No video

#EXCLUSIVE

  Рет қаралды 182,552

Wasafi Media

Wasafi Media

Жыл бұрын

#EXCLUSIVE: KONDAKTA MREMBO ANAYETREND KWENYE MITANDAO AFUNGUKA - "NILISIMAMISHWA KAZI KWA MIEZI 6"
www.youtube.co...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 278
@ashuramhandoashuramhando6798
@ashuramhandoashuramhando6798 Жыл бұрын
Karembo hadi Sauti inavutia unakitu Mrembo utafika mbali ❤️❤️🌷🌷🌷🌷🙏🙏🙏🙏
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 Жыл бұрын
Mashallah, anaonekana Ana confidence, Mashallah Allah amuongoze bint uyu pamoja na mabint zetu inshallah 🙏
@catherinekanono4298
@catherinekanono4298 19 күн бұрын
She is beautiful ,humble and very smart upstairs mungu akutangulie
@user-uf5ry6tx2r
@user-uf5ry6tx2r Ай бұрын
Hongera sana dada Mungu akubariki sana na kukutia nguvu sana katika kazi yako
@mbaichris8772
@mbaichris8772 Жыл бұрын
Bravo mentor other women to do any work around the globe
@annemakaka210
@annemakaka210 Жыл бұрын
Masha Allah! Binti mrembo na mstaarabu kweli. Tia bidii dada
@edwinalexander1170
@edwinalexander1170 Жыл бұрын
Huyu Dada yuko vizuri sana kichwani, Safi sana.
@mejumaabaraza3989
@mejumaabaraza3989 Жыл бұрын
Masha Allah mungu akulinde na Shari dadangu❤
@bjzee1981
@bjzee1981 Жыл бұрын
Kazuriiii kanafaa kua hostes. Ka baby face hudhani kasha maliza hata chuo. Wachaga big up kwa ku pambana.
@ibumajaamillah3195
@ibumajaamillah3195 Жыл бұрын
Huyu bint nilisafiri naye kutoka moshi kuja Dar she very humble wallah
@venancshirima9103
@venancshirima9103 8 ай бұрын
@user-up2ef7dc6k
@user-up2ef7dc6k 11 ай бұрын
Mashaallah bint uko vzur mng akifanyiwa wpx❤❤
@user-sw6cc8yv7s
@user-sw6cc8yv7s Жыл бұрын
Nakupenda sana wewe dada, Nakutakia kazi njema .Mungu azidi kukupigania.kweli wqnawqke tunaweza
@donvanpierre4369
@donvanpierre4369 11 ай бұрын
shida inaanzia hapa kwenye twaweza... iko kibinafsi sana
@kotadapotar5094
@kotadapotar5094 11 ай бұрын
Kazi hizo Uku Ulaya za warembo kama wewe pambana dada yangu nimependa sana Uchangamfu wako 👏🙏🇹🇿🇬🇷
@hafsasaid9666
@hafsasaid9666 Жыл бұрын
Maashaallah amepata umaaruf mdogo wangu angepata fulsa akafanya vitu vya maana
@cleophacephelician6739
@cleophacephelician6739 Жыл бұрын
Vitu vya maana kama vipi hafsa !? Usikariri ajira za serikalini. Hii sasa ndo amepata kazi nzuri
@gracesitta8586
@gracesitta8586 11 ай бұрын
Mungu akujalie sana mdadaa. Keep it up.
@geminamulima3180
@geminamulima3180 Жыл бұрын
Binti yuko vizuri sana mwaka juzi mwezi 12 alitupambania siku ya safari ilipiga mvua ya atari alitfatilia mpaka akahakikisha tumepanda hila yeye alibaki apo Rombo saruti kwake
@user-kh3hr8si2j
@user-kh3hr8si2j Жыл бұрын
MashaAllah gd job❤ sweet
@graceknight7498
@graceknight7498 Жыл бұрын
Mahallah ♥️♥️♥️♥️🇰🇪
@HadijaZabroni-pu1lt
@HadijaZabroni-pu1lt Жыл бұрын
Mashallah 🥰 gari zenu nzuri sana
@raummoshi4372
@raummoshi4372 Жыл бұрын
MUNGU akutunze nice, utafika mbali
@LeticiaRichard-zm7co
@LeticiaRichard-zm7co 11 ай бұрын
Yeah your a good girl I love the way you fight girl good may God bless your hard working
@Shadrack-oz1bh
@Shadrack-oz1bh 11 ай бұрын
mungu hawabarik
@vero57
@vero57 11 ай бұрын
Wanafunzi wako wengi sana kama huyu hakuna kazi walizo somea,safii sana piga kazi dada mfano mzuri wa kuigwa 👍👍🥳🥳👏👏👏👏
@michaelemanuel2528
@michaelemanuel2528 9 ай бұрын
She is too beautiful aiseee God bless her
@elisifaaron5662
@elisifaaron5662 Жыл бұрын
Safi sana unaakili mwanangu bora ukafanye biashara zingine nimekupenda ssna unamaakili kazi ya magari ningum sana makonda mmoja alitelezaga kwenye gari alikuwa aagongwe. Akajikuta kakanywagwa mguu wote mpaka ukawa chapati
@rockeygarcia5865
@rockeygarcia5865 Жыл бұрын
Urembo na pia upambani wake utamfikisha mahala ❤
@user-xe9fk7jm4l
@user-xe9fk7jm4l 11 ай бұрын
Mashaallah❤
@baybeshayo18
@baybeshayo18 Жыл бұрын
Hongera Sana mwanangu
@mako331
@mako331 Жыл бұрын
Ninafuraha sana kuona kina dada zetu siku hizi hawachagui kazi, wengi wameingia kwenye mabasi na wanafanya kazi nzuri sana
@user-tv9vt4qx2n
@user-tv9vt4qx2n 11 ай бұрын
Hogera sana Mwanangu Jitahidi epuka vishawishi ili ufikie malengo yako my dear uko just kama pesa ya kigeni
@ibraimoselemane17ibraimo29
@ibraimoselemane17ibraimo29 Жыл бұрын
Ni mtoto mdogo ila anajuwa kujielezeya ile mbaya
@pendokissatu937
@pendokissatu937 Жыл бұрын
Mdogo angu una Potential kubwa Sanaaa Ya Kufanikiwa usiuchezee huu Muda Tafuta Hata Maduka Ya Nguo omba Ubalozi maduka Ya Vipodozii Katangaze maduka yao Una Lugha Nzuri ya Kibiashara Sana sana Kwa kampuni ya Tilisho Raise Her salary Plz Anafanyia Promotion kubwa san kampuni Yenu❤
@Allykoroshotv
@Allykoroshotv Жыл бұрын
Fact
@juniorjohn2233
@juniorjohn2233 Жыл бұрын
Mungu akutangulie zaid
@user-lm7nc2ff2x
@user-lm7nc2ff2x 11 ай бұрын
Huyu Sasa, nadhani atanilazimu nisafiri Tanzania ,,,, ❤
@user-gg2jq8mp9d
@user-gg2jq8mp9d 11 ай бұрын
Karibu utamkuta amejaaa tele😂😂😂😂
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 11 ай бұрын
Tilisho service. Welcome usafiri na sisi
@agnesgeorge6818
@agnesgeorge6818 9 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤ mdogo wangu go and God bless you bbysisy
@user-gb8nv6jy7z
@user-gb8nv6jy7z Жыл бұрын
Hongera dada angu❤❤
@salamaali4726
@salamaali4726 11 ай бұрын
Nakupenda sana mdogo wangu una muelekeo wa kufika mbali, pls naomba kazi hiyo isiwe ndio ya kudumu cha muhimu changa pesa zako kaendelee na chuo utafika mbali inshaalah
@MussaMohammad-ku5bt
@MussaMohammad-ku5bt 11 ай бұрын
kweli kabisa.
@samiraaindi
@samiraaindi 8 ай бұрын
Usikate tamaa usivunjike moyo endelea kupambana mungu yupo ipo siku utatoboa insha allah ❤u big kiss to you.
@mayarashidi2765
@mayarashidi2765 Жыл бұрын
mashaailah mungu akulinde dada
@user-ug6df5kg7n
@user-ug6df5kg7n 9 ай бұрын
Wow she is so cute....i love her😘
@kudramzee5769
@kudramzee5769 Жыл бұрын
Hongera kwake boss JOHN kwa kumjali huyo bint
@user-rd6zz5rq9s
@user-rd6zz5rq9s 6 ай бұрын
Nilikua na shwalii ni zipii sifa za kua condacta jamnn kazii nzurii naipenda binafs
@user-vk8ok3ow1m
@user-vk8ok3ow1m 8 ай бұрын
Wanawake tunaweza
@CatherineKimoso
@CatherineKimoso 9 ай бұрын
Mwanangu ❤❤❤ Sanaa. Pambana wewe jembe utafika mbsali Sanaa.
@user-tq5df7ge4w
@user-tq5df7ge4w 14 күн бұрын
Jamani da nice find me basi mi johary I have like you so charming dear❤❤❤❤
@AshaMakame-zg9xi
@AshaMakame-zg9xi Жыл бұрын
Kwanza kitoto kizur alafu muelewa pia mjanjamjanja Hong era kwa hilo bless Allah azidi kukuongoza
@easternyerembe7271
@easternyerembe7271 Жыл бұрын
Hakika Ni mrembo natural. Nmempenda
@noelyprinceprince8951
@noelyprinceprince8951 11 ай бұрын
Nakubali sana mrwmbo wetu wa Moshi🤙🥳 sema nini umetisha afu wa nyumbani🤗🤗
@yusufmohamed8874
@yusufmohamed8874 Жыл бұрын
Nime tumia hizi basi mwaka huu kutoka Arusha Dar kwakweli wana huduma nzuri sana na ni gari nzuri sana.
@elisifaaron5662
@elisifaaron5662 Жыл бұрын
Ipo moja wapo dar Arusha wakaka ao wananyodo mdada tu kidogo anakauri walinikera nawauliza vizuri mzigo nimeacha chini wenyewe wanaondo gar
@abelmumamwamba8990
@abelmumamwamba8990 Жыл бұрын
Kwenye tilisho huyu nayce pekee ndo konda kwanza anakaulii nzuri
@SHADRICKSHABANI
@SHADRICKSHABANI 4 ай бұрын
This is my name to location 🤝
@kassimourio6879
@kassimourio6879 5 ай бұрын
Very systematic....🎉🎉🎉🎉🎉
@LempurukSamwel
@LempurukSamwel 11 ай бұрын
Ooh Dada uko sawa.From Samburu.
@AnetDaniel-vx2sd
@AnetDaniel-vx2sd Жыл бұрын
Huyu bint nimesafiri nae sana tuu sipandag gar lingine hata no yke ninayo yupo vzr
@yannicknicah133
@yannicknicah133 11 ай бұрын
Sema kweli
@user-wh6bs7cm5p
@user-wh6bs7cm5p Ай бұрын
❤❤❤❤
@paschalewamtaa726
@paschalewamtaa726 Жыл бұрын
Ushauri aendelee na nizamu yake asivimbe kichwa
@omariddi8073
@omariddi8073 Жыл бұрын
Good heart
@baybeshayo18
@baybeshayo18 Жыл бұрын
MUNGU wa mbinguni akutangulie na kukulinda mwanangu
@stellakasimba9375
@stellakasimba9375 Жыл бұрын
Amen 🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@nahlahassan-fd6le
@nahlahassan-fd6le Жыл бұрын
Amiina
@user-gs3hx3kd3r
@user-gs3hx3kd3r 7 ай бұрын
❤❤❤❤❤
@user-rd6mo1zb6g
@user-rd6mo1zb6g 11 ай бұрын
Nawapenda tilisho
@msakanotiofficial5523
@msakanotiofficial5523 11 ай бұрын
Nice ibebe Rombo mama
@rosemmary6802
@rosemmary6802 Жыл бұрын
Wachag salute
@AmisseShezume-wk5ee
@AmisseShezume-wk5ee 11 ай бұрын
Masha allah
@user-pl1wn1xd4n
@user-pl1wn1xd4n 11 ай бұрын
Hongera sasa sister nimejifunza kitu kizur kutoka kwako
@EliasheaZadock
@EliasheaZadock 2 ай бұрын
Mambo naomba Namba yako dada
@mercypeter162
@mercypeter162 10 ай бұрын
MUNGU akuinue mpaka viwango vya juu umiliki mabasi pia
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib Жыл бұрын
Na mabint wengi wa kichaga hawachagui wanafanya sana kazi hizo za ukonda
@bakarimakame4694
@bakarimakame4694 Жыл бұрын
Jmn kaongezeeni mshahara
@EliaUtenga
@EliaUtenga 6 күн бұрын
Mm nataka kazi
@mlawatvonline3720
@mlawatvonline3720 8 ай бұрын
Mashaallah
@glorychambi6559
@glorychambi6559 Жыл бұрын
Mzuri had raha
@ZenaMakongolo-tk9si
@ZenaMakongolo-tk9si 11 ай бұрын
Mungu akulinde dd ❤
@kurumwagodfrey7052
@kurumwagodfrey7052 Жыл бұрын
So beautiful
@RichardNoel-by1cc
@RichardNoel-by1cc Жыл бұрын
Muowerh
@user-ps8og2dg8o
@user-ps8og2dg8o Жыл бұрын
❤❤❤❤❤❤
@FaudhiaUshaky-if8fs
@FaudhiaUshaky-if8fs Жыл бұрын
Jaman jamani niungenamimi mdada uko
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib Жыл бұрын
Ndio anajiamin sana
@user-dk7dy4ds8g
@user-dk7dy4ds8g 9 ай бұрын
Karembo kanaxaut nzur xan
@user-ep9rv7yk8e
@user-ep9rv7yk8e 11 ай бұрын
👍
@Elizakilisipinilikolika1996
@Elizakilisipinilikolika1996 11 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤ NAKUPENDA BURE KIPENZI
@user-cm8dg4zy7p
@user-cm8dg4zy7p 11 ай бұрын
hongera sana
@hezronjoseph405
@hezronjoseph405 Жыл бұрын
Mitandao inadanganganya sana,mi navo muonaga najua Ni malaya wa mjini,kumbe kitoto
@samwelimoshi5614
@samwelimoshi5614 11 ай бұрын
Umejisikiaje kuongea ujinga km huo
@hezronjoseph405
@hezronjoseph405 11 ай бұрын
@@samwelimoshi5614 Kama ujaelewa kilichoandikwa ,Ni bola uludie kusoma,usikurupuke
@SuzyMongi-ov8wk
@SuzyMongi-ov8wk 11 ай бұрын
Good Mungu azidi kukupigania
@NgelejaLukanda
@NgelejaLukanda 3 ай бұрын
Naomba sister unisaidie kupata kaz kwamajina naitwa neema namia 20
@elizabethnguma3379
@elizabethnguma3379 9 ай бұрын
Hadi nmelia😢,kweli mdogo ila mpambanaji sana,,,jikaze mungu yuko🙏
@makrinamgombela1138
@makrinamgombela1138 Жыл бұрын
Binti ana uwezo Mkubwa na anapendwa sana.Sasa kila jambo lina wakati na Muda ,wanaompenda Zaidi basi Wamchangie akasomee Masomo ya Juu ili aje atimize Ndoto zake.Tambua Yeye ni Binti baadae atakuwa mama,Je kazi hiyo ataimuudu???Asome kabla muda wa Masomo haujamwacha.Asante
@jonijomk3107
@jonijomk3107 11 ай бұрын
ivi umeiangalia video au umesikiliza maelezo ya nice? ulichokiandika na malengo aliyonayo sasa ni vitu viwili tofaut, ashakwambia akiacha kazi tirisho anaenda kufungua na kusmamia biashara zake, hilo la kusoma umelitolea wapi??
@QueenMishy
@QueenMishy 11 ай бұрын
C umchangie kma hela unazo😂😂
@jonijomk3107
@jonijomk3107 11 ай бұрын
@@QueenMishy 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@sharifahamis6924
@sharifahamis6924 Жыл бұрын
Mbona kasema ana miaka 21
@nancyg8664
@nancyg8664 Жыл бұрын
Kazur asee
@HanifaHashilu-mv6lv
@HanifaHashilu-mv6lv 3 ай бұрын
Naomba no ya sm
@cleophacephelician6739
@cleophacephelician6739 Жыл бұрын
Binti huyu anajiweza sana, elimu imemkomboa
@walinaziontime7300
@walinaziontime7300 Жыл бұрын
Chiku ni mkongweeee huyo Dada....kitamboo
@SylviaAthuman
@SylviaAthuman Жыл бұрын
Pambana my dear kaz ni kaz
@maimunaabdallah3211
@maimunaabdallah3211 Жыл бұрын
Anahudumia vizur sana Nancy yupo vzur
@musashalangwa3780
@musashalangwa3780 Жыл бұрын
Ndiyo
@isangasamatini217
@isangasamatini217 11 ай бұрын
Yes wanawake wanaweza japo wengi Wao wanachagua Kazi japo Nayce hilo hana Hyo ndo tofauti na wanawake wengine, kikubwa tumtakie kila la heri kwenye majukum yake ya kila siku
@hamisikibwana6642
@hamisikibwana6642 Жыл бұрын
dada nenda kaombe kazi kwenye ndege utapata
@abdallahukwaju4473
@abdallahukwaju4473 Жыл бұрын
Ndege weeeee unaona simple kama maguta aya
@hussensaidi1451
@hussensaidi1451 Жыл бұрын
Kwel kabisa
@nuraansuhail2578
@nuraansuhail2578 11 ай бұрын
Safi sanaa mabinti wengine Wasomi wanajidai Wana nata nata hawajitumi kazi kubandika kucha wamesubilia waolewe na Wasomi wenzao mtazeeka majumbani mwisho mtakuwa mzigo na sisi tukishaona lile Bango la tunauza barafu tunajua hapa Kuna mzigo unatafutiwa soko,,,Wake up girls fight
@user-yt7nn1fs1p
@user-yt7nn1fs1p 11 ай бұрын
Kweli kabisa
@kituhilel.j9747
@kituhilel.j9747 Жыл бұрын
Kazuri
@nahlahassan-fd6le
@nahlahassan-fd6le Жыл бұрын
Mashallah❤
@gervas58
@gervas58 Жыл бұрын
Huyu angekuwa makabila fulani na uzuri huo sehemu njeti ndio zingeumia
@monicambuya-sq9ms
@monicambuya-sq9ms Жыл бұрын
🤣🤣🤣
@nahlahassan-fd6le
@nahlahassan-fd6le Жыл бұрын
😂😂😂😂tutajie ilo kabila
@emariusrush3285
@emariusrush3285 Жыл бұрын
wahaya,wanyiramba,wanyamwezi,wazaramo ,wajita na wakerewe ni malaya kama mbwa!!!!!
@joycenicodemus.2232
@joycenicodemus.2232 Жыл бұрын
​@@emariusrush3285wahaya mutuache tu🤣🤣🤣
@nancyg8664
@nancyg8664 Жыл бұрын
@@emariusrush3285 shenzi😆😆
@juliasmwambulukutu3461
@juliasmwambulukutu3461 Жыл бұрын
Wamiliki wa Ndege binti huyo anafaa kuwa kwenye ndege
@angelalyimo2862
@angelalyimo2862 Жыл бұрын
True kwa ndege ingekua fire
@fatmazullu4933
@fatmazullu4933 Жыл бұрын
​@@angelalyimo2862Ni mfupi! Na mpk asomee
@salehaliy7198
@salehaliy7198 Жыл бұрын
Kwa uhudumu wa ndege angekosa kwa kigezo cha ufupi na kutosomea taaluma hiyo
@salimmalaka256
@salimmalaka256 Жыл бұрын
​@@fatmazullu4933SI MFUPI SANA ANAFAA ANAWEZA KUPITA.
@salimmalaka256
@salimmalaka256 Жыл бұрын
​​@@salehaliy7198KASOMA HUYO ANAWEZA KUPATA NA SI MFUPI HIVYO NI KAMA WA THAILAND NA WA FILIPINO TU.
@EliaMbise-el7hl
@EliaMbise-el7hl 11 ай бұрын
Hii Kali sasa
@ernestotadeunete3337
@ernestotadeunete3337 11 ай бұрын
Nimekupenda Sana nataka namba yako nipo Moçambique na mke wangu amekupenda
@Official83640
@Official83640 Жыл бұрын
Hawa wapo wasichana wengi kwenye hiyo campun maana wote wapare na wachaga wanapeana kazi tu ofice yao ipo Mbezi kwa Yusuph
@AshaMakame-zg9xi
@AshaMakame-zg9xi Жыл бұрын
Okay kwahiyo ukenda wa BUZA KWA MPARANGE utakaa pembeni km si Rchuga
@Official83640
@Official83640 Жыл бұрын
@@AshaMakame-zg9xi Umereaply nn sijaelewa
@nahlahassan-fd6le
@nahlahassan-fd6le Жыл бұрын
​@@AshaMakame-zg9xi😂😂😂😂😂
@elyaikastanley6390
@elyaikastanley6390 11 ай бұрын
Ni kawaida kila tajiri mwenye magari asilimia 90 ameajiri watu wa Kanda yake
Vital'o FC 0-4 Yanga SC | Highlights | CAF CL 17/08/2024
10:10
TAJIRI WA MABUS  SUPER FEO ATOA SIRI YA KUWA BILIONEA
10:36
Wasafi Media
Рет қаралды 8 М.
Stay on your way 🛤️✨
00:34
A4
Рет қаралды 32 МЛН
Challenge matching picture with Alfredo Larin family! 😁
00:21
BigSchool
Рет қаралды 24 МЛН
NAYCE  alivyoachana na MR MWANYA Utacheka 😂😂😂😂
2:49
MrMwanya TV
Рет қаралды 83 М.