? Ina maana shilile alificha
@nickjuma39374 жыл бұрын
Hongera Zawadi kwa interview nzuri! naona zile kelele za miziki naona umeiondoa! safi sana!
@nickjuma39374 жыл бұрын
am sorry not Zawadi ni Hongera Zamaradi!
@nasranoti084 жыл бұрын
Amazing interview 🙏💪
@wardambaraka12894 жыл бұрын
Yani uchebe kaaa unanikosha baba Yan napendaga interview zako unajielewa kaka angu mungu atakupa wakufanana nawe brother
@thefarahatlifestyle4 жыл бұрын
Daaah mie sikejeli, sikuukumu Maana Mi sio Mwenyezi Mungu, Sina dharau. Uchebe fwata moyo wako. Ni Sunah kuoa na pia kumbuka Mwenyezi Mungu ameikashifu Sana Talaka,, hapeendi ndoa inapovunjika. Kaa unahisi shilole ndo Muke anao kufaa basi Mrudiye mkeo. Ila kaa ni chungu kuishi naye Allah Kareem. Mwenyezi Mungu atakujalia Mke InshaAllah. INTERVIEWS Zako zote nimefatilia na za shishi. Ila Ndoa inataka subra aise. Nakupenda bro,, Tena zaidi ya vile unavo jibu maswala moja kwa moja kwa utaratibu. InshaAllah Mwenyezi Mungu akuongozee kila dakika.
@sarahtony39374 жыл бұрын
Nakupenda bure uchebe Mungu akupe mke mwema
@husnashaibu63124 жыл бұрын
Mashallah so nice Kikubwa subra, uvumilivu, pia hofu ya Mungu unayo simamia msimamo wako bro penye zito panawepes wake. Mtihn moja ya kipimo cha maisha.
@jescahaule48024 жыл бұрын
Uchebe nimwanaume anae jitambua dhahil hongera
@abuubakarsaid94104 жыл бұрын
Zama nakukubali Sana upo vizuri Sana Tena Zaid ya Sana sidhani kma uchebe engefunguka hata kidog Kama usingemtafut Ila amefunguk japo kwa asilimia chache Ila kafunguka kiasi
@bahatisunga16424 жыл бұрын
Ni kweli kabisa kafunguka Nimekuelewa Shishi anatakiwa ajitasmini sana
@katarinawilliam99604 жыл бұрын
Kama mkiriti kaupata toka utotoni.Ndo maana ana mtoto alipokuwa na umri wa miaka 14...so Mimi nadhani Shilole mtu wa utani sana HASA WANAUME NA KUKATA MAUNO .Uchebe alipaswa alitambue kabla hajamuoa.huwezi kumbadirisha mtu hili na amesha komaa.
@fatmaabdully14254 жыл бұрын
Zama nakupenda sana ww dada mwz munguvakusimamie na kukufikisha mbali panapokufaa
@tatuathmani8834 жыл бұрын
zamaladi wajuwa kumuelewa uchebe ningumu sana huyo uchbe nimuisilamu amabae kashiba hofu yamungu hawezi kutowa mamboyote kwenye mitandao
@mariammuscat43004 жыл бұрын
Uchebe mashalllah mashallah
@hawahashim82414 жыл бұрын
Shilole Akae kujua Anaistawisha Bastani ya Uchebe yakwakwe inanyauka Cjui Ataenda jibu Nn kwa Allah Naikiwa Allah Amempa kila mjawake Bostani yake Aje kuidumia Na kuitunza Apa Duniani Napale tutakabyo legea kwakwe Atatuuliza Vp ii Bostani yako Mbona imasinyaa Shilole Atamjibu Nn Mungu Mwanamke Mwenzangu Wallah
@solangekubota94874 жыл бұрын
Sasa shishi mwanzo mwisho ana makosa tu 100% tuache ku jaji ya ndani
@zenasaidy31684 жыл бұрын
Allah akuzidishie subra inshallah kila lakher mungu atakupa mwanamke bora chagua wenye din achana na watu wadunia
@irenejeremia64834 жыл бұрын
Nimempenda majibu yake,Ukigombana na Mwenzio usiweke yote wazi maana huwezi kujua lbd mtakuja kurudiana,hivyo yuko vzr 👍
@nishawangaiwangai97654 жыл бұрын
Masha Allah uchebe una hekima sana Allah atakupe wako karibu Kenya bona tuko wengi twataka kustirika
@zebusdaughter81584 жыл бұрын
Pongezi kwa zama! Nice voice , calm interview kisomi zaidi. Mi interview mingine yaani hata hamskilizani minyimbo sjui madebe tu ndo unayoyaskiliza , interview ikiisha kichwa chote kinawaka moto lol. So nextime put natural sound like birds sounds, ocean sound yaani hapo doh! Ni maoni tu mpenzi
@saraharon30534 жыл бұрын
Nakupenda uchebeee kiswahili chako na unajibu vzr kwa akili ya ndani kabisaaa
@mariahkingu45084 жыл бұрын
Shilole angetuliza kichwa alikuwa amepata mwanaume kwakweli kwa umri wa uchebe angemuanika vibaya Sana mkewe ila maskini kijana anahekima kubwa mno shilole jitafakari Sana kwani ndoa zote zinamisukosuko
@mwanalimagamunda9974 жыл бұрын
Kweli kabisa,hakuna ndoa iliyo nyooka ila ni kupambambana na kustiriana,na ndio maana uwa tunafunzwa kabla ya kuingia kwenye ndoa sababu lazima makosano yawepo.
@munnawwary7574 жыл бұрын
Mashaallah Kaka Ashraf nakupend Sana Kwa ajil ya Allah pole San subra muhm mung atakup anaestahik
@damariszuckschwert94894 жыл бұрын
Never trust someone who was divorced before, you must use inner eyes. Kumbe aliingia uislamu miaka 9 iliyopita? Anavyouongeleaga huwa nafikiri amezaliwa maka🤭🤭😁😁😁
@neemakisumo98674 жыл бұрын
Huyu Ni mnafiki halali tu Shilole amuache
@johnnydepp32184 жыл бұрын
@@neemakisumo9867 una muita mtu mnafiki kwa habari za kusikiya mitandaoni? jiongeze wewe acha habari za kusikiya naku judge watu unachuma dhambi za bure, kama humpendi mtu afadhali ukaye kimya
@nurukauzen17214 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@mwanaidhassan99774 жыл бұрын
Acha kukurupuka dada
@mariamissa19744 жыл бұрын
Huyu mdada nampenda Sana anahoji mtu ki hikma Sanaa👌❤️
@aslamomaryy29554 жыл бұрын
Hollaaa 👍 uchebe upaparik ktk kuongea upole na busara ata ivyo kwan kuna ndoa gani ilokua haina matizo mpak shilole amfokee sna uchebe!?
@johnnydepp32184 жыл бұрын
Shilole hajieshim kumbuka kipindi ana pendana na Nuhu Mziwanda wamealikwa kwenye sherehe tatizo ndogo ana mzaba jama makofi mbele za watu amshukuru Ucheba ame jaribu kumbadili leo hiyi watu wana muheshim
@hadijalukas59594 жыл бұрын
wallah ukweli wa uchebe umenifanya nikose comment good 👍 👍👍 👍 sana kaka uchebe 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@lighnessmrisho15254 жыл бұрын
Uyu kaka ana hofu ya Allah hongera sana.
@rehemamhina21994 жыл бұрын
Mashaallah nimekupenda sana mwz mungu akufanyie wepesi uchebe japo nimeckiliza leo
@mozaummy3274 жыл бұрын
Zama nakupenda upo vizuri sana
@rahmakhalifa92174 жыл бұрын
Hii ilikua njia mungu anakukatisha zindi kumcha mungu utafanyikiwa sana kwa imani yako alaa atakupitisha