Fanya haya kwa bibi kuendelee kuwa mdogo,usiachike.

  Рет қаралды 201,935

The XO

The XO

4 жыл бұрын

Пікірлер: 189
@cessianthony2644
@cessianthony2644 4 жыл бұрын
Tulioanza kuscroll comments kabla ya kuangalia video tujuenae
@xkingx8041
@xkingx8041 4 жыл бұрын
Nime umbwa mwanamke!! Kuzaa ni baraak za mwenyezi Mungu!!! Ivi hivi nilivyo ,, najipenda na najiaami saaaaaaaaaana. Wanawake tuachane na mambo ya dunia.
@latifalatifa7171
@latifalatifa7171 4 жыл бұрын
Waache wahalibikiwe na kansahao
@happymahega2000
@happymahega2000 4 жыл бұрын
Nampenda huyu dokta jaman his personality, so humble, down to earth , barikiwa sana dokta Isaack
@rehemaathuman6669
@rehemaathuman6669 2 жыл бұрын
Mwanamke anaeangaika kwa na vitu vya ajabu masikini ili mladi tuu amfuraishe mwanaume amuone Bora alafu mwisho siku Wala sio wako uyo ataenda kwa mtu ambae ata ahangaiki ,,anaejikunali ,,na kujiamini ,,,,,,duuu inatia uluma ila mungu azidi kutupigania VIUMBE vyake tunaohangaika na maisha ya kupendwa na kujipendekeza ,,,mwisho siku safari ni moja tuu
@annakattoa7502
@annakattoa7502 4 жыл бұрын
Shetani yuko kazini, mpaka Mungu akaruhusu mwanamke kuzaaa alijua nn anafanya, Ila sbb tunamiungu yetu vichwani tunaugua vichaa vya kumtumikia mwanadamu lazima tutalipa garama. tunaugua vichaaa vya ngono kuhangaika kumridhisha mwanaume ambae hata kwenye umri wa miaka 20 alikuwa anakucheat bila sbb hio, PROBLEM NIKWAMBA WANAWAKE TUNA INFERIORITY. love yoself jiamini, kula healthy fanya maxoezi natural period
@thexoshowtira
@thexoshowtira 4 жыл бұрын
Uko sahihi kabisa
@catenzeki678
@catenzeki678 4 жыл бұрын
@Anna kattoa kweli kbisa.Siri ipo katika kujipenda na kujijali ila sio kufanya kitu kikudhuru kisa unataka umfurahishe mumeo
@annakattoa7502
@annakattoa7502 4 жыл бұрын
Wanawake ni jeshi kubwa ndio maana Dunia ipo busy kuhakikisha vita ya wenye kwa wenyewe haiishi, unatengenezewa kichaa ili ujiue mwenyewe kwisha positivity ije kwenye artificial na negative kwenye reality. Kwamba Mwanamke anaetakiwa kujiamini niyule ambae mwanadamu kafanikisha kumuunda tena kwa sayansi hahahahaha Devil is busy
@rosesamwelitenga4648
@rosesamwelitenga4648 4 жыл бұрын
Asante kwa ushauri ...sitafanya upuuz kujiwekea makolokolo katk nyuchi yangu
@liliansikazwe7444
@liliansikazwe7444 4 жыл бұрын
mm mwenyew mazoez yamenisaidia sana nipo tight na nina watoto wawili na mme wang ananishangaa......kuhus wanaum hata akioa bikra bado atachepuka tu....
@marymwacha995
@marymwacha995 3 жыл бұрын
Dr. Isack huwa uko vzr kaka, nakuelewa kupitia njia Panda you're good Dr kaka,God bless you. Hafu hao wanawake wanaoangaika kuwa na maku ndogo ktk uhalisia haiwezekani. Tofuti na hapo basis wasizae au wakae ivoivo bila kuzaa au kukutana na mwanaume kama kweli, maana hawezekani umeshakuwa MTU mzima hutaki kubaliana na matokeo unataka kujirudisha utotoni kwanini usiukubali uhalisia? Eti maku ndogo basi usizae na uitunze K yako bila kutanana na mwanaume ili uendelee kuwa nayo ndogo. Na ndio maana mnapata Fungal infections, PID, cervical cancer etc.
@catenzeki678
@catenzeki678 4 жыл бұрын
Nmependa ushauri wa Dr kwamba kitu chochote ambacho hakijafanyiwa utafiti kwa maabara lazima kiwe na madhara.Tahadhari kwetu kina wanawake
@maryamkhatau9445
@maryamkhatau9445 4 жыл бұрын
Maumbile ya mwanamke kadri anavyokuwa ndivyo kunavyozidi kutanuka kikubwa tukubali maumbile na asili yetu tuloumbwa nayo Allah atuongoze
@zamamuuhamisi6654
@zamamuuhamisi6654 4 жыл бұрын
Wooh nmefurahi kukuona Dr issac nkusikiaga tu kwenye njia panda penda sana ww
@junaithammahad3844
@junaithammahad3844 3 жыл бұрын
Niliwahi tumia iyo shabu once. Uke ulikuwa mdogo but unakuwa uke kama unaukakasi yani akuna raha yyt. Na baada ya mda unahisi muwasho flan. Kiukwel sishauri mtu atumie ni mbaya sana nashukuru mungu nilijitambua kwanzia apo nikaona ni upumbavu sikurudia tena. Kiukwel ni vizur sana kujikubali
@user-us6ze8bz3u
@user-us6ze8bz3u Жыл бұрын
Ni kweli kbsaa dada..baadae unapofanya makamuzi Na wako WA halali duuuh inakua taabu balaa..hio kitu Ina speed Kali ya kukausha umbile la kike..pia nahisi kama Ina madhara flani HV.
@jenniferkalinga736
@jenniferkalinga736 Жыл бұрын
Nimesoma comment zote ila yako imenifurahisha 🤣nimekumbuka rafiki yang ashawahi kutumia shabu
@ramadhanimfaume2168
@ramadhanimfaume2168 7 ай бұрын
Emungu tuepusha wanasema hat kokwa za embe likely ndan unaanik likikauka unasag ungaunga wak unaweka kwenye maj ya uvuguvug kisha unamaw kutwa mal tatu kijik cha chakul jamn
@balangdalaluamb6540
@balangdalaluamb6540 4 жыл бұрын
Sintohainga na chchote ntabak na uhalisia wangu Mungu alikuwa na sbbu na ndo maana alituumba kwa kusud maalum
@hopelikaka71
@hopelikaka71 9 ай бұрын
Mbona unanyoa nywele kwapani na sehemu za Siri usimuache mungi
@hasnaabduly4945
@hasnaabduly4945 4 жыл бұрын
Dr anaonekana mpole jamanii😍😍😍😍
@officialcarolyne2985
@officialcarolyne2985 4 жыл бұрын
Mmmm 🤔 huyu Dr, amesoma wacha tuuuu
@pendomgeni6084
@pendomgeni6084 4 жыл бұрын
Asante sana doctor pamoja na dada tira
@mariamm2724
@mariamm2724 3 жыл бұрын
Mimi huwa siamin kbs hbr za eti ukijifungua njia huwa regevu ni uwongo ulienda shule , mungu muachen aitwe mungu , kwa uumbaji alio mjaalia mwanamke, amin hata uzae mala 5 , yaan wewe upo fiti tu .
@aminakipande5645
@aminakipande5645 3 жыл бұрын
Kabisa mamii kuhangaikia hawa viumbe nikujishosha nakumkufuru mungu tu
@sarahyuzo5947
@sarahyuzo5947 2 жыл бұрын
Asanteee😘
@vailethywalter5674
@vailethywalter5674 4 жыл бұрын
ahasante dr.
@angelsis6508
@angelsis6508 4 жыл бұрын
Dr Issac mzuri jamani
@lukullikiwamba6494
@lukullikiwamba6494 3 жыл бұрын
Chakula na usafi Ndio kitu muhimu zaidi.... ayo mambo mengine ninhatari sana
@user-hy9pp5rp9i
@user-hy9pp5rp9i 16 күн бұрын
Ni kweli😂
@desirenkuba4920
@desirenkuba4920 4 жыл бұрын
Yes, it's psychological. Watu wote ni tofauti. Ila wadada acheni panics. In general, wanawake wembamba ni wapana na deep kuzidi wale wanene. Ila problem is more psychologically.
@liannsambu7264
@liannsambu7264 3 ай бұрын
DU NAMSHUKURU MUNGU KWA JINSI ALIVYONIUMBAAA ,SHOUT OUT TO MY LORD 🎉🎉
@julkakbar2290
@julkakbar2290 4 жыл бұрын
nakupenda tira,,,, ila wnaume zetu hawa hua wanamaneno makali na mneno yenye kumktisha mwanmke tamaa kikubwa ni kusimama na mungu kwani wtt ambao unajifungua Leo ndio ambao watako hangaika na wewe baadae ila mwnume sio mwnao, kwahyo kikubwa ni kusimama na mungu tu tusipoangalia wanawake wengi tutaumia na kuzidi umia
@gloryandrew8526
@gloryandrew8526 4 жыл бұрын
Asante kwa somo
@nadiaahishakiye8170
@nadiaahishakiye8170 Жыл бұрын
Dr isaak ast 🙏kwafunz.Allah akulip kilalaher 🤲,nilikua nimekat tam kuhus ukee kutanuk wakat yakuza nyum yakuz huw unatanuka😔il ww umewez kunifafanulia vizur😊🙏
@maivoneivone5417
@maivoneivone5417 4 жыл бұрын
Ila kama mme wako anakupenda hatojali hayo ila kwa sababu ni kizazi cha zinaa ndiyomaana mnaweka mpaka viungo vya mboga , mashabu ni hatari kama ipo ipo tu
@jenniferkalinga736
@jenniferkalinga736 Жыл бұрын
🤣waunga uke
@subiraomar4771
@subiraomar4771 4 жыл бұрын
Asanteni sana kwa darasa
@alh2875
@alh2875 4 жыл бұрын
Kwel dkt upo vzr mm nimezaa watto watatu nasitumii kitu ila niko vzr
@magrethshakinenge5024
@magrethshakinenge5024 4 жыл бұрын
Ttz wanawake wanahangaika sana
@radhiambwana8787
@radhiambwana8787 3 жыл бұрын
@@magrethshakinenge5024 wanatafuta matatizo kwalzm ujuwe ukita kuwa namaumbile mazr nikazi ndogo tu lkn hawajui kwavile wameweka uzungu mbele.
@marysdiosa8764
@marysdiosa8764 3 жыл бұрын
@@radhiambwana8787 nieleweshe my dear
@malikihassani1185
@malikihassani1185 3 жыл бұрын
@@radhiambwana8787 tueleweshe
@allykafirihittu9261
@allykafirihittu9261 2 жыл бұрын
@@radhiambwana8787 inakuwaje
@rosentikha1572
@rosentikha1572 Жыл бұрын
Nimeipenda hii..je vipi kuusu mazoezi ya kegle
@aishasaid5702
@aishasaid5702 4 жыл бұрын
Nyinyi wanaume ndo mnapelekea wanawake kufanya hayo mnatuacha mwanamke akizaa tuu mnamuona hana thamani mnasema kashatanuka
@thadeojohn7074
@thadeojohn7074 4 жыл бұрын
Duuh so Amna akili Kama ndo ivyo
@user-tw7xc7tc1s
@user-tw7xc7tc1s 3 ай бұрын
Nakupenda sana doctor aizack
@aminahasan3564
@aminahasan3564 4 жыл бұрын
Mmmmmm!!!!? wenyewe tutaita service, ujinga mtupu
@cindymacho5282
@cindymacho5282 4 жыл бұрын
wanawake wafunga hilizi na mafundo ya kiganga na uchawi na kuwakabidhi mabinti zenu kwa mashetani jehanamu inawasubiri. Pia wanawake wasio na utii na nidhamu ya kumuogopa Mungu
@dorischarwe8025
@dorischarwe8025 4 жыл бұрын
Wanaume watatuua
@rithamsacky4655
@rithamsacky4655 4 жыл бұрын
Jaman wanawake tunahaingaika kwa kila kitu sio nywele sio rangi mungu tusaidiee.....
@csato9415
@csato9415 4 жыл бұрын
@Ritha Msacky ni shida kubwa sana kutojikubali tunabadili nywele, rangi, kucha , kope na hii kubwa kuliko eti utumie shabu (Alum) kubana uke ni kujitafutia kansa siku zijazo.
@catenzeki678
@catenzeki678 4 жыл бұрын
@C Sato kweli kbisa.Sasa uangalie utumie kitu umfurahishe mume wako cku chache lkni baadae upate ugonjwa ata ufe umuache mumeo
@mythamaleektv2801
@mythamaleektv2801 4 жыл бұрын
Yaani tunajiua kufurahisha wanaume
@mariaamuri9627
@mariaamuri9627 4 жыл бұрын
Atusamehe
@samuelpamelo7128
@samuelpamelo7128 4 жыл бұрын
Acha ivo ivo nayo maji na ute ute ku mlimaji mzuri ni vyashara
@rosehaule220
@rosehaule220 4 жыл бұрын
Jiamini.mwanamke hayo ni.matusi tu ya wqnaume hili.kukukosesha amani lakini tusi lake lisikuathini ukajiona una kasoro akunaga
@julkakbar2290
@julkakbar2290 4 жыл бұрын
kweli kbsa wanaume hua wanmaneno mbaya sana
@saidamiraji4077
@saidamiraji4077 Жыл бұрын
We umesha zaa na unafaham fika kua ukisha zaa maumbile yanabadilika ss unatumiaje vit vya ajab uyu mwanaume Kam atatak kukuach et kwa sabb ya uke mpan mwach aenda tu atabadilisha wanawak mpaka
@user-ys8dv3rk9l
@user-ys8dv3rk9l 5 ай бұрын
kuna watu wanatumia mpka alovera nimecheka sana 😂😂
@upendodaudi5302
@upendodaudi5302 3 ай бұрын
Ila wanaume bwana...wengine.wanapenda kubwa aa wengine ndogoooo😅😅😅
@MilembeZacharia-mb6jy
@MilembeZacharia-mb6jy 7 ай бұрын
Asante kwa somo zuri
@khdijaahmed8458
@khdijaahmed8458 4 жыл бұрын
Kaka upo vzuri san hongera san bor ❤❤❤🔥👌
@deboraelias1862
@deboraelias1862 4 жыл бұрын
kweli docta uko vizuri sana kwenye majibu kama hiyo shabu
@vaidoto9683
@vaidoto9683 4 жыл бұрын
Khdija Ahmed ummependeza
@annakattoa7502
@annakattoa7502 4 жыл бұрын
Wanawake tunaangamia kwakukosa maarifa, now unazaa kwa uchungu na bado tunaomba visu vije kuchonga sehemu zetu ili tuwafurahishe wanaume 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Eehh Munguuu tuokoe ile laana uliotupa ukasema “ NATAMAA YENU ITAKUWA JUU YA MWANAUME NA ATAKUTAWALA “ inafanya kazi.
@christinarobert8535
@christinarobert8535 4 жыл бұрын
Naomba kujua mistar mpenzi Hahaha
@annakattoa7502
@annakattoa7502 4 жыл бұрын
Naomba niutafute sikupata muda upo kwenye mwanzo Mungu alipooanza kutoa laana kwa Adam na hawa subiri ntakupa soon
@kombab1112
@kombab1112 4 жыл бұрын
Wanawake sijui tunakwama wapi haki, tuliumbwa waerevu kuliko kiumbe chochote duniani lakini tunaacha viumbe hivyo dhaifu kuliko sisi wanatuendesha.... Kama anaenda eti uke umeongezeka huyo mwanamume hajitambui muache aende usijitese
@erastobartalome2709
@erastobartalome2709 2 жыл бұрын
Hahaha
@kadejahh4036
@kadejahh4036 3 жыл бұрын
Jamani kuna bint alishaozesha kitumbua kwa ayo mambo acheni kubaliana na hari yako mwanamee atakuchepukia tu
@rehemasalim513
@rehemasalim513 4 жыл бұрын
Products zikija naomba mutujulishe plz im ready for any price
@zainabuliza2664
@zainabuliza2664 Жыл бұрын
Yote hayo ni kwaajili tu yakumridhisha mwanaume acheni kujichosha wanawake utatia vyakutia huko ukeni lkn mwenzio akishamiliza hafikirii tena hicho ulichompa na hata akifikiria ucdhani kua hatoenda kwengine ataenda na kuenda tena na sio kwa mtu mmoja bali ni kwa wanawake tofauti tofauti hivyo ndivyo wanaume walivyo mpaka kiama kitafika na kitawakuta wakiwa hivyo. Unatakiwa kujiamini na kujikubali jinsi ulivyo ugonjwa wa kutokujiamin ni mbaya sana Unakuta mtu mweuc hajiamini jinc alivyo anaamua kujichubua anakuwa mweupe lkn ngozi ikishachoka anakua mwekundu na anatisha Jamani hebu tuacheni haya mambo uke hauhitaji viungo zaid ya kuusafisha vzr kwa maji masafi tu Kwanza huyo anaeingia humo ukeni hana ulimi Wala hana muda wakuonja hiyo radha ya hivyo viungo akiingia kaingia na akitoka katoka kainama ukimuuliza hasemi sasa nani kasema umuwekee vyakula humo??? Hivi kwann mtu unajitoa sadaka namna hiyo??? Kah!
@thexoshowtira
@thexoshowtira Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@zainabuliza2664
@zainabuliza2664 Жыл бұрын
Usicheke kuna watu wanahangaika eti
@greenermichael2057
@greenermichael2057 Жыл бұрын
Dr Isaack nakupenda mno na mwanao anavokufanana had nywele you are so muaaah bro I like the way you are
@lydiaaloyce150
@lydiaaloyce150 3 жыл бұрын
Usimshaur mtu kutumia shabu inaua chembe za ulinz kwa Bibi then inaleta mwasho
@happyalicko6509
@happyalicko6509 4 жыл бұрын
Huyu kaka Mzr jaman khaa
@ashasvlog9246
@ashasvlog9246 2 жыл бұрын
Je maji ya karafu nayo yaani cloves?
@tausingomeni2568
@tausingomeni2568 4 жыл бұрын
Doctor mie nimekupend unaelezea vzr had raha
@shanimbaruku2071
@shanimbaruku2071 4 жыл бұрын
Asante
@anissahmohamed935
@anissahmohamed935 3 жыл бұрын
Kweli kabisa maneno yako
@abbassingo4598
@abbassingo4598 2 жыл бұрын
Ninapenda. Sauli. Akodocta
@mussaathumani7595
@mussaathumani7595 Жыл бұрын
Ushaur mwingi wakati clinic sio kusikia waganga kienyeji mitaani acha kabisa
@zinaibrahim7004
@zinaibrahim7004 4 жыл бұрын
asante
@christinahillary3417
@christinahillary3417 4 жыл бұрын
Mimi ninashida na Dr issac maro na cjui nampataje yani nina shida sana
@rosesamwelitenga4648
@rosesamwelitenga4648 4 жыл бұрын
Wew keshaoa uyo🏃
@malikihassani1185
@malikihassani1185 3 жыл бұрын
@@rosesamwelitenga4648 😂😂😂😂 uwiii
@teddykomba1600
@teddykomba1600 Жыл бұрын
Umenifurahish et kaisha oa😂😂
@samuelpamelo7128
@samuelpamelo7128 4 жыл бұрын
Docta. Sisi's drc nayo maji ni zahabu asiikaushe iyo pasha kabisa
@user-xw7pd1zy4x
@user-xw7pd1zy4x 4 ай бұрын
@user-vp8og6ij2q
@user-vp8og6ij2q 10 ай бұрын
Hayo maj nusu ndo unatumia kwa siku nzima
@Qs3557
@Qs3557 10 ай бұрын
Oya we tira Yan kuhangaika na kutaka k isitanuke n Kwa ajir ya bwanaako au unauza Kwa watu wakubwa Yan ww had unakera xo Kwa kufoc dawa huko,. Nitafute mi ninadawa uje gheto
@zamdakimaro2973
@zamdakimaro2973 4 жыл бұрын
Wanawake tunateseka na huu ulimwengu da mbona hapo zamani mama zetu walikuwa sawa tu
@allthingdranabeauty
@allthingdranabeauty 4 жыл бұрын
Sababu watu wanakula makemiko sana masoda na mavitu yasukari wao ivyo vitu walikuwa awapati
@happykoteihappy-vd7ce
@happykoteihappy-vd7ce Жыл бұрын
Uke unatanuka sababu ya kubadilisha badilisha wanaume
@rehemaathuman6669
@rehemaathuman6669 2 жыл бұрын
We tira una shida una Ng,Ang,ania Sana dawa uletewe na nini mbona mzuli unaonekana tuu ,,,,acha mambo yako ,,
@lulushayo8333
@lulushayo8333 3 жыл бұрын
Nikweli nikwamda tu ukisha fanya tendo kunarudia kawaida
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 6 ай бұрын
Mi sitaki ,siweki kitu kwenye uke ,ni ujinga tu!
@thexoshowtira
@thexoshowtira 6 ай бұрын
Kweli hakuna haja yakuweka vitu huko,nikujitafutia tu matatizo
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 6 ай бұрын
@@thexoshowtira 🙏🙏
@samuelpamelo7128
@samuelpamelo7128 4 жыл бұрын
Njo muzuri wanawake wa kitu nawa congomani
@marymassawe8655
@marymassawe8655 Ай бұрын
Makahaba ndio wanaohangaika na si wanandoa.
@IreneAbuu-ub9fy
@IreneAbuu-ub9fy Ай бұрын
Mbona mesijuikubana maumbile
@mwajumamafita7809
@mwajumamafita7809 4 жыл бұрын
Hiv Kama niahali ya kawaida wanawake tunakwama wapi ,,tunajiathir kwann
@aishasaid5702
@aishasaid5702 4 жыл бұрын
Wengine wakijifungua watot huwa wakubwa wanawatanua misuli shoga mwanaume anakukimbia maana ladha inapotea kabisaaa ni lazima hata ufanye japo mazoezi ya kurejesha kawaida lasivyo mume utamkosa
@aishasaid5702
@aishasaid5702 4 жыл бұрын
Wengine maumbile yao mazuri afadhali
@shamimuabubakari3508
@shamimuabubakari3508 4 жыл бұрын
Yaan sijui tunakwam wapi we sehem kama ile kweli ukaiweke shabu mara nyanya unatak kuirosti tena aaaaaah jaman kama kubwa yangu kama ndog yangu yaaan ahat nizae iwe kwa bwawa najua ndo mungu alovyonikadiria lakin si kujitia midude isoelewek mwish ndo hayo magonjwa yaajab yanaiubuka
@shamimuabubakari3508
@shamimuabubakari3508 4 жыл бұрын
@@aishasaid5702 mpenzi hiyo kufanya hayo mazoez sawa ni ya kawaid maan ni mazoezi na sikutia mavitu mengin pia nikifanya hayo isiporud nasumbuka na nini jaman mungu alivyoruhusu nizae kwan hakujua mie ntakuaje baadae iweje nimkosoe aaaaaah huyo mume kama akinikimbia na anikimbie tu na wala haniumiz yaan jaman mie namshukur sana mungu kwa kunipa roho ya kutokujali mwanaume kuniacha au kunikimbia dah hilo kwangu nishaliwwk mgongon kabis akimbie tu aniache
@davidlema3554
@davidlema3554 4 жыл бұрын
Thanks
@lidyakimaro5882
@lidyakimaro5882 Жыл бұрын
Naomba namba ya cmu ya huyu doctor
@rosehaule220
@rosehaule220 4 жыл бұрын
Kwel kabisa dr wengi uhis wana tatizo lakini si kweli
@khawlathassan7545
@khawlathassan7545 3 жыл бұрын
Mabadiliko lazima tuvumiliane
@mariagrayson5414
@mariagrayson5414 Жыл бұрын
Mwanaume kama hajaridhika na wewe lazima atachomoka tu. Hata ufanye nini. Bora doc bora natural ways tu. Naijuwa hyo walileta job kwetu wadada wengi walinunuwa ila badae mh hapana mm sitaki
@thexoshowtira
@thexoshowtira Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@iddiadam857
@iddiadam857 4 жыл бұрын
Phsychological problems😯😯
@rosesamwelitenga4648
@rosesamwelitenga4648 4 жыл бұрын
Hapo ndio kamaanisha nin ??nifafanulie kakangu
@saidhail9897
@saidhail9897 2 жыл бұрын
@@rosesamwelitenga4648 p
@ummimohammed9359
@ummimohammed9359 2 жыл бұрын
shoga usisubutu kutia shabu kwa bibi kwanza inachuna itanyambuka chichila yote iyo ushindwe atakumpa uyo babu。
@hermankamagi8689
@hermankamagi8689 11 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@restutamjuni4739
@restutamjuni4739 4 жыл бұрын
Mm sitokuja kujaribu kutia kitu chochote
@charlesmlonda622
@charlesmlonda622 Жыл бұрын
Nibora ujikbali ulivyo mm pia sijawai waza kuangaika na mwili wangu
@allthingdranabeauty
@allthingdranabeauty 4 жыл бұрын
Kha nyanya ikikaa siku mbili tatu wadudu sasa kweli ukaiweke kwenye uke jamani wanawake tunakwama wapi sasa hiyo nyanya si unaipeleka kwa bacteria wabaya waliokuwa kwenye uke wazidi kukushambulia, tujiongeze wanawake uko chini atasabuni zingine azitakiwi kuko sensitive sana kam vidole tu havitakiwi sasa hiyo nyanya duh
@IreneAbuu-ub9fy
@IreneAbuu-ub9fy Ай бұрын
Tunawezaje
@shukurumustafa478
@shukurumustafa478 3 жыл бұрын
Duuuh
@asmamajuto2639
@asmamajuto2639 3 жыл бұрын
Asant san
@mariamukajiru2302
@mariamukajiru2302 3 жыл бұрын
Sihangaiki ng'ooo Kama hikichokwa nitaipandia maua
@thexoshowtira
@thexoshowtira 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@mariamhussein7620
@mariamhussein7620 3 жыл бұрын
😂😂😂
@pennybaltazary1499
@pennybaltazary1499 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@faizamaro2149
@faizamaro2149 2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@allykafirihittu9261
@allykafirihittu9261 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@T1tanGamingCsgoMore
@T1tanGamingCsgoMore 4 жыл бұрын
Jee Dr. Issac ni mtoto wa Dr. Maro, gynecologist alokuwa na clinic yake kariakoo, Dar Es Salaam?
@basilisamichael2471
@basilisamichael2471 4 жыл бұрын
T1tan/Gaming/Csgo & More
@maryamshrazi1842
@maryamshrazi1842 Жыл бұрын
Dr , ni yako tafadhali
@maryamshrazi1842
@maryamshrazi1842 Жыл бұрын
Dr, namba yako tafadhali
@chistinawallasch2827
@chistinawallasch2827 4 жыл бұрын
Ndiyo mwanzo ya kupata kansa,
@mariamkaaya8374
@mariamkaaya8374 4 жыл бұрын
Kwel kabisa
@catenzeki678
@catenzeki678 4 жыл бұрын
@Chistina Wallasch haswaa
@aishasaid5702
@aishasaid5702 4 жыл бұрын
Haina ladha ya chumvi
@annamasale3893
@annamasale3893 4 жыл бұрын
Hahaaaa shabu haina radha yachumvi zingekuwa na chumvi uko ukeni wangewashwa wasingetumia kwasabab sehem yasir ni laini kwaiyo kuweka kitu Kama chumvi mtu asingeweza angeumia
@bujsaudaselemani5562
@bujsaudaselemani5562 4 жыл бұрын
Wangine wana tumiya alovera
@safinamwasha1667
@safinamwasha1667 4 жыл бұрын
😂😂
@beatricemrisho8431
@beatricemrisho8431 3 жыл бұрын
Dawa ipo inapatikn supermarkets ina ubora zaid tena unaweka kwenye uji baada ya kujifungua...
@mwajabuhamisi7095
@mwajabuhamisi7095 3 жыл бұрын
Yaitwaje ndugu
@estherrichard6696
@estherrichard6696 3 жыл бұрын
Inaitwaje
@TeamKRX
@TeamKRX Жыл бұрын
Inaitwaje
@user-vv7dm3rm7u
@user-vv7dm3rm7u 3 ай бұрын
Inaitwaje hiyo dawa bite
@alenyema7738
@alenyema7738 Жыл бұрын
Kipindi kizuri mno
@thexoshowtira
@thexoshowtira Жыл бұрын
Ahsanteee tunashukuru
@jacklinelyimo2672
@jacklinelyimo2672 2 жыл бұрын
Haya bwana minakupenda tu we dada
@evasiwalima9681
@evasiwalima9681 3 жыл бұрын
Je kama mtu aliongezewa njia wakati wa kujifingua kuna uwezekano wa uke kurud katka hali yake yaani mtu kajifungua kawaida lkn alichanika ukeni mpk akashonwa
@thexoshowtira
@thexoshowtira 3 жыл бұрын
Panarudi kawaida haijalishi ulishonwa au la?maumbile yanarudi kama yalivyokuwa.
@zenaomar8377
@zenaomar8377 2 жыл бұрын
@@thexoshowtira mm nyuz zilitoka sijui unashauri aje
@amanimlay6304
@amanimlay6304 4 жыл бұрын
tira naomba namba zako am in love with you😘
@julkakbar2290
@julkakbar2290 4 жыл бұрын
even me
@dorischarwe8025
@dorischarwe8025 4 жыл бұрын
Papanuke tu kama fuko ila dawa noooo
@latsister9846
@latsister9846 3 жыл бұрын
Hahahahaaaaa umenifraish my
@IreneAbuu-ub9fy
@IreneAbuu-ub9fy Ай бұрын
Tunawezaje
MFANYIE MUMEO HIKI AKUPE KILA UNACHOTAKA
14:29
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 58 М.
Chonde Chonde UKE huwa hivi,baada yakujifungua.,
15:53
The XO
Рет қаралды 207 М.
THEY WANTED TO TAKE ALL HIS GOODIES 🍫🥤🍟😂
00:17
OKUNJATA
Рет қаралды 22 МЛН
你们会选择哪一辆呢#short #angel #clown
00:20
Super Beauty team
Рет қаралды 53 МЛН
Жайдарман | Туған күн 2024 | Алматы
2:22:55
Jaidarman OFFICIAL / JCI
Рет қаралды 1,8 МЛН
Wanawake wa aina hii ni hatari...
12:10
The XO
Рет қаралды 59 М.
Dr. Chris Mauki: Ukiyaona haya, hata kama unampenda, mwache aende
10:14
NUTRITION: EP 17 |  UMUHIMU WA KARAFUU
6:27
VOAGTV
Рет қаралды 70 М.
HIKI NDICHO WANAUME WANACHOKIPENDA.......
17:32
The XO
Рет қаралды 192 М.
KWA WANANDOA TU - VYAKULA VINAVYOCHANGIA KUONGEZA NGUVU ZA KIUME KWA WANANDOA
17:02
Uzee mapenzini hakuna..Acheni uvivu
8:40
The XO
Рет қаралды 79 М.
THEY WANTED TO TAKE ALL HIS GOODIES 🍫🥤🍟😂
00:17
OKUNJATA
Рет қаралды 22 МЛН