Pole Mzee Gibuyi na familia yako. Mungu ni mwema nina Imani Kijana wako Samweli atapatikana.
@joycelaurence79892 жыл бұрын
Daah huzuni kwa kweli...poleni familia....mungu amsaidie apatikane arud nyumbani salama
@novathmsanyamsanya77022 жыл бұрын
Huyu mzee ni intelligence
@neemayatosha16182 жыл бұрын
Mzee Gibuyi,That is Tanzania for you. Piga magoti mshukuru Mungu,Tanzania kwny haya mawizara siku hizi kuuana imekua ni hali ya kawaida. Wengi ndugu zao wameuawa tena na watu tu wachache kwenye departments lakini watachunguzana vipi na ni wenyewe? Hapo mtu ameuawa kwa interest za watu wachache kupoteza ushahidi wa jambo. Kisasi si juu yetu bali ni juu ya Mungu.
@rithersospeterkati23032 жыл бұрын
Pole baba YUPO hai Mungu hamlinde na atamrudisha mikononi mwako baba na mikononi mwa Watanzania. Amen.
@mariamnimbo83942 жыл бұрын
Pole mzee pamoja na familia nzima. Mungu Nwenyenzi awafariji kwa kweli.
@زيتونتنزانيا2 жыл бұрын
Au wamemteka
@fridadekim46892 жыл бұрын
Poleni sana kwa ndugu na familiar kwa ujumla inauma sana jaman muombeeni arudi salama shemeji yangu jaman
@florencebudoya38142 жыл бұрын
Inasikitisha. Mungu afanyike kuwa faraja kwa familia hii.
@margaretwambete12282 жыл бұрын
Mama Maria wa Huruma hurumia huyu mtumishi wako.Mamlaka ime melt down kabisa.
@lilianluhasi50532 жыл бұрын
Pole sana baba na familia, ila Mimi naona mngeungana na yule nabii wa ishara kumwombea angeweza kupatikana katika jina la Yesu Kristo maana kwa Mungu hakuna lidilowezekana, poleni sana kwa hilo wapendwa wetu
@gwalughanomerryrose49132 жыл бұрын
Thanks The Chanzo for covering this
@fruitfulmpanduji24942 жыл бұрын
Baba njoo bukumbi misheni mwanza upate ufafanuzi wa Jambo lako au weka no.zako mtandao I.tunashindwa tutakupataje upate ufumbuzi.kiungu zaidi ya kibina adamu. Weka mawasiliano yako mtandaoni pls au no ya kijana yako.plss ushuhudie ukuu wa MUNGU
@eddimwamba42082 жыл бұрын
Mungu awape subra🙏🙏🙏😭
@charlesmuushi.13042 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu awe faraja ya kweli kwenu,poleni sana
@virejiangingo2882 жыл бұрын
Pole sana Babaangu
@vickyshayo78802 жыл бұрын
Mungu akupiganie uwe na Imani hiyohiyo atakuwepo tu Mungu ni mwema sana atakupigania kijana wako apatikane
@ashurahaji91152 жыл бұрын
Poleni sana familia mungu ni mwema ataonekana muwe na subra
@zariadunia63282 жыл бұрын
We baba Shakur mungu tu hiyo mbuga ya sealou ni mtihani mwachie mungu tu
@rebekakalondji25762 жыл бұрын
Pole sana.Mungu azidi kuwatia nguvu.
@happykajeli54532 жыл бұрын
Pole mzee Mungu ni mwema tumuombee arudi salama
@rahmamwaliko11592 жыл бұрын
Poleni familia mungu ndie anaejua yote ila Kama ni hujuma aliyefanya hivyo atahukumiwa
@catherinejaphet36782 жыл бұрын
Tumuombee huyu Baba ana maumivu makali sanaa
@zuhuramuhanga54002 жыл бұрын
Hebu waende huko kunako semekana kuna mateka wa baba godi anaejiita mungu huko mwanza huenda watamkuta huko mtafuteni yule mama aliye hojiwa na damasta
@janet77402 жыл бұрын
Lo dunia kumbe ina mambo
@simongwandu73922 жыл бұрын
Babu ndege ilinunuliwa kutoka nchi gani wao wanaweza kufahamu
@magynzioka11222 жыл бұрын
Hizi zote muhusika ni boa WA kijana die mwenye Binu zote za ukorofi wivu WA kikazi MUME wagu aliuliwa na Bo's wake kikatili sababu ya wivu WA kanzi tuu
@witneskihega89712 жыл бұрын
Poleni sana wanafamilia, inasikitisha kwa kweli.
@claudiajames20032 жыл бұрын
Nimependa baba ulivyo na Imani kuwa bado Yu Hai mwanao
Babu muombe mungu mtoto wako yupo kabisa tena yupo hai lkn yupo ktk giza nene anataman akuite ili ukamtoe lkn anashindwa.But don't worry ipo siku atarudi utamuona mwanao
@judithmakuto36122 жыл бұрын
Waende me A pastor Ezekiel Mombasa ,Mtwapa kimono cha Majaoni,New life church
@neemaruben54272 жыл бұрын
Poleee baba
@dotnatajoseph26202 жыл бұрын
Kwa muonekano huu hili shilika halipo makin pole Sana mzee mungu awatie nguv
@emanuelandedela27712 жыл бұрын
Nimepigwa na butwaa. Ni nani wakumlilia haya!! Wala haijulikani pole sana familia inauma sana sana
@nazahedshafuri13102 жыл бұрын
So sad, Mungu awatetee
@asha.mwambamwamba17742 жыл бұрын
Jamanii serijali iwasaidie kwa asilimi miaa
@faridaaloyce76722 жыл бұрын
Inahuzunisha...Kuna namna hapo Ila ulimwengu huu Ni balaa,BWANA onekana kwa familia hii
@najmaulaya88192 жыл бұрын
Pole ni sana 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@joycebenedict95972 жыл бұрын
Pole sana baba na familia nzima
@saliminasalim37512 жыл бұрын
Pole sana baba jipe moyo tuzidi kumuombea aweze kurudi kwa uwezo wake Allah. Watumie ( FBI ) tu watajua undani wake tu
@blackbeauty5792 жыл бұрын
Dah pole sana Mzee na familia yote
@annamwakibinga5272 жыл бұрын
Serikali msaidieni huyu baba jamani inatisha sana. Hiivi kirahisi tuu eti imefunga utafutaji hivi kweli? Dah unasomesha kwa shida matokeo ni haya loh
@demycratia25672 жыл бұрын
Nchi za jirani zisaidie KUPITIA SEREKALI YETU KUPITIA INTERNATIONAL RELATION
@magynzioka11222 жыл бұрын
Mpaka wapinge ripot Mimi natatizika sababu dege. Ilipotea Taiga majirani yote ufahamishwa na upata usaidizi Kwa umoja WA Haga lakini Tanzania awajafaya hivio
@antonnadenade45972 жыл бұрын
Pole mzee
@jacquelinemwakasala95632 жыл бұрын
Poleni sana
@gorethmaongezi34792 жыл бұрын
Inahuzunisha sana
@upendoeliya93292 жыл бұрын
Hicho kifaa "spider Cord' mzee inaonesha nicha muhimu sn kwenye ndege!! Kwann waliruhusu ndege iruke bila kifaa hicho?? Maana nafikiri ndege hukaguliwa kabla ya kuanza Safari!!
@magynzioka11222 жыл бұрын
Kupoteza Kwa dege na dereva ni ushirikiano WA madui WA mwanao na uwuzi WA kuiba dege wazi uwalifu ulitokea Kwa office Yao watumishi na wakurugezi kuna m moja wao anacheza mchezo mbaya
@blancajohn23002 жыл бұрын
Maneno Yako sawa wamemuuwa wakachukuwa ndege subwanalah
@rosehaule2202 жыл бұрын
Naumia mpaka nahisi kifo uwiiii
@rosemarymunyi50352 жыл бұрын
Am sorry too early to tell praying for you and family 👪 🙏
@kadijahajali39182 жыл бұрын
Mtihani kwa kweli
@thumnathumna59462 жыл бұрын
Apo kuna husda imefanyika.Mungu atende miujiza amlinde poppte alipo.Ataonekana.. Kubwa kwa binadamu kwa Mungu ni dogo..
@heyumi23402 жыл бұрын
naam
@maulidmtowi39372 жыл бұрын
𝚆𝚊𝚑𝚞𝚜𝚒𝚔𝚊 𝚑𝚊𝚠𝚊𝚗𝚊 𝚑𝚊𝚋𝚊𝚛𝚒 𝚠𝚊𝚘 𝚠𝚊𝚗𝚊𝚓𝚞𝚕𝚊 𝚝𝚘𝚣𝚘 𝚣𝚎𝚝𝚞
@زيتونتنزانيا2 жыл бұрын
Sio ya serikali nishilika binasfi
@estakapufi75822 жыл бұрын
Apo kunakitu haiwezekani ndege ndogo ipotee isionekane mpaka leo, na hata kama ingeanguka lazima ingewqka moto licha ya ivyo tuseme imepaa mpaka wapi hata ingeenda nchi jilani ingeonekana hata kama ingeangakuka kuna kitu hapo bana kusipotumika nguvu ndio imetoka
@chikuabdallah99502 жыл бұрын
Mwiten majina yake yote kwajina LA yesu kwaiman atakuja mungu anaweza neenden kwenye makanisa ya kiroho
@margarethalyimo54752 жыл бұрын
Ni yule aliyepotea Selous?
@evasakala81812 жыл бұрын
So sad aiseee full huzuni hata likizo naona chungu but why brother 😭😭😭😭😭😭🙌
@beatricesabbas79432 жыл бұрын
Pole jamani
@najmaulaya88192 жыл бұрын
Pole kipenzi
@fatmaalnabhani36092 жыл бұрын
Haya ni maajabu makubwa
@margaretwambete12282 жыл бұрын
Pole baba
@margarethalyimo54752 жыл бұрын
Akili hainipi iweje yy ni rubani anajua bila hicho kifaa angejihatarishia maisha yake halafu akiache?
@noahlarapho34112 жыл бұрын
Mmmh huzuni
@blancajohn23002 жыл бұрын
Baba uyo mkuu wa wilaya ndo hao hao ndomana wanazalau walisha liloga swala lipuuzwe baba nenda kwa rais samia haraka
@thepowerofsilentsoul21352 жыл бұрын
Kazi YA computer Ni nn,,,Kenya kumbe tuko mbele Sana,,, lazima watu wenye nafanya embassy waseme ako wapi,
@josephsokhia2 жыл бұрын
samwel nikuwa nae pamoja tumesoma nae shule moja daaah!
@fruitfulmpanduji24942 жыл бұрын
Mzee nakuomba utupe namba zako .ili Kwa wale wenye maono ya ufunuo ,tupeane taarifa .zaidi Mimi natamani kupata no.zako ..ili cha taarifa yoyote itakayo tokea tukupate. .. Mimi Niko Mwanza .
@neemayatosha16182 жыл бұрын
Unamaanisha nini?
@samiahmlimanzila64062 жыл бұрын
Ukiikosa namba yake nenda magu mtaa unaitwa isandura maeneo ya barabara ya ngudu ulizia kwa mwalim gibuyi utafika mi ningekupa no Ila ninazo za mkewake
@fruitfulmpanduji24942 жыл бұрын
Hicho kifaa hakizimikagi ,na siku site kinaweza kupotelea majini na BADO wa nakipata.
@Veni5842 жыл бұрын
Mh! Iko namna
@taharayassin65282 жыл бұрын
💔😢😢😢
@blancajohn23002 жыл бұрын
Baba mwanao hapa anapofanya kazi wenzie ndo walilifanya ilo tukio wangekamatwe wote wawekwe ndani watasema wamemuuwa uyo mtoto na ndege haijaluka Wala nini wamefeki waseme kapotelea hewani na kifaa lazima wakifiche ila damu ya mtu haiendi bule wataumbuka mmoja Bada mmoja angekuwepo makufuli wangesha julikana
@ashurakumbilwa58382 жыл бұрын
Daah inahuzunishaa jaman
@mwantimazdombo60492 жыл бұрын
Mnafanya mazishi bila mareemu akika MUNGU adhiilishe kijana yupo wapi
@rosehaule2202 жыл бұрын
Watoto wetu wanadoma badae wanapotea uwiiii uwiiiii😭😭
ANGALIA ANAVYO JIKUNA KICHWA UONGO MTUPU MSHAPIGA MIALA WIZI UONGO TU MBINU za kupiga pessa
@henryjohn47812 жыл бұрын
Acha Mawazo finyu angekuwa Mtoto wako ungeongea hayo
@happynesbaemuhappynes88132 жыл бұрын
Hujawahi kupotelewa na mtu wako wa karibu ndo maana wasema hivyo
@henryjohn47812 жыл бұрын
@@happynesbaemuhappynes8813 Umenena
@margaretwambete12282 жыл бұрын
Kumbafu king.baba moaning his son.
@blancajohn23002 жыл бұрын
Msenge sana wewe mtu apotelewe na mwanaye Kisha awe mwizi kivipi Kuma nini wewe au wewe ndo mmoja wao mliye mteka mtoto wa watu pumbavu mmoja wewe mkundu wa baba Yako mzazi na mama Yako mzazi nenda ukafilane na baba Yako @King Buddah