Familia ya Denzel Omondi Onyango inalilia haki

  Рет қаралды 13,548

Citizen TV Kenya

Citizen TV Kenya

Күн бұрын

Familia ya Denzel Omondi Onyango ingali imeshikilia msimamo kuwa mtoto wao aliuawa. Mwili wa mwanafunzi huo chuo kikuu ulipatikana umetupwa kwenye kidimbwi huko juja wiki moja baada ya kutoweka. Kijana huyo alikuwa miongoni mwa wale walioingia kwenye majengo ya bunge wakati wa maandamano.

Пікірлер: 18
@ExcitedMp3Player-ut2dk
@ExcitedMp3Player-ut2dk 3 ай бұрын
Woiyee m really sorry for the demise of your first born son Denzel, my condolences, my school mate, you were there for me when my mother died, May God comfort n give u strength from above
@liliannyambane513
@liliannyambane513 3 ай бұрын
Mungu uliye wa haki watendee hawa wazazi 🙏
@carolineOuru-oi9nc
@carolineOuru-oi9nc 3 ай бұрын
Its heartbreaking.i can say it loud that this dead was planned.hamuwezi tuulia watoto mkimaliza,hii serikali inatumaliza aki😭😭😭
@anitamusyoka
@anitamusyoka 3 ай бұрын
Ruto atajua mungu sio binadamu
@QuenterOkiri
@QuenterOkiri 3 ай бұрын
Mi nashangaa number sirokali ndio shakaola. Mungu fariji his familia haki😢😢😢
@rademaadema7595
@rademaadema7595 3 ай бұрын
What a heinous act to such a young boy did it have to end up this way? God have mercy upon our beloved children. My heart goes out to the parents may justice prevail for them
@rahmasalim5252
@rahmasalim5252 3 ай бұрын
😢😢😢😢😢
@3erffeoui86
@3erffeoui86 3 ай бұрын
orders za toka juu alisema ana bloods on his hands kuna watu watajua mungu ni nani
@phoebetaylor7911
@phoebetaylor7911 3 ай бұрын
This is very sad😢
@DivineVelvet
@DivineVelvet 3 ай бұрын
It is alleged that he was killed and his body was disposed of in a way to make it appear as if he had drowned. There are claims that someone witnessed him still breathing when he was dumped there, but it is unclear how they obtained this information. It is possible that the person spreading this information is a habitual liar who repeats falsehoods until they believe them themselves. The call for justice for Danzel is a plea for accountability. The perpetrators took his life because they were unable to extract any information from him, and because he was an intelligent young man. It is important to remember that those who engage in violent actions will eventually suffer the consequences. The work they do will come to an end, and they will live with torment for the rest of their lives, particularly those responsible for the death of a young person from the Generation Z. The saying "he that lives by the sword dies by the sword" suggests that those who resort to violence are likely to meet a similar fate.
@lenah449
@lenah449 3 ай бұрын
RIP ❤🙏
@Watt-er8or
@Watt-er8or 3 ай бұрын
Sorry to the family,, but his friends should be known.. Invading parliament is not a game,, someone bigger might be behind this
@Travelwithfred
@Travelwithfred 3 ай бұрын
Ruto God isn't asleep. You hold alot of blood on ya hands
@cabasidle1876
@cabasidle1876 3 ай бұрын
Mnasema babake ni james otieno na yy anaitwa denzen omondi onyango how ? Sijafaham...
@anitamusyoka
@anitamusyoka 3 ай бұрын
Hayakuhusu justice to this kid
@DivineVelvet
@DivineVelvet 3 ай бұрын
That is irrelevant. Don’t think his parents would show up if they weren’t his parents. Bona mna mawazo mbali mbali? 😂😂😂
@AnkoLolo-mv5bk
@AnkoLolo-mv5bk 3 ай бұрын
Nilijuwa kuwa mnachokora sewage na hamtaweza harufu itakayo tokea
@roselynekwamboka6869
@roselynekwamboka6869 3 ай бұрын
Furahi sasa kama hiyo itakupa furaha but jua mungu sio binadamu na kila mtu na siri itakuja julikana and very soon
Senators react after Impeaching Deputy President Rigathi Gachagua
8:38
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 161 М.
Jicho Pevu yaangazia saa kumi na mbili za mwisho za mwendazake Jacob Juma
36:26
DID A VAMPIRE BECOME A DOG FOR A HUMAN? 😳😳😳
00:56
She's very CREATIVE💡💦 #camping #survival #bushcraft #outdoors #lifehack
00:26
Help Me Celebrate! 😍🙏
00:35
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 85 МЛН
When Royal Guards Fight Back!
8:08
Fighting Spirit
Рет қаралды 7 МЛН
WAA SIDEE XAMMAR WAYNE
28:10
X HARGEISA
Рет қаралды 51 М.
Makali Ya Gen Z: Kizazi cha Gen Z chasimama kidete na kuikosoa serikali
29:11
Imebainika kuwa Samuel Mutisya mkazi wa Kibra alipigwa risasi
5:29
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 31 М.
Familia Isiolo zataka kujua vijana 5 waliotekwa nyara waliko
3:16
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 6 М.