Рет қаралды 25,260
Mwananchi Digital imefika msibani nyumbani kwa wazazi wa Dereva Bodaboda aliyefahamika kwa jina la Dominick Kigula ambaye yeye pamoja na mpenzi wake aliyefahamika kwa jina la Ester Shiago wameuwawa eneo la Makulu jijini Dodoma na kuzungumza na ndugu ambao walikuwa na haya ya kusema.