Raia wa Nigeria, Ramon Abbas maarufu zaidi kwa jina la Hushpuppi au Billionaire Gucci Master, anashikiliwa kwenye gereza maarufu liitwalo Metropolitan Correctional Center, Chicago au MCC Chicago.
Пікірлер: 50
@latriciah01augustino674 жыл бұрын
All in All huyu mwamba ana akili mno🙌🏽
@fighterm77084 жыл бұрын
Mwamba genius sana aiseee......anatumia elimu yake vizuri
@RuzoOwzy2 жыл бұрын
Ana akili za kawaida duh. Km za mi nawe. Sema tu yupo informed na haogopi madhara ya siku mabaya yake yakifichuliwa na kuanza kuhangaika na vyombo vya dola. Pia ye anafurahia pesa ya uwizi. Kwa mfano mi nawe sasa, tumeshajua mtu unaweza piga pesa mtandaoni na ukawa tajari km jamaa, ila tunaogopa madhara ya kukamatwa, pia hatuoni km tutakuwa na furaha na hiyo hela.
@maryamm77654 жыл бұрын
Asante kwa habar 👏👏👏
@ilovejesus93034 жыл бұрын
Ila kwa wanasheria wa Marekani tusishangae anatoka kwa dhamana
@mabyserolouchcraig24314 жыл бұрын
Huyu jamaa hafai kufungwa huyu ana haki yakuachiwa ni mwixi wa akili anaibia wenye pesa si wanyonge😀😀😀
@Ibramoref4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@saumuhassan63654 жыл бұрын
😂😂😂😂
@LeeUfudu4 жыл бұрын
Mwamba lzima Ale mtaa Big up sky kwa kutupa habari ya mwamba
@mubarakahussein99504 жыл бұрын
Sky I love your voice 🔥🔥🔥🔥
@SimuliziNaSauti4 жыл бұрын
Thanks brother
@subiraomari59084 жыл бұрын
Asante kwa Habari njema
@jonathanimdegela10054 жыл бұрын
Mwamba lazima achiwe mwamb pesa iko ata kama mwizi wa kuiba kiakili noma minaamin atatoka
@saumuhassan63654 жыл бұрын
Subhannallah, pesa itamtoa umo ndani
@asimaaathumani57394 жыл бұрын
Kazi ipo
@ashuraussein75824 жыл бұрын
Pesa ndo kilakitu duniani ataaciwatu Hushpuppi kisuma
@tillerseth77784 жыл бұрын
The only person will save him is Annalise keating 😂😂
@anitakamene50734 жыл бұрын
Nice
@queenslandemile25364 жыл бұрын
Atamimi sikukuaga nime Amini kama nikweli , binadamu sio watu wazuri jamani wanaweza wakakuzulia kesi mbaya mpaka ukashanga, binadamu awapendi maendeleo ya mtu😭 kama nikweli itabaki kua kweli nakama sio kweli mungu ampiganie🙏🙏🙏
@amanistarz12344 жыл бұрын
Ya kwl hayo
@marinamooh40554 жыл бұрын
Mhhh🤔 hapa ndio ule msemo usemwao pesa inaonge 🙄🙄loohh mtu kakutwa na ushahidi wote 🙌🙌🙌Shikamoo pesa Daahh
@rehemashafi48094 жыл бұрын
Duh kila mtu anayake aijalishi anaukubwa gan
@yeasrmsafi71524 жыл бұрын
Nikiwa mkubwa nataka niwe Kama yeye
@restypeter11414 жыл бұрын
🙄🙄🙄 uwe mwizi🤣🤣
@yeasrmsafi71524 жыл бұрын
@@restypeter1141 wizi wa akili sana unafaa sana hata dhambi hupati maana hauibii masikini
@vero574 жыл бұрын
Huyo r Kelly afungwe tuu anatembea na watoto wadongo
@officialmrtop10184 жыл бұрын
Akafungwe myaka yote hao wanaigeria wezi
@bakariyusufujuma4 жыл бұрын
Hana makosa kabisa wamiliki wa mtandao ndio wana mkosa wamezidiwa akili na Gucci master
@moremibituro20604 жыл бұрын
Bro unasema hivi kwasababu hujawahi kuibia mtandaoni angekuibia mtandaoni usingethubutu kusema hivi
@queenslandemile25364 жыл бұрын
Unaweza ukakuta sio kweli Kaka maaana binadamu sio watu pw wanaweza wakamsababishia matatizo ili tu apoteze maisha yake , mimi binaadamu siwaamini kabisa kama nikweli anausika yatajulikana tu nakama sio kweli mungu amupiganie , maana ukitakia mwezio mabaya jua kama nawewe uko njiani kuyaona , tumuachie mungu njo atafanya yote 🙏
@RuzoOwzy2 жыл бұрын
Ila sheria bwana. Yaani huyo mwanasheria wake kamsafisha kabisa, hana doa hata kiduchu.
@user-re4gu6yy2f6 ай бұрын
😢😢😢😢😢😢😢
@frozen4rozen4754 жыл бұрын
Blax wanawatesa sana uko
@manzitalks9574 жыл бұрын
Angalia Njia ambazo Hush Puppy alikuwa akiwaibia watu pesa kwa njia ya mtandao kupitia hii Link: kzbin.info/www/bejne/g6fbiIxnjreLmLc
@justinmwene36694 жыл бұрын
Dan
@khadijakhadija-ve7tv4 жыл бұрын
Mmmh
@vivianchawe75614 жыл бұрын
Money money
@mandyfitnesstv67384 жыл бұрын
Unapenda mazoezi? Pitia hapa na subscribe
@happylusinde92154 жыл бұрын
Mmh
@King_Of_Everything2 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️✌️
@ritasafari47234 жыл бұрын
Gucci got tricked into accepting all that dirty stolen money hahahaha
@veeJesus4 жыл бұрын
Thats not their business 😂😂😂
@joyjacqueline47334 жыл бұрын
They were benefiting. It's business
@bongoupdatestv93224 жыл бұрын
Duuuh
@Ibramoref4 жыл бұрын
This man is a talented thief 🤦♂️🤦♂️🤦♂️
@mwanajumaomahundumla65044 жыл бұрын
Pesa inaongea
@zabibunduwimana46124 жыл бұрын
Utasikiya amehachwa
@gfdasd62874 жыл бұрын
Watu napesa zao bwana wey nenda ukaibe kuku uone kitakaco kukutaa🤣🤣🤣