Polisi wa Dubai walivyomnasa HUSHPUPPI, Mnaija TAJIRI wa Instagram ALIYETAPELI Trilioni 1 mtandaoni

  Рет қаралды 217,832

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

4 жыл бұрын

Polisi mjini Dubai wamefanikisha kumkamata Mnaijeria maarufu kwenye Instagram kwa maisha yake ya kifahari, Hushpuppi kwa kuhusika kwenye utapeli mkubwa wa mtandaoni. Fahamu zaidi kwenye makala hii

Пікірлер: 503
@ejelanta7829
@ejelanta7829 4 жыл бұрын
Hii ndo story za kuangalia,sio unaangalia udaku na umbea tuuu
@neemaremus4924
@neemaremus4924 4 жыл бұрын
Umeona eeee
@marympemba8843
@marympemba8843 4 жыл бұрын
Watu wana right to choose which story wanawatch, kitumuhimu kutokuwa mbea na kuwasema watu kwa umbeya wote. It good to mind person business and stop repeat what things has said in past decay. Grow people this is not time and place
@queenslandemile2536
@queenslandemile2536 4 жыл бұрын
Kabisa
@kelvinkonga6969
@kelvinkonga6969 4 жыл бұрын
Aaaah!
@chunaamina8719
@chunaamina8719 4 жыл бұрын
Hz ndio story sio umbea wa bongo kila kukicha jpya
@marympemba8843
@marympemba8843 4 жыл бұрын
SNS mnafanya kazi vizuri sana, mtangazaji unafanya reseach ya kutosha kwenye matangazo yako, asante kwa kazi nzuri
@Cherriechina
@Cherriechina 4 жыл бұрын
SNS you guys are doing great🤗🤗🥰yani mtu unatamani story isiishe uendelee kusikiliza.Very systematic🙌
@noelmarapachi1808
@noelmarapachi1808 4 жыл бұрын
Jamaa wako vizuri sana yaani
@marthawillium9920
@marthawillium9920 4 жыл бұрын
Exactly
@exaveryapplerbroker2501
@exaveryapplerbroker2501 2 жыл бұрын
kzbin.info/door/hontPobEVBh7hxiACIVP_g
@bimumaulid1171
@bimumaulid1171 4 жыл бұрын
kutomjua mungu huu ndio mwisho wake🙏🙏🙌
@shakilarasti
@shakilarasti 4 жыл бұрын
Kabisa
@prettyh7509
@prettyh7509 4 жыл бұрын
Wanaijeria balaaa waarabu watawauwa
@selestinsongola2787
@selestinsongola2787 2 жыл бұрын
Hawa jawamaliza hawajamaa wapo wengi inaonekana
@abrahamrhymoskinabo6214
@abrahamrhymoskinabo6214 4 жыл бұрын
Sasa najua kwanini matapeli wengi wanapapenda Dubai, adhabu zake ndogo sana
@mwanajumaomahundumla6504
@mwanajumaomahundumla6504 4 жыл бұрын
Natamani habari iendelee Kwakweli wa Nigeria wezi na matapeli wa kutupa Kweli za mwizi 40 asante SnS
@simonmuchiri9894
@simonmuchiri9894 4 жыл бұрын
@ Mwanajuma O Muhundumla vipi hali
@mwanajumaomahundumla6504
@mwanajumaomahundumla6504 4 жыл бұрын
@@simonmuchiri9894 nzuri za kwako
@simonmuchiri9894
@simonmuchiri9894 4 жыл бұрын
@@mwanajumaomahundumla6504 freshy kabisa ....umepotelea wapi
@prettyh7509
@prettyh7509 4 жыл бұрын
Sahihi my
@victormushi6641
@victormushi6641 3 жыл бұрын
NYIE NDIO MNAFANYA TUNAIBA
@williamkhaemba2782
@williamkhaemba2782 4 жыл бұрын
Welcome to UAE where you cannot escape easily
@exaveryapplerbroker2501
@exaveryapplerbroker2501 2 жыл бұрын
kzbin.info/door/hontPobEVBh7hxiACIVP_g
@delphinefleurmanirambona8651
@delphinefleurmanirambona8651 4 жыл бұрын
I ' respect this Country Congrats 🎊 Emirat
@exaveryapplerbroker2501
@exaveryapplerbroker2501 2 жыл бұрын
kzbin.info/door/hontPobEVBh7hxiACIVP_g
@hellenelias2668
@hellenelias2668 4 жыл бұрын
Itakuwa ndiyo hawa waliomtapeli boss wangu hawa billion 1 🙌🏻🙌🏻
@khadijamalifedha4786
@khadijamalifedha4786 4 жыл бұрын
😀😀😀😀jmn muwe makini wanaija wamesomea wizi hata wawe makapuku ila wanawatapeli wadada wawatu jmn😀😀
@danielkiroka6331
@danielkiroka6331 4 жыл бұрын
Kumbe e
@danielkiroka6331
@danielkiroka6331 4 жыл бұрын
Uyu namtafuta na mim anifundisha il niwage umasikin
@Anto_OnYT
@Anto_OnYT 4 жыл бұрын
@@danielkiroka6331 njoo nikufundishe mimi washanifundisha 😂😂😂it's very easy.
@danielkiroka6331
@danielkiroka6331 4 жыл бұрын
Gisele fernandes npe location bg bossss
@Dj_anaetumia_kanda_AloyceG
@Dj_anaetumia_kanda_AloyceG 4 жыл бұрын
Sema wanaija wanabebana sana akipata mchongo mmoja anabeba wenzie wanatoboa pamoja...... Kwenye swala la wizi wa mitandao jamaaa wapo vizuri sana sema wanakosea kuishi maisha ya hanasa .... Waizi wa mitandaoni USA na Ulaya wao wanakua wanaishi maisha ya kawaida sana japo wanamkwanja mlefu sana
@sheilamjune1233
@sheilamjune1233 4 жыл бұрын
Good job police for Dubai 🙏🙏❤❤❤🇦🇪🇦🇪
@leprofesseri3505
@leprofesseri3505 4 жыл бұрын
E bana eeh unasimulia poa sana kaka sky🔥🔥
@KA-yz2ld
@KA-yz2ld 4 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu tuepushie na tamaa kama za fisi
@khadijaomar2723
@khadijaomar2723 4 жыл бұрын
Aamin
@queenslandemile2536
@queenslandemile2536 4 жыл бұрын
Amiin
@rashidzayd7160
@rashidzayd7160 3 жыл бұрын
Aaamin
@jocyjocy3050
@jocyjocy3050 4 жыл бұрын
I repeat again !! Za mwizi never change , it’s 40 guys!!!!
@actionscene4753
@actionscene4753 4 жыл бұрын
Mbona kaiba miaka kibao
@exaveryapplerbroker2501
@exaveryapplerbroker2501 2 жыл бұрын
kzbin.info/door/hontPobEVBh7hxiACIVP_g
@mabyserolouchcraig2431
@mabyserolouchcraig2431 4 жыл бұрын
Your perfect kwa kutuelezea story luv you big sns😚😍
@sarajames9067
@sarajames9067 4 жыл бұрын
Asantee sky huchelewiii good good work
@12322879
@12322879 4 жыл бұрын
Hizi ndo story sio umbea 💪🏿
@wm9669
@wm9669 4 жыл бұрын
Good information. Asante
@justinekamugisha8983
@justinekamugisha8983 4 жыл бұрын
Huyu jamaa ni genius wamtumie vizuri.
@exaveryapplerbroker2501
@exaveryapplerbroker2501 2 жыл бұрын
kzbin.info/door/hontPobEVBh7hxiACIVP_g
@lulendamilu8265
@lulendamilu8265 11 ай бұрын
Mmh
@itNeza
@itNeza 4 жыл бұрын
Jamani Mimi Nabaki na haya Maisha yangu Yachini, Ntayatengeneza pole pole Kihalali.
@marympemba8843
@marympemba8843 4 жыл бұрын
Umesema vizuri mungu ubariki kazi za mikono yetu, hakuna haja ya kupata utajiri wa kuiba kama hivyo. Walitumia majina feke pia wakajulikana, shida tupu
@omanimujsa9756
@omanimujsa9756 4 жыл бұрын
Duuuuuuh
@dannymusictz9442
@dannymusictz9442 4 жыл бұрын
Nice
@jacksonnyange5334
@jacksonnyange5334 4 жыл бұрын
Huna akili wewe
@itNeza
@itNeza 4 жыл бұрын
@@jacksonnyange5334 Wewe mwenye akili sasa. 🙄
@shebywamilazo5142
@shebywamilazo5142 4 жыл бұрын
Yan kaka unajua kuelezea xana broo big up blessed
@actionscene4753
@actionscene4753 4 жыл бұрын
dah jamaa alibugi kujionyesha mitandaoni laiti Kama angelifungua hata kampuni dubai nakuuza petrol na huku anafanya utapeli kimya kimya asingekundulika kirahisi
@rehemashafi4809
@rehemashafi4809 4 жыл бұрын
Duhh watu wataalamu sjui wanaiba vp mtandaoni mhm maisha aya
@semenitheclassic
@semenitheclassic 4 жыл бұрын
😆😆😆
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 4 жыл бұрын
😆😆😆😆
@venstonvedasto
@venstonvedasto 4 жыл бұрын
Ushasikia neno HACK?
@emmanuelzao
@emmanuelzao 4 жыл бұрын
Haha 😆 wewe tumia insta kuuza sura wenzio wana make mawe marefu sana 😂😂
@juliussanane1860
@juliussanane1860 4 жыл бұрын
Wanajeria Achana nao wako vizuri kwenye IT
@khamismasaai5307
@khamismasaai5307 4 жыл бұрын
Wanaijeria huku UAE wanachafua nakuharibu sifa za wa Africa
@salomewandya7257
@salomewandya7257 2 жыл бұрын
Saana
@emilymula645
@emilymula645 4 жыл бұрын
Ati " thank God for...Keep shaming those who don't wish me well" Its said "Do not mock God..."
@jordanfromyt2861
@jordanfromyt2861 4 жыл бұрын
Emily Mula he got wat he asked for 😝
@exaveryapplerbroker2501
@exaveryapplerbroker2501 2 жыл бұрын
kzbin.info/door/hontPobEVBh7hxiACIVP_g
@saumuhassan6365
@saumuhassan6365 4 жыл бұрын
Mmmmh! Mashallah, ila maisha ya dhulma cyo ishu kabisa.
@exaveryapplerbroker2501
@exaveryapplerbroker2501 2 жыл бұрын
kzbin.info/door/hontPobEVBh7hxiACIVP_g
@ordotempliorientis8211
@ordotempliorientis8211 4 жыл бұрын
Nice presentation....thanks
@ashabakari8313
@ashabakari8313 2 жыл бұрын
Awa Nigeria wanaitwa "Yahoo boys" nishidaaah!
@episawaki1281
@episawaki1281 4 жыл бұрын
Wanaume wa kinigeria sishtukiii.....vanesa clock is ticking jamni wanaume wakinigeria siyo watu wakuwaamini kbsaaaa
@mylasadick5189
@mylasadick5189 4 жыл бұрын
Y Vanessa clock Is ticking?
@noelmarapachi1808
@noelmarapachi1808 4 жыл бұрын
Mungu Amshike ili ikitokea kaingizwa mkenge Depression isi mmalize, aweze kui handle na kukubali na kuweza KUANZA UPYA
@rosemarymathew3022
@rosemarymathew3022 4 жыл бұрын
Ok 1
@jacksonnyange5334
@jacksonnyange5334 4 жыл бұрын
Kama umemkabal Jamaa gongalike mwanaume nikujiongeza Bana
@ashanalinga8719
@ashanalinga8719 4 жыл бұрын
Machozi yawatu waliokuwa wanaibiwa kila siku Mungu amewalipia
@salmaathuman9156
@salmaathuman9156 4 жыл бұрын
Jasho la mtu halipotea utatapeli ipo siku mungu atakuumbua tu na utaabika vibaya sana aibu tamaa mbaya sana nwisho wake ndo huo
@chibudonscott5807
@chibudonscott5807 4 жыл бұрын
Wasenge sana hawa jamaa,, 2017 sitasahau walinipiga Million 9. Nilidata kabsa.. Ila namshukuru Mungu now michongo inaenda poa🙏🙏🙏🙏
@shakiraabbas7538
@shakiraabbas7538 4 жыл бұрын
Duuu pole sana hata mimi walishanitapeli ilikia milion 8 hadi akili iliniruka kwakweli ile email ilifatiliwa jamaa mnaigeria hatari sana hawa jamaa
@jaklinifaustini4259
@jaklinifaustini4259 4 жыл бұрын
Polen😳
@edithayouma1528
@edithayouma1528 4 жыл бұрын
Poleni sana ndugu zanguni, siku 40 zimewafikia
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 2 жыл бұрын
@@shakiraabbas7538 duh jaman seriously?! 🥺🥺 Poleni sana mwee
@bakariyusufujuma
@bakariyusufujuma 4 жыл бұрын
Akitoka jela tumchukue aje afundishe kile chuo cha kishimba alichoshauri
@treyvissy9854
@treyvissy9854 4 жыл бұрын
Niliona hii jana Twitter wanageria wanaongelea hii ishu ..
@fauahamisi1097
@fauahamisi1097 4 жыл бұрын
Hatareee Sana Hawa watu
@LeeUfudu
@LeeUfudu 4 жыл бұрын
Hão ndio wapigaji sio wale wanaopiga pesa za visima vya maji vya kijiji kkkkkk
@moudrickyrashid5295
@moudrickyrashid5295 4 жыл бұрын
unahadithia fresh sana yan mpk unataman str isiishe.. kazi nzuri broo
@georgeburchard4872
@georgeburchard4872 4 жыл бұрын
Huyu ameisha!! Na marekani wanamtafuta!! Kwisha kazi!! Ila Kuna watu ni shida aisee!! Daaah! Na story yake naziona movies kabisa!! Ni movie kabisa!! Inasisimua Sana!!
@exaveryapplerbroker2501
@exaveryapplerbroker2501 2 жыл бұрын
kzbin.info/door/hontPobEVBh7hxiACIVP_g
@exaveryapplerbroker2501
@exaveryapplerbroker2501 2 жыл бұрын
kzbin.info/door/hontPobEVBh7hxiACIVP_g
@tamaralyza3280
@tamaralyza3280 4 жыл бұрын
Mzungu anaona mwafrica ni Mtu hatari sana.
@yasiniyamamoto8174
@yasiniyamamoto8174 3 ай бұрын
Hawa ni genius kuliko wote Duniani.
@saidmatola8015
@saidmatola8015 4 жыл бұрын
Hush Puppy ni noma, kabugi kidogo tuu, alitakiwa. Awekeze home, au nchi nyingine Africa inchi ambazo interpool hawapo.......
@desekepi
@desekepi 4 жыл бұрын
Hii channel nailewa sana 💥💥
@miriamngosha6856
@miriamngosha6856 4 жыл бұрын
Si ndiyo kazi anayoifanya Nicole wa amonize anajifanya et anauza mpunga na Michele tapeli mkubwa mfatilien mtapata kitu hishu zake a azifanyia maysia na wanaijeria uko wamejaa kibao wanatapeli matilion Ya watu this is true story bro nimekudokeza chukua hiyo
@nyamkamawanjara29
@nyamkamawanjara29 4 жыл бұрын
Kweli kabisa asee
@nyamakamatiku3392
@nyamakamatiku3392 4 жыл бұрын
Kumbe ni mwizi yule
@kingkiwango1435
@kingkiwango1435 4 жыл бұрын
Afu unakuta eti ile mijitu ya huku ya tuma hela kwe namba hii nayo inajiona miamba!! Huu ndo utapel sasa
@amedeuslyimo2315
@amedeuslyimo2315 4 жыл бұрын
Dahhh duniani kuna watu wanna akili za kipekee kabisa. Ila sijui Kama uyu jamaaa watamuacha hai
@latifajanja2375
@latifajanja2375 4 жыл бұрын
Mungu analipa hapa hap duniani na zamwizi ni 40 karibu U A E ashpapi😃
@ashaally6662
@ashaally6662 4 жыл бұрын
😂😂😂
@Okwirisam254
@Okwirisam254 4 жыл бұрын
😀😀😀😀this guy really enjoyed his life kwani iko nini....
@kilogreekachananawatuwasio4054
@kilogreekachananawatuwasio4054 11 ай бұрын
Bravo kwa story mzuri 👏🇹🇿🇬🇷
@shaabanramadhan6770
@shaabanramadhan6770 4 жыл бұрын
Hyu hawatamfunga watampoteza pasipo julikana kafilisi watu sana hyu watamuuwa
@mussaabobakar7537
@mussaabobakar7537 4 жыл бұрын
Jan ww upo sawa kwel kuliko yule mindo simba ndel yeye daimond tu kwenye tv yake ww unatoa vitu adim sana
@hamisule3878
@hamisule3878 4 жыл бұрын
Sisi tupo huku tunaona unyokaa wa wanaijeria
@mocomoja4229
@mocomoja4229 4 жыл бұрын
Safi kwa taarifa nzuri
@kingcopper_tz
@kingcopper_tz 4 жыл бұрын
Bei yake imechangamka 😁😁 sky unajua sana kuandika simulizi bro
@issaomari5297
@issaomari5297 4 жыл бұрын
Hushpupii kiukwel nimemfuatilia sana nikijua ni mfanyabiashara mkubwa namm nikataman sana kuwa mfanyabiashara kama yy mkubwa lkn kumbe alikuwa akini Inspire kitofauti tu acha maisha yaendelee nilimuomba mungu sana kwakusema mbona mamb yngu hayaend kama wengne like hushpuppi kumbe ni mwizi daaa usitaman maisha ya mtu kiukwel
@zeddysale217
@zeddysale217 4 жыл бұрын
Hongera kwa police wa Dubai
@exaveryapplerbroker2501
@exaveryapplerbroker2501 2 жыл бұрын
kzbin.info/door/hontPobEVBh7hxiACIVP_g
@winfridamwigilwa2107
@winfridamwigilwa2107 4 жыл бұрын
Aksante kwa kuelezea vyema.
@hamzanasry8011
@hamzanasry8011 4 жыл бұрын
Yani wanaijeria sijuwi wanashida gani wizi ,kuuza madawa ya kulevya tabia mbaya mbaya Yani kwao nikawaida
@michelinemapendo6652
@michelinemapendo6652 4 жыл бұрын
Hamza Nasry true
@onlinemovie8580
@onlinemovie8580 4 жыл бұрын
@@naimayusuphu5864 hahahaah
@MtuSafi
@MtuSafi 4 жыл бұрын
@@naimayusuphu5864 ulishayakanyaga nn
@shaabanramadhan6770
@shaabanramadhan6770 4 жыл бұрын
Ndo walivyo nawajua san hao hovyo san
@allahisone6386
@allahisone6386 4 жыл бұрын
@@naimayusuphu5864 😆😆
@tutakusaidiakupatagari8831
@tutakusaidiakupatagari8831 4 жыл бұрын
Nilikuwaga wa kwanza ku-comment kwenye page yake akanitumia laptop aina ya macbook Air, kumbe ni pesa halamu!!!?
@hildageofrey4816
@hildageofrey4816 4 жыл бұрын
Wee kweli
@tutakusaidiakupatagari8831
@tutakusaidiakupatagari8831 4 жыл бұрын
@ASIM MOHD mshenzi😆😆😆😆😆 nani anaweza hilo swala!!!
@mdzainb3722
@mdzainb3722 4 жыл бұрын
Tatizo binaadam tunapenda miteremko sana aya hongera yake ngoja nayaya wamteremkie huko aliko na katika nchi za Africa naijeria inaongoza kwa kutapeli sijui wanajiskiaje nchi yao ikitwajwa kwa uwalifu mara kwa mara na mnaijeria si mtu wa kumuamini sio watu wazuri hongereni sana kwa kazi nzuri hawa wasitoke maisha yao yawe huko huko jela maana wakirudi huku uraiana watarudia tena
@ashaally6662
@ashaally6662 4 жыл бұрын
Huwa Nasikia sana Wanigeria ni tishio nchi za kiarabu kwa wizi kumbe kweli 😂😂😂huwa nasikia mara kwa mara sana na India pia nasikia Wanaigeria wapo wezi wengi
@BigZhumbe
@BigZhumbe 4 жыл бұрын
Sio Uarabuni tu ata Marekani wazungu wanalia.... Wanaijeria wameshindikana kwa wizi
@abubakarymsuluzya2195
@abubakarymsuluzya2195 4 жыл бұрын
Ndo hivo
@aishachambo3293
@aishachambo3293 4 жыл бұрын
Wezi sana wanigeria
@khadijaomar2723
@khadijaomar2723 4 жыл бұрын
Ndio watajua ajui
@benhorta5121
@benhorta5121 4 жыл бұрын
Indian na Nigeria hawa ni scammer balaaa sana
@nailaomar4810
@nailaomar4810 4 жыл бұрын
Weldon dubai police I like this country
@jaklinifaustini4259
@jaklinifaustini4259 4 жыл бұрын
Wanawake wenzangu hata ukipata bwana wa naigeria usikubar akukatie pasport ukifuka huko unambiwa kuuza dawa,za kulevya
@chunaamina8719
@chunaamina8719 4 жыл бұрын
Duh mitiani kweli hii
@nancyfamilysharesmoments7634
@nancyfamilysharesmoments7634 4 жыл бұрын
Nimetoka kumblock sasahivi
@frenkfrancis4151
@frenkfrancis4151 4 жыл бұрын
Noma sana
@azizisaidy8553
@azizisaidy8553 4 жыл бұрын
safi bro
@chainbre275
@chainbre275 4 жыл бұрын
Ndo Maana n'a Sema sns for life Juu mm huyu jamaa nimemufahamia tu hapa sns Nanakumbua ni baada ya Hamisa kumu wish birthday naye kumujimbu thanks love. N'a Chris alitueleza kwamba ni money changer wa hela za abroad n'a kupitia hiyo kazi yake basi amefanikiwa munooo kumbe ziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii hakika siku za mwizi ni 40 days 2🙌🙌🙌
@millardyleonardy7296
@millardyleonardy7296 4 жыл бұрын
Nomaaaah sana
@delphinefleurmanirambona8651
@delphinefleurmanirambona8651 4 жыл бұрын
Congrats Emirat 🤝
@aminaabdallah3644
@aminaabdallah3644 4 жыл бұрын
That how nigeria works is in the blood
@millicentayangokunting3728
@millicentayangokunting3728 4 жыл бұрын
True
@Inno-qz2ec
@Inno-qz2ec 4 жыл бұрын
Nakubali
@kijanahodari2080
@kijanahodari2080 4 жыл бұрын
Fake it until you make it,mutakoma munaopenda hawa wanaija
@aminaabdallah3644
@aminaabdallah3644 4 жыл бұрын
@@kijanahodari2080 😅😅😅
@leahmwakongolo4432
@leahmwakongolo4432 4 жыл бұрын
Wow nice to
@KEVOSHIZO
@KEVOSHIZO 3 жыл бұрын
Ningependa kua na akili zake
@asiajuma8330
@asiajuma8330 4 жыл бұрын
Jamani wanaigeria dubai ni wengi sana kumbe wengine ni matapeli wanaichafua afrika hawa wanaigeria
@maryamahmedkhamis1713
@maryamahmedkhamis1713 4 жыл бұрын
Watasababisha wa Africa warudishwe makwao kwa mambo yao ya wizi
@wiyz_ta_fitness
@wiyz_ta_fitness 4 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@safiaabubakar1120
@safiaabubakar1120 3 жыл бұрын
Mashaa Allah umebobea kwenye habari utangazaji wako mtu hachoki kukusikiliza , Congratulations
@exaveryapplerbroker2501
@exaveryapplerbroker2501 2 жыл бұрын
kzbin.info/door/hontPobEVBh7hxiACIVP_g
@marinamooh4055
@marinamooh4055 4 жыл бұрын
Duhhh 🙄🙆‍♂️
@fafadixit8712
@fafadixit8712 4 жыл бұрын
Huuujamaa ni kichwa.Hata iyi anayoifanya sikazi rahisi sema tu haram.Angetumiya hii akili kwa kutafuta halali labda angefanikiwa pia
@TradersEasyWay
@TradersEasyWay 4 жыл бұрын
thailand pia ina wezi wa mtandaoni.wengi, kuweni makini na biashara za double A paper kutoka Thailand.Watu wameibiwa mpaka basi.
@lilianjeremia1024
@lilianjeremia1024 4 жыл бұрын
Namuonaga uko ista anakubl bata kumbe tapeli🤣🙌🙌 kweli usitamn mali ya mtu mwingine 🙌🙌 yaani utaman mali na maisha ya watu wa insta utakufa maskin 🙌🙌🙌🤣apo kuna watu wanasema ni roll model wake 🤣🤣🤣
@khadijaomar2723
@khadijaomar2723 4 жыл бұрын
Amepatikana
@swalehbakari2667
@swalehbakari2667 4 жыл бұрын
😂😂😂
@jaklinifaustini4259
@jaklinifaustini4259 4 жыл бұрын
Kwel za mwiz 40
@lilianjeremia1024
@lilianjeremia1024 4 жыл бұрын
@@khadijaomar2723 sanaaa
@lilianjeremia1024
@lilianjeremia1024 4 жыл бұрын
@ShutterDe DON 🤣🤣🤣🤣🤣ongera il za mwizi n40
@safanss9729
@safanss9729 4 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁Maana mbavu hadizinauma kwakucheka jamaa hadikatoka kitambi kwamali za zulma'duuuu sio p
@asimaaathumani5739
@asimaaathumani5739 4 жыл бұрын
Safi sana
@salumubakari4709
@salumubakari4709 4 жыл бұрын
yaani wanaijeria na sisi wametuibia vanesa mdee wetu
@mgoledaudi6051
@mgoledaudi6051 4 жыл бұрын
😅😅😅😅😅😅
@amanistarz1234
@amanistarz1234 4 жыл бұрын
Mmmmh noma sana
@pendooscar9322
@pendooscar9322 3 жыл бұрын
Wanaija wanapenda utajili yaan ata kufa wako tayari
@hassanisadiki824
@hassanisadiki824 4 жыл бұрын
Ila ktk hizi nchi za kiarabu wanaigeria, waCameron na wapakistani wanaiba sana pesa kwa njia ya mitandao
@michelinemapendo6652
@michelinemapendo6652 4 жыл бұрын
Daaaaaah 🤔 🔥🔥🔥🔥💣💣💣
@rassimbaengswahili6191
@rassimbaengswahili6191 4 жыл бұрын
Nimewakubali Sns hi Ni muhimu Sana Ahsante
@GamiTVOnline
@GamiTVOnline 4 жыл бұрын
Respect broo
@charlesolomi9514
@charlesolomi9514 4 жыл бұрын
Huyu ana akili nyingi wamtumie kuzuia utapeli wa mitandaoni sio kufungia jela akili kubwa kama hizi..nje unabaki na mazoba 😅
@jecohyudah3623
@jecohyudah3623 4 жыл бұрын
bonge la point👍
@edwardtrigga5701
@edwardtrigga5701 4 жыл бұрын
@@jecohyudah3623 majinga mawili yamekutana yaani na ww unasupport eti bonge la point hivi unaweza kumtumia shetani kufika mbinguni?! Au unafikiri ni yeye pekee yake duniani ndo anajua kutumia computer?!
@andrewyusuph987
@andrewyusuph987 4 жыл бұрын
Akili gan?ujinga huo...kua mwizi ni akili...na waliomkamata vp?hawana akili au?
@magrethbenjamin4969
@magrethbenjamin4969 3 жыл бұрын
Waarab nao viherehere tu kudadeq tulishapat Scofield wa Africa
@francisrichard5033
@francisrichard5033 4 жыл бұрын
Watu wanaokamatwa kwa makosa kama haya hua wanapewa ajira serikalini especially marekani maana ujuzi wao ni wa hali ya juu, kwaio instead ya kufungwa unaenda kutumikia serikali for lifetime
@exaveryapplerbroker2501
@exaveryapplerbroker2501 2 жыл бұрын
kzbin.info/door/hontPobEVBh7hxiACIVP_g
@Kazubassyathyvry89
@Kazubassyathyvry89 4 жыл бұрын
Aiseee ana hakili sanaaaa,apewe kaziii tu huyu.
@exaveryapplerbroker2501
@exaveryapplerbroker2501 2 жыл бұрын
kzbin.info/door/hontPobEVBh7hxiACIVP_g
@siwemasaid2619
@siwemasaid2619 2 жыл бұрын
Natamaniiiii wangekuja na Tnia kutufichulia matapelii wapo wengi na makundi yao 👊🏻
@safiaabubakar1120
@safiaabubakar1120 3 жыл бұрын
Mpaka habari zako na shea na watu wengi hapa UK
@exaveryapplerbroker2501
@exaveryapplerbroker2501 2 жыл бұрын
kzbin.info/door/hontPobEVBh7hxiACIVP_g
@maryamm7765
@maryamm7765 4 жыл бұрын
Duh hatar sana
@travisscott8617
@travisscott8617 2 жыл бұрын
Big up brother
@freddieelice6377
@freddieelice6377 4 жыл бұрын
Thanks SNS
@Juma_Content
@Juma_Content 4 жыл бұрын
jama niatari
@simonsweka7305
@simonsweka7305 4 жыл бұрын
Matapeli wanaumiza San nakumbukaa 2016...bci.tu nilpo day haki Askari wananiambia apo ndo nmemuad ety...dah nkmuombaa mungu...hakunitupa...na tupate kipato halali hicho kinatoxhaa....maish mema wanaokula Chao halali...
@morineakinyi1116
@morineakinyi1116 4 жыл бұрын
Congrats
@zaitunisinamenye1799
@zaitunisinamenye1799 4 жыл бұрын
Aca, wakamatwe walitesa watu kwa kuwaiba mtandaoni, na wako wengi uko Nigeria, ndo kazi zao
@chunaamina8719
@chunaamina8719 4 жыл бұрын
Duh jameni dunia hii
@khadijakhadija6212
@khadijakhadija6212 4 жыл бұрын
Wanaharibu sifa za waafrica daah 😵😵😵
@ashaally6662
@ashaally6662 4 жыл бұрын
Ni kweli washahribu watasema waafrica ni wezi
@abubakarihamissi4178
@abubakarihamissi4178 4 жыл бұрын
Saaaana aise wanaijeria wana tamaa sana na wakishaingia kwenye nchi nyingine lazma waiharibu na wenzao ni wacameroon huku Europe waceroon wamedakwa juzi wanatengeneza euro fake walikuwa wanahonga mpaka €2000 kwa usiku tu mmoja kulala na mwanamke
@imanuelsimon9739
@imanuelsimon9739 4 жыл бұрын
Lakini wanarudisha hela zetu walichukuaga kipindi cha ukoloni
@geoffreymwandwani4490
@geoffreymwandwani4490 4 жыл бұрын
@@imanuelsimon9739 😂😂lol
@ndegejr4218
@ndegejr4218 4 жыл бұрын
@@imanuelsimon9739 😆😆😆😆
Hushpuppi: The Fake Nigerian Billionaire
8:09
TheRichest
Рет қаралды 1,8 МЛН
Alat Seru Penolong untuk Mimpi Indah Bayi!
00:31
Let's GLOW! Indonesian
Рет қаралды 14 МЛН
터키아이스크림🇹🇷🍦Turkish ice cream #funny #shorts
00:26
Byungari 병아리언니
Рет қаралды 29 МЛН
Sigma Girl Past #funny #sigma #viral
00:20
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 31 МЛН
THEY made a RAINBOW M&M 🤩😳 LeoNata family #shorts
00:49
LeoNata Family
Рет қаралды 18 МЛН
GUANTANAMO BAY: Ukweli kuhusu GEREZA hili la WAMAREKANI huko CUBA unatisha
15:48
Offering People $100,000 To Quit Their Job
10:27
MrBeast
Рет қаралды 146 МЛН
Alat Seru Penolong untuk Mimpi Indah Bayi!
00:31
Let's GLOW! Indonesian
Рет қаралды 14 МЛН