Tulioanza kuscroll comments kabla ya kuangalia video tujuenae
@xkingx80414 жыл бұрын
Nime umbwa mwanamke!! Kuzaa ni baraak za mwenyezi Mungu!!! Ivi hivi nilivyo ,, najipenda na najiaami saaaaaaaaaana. Wanawake tuachane na mambo ya dunia.
@latifalatifa71714 жыл бұрын
Waache wahalibikiwe na kansahao
@happymahega20004 жыл бұрын
Nampenda huyu dokta jaman his personality, so humble, down to earth , barikiwa sana dokta Isaack
@rehemaathuman66692 жыл бұрын
Mwanamke anaeangaika kwa na vitu vya ajabu masikini ili mladi tuu amfuraishe mwanaume amuone Bora alafu mwisho siku Wala sio wako uyo ataenda kwa mtu ambae ata ahangaiki ,,anaejikunali ,,na kujiamini ,,,,,,duuu inatia uluma ila mungu azidi kutupigania VIUMBE vyake tunaohangaika na maisha ya kupendwa na kujipendekeza ,,,mwisho siku safari ni moja tuu
@annakattoa75024 жыл бұрын
Shetani yuko kazini, mpaka Mungu akaruhusu mwanamke kuzaaa alijua nn anafanya, Ila sbb tunamiungu yetu vichwani tunaugua vichaa vya kumtumikia mwanadamu lazima tutalipa garama. tunaugua vichaaa vya ngono kuhangaika kumridhisha mwanaume ambae hata kwenye umri wa miaka 20 alikuwa anakucheat bila sbb hio, PROBLEM NIKWAMBA WANAWAKE TUNA INFERIORITY. love yoself jiamini, kula healthy fanya maxoezi natural period
@thexoshowtira4 жыл бұрын
Uko sahihi kabisa
@catenzeki6784 жыл бұрын
@Anna kattoa kweli kbisa.Siri ipo katika kujipenda na kujijali ila sio kufanya kitu kikudhuru kisa unataka umfurahishe mumeo
@annakattoa75024 жыл бұрын
Wanawake ni jeshi kubwa ndio maana Dunia ipo busy kuhakikisha vita ya wenye kwa wenyewe haiishi, unatengenezewa kichaa ili ujiue mwenyewe kwisha positivity ije kwenye artificial na negative kwenye reality. Kwamba Mwanamke anaetakiwa kujiamini niyule ambae mwanadamu kafanikisha kumuunda tena kwa sayansi hahahahaha Devil is busy
@rosesamwelitenga46484 жыл бұрын
Asante kwa ushauri ...sitafanya upuuz kujiwekea makolokolo katk nyuchi yangu
@liliansikazwe74444 жыл бұрын
mm mwenyew mazoez yamenisaidia sana nipo tight na nina watoto wawili na mme wang ananishangaa......kuhus wanaum hata akioa bikra bado atachepuka tu....
@marymwacha9953 жыл бұрын
Dr. Isack huwa uko vzr kaka, nakuelewa kupitia njia Panda you're good Dr kaka,God bless you. Hafu hao wanawake wanaoangaika kuwa na maku ndogo ktk uhalisia haiwezekani. Tofuti na hapo basis wasizae au wakae ivoivo bila kuzaa au kukutana na mwanaume kama kweli, maana hawezekani umeshakuwa MTU mzima hutaki kubaliana na matokeo unataka kujirudisha utotoni kwanini usiukubali uhalisia? Eti maku ndogo basi usizae na uitunze K yako bila kutanana na mwanaume ili uendelee kuwa nayo ndogo. Na ndio maana mnapata Fungal infections, PID, cervical cancer etc.
@catenzeki6784 жыл бұрын
Nmependa ushauri wa Dr kwamba kitu chochote ambacho hakijafanyiwa utafiti kwa maabara lazima kiwe na madhara.Tahadhari kwetu kina wanawake
@maryamkhatau94454 жыл бұрын
Maumbile ya mwanamke kadri anavyokuwa ndivyo kunavyozidi kutanuka kikubwa tukubali maumbile na asili yetu tuloumbwa nayo Allah atuongoze
@zamamuuhamisi66544 жыл бұрын
Wooh nmefurahi kukuona Dr issac nkusikiaga tu kwenye njia panda penda sana ww
@junaithammahad38443 жыл бұрын
Niliwahi tumia iyo shabu once. Uke ulikuwa mdogo but unakuwa uke kama unaukakasi yani akuna raha yyt. Na baada ya mda unahisi muwasho flan. Kiukwel sishauri mtu atumie ni mbaya sana nashukuru mungu nilijitambua kwanzia apo nikaona ni upumbavu sikurudia tena. Kiukwel ni vizur sana kujikubali
@user-us6ze8bz3u Жыл бұрын
Ni kweli kbsaa dada..baadae unapofanya makamuzi Na wako WA halali duuuh inakua taabu balaa..hio kitu Ina speed Kali ya kukausha umbile la kike..pia nahisi kama Ina madhara flani HV.
@jenniferkalinga736 Жыл бұрын
Nimesoma comment zote ila yako imenifurahisha 🤣nimekumbuka rafiki yang ashawahi kutumia shabu
@ramadhanimfaume21687 ай бұрын
Emungu tuepusha wanasema hat kokwa za embe likely ndan unaanik likikauka unasag ungaunga wak unaweka kwenye maj ya uvuguvug kisha unamaw kutwa mal tatu kijik cha chakul jamn
@balangdalaluamb65404 жыл бұрын
Sintohainga na chchote ntabak na uhalisia wangu Mungu alikuwa na sbbu na ndo maana alituumba kwa kusud maalum
@hopelikaka719 ай бұрын
Mbona unanyoa nywele kwapani na sehemu za Siri usimuache mungi
@hasnaabduly49454 жыл бұрын
Dr anaonekana mpole jamanii😍😍😍😍
@officialcarolyne29854 жыл бұрын
Mmmm 🤔 huyu Dr, amesoma wacha tuuuu
@pendomgeni60844 жыл бұрын
Asante sana doctor pamoja na dada tira
@mariamm27243 жыл бұрын
Mimi huwa siamin kbs hbr za eti ukijifungua njia huwa regevu ni uwongo ulienda shule , mungu muachen aitwe mungu , kwa uumbaji alio mjaalia mwanamke, amin hata uzae mala 5 , yaan wewe upo fiti tu .
@aminakipande56453 жыл бұрын
Kabisa mamii kuhangaikia hawa viumbe nikujishosha nakumkufuru mungu tu
@sarahyuzo59472 жыл бұрын
Asanteee😘
@vailethywalter56744 жыл бұрын
ahasante dr.
@angelsis65084 жыл бұрын
Dr Issac mzuri jamani
@lukullikiwamba64943 жыл бұрын
Chakula na usafi Ndio kitu muhimu zaidi.... ayo mambo mengine ninhatari sana
@user-hy9pp5rp9i16 күн бұрын
Ni kweli😂
@desirenkuba49204 жыл бұрын
Yes, it's psychological. Watu wote ni tofauti. Ila wadada acheni panics. In general, wanawake wembamba ni wapana na deep kuzidi wale wanene. Ila problem is more psychologically.
@liannsambu72643 ай бұрын
DU NAMSHUKURU MUNGU KWA JINSI ALIVYONIUMBAAA ,SHOUT OUT TO MY LORD 🎉🎉
@julkakbar22904 жыл бұрын
nakupenda tira,,,, ila wnaume zetu hawa hua wanamaneno makali na mneno yenye kumktisha mwanmke tamaa kikubwa ni kusimama na mungu kwani wtt ambao unajifungua Leo ndio ambao watako hangaika na wewe baadae ila mwnume sio mwnao, kwahyo kikubwa ni kusimama na mungu tu tusipoangalia wanawake wengi tutaumia na kuzidi umia
Ila kama mme wako anakupenda hatojali hayo ila kwa sababu ni kizazi cha zinaa ndiyomaana mnaweka mpaka viungo vya mboga , mashabu ni hatari kama ipo ipo tu
@jenniferkalinga736 Жыл бұрын
🤣waunga uke
@subiraomar47714 жыл бұрын
Asanteni sana kwa darasa
@alh28754 жыл бұрын
Kwel dkt upo vzr mm nimezaa watto watatu nasitumii kitu ila niko vzr
@magrethshakinenge50244 жыл бұрын
Ttz wanawake wanahangaika sana
@radhiambwana87873 жыл бұрын
@@magrethshakinenge5024 wanatafuta matatizo kwalzm ujuwe ukita kuwa namaumbile mazr nikazi ndogo tu lkn hawajui kwavile wameweka uzungu mbele.
@marysdiosa87643 жыл бұрын
@@radhiambwana8787 nieleweshe my dear
@malikihassani11853 жыл бұрын
@@radhiambwana8787 tueleweshe
@allykafirihittu92612 жыл бұрын
@@radhiambwana8787 inakuwaje
@rosentikha1572 Жыл бұрын
Nimeipenda hii..je vipi kuusu mazoezi ya kegle
@aishasaid57024 жыл бұрын
Nyinyi wanaume ndo mnapelekea wanawake kufanya hayo mnatuacha mwanamke akizaa tuu mnamuona hana thamani mnasema kashatanuka
@thadeojohn70744 жыл бұрын
Duuh so Amna akili Kama ndo ivyo
@user-tw7xc7tc1s3 ай бұрын
Nakupenda sana doctor aizack
@aminahasan35644 жыл бұрын
Mmmmmm!!!!? wenyewe tutaita service, ujinga mtupu
@cindymacho52824 жыл бұрын
wanawake wafunga hilizi na mafundo ya kiganga na uchawi na kuwakabidhi mabinti zenu kwa mashetani jehanamu inawasubiri. Pia wanawake wasio na utii na nidhamu ya kumuogopa Mungu
@dorischarwe80254 жыл бұрын
Wanaume watatuua
@rithamsacky46554 жыл бұрын
Jaman wanawake tunahaingaika kwa kila kitu sio nywele sio rangi mungu tusaidiee.....
@csato94154 жыл бұрын
@Ritha Msacky ni shida kubwa sana kutojikubali tunabadili nywele, rangi, kucha , kope na hii kubwa kuliko eti utumie shabu (Alum) kubana uke ni kujitafutia kansa siku zijazo.
@catenzeki6784 жыл бұрын
@C Sato kweli kbisa.Sasa uangalie utumie kitu umfurahishe mume wako cku chache lkni baadae upate ugonjwa ata ufe umuache mumeo
@mythamaleektv28014 жыл бұрын
Yaani tunajiua kufurahisha wanaume
@mariaamuri96274 жыл бұрын
Atusamehe
@samuelpamelo71284 жыл бұрын
Acha ivo ivo nayo maji na ute ute ku mlimaji mzuri ni vyashara
@rosehaule2204 жыл бұрын
Jiamini.mwanamke hayo ni.matusi tu ya wqnaume hili.kukukosesha amani lakini tusi lake lisikuathini ukajiona una kasoro akunaga
@julkakbar22904 жыл бұрын
kweli kbsa wanaume hua wanmaneno mbaya sana
@saidamiraji4077 Жыл бұрын
We umesha zaa na unafaham fika kua ukisha zaa maumbile yanabadilika ss unatumiaje vit vya ajab uyu mwanaume Kam atatak kukuach et kwa sabb ya uke mpan mwach aenda tu atabadilisha wanawak mpaka
@user-ys8dv3rk9l5 ай бұрын
kuna watu wanatumia mpka alovera nimecheka sana 😂😂
@upendodaudi53023 ай бұрын
Ila wanaume bwana...wengine.wanapenda kubwa aa wengine ndogoooo😅😅😅
@MilembeZacharia-mb6jy7 ай бұрын
Asante kwa somo zuri
@khdijaahmed84584 жыл бұрын
Kaka upo vzuri san hongera san bor ❤❤❤🔥👌
@deboraelias18624 жыл бұрын
kweli docta uko vizuri sana kwenye majibu kama hiyo shabu
@vaidoto96834 жыл бұрын
Khdija Ahmed ummependeza
@annakattoa75024 жыл бұрын
Wanawake tunaangamia kwakukosa maarifa, now unazaa kwa uchungu na bado tunaomba visu vije kuchonga sehemu zetu ili tuwafurahishe wanaume 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Eehh Munguuu tuokoe ile laana uliotupa ukasema “ NATAMAA YENU ITAKUWA JUU YA MWANAUME NA ATAKUTAWALA “ inafanya kazi.
@christinarobert85354 жыл бұрын
Naomba kujua mistar mpenzi Hahaha
@annakattoa75024 жыл бұрын
Naomba niutafute sikupata muda upo kwenye mwanzo Mungu alipooanza kutoa laana kwa Adam na hawa subiri ntakupa soon
@kombab11124 жыл бұрын
Wanawake sijui tunakwama wapi haki, tuliumbwa waerevu kuliko kiumbe chochote duniani lakini tunaacha viumbe hivyo dhaifu kuliko sisi wanatuendesha.... Kama anaenda eti uke umeongezeka huyo mwanamume hajitambui muache aende usijitese
@erastobartalome27092 жыл бұрын
Hahaha
@kadejahh40363 жыл бұрын
Jamani kuna bint alishaozesha kitumbua kwa ayo mambo acheni kubaliana na hari yako mwanamee atakuchepukia tu
@rehemasalim5134 жыл бұрын
Products zikija naomba mutujulishe plz im ready for any price
@zainabuliza2664 Жыл бұрын
Yote hayo ni kwaajili tu yakumridhisha mwanaume acheni kujichosha wanawake utatia vyakutia huko ukeni lkn mwenzio akishamiliza hafikirii tena hicho ulichompa na hata akifikiria ucdhani kua hatoenda kwengine ataenda na kuenda tena na sio kwa mtu mmoja bali ni kwa wanawake tofauti tofauti hivyo ndivyo wanaume walivyo mpaka kiama kitafika na kitawakuta wakiwa hivyo. Unatakiwa kujiamini na kujikubali jinsi ulivyo ugonjwa wa kutokujiamin ni mbaya sana Unakuta mtu mweuc hajiamini jinc alivyo anaamua kujichubua anakuwa mweupe lkn ngozi ikishachoka anakua mwekundu na anatisha Jamani hebu tuacheni haya mambo uke hauhitaji viungo zaid ya kuusafisha vzr kwa maji masafi tu Kwanza huyo anaeingia humo ukeni hana ulimi Wala hana muda wakuonja hiyo radha ya hivyo viungo akiingia kaingia na akitoka katoka kainama ukimuuliza hasemi sasa nani kasema umuwekee vyakula humo??? Hivi kwann mtu unajitoa sadaka namna hiyo??? Kah!
@thexoshowtira Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@zainabuliza2664 Жыл бұрын
Usicheke kuna watu wanahangaika eti
@greenermichael2057 Жыл бұрын
Dr Isaack nakupenda mno na mwanao anavokufanana had nywele you are so muaaah bro I like the way you are
@lydiaaloyce1503 жыл бұрын
Usimshaur mtu kutumia shabu inaua chembe za ulinz kwa Bibi then inaleta mwasho
@happyalicko65094 жыл бұрын
Huyu kaka Mzr jaman khaa
@ashasvlog92462 жыл бұрын
Je maji ya karafu nayo yaani cloves?
@tausingomeni25684 жыл бұрын
Doctor mie nimekupend unaelezea vzr had raha
@shanimbaruku20714 жыл бұрын
Asante
@anissahmohamed9353 жыл бұрын
Kweli kabisa maneno yako
@abbassingo45982 жыл бұрын
Ninapenda. Sauli. Akodocta
@mussaathumani7595 Жыл бұрын
Ushaur mwingi wakati clinic sio kusikia waganga kienyeji mitaani acha kabisa
@zinaibrahim70044 жыл бұрын
asante
@christinahillary34174 жыл бұрын
Mimi ninashida na Dr issac maro na cjui nampataje yani nina shida sana
@rosesamwelitenga46484 жыл бұрын
Wew keshaoa uyo🏃
@malikihassani11853 жыл бұрын
@@rosesamwelitenga4648 😂😂😂😂 uwiii
@teddykomba1600 Жыл бұрын
Umenifurahish et kaisha oa😂😂
@samuelpamelo71284 жыл бұрын
Docta. Sisi's drc nayo maji ni zahabu asiikaushe iyo pasha kabisa
@user-xw7pd1zy4x4 ай бұрын
❤
@user-vp8og6ij2q10 ай бұрын
Hayo maj nusu ndo unatumia kwa siku nzima
@Qs355710 ай бұрын
Oya we tira Yan kuhangaika na kutaka k isitanuke n Kwa ajir ya bwanaako au unauza Kwa watu wakubwa Yan ww had unakera xo Kwa kufoc dawa huko,. Nitafute mi ninadawa uje gheto
@zamdakimaro29734 жыл бұрын
Wanawake tunateseka na huu ulimwengu da mbona hapo zamani mama zetu walikuwa sawa tu
@allthingdranabeauty4 жыл бұрын
Sababu watu wanakula makemiko sana masoda na mavitu yasukari wao ivyo vitu walikuwa awapati
@happykoteihappy-vd7ce Жыл бұрын
Uke unatanuka sababu ya kubadilisha badilisha wanaume
@rehemaathuman66692 жыл бұрын
We tira una shida una Ng,Ang,ania Sana dawa uletewe na nini mbona mzuli unaonekana tuu ,,,,acha mambo yako ,,
@lulushayo83333 жыл бұрын
Nikweli nikwamda tu ukisha fanya tendo kunarudia kawaida
@christinewomanoffaith54796 ай бұрын
Mi sitaki ,siweki kitu kwenye uke ,ni ujinga tu!
@thexoshowtira6 ай бұрын
Kweli hakuna haja yakuweka vitu huko,nikujitafutia tu matatizo
@christinewomanoffaith54796 ай бұрын
@@thexoshowtira 🙏🙏
@samuelpamelo71284 жыл бұрын
Njo muzuri wanawake wa kitu nawa congomani
@marymassawe8655Ай бұрын
Makahaba ndio wanaohangaika na si wanandoa.
@IreneAbuu-ub9fyАй бұрын
Mbona mesijuikubana maumbile
@mwajumamafita78094 жыл бұрын
Hiv Kama niahali ya kawaida wanawake tunakwama wapi ,,tunajiathir kwann
@aishasaid57024 жыл бұрын
Wengine wakijifungua watot huwa wakubwa wanawatanua misuli shoga mwanaume anakukimbia maana ladha inapotea kabisaaa ni lazima hata ufanye japo mazoezi ya kurejesha kawaida lasivyo mume utamkosa
@aishasaid57024 жыл бұрын
Wengine maumbile yao mazuri afadhali
@shamimuabubakari35084 жыл бұрын
Yaan sijui tunakwam wapi we sehem kama ile kweli ukaiweke shabu mara nyanya unatak kuirosti tena aaaaaah jaman kama kubwa yangu kama ndog yangu yaaan ahat nizae iwe kwa bwawa najua ndo mungu alovyonikadiria lakin si kujitia midude isoelewek mwish ndo hayo magonjwa yaajab yanaiubuka
@shamimuabubakari35084 жыл бұрын
@@aishasaid5702 mpenzi hiyo kufanya hayo mazoez sawa ni ya kawaid maan ni mazoezi na sikutia mavitu mengin pia nikifanya hayo isiporud nasumbuka na nini jaman mungu alivyoruhusu nizae kwan hakujua mie ntakuaje baadae iweje nimkosoe aaaaaah huyo mume kama akinikimbia na anikimbie tu na wala haniumiz yaan jaman mie namshukur sana mungu kwa kunipa roho ya kutokujali mwanaume kuniacha au kunikimbia dah hilo kwangu nishaliwwk mgongon kabis akimbie tu aniache
@davidlema35544 жыл бұрын
Thanks
@lidyakimaro5882 Жыл бұрын
Naomba namba ya cmu ya huyu doctor
@rosehaule2204 жыл бұрын
Kwel kabisa dr wengi uhis wana tatizo lakini si kweli
@khawlathassan75453 жыл бұрын
Mabadiliko lazima tuvumiliane
@mariagrayson5414 Жыл бұрын
Mwanaume kama hajaridhika na wewe lazima atachomoka tu. Hata ufanye nini. Bora doc bora natural ways tu. Naijuwa hyo walileta job kwetu wadada wengi walinunuwa ila badae mh hapana mm sitaki
@thexoshowtira Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@iddiadam8574 жыл бұрын
Phsychological problems😯😯
@rosesamwelitenga46484 жыл бұрын
Hapo ndio kamaanisha nin ??nifafanulie kakangu
@saidhail98972 жыл бұрын
@@rosesamwelitenga4648 p
@ummimohammed93592 жыл бұрын
shoga usisubutu kutia shabu kwa bibi kwanza inachuna itanyambuka chichila yote iyo ushindwe atakumpa uyo babu。
@hermankamagi868911 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@restutamjuni47394 жыл бұрын
Mm sitokuja kujaribu kutia kitu chochote
@charlesmlonda622 Жыл бұрын
Nibora ujikbali ulivyo mm pia sijawai waza kuangaika na mwili wangu
@allthingdranabeauty4 жыл бұрын
Kha nyanya ikikaa siku mbili tatu wadudu sasa kweli ukaiweke kwenye uke jamani wanawake tunakwama wapi sasa hiyo nyanya si unaipeleka kwa bacteria wabaya waliokuwa kwenye uke wazidi kukushambulia, tujiongeze wanawake uko chini atasabuni zingine azitakiwi kuko sensitive sana kam vidole tu havitakiwi sasa hiyo nyanya duh
@IreneAbuu-ub9fyАй бұрын
Tunawezaje
@shukurumustafa4783 жыл бұрын
Duuuh
@asmamajuto26393 жыл бұрын
Asant san
@mariamukajiru23023 жыл бұрын
Sihangaiki ng'ooo Kama hikichokwa nitaipandia maua
@thexoshowtira3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@mariamhussein76203 жыл бұрын
😂😂😂
@pennybaltazary14993 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@faizamaro21492 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@allykafirihittu92612 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@T1tanGamingCsgoMore4 жыл бұрын
Jee Dr. Issac ni mtoto wa Dr. Maro, gynecologist alokuwa na clinic yake kariakoo, Dar Es Salaam?
@basilisamichael24714 жыл бұрын
T1tan/Gaming/Csgo & More
@maryamshrazi1842 Жыл бұрын
Dr , ni yako tafadhali
@maryamshrazi1842 Жыл бұрын
Dr, namba yako tafadhali
@chistinawallasch28274 жыл бұрын
Ndiyo mwanzo ya kupata kansa,
@mariamkaaya83744 жыл бұрын
Kwel kabisa
@catenzeki6784 жыл бұрын
@Chistina Wallasch haswaa
@aishasaid57024 жыл бұрын
Haina ladha ya chumvi
@annamasale38934 жыл бұрын
Hahaaaa shabu haina radha yachumvi zingekuwa na chumvi uko ukeni wangewashwa wasingetumia kwasabab sehem yasir ni laini kwaiyo kuweka kitu Kama chumvi mtu asingeweza angeumia
@bujsaudaselemani55624 жыл бұрын
Wangine wana tumiya alovera
@safinamwasha16674 жыл бұрын
😂😂
@beatricemrisho84313 жыл бұрын
Dawa ipo inapatikn supermarkets ina ubora zaid tena unaweka kwenye uji baada ya kujifungua...
@mwajabuhamisi70953 жыл бұрын
Yaitwaje ndugu
@estherrichard66963 жыл бұрын
Inaitwaje
@TeamKRX Жыл бұрын
Inaitwaje
@user-vv7dm3rm7u3 ай бұрын
Inaitwaje hiyo dawa bite
@alenyema7738 Жыл бұрын
Kipindi kizuri mno
@thexoshowtira Жыл бұрын
Ahsanteee tunashukuru
@jacklinelyimo26722 жыл бұрын
Haya bwana minakupenda tu we dada
@evasiwalima96813 жыл бұрын
Je kama mtu aliongezewa njia wakati wa kujifingua kuna uwezekano wa uke kurud katka hali yake yaani mtu kajifungua kawaida lkn alichanika ukeni mpk akashonwa
@thexoshowtira3 жыл бұрын
Panarudi kawaida haijalishi ulishonwa au la?maumbile yanarudi kama yalivyokuwa.
@zenaomar83772 жыл бұрын
@@thexoshowtira mm nyuz zilitoka sijui unashauri aje