Mashallah 25yrs kwa ndoa Mungu akuzidishie na hio,
@qaiyahdoow12572 жыл бұрын
Allah Anijalie
@wennybarny1685 жыл бұрын
Mwanaume anakuwa na ww mwanamke akikupenda tu au la wale wanaoroga wanaume ndo wanafanikiwa. Hakuna kauli wala matendo. Kuna wanawake wachafu wananuka, wagomvi, wavivu, hawjui kupika na wana kauli mbovu sana kwa wanaume zao ila ndo wanapendwa na hawaachwi.
@shamimkingazi89255 жыл бұрын
Basi ujue mwanaume kampenda kupitiliza 😍 hata pia kuna wanaume wachafu hata kuoga hawataki ila unakuta nwanamke ammpeeeeenda kwahiyo kuacha ni mtihani sio kuwa wee mbaya au mchafu au anuka domo 😛😛😛😛😛😛mwenyewe meno kaa nashabikia yanga lkn napigwa mabusu 😎
@mwasitiramadhan56345 жыл бұрын
@@shamimkingazi8925 😂😂😂😂😂😂😂
@shamimkingazi89255 жыл бұрын
@@mwasitiramadhan5634 😆😆😆😆😃😃😘😘😘😘
@anithaswalleh58375 жыл бұрын
Shamim Kingazi 😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣😂😂😂😂😂 umenichekesha wakati nilikua nimenuna jaman duuh una vituko wewe
@jamilajamila96825 жыл бұрын
@@shamimkingazi8925 🙈🤭🤣🤣🤣🤣🤣👌🤣🤣
@lauraabass10775 жыл бұрын
Daah ahsante ma Hindu nimekukubali yaani mpaka mwanao kafata nyayo zako za ndoa. Mpo talented sana, wallah naendelea kuzingatia mafunzo yenu mama na mwana. 😘😘
Mama mahaga u are fire...amazing concept plus u look amazing hun
@thexoshowtira4 жыл бұрын
Thank u darling 😍😍
@marysdiosa87643 жыл бұрын
@@thexoshowtira Da Tee tunaomba # za kungwi tuna jambo naye
@thexoshowtira3 жыл бұрын
@@marysdiosa8764 Huyu nilipoteza cm,labda nikupe za huyo mwingine
@aishasalum79363 жыл бұрын
@@thexoshowtira namba ya kungwi please dadake
@uwingeneyeshadia76975 жыл бұрын
Mama unafunda kwa hekma na busara na adabu🙏 Mansha Allah
@angelngoye49105 жыл бұрын
Kungwiii umetishaaa😆😆
@hafsakhamis5334 Жыл бұрын
Asante kwako mama ...Ila pia hongera...mana pia umepata uyo mume wakujali ayo unayomfanyia
@fettymudy88945 жыл бұрын
Ntakufata mama uwe somo wangu nmekubali
@user-qv8zq3fy7f2 ай бұрын
Mama umetisha ❤❤nowadays lzma tutambue pesa kuna botu lapwezi kununua isipokuwa jali japo utu w mtu ata km haba kitu
@centralboytz42405 жыл бұрын
😅😅😅we mama ni kwikwi🙌 watu hawajui wanakwama wap 👌
@emmanuelnzaligo62624 жыл бұрын
Mama umeongea kweli kabisa endelea kuwafundisha dada zetu hata hawaelewi
@salmasaid1521 Жыл бұрын
Shukran kwa somo nzuri
@obviousmphande86215 жыл бұрын
Dada wewe Safi sana wafundishe hawo wasiejua kwakweli mwanawake wengine wanaboa sana .hata kama mtu unataka kucheza muda mlefu unashindwa maana navitu vingine ukiviona hata mpaka nguvu zinapotea kabisaaaaa tafauti na muonekano wake.
@WitnessOchora-dd1gm Жыл бұрын
Jamn atali ❤❤❤ nmepnd mamy natmn nkiolew uwe como wanguu🙏🏽😘 mung akulinde n akzdshie umr mlefu amina
@WitnessOchora-dd1gm Жыл бұрын
🙏🏽❤️
@milkajanuary90565 жыл бұрын
Muda wa kazi tu hapa ,nani anapenda
@jenipherclement21034 жыл бұрын
Jmn kuna wanaume ata umfanyie nn haelew,,,, huzun kwel ndoa za ck hz
@user-fj6gp4hi6c4 ай бұрын
Asant sana mamy
@sponsor78825 жыл бұрын
SOMO ZURI KWA SLAY QUEEN
@FloraMwavulaАй бұрын
Umetisha mama❤❤❤
@rsshidmnkonje7432Ай бұрын
Toeni ushauri sana Kwa wadada wa sasa
@ilovejesus93035 жыл бұрын
Kitaalam hauruhusiwi kinawa huko chini kwa kuingiza kidole( douching). Wala hutakiwi kunawa na sabuni inauwa Bacteria. Unatakiwa kunawa na maji tu, mwili wenyewe unafanya natural cleansing. Wataalamu mpo humu ndani? Au mnasemaje?
@joymas16535 жыл бұрын
What she said ukifanya hivyo , utapata fungus milele
@thambulilucia98985 жыл бұрын
Nakubaliana na wewe kabisa 💯💯 Hata mtu aoshe na manukato yote ya dunia kila mwanamke huwa na harufu yake ya ukeni
@tausikichukwi75205 жыл бұрын
Ni kweli kidole hakitumiki kujisafishia huku......ni maji unapitisha tena bila sabuni!!
@safiamasoud13285 жыл бұрын
Kidole lazima kipite na harufu ya huku kweli ipo ila ikiwa hujasafisha lazima itoke harufu tofaut(kuna kunukia na kunuka) sasa usiposafisha lazima unuke!!
@mwanahamisbwanga11842 жыл бұрын
Nkweliii kabsaaa
@user-yi6ou8xf9q9 күн бұрын
Somo lako nzuri sasa wewe unapatokana wapi ,mimi flaviier kutoka kongo
@wambuimungai19505 жыл бұрын
Haloooo Oooo!! 😍👌
@PendoPanclas-lt5zu Жыл бұрын
Jamani Mumy asantee saaaaaana ❤❤ Nakupend buree🥰🥰
@ramadhantembo24534 жыл бұрын
Mama mola akuzidishie neema yenye kheri na afya njema ukapate kuishi vyema katika ardhi hii kwa ajili yamasomo yako yahekma na taadhima, kila laheri mama!!
@mwasitilimbanga74945 жыл бұрын
Ilo nalo neno mama maana sikuizi wasichana tunajifanya wajuwaji kuliko uwezo wetu
@emmanuelpaul244 жыл бұрын
Umenena
@sadambaraka75834 жыл бұрын
Mashallh
@bintiiddy70435 жыл бұрын
Haaahaaaa jaman uwiii mbavu zangu mie Asante sana ubarkiwe mama
@atsubaby127 Жыл бұрын
Kabisa
@maryambailakhunani33605 жыл бұрын
Hatwareee kungwi nimekupenda
@BisadaSaidi21 күн бұрын
Jamn naomb kuuliza me mum wang simuelew me ni mke wa tatu IL Kun mke wake wa pili wameachan ila bd cjajuw japo wan mtoto IL akiambiw chocht yupo tayar Kwa lot. IL ananifich happy cielw
@thexoshowtira21 күн бұрын
@@BisadaSaidi anafanya chochote akiambiwa kwa heshima tu,.kumbuka ana mtoto nae.
@karimhamis8 ай бұрын
tira bwana eti lazimaaaaa😂😂😂😂
@leilaabdul85975 жыл бұрын
Mwingine unampikia vizuri anashiba unafanya kila lakini mkiingia kitandani anakwambia kachoka
@esperancenzeyimana24335 жыл бұрын
Leila Abdul Iyo ni kweri kabisa
@futureyouthfoundation58014 жыл бұрын
akichoka njoo kwa watoto wakungwi huku tukupe raha dada
@futureyouthfoundation58014 жыл бұрын
akizingua tyu kacho piga hap kwa mtoto wa kungwi au tuma namba tuje kumuonesha mwanamke anataka nn bhan tena mpuuzi huyo
@lulusanga23264 жыл бұрын
@@futureyouthfoundation5801 😂😂😂😂
@vibestudio47075 жыл бұрын
kwa darsazaidi tupe namba tukuletee wari wetu plz
@user-xi1pi4zr3b5 жыл бұрын
Mama hatari nmekuelewa sana.
@jaligawesa4 жыл бұрын
Nimechekaaaa!!😂
@francoismalenge13732 ай бұрын
Hello 👏
@rosenaadolfu995 жыл бұрын
Hamna kitu hapo ujinga mtupu. We sema umempata wa bahati yako mama kaa utulie
@jacksonchimomo5544 жыл бұрын
Rosena Adolfu Wew ndo mjinga wa kutupwa jiwe hilo limekupa
@hajiiddy48434 жыл бұрын
@@jacksonchimomo554 ndio anatabia hizo zinazosemwa hajui saman ya mwanaume na kwa tabia hiyo tutawatumi na kutupa kule anafundishwa anasema upumbavu
@adbulmama50653 жыл бұрын
Kweri Maman unasema ukweri
@AikaKassaАй бұрын
❤
@tamimamtumwa-sw8xy10 ай бұрын
Nakupataje mama
@fatumahassan72732 жыл бұрын
Asante mama
@julesnahimana10685 жыл бұрын
Mola Ali jaliye ,maneno mazuri
@pendondossy21584 жыл бұрын
Asanteeeeeee
@mauwawilson323 Жыл бұрын
🤣🤣🤣ukweli mama
@zainanamaganda65435 жыл бұрын
Mashaallah shukran jazzakah Allah kheirah from UAE
@neybeuty36193 жыл бұрын
Du nipevitu vya nguvu nikupe vituvyanguvu😄😄
@zainabumohammed83345 жыл бұрын
hahahaha Hatareee Mambo Fire
@futureyouthfoundation58014 жыл бұрын
tena sana
@abellangaiza79404 жыл бұрын
Naomba namba somo
@user-xd3pu3pk5d6 ай бұрын
mama unafunda vizur sana
@truemindstv1425 жыл бұрын
Hahaha mama anajuavyo, nani kweli kabisa
@madiyamsonde5625 жыл бұрын
amisa chuma 😚😚😚
@elishamaligana51873 жыл бұрын
Nimeipenda hiyoooo
@deborahrehema58195 жыл бұрын
Fantastic mama kinywa cha mwanamke ndo chanzo cha ndoa kuaribika
@chique235 жыл бұрын
haswa
@lucywanjiru42185 жыл бұрын
Napenda haya👌👌
@Ngoniboy06234 жыл бұрын
Naomb ntafute kwa WhatsApp number +255627714797
@birehaissa26615 жыл бұрын
Nakubali napenda usafi
@jeffmauzo54835 жыл бұрын
Hahaha lazima apige pap
@muhamedwardah51445 жыл бұрын
Mme ni funza asante😍😍😍😍😍😍😍💞💞💞💞💋💋💋💋💋💋💋
@veronicabernard41513 жыл бұрын
Kwastahili hii hatuachwiii
@erickendrick33305 жыл бұрын
Ahahaha.....Duuuu
@tiifhabby74115 жыл бұрын
Wanaume wa cku wao wenyew mahaba hawa yawajui😆😆tena man wa dar ndio kabisaa wanavyo. Penda zegee atari😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂ukiuliza eti ataki awe na kitumbo
@merryn48915 жыл бұрын
Kweli
@bigboy85085 жыл бұрын
Nataka mke wa kufira. Pesa ziko
@user-op9uf6ji1r7 ай бұрын
Mama asante kwa mafunzo yako
@SafeHaven_TV5 жыл бұрын
Nimewapenda bure...Ooh TIRA..
@SafeHaven_TV5 жыл бұрын
@@thexoshowtira Tira,hivi unajua ulivyo kweli?Great show by the prettiest host ever....duuh.
@dianamedi74535 жыл бұрын
Now days thanks kadriyawanawake asilimia98 wameendelea kwausafi na jinsiyakututumia maeneoyao yaikulu hadi wanaume wanachanganyikiwa na hasa wandaniyandowa kwahapa me nahisi hajafunza kipya. Still anahitajikusoma zaidi
@ridiamwainunualsee74954 жыл бұрын
Diana medi safi
@winfridapeter44585 жыл бұрын
Ahsante sana
@imeldabwire66285 жыл бұрын
nimekupenda mom,asante nimekuelewa
@khalfanabdulrahman47055 жыл бұрын
Please if I may have the contact of the guest in this episode. I would like her to teach my wife a few things. Thank you
@thebeautifulone79825 жыл бұрын
lol
@paulinengugi34355 жыл бұрын
🤣
@hamzanyimkuu80024 жыл бұрын
Same to me 😀😀😀
@marymamakevj32274 жыл бұрын
@@thebeautifulone7982 😂😂
@birih88012 жыл бұрын
😂😂
@medi222alrajhi95 жыл бұрын
Mh majisifu mengi huna lolote
@saunahussein48875 жыл бұрын
medi222 alrajhi yoi
@thebesthoyame5 жыл бұрын
If possible can you put english subtitles please
@futureyouthfoundation58014 жыл бұрын
she sayed that no matter how girls proud themselve that i am break up with him because i decided it that is not true there is something behind that she failed to do inorder to in spear him so better to find a way to in speared him
@zahramunir85965 жыл бұрын
Hahaa eti nna bahati? kumbe una nuks!!
@SA-xj8hc5 жыл бұрын
Sio kweli wanaume sote sio sawa , mbona kuna watu tunapenda harufu ya kwapa za wake zetu wakati wa shughuli , tena inaleta MAHANJAMU hasa. Kuna makabila yanaamini hizi harufu ndio zinazoleta mvuto baina ya jike na dume .🤣🤣🤣
Will they do the same for us??😢 au sisi tufanye tuu lkn hatufanyiwi
@lifesailor9814 жыл бұрын
'Treat yours, the way you love to Be treated'
@jenniferkayoza96184 жыл бұрын
ukweli nuksi tena mbaya sema hawajitambui wa ivyo
@Sam-sj1cy2 жыл бұрын
Halloooo 🇧🇲
@hafsakhamis5334 Жыл бұрын
Ila wanaume wengine hata uwafanyie nin hawaridhiki
@ruthcharles36494 жыл бұрын
asante sana kwasomo zuri
@eliaamoss37203 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂 eti nikwa babako
@vailethjoseph56745 жыл бұрын
asante asante asante asante asante asante asante
@victoriamefya62875 жыл бұрын
oioioiioi 😘😘😘kungwiii
@mymswadik67955 жыл бұрын
Nisaidie no za kungwi,au nampataje?
@ShalonSebastian-hc8oh Жыл бұрын
Samahan niulize kidogo mume wako kama nimfanya biashara amefata mzigo utamwambia maneno gan ya kumwambia ili afalijike?
@thexoshowtira Жыл бұрын
Nakupenda mume wangu,Mungu akutangulie,akulinde na akufanyie wepesi kwenye shughuli zako.Safari njema.
@user-sv6zy3hc8o4 ай бұрын
Mhhh jamani wengine hata maneno mazuri hamya jui
@ayunramadhan31045 жыл бұрын
Siku hizi mtihani aibu za chumbani ziko hadharan ni msiba
@magrethbbw75245 жыл бұрын
Kwakwel
@ayunramadhan31045 жыл бұрын
@@magrethbbw7524Eti kafundwa kama umefundwa mbona unasema mambo ya kike mtandaon mapenzi huwezi kwenda kujifunza kwa mtu c kweli
@magrethbbw75245 жыл бұрын
@@ayunramadhan3104 mapenz mtu anajua naturally ukifundishwa n sawa unaishi maisha yako Na mume kwa akili ya mwanamke mwenzako
@magrethbbw75245 жыл бұрын
Watu hatufanani kwakwel tusiforce kuwa ambavyo hatupo.makungwi waliofundwa kweli hawawez kuongea mambo kama hayo mtandaon ,mtandao unatumiwa Na weng hasa watoto
@ayunramadhan31045 жыл бұрын
@@magrethbbw7524 watu kutokuwa na adabu
@zahoromzee54173 жыл бұрын
Mpendwa habari naomba kuuliza Nilikuuliza kuhusu lile kusu kwamba hakuna njia mbadala yakupima njia wakati wakujifungu? Ila kubwa naomba uniambie mafutagani mazuri ambayo naweza kumfanyia mpenziwangu Massage Na lingine nataka kua je kama uke wamwanamke hata ukimuandaa unakua mkavu je tunaweza kutumia mafuta?, kama inawezekana mafutagani?(yanaitwaje?) Asante
@evefesto19854 жыл бұрын
Jaman Tira nimekumiss mno
@joycedaudi87652 жыл бұрын
Tuna omba za Mama amisa
@nasrairunga77305 жыл бұрын
Huyu mama nizaidi ya fundi
@ummulkheirzubeir63205 жыл бұрын
Asante mama ake
@ashatimo46663 жыл бұрын
❤❤💋
@hamdatyussuf60305 жыл бұрын
Jamani naomba namba ya somo tafadhali
@vivianwegero47383 жыл бұрын
Wewe
@cessianthony26444 жыл бұрын
Woyoooooo
@rizikisamwel99045 жыл бұрын
Asante
@qutbabyqut915 жыл бұрын
Atali
@bigboys0164 жыл бұрын
Subutu yao,hawa waleo wenye mahaba ya njiwa
@agnesmkanga50095 жыл бұрын
Kusema ukweli mafundisho ya kwamba Usafi wa ukeni ni mpk kuingiza vidole nna wasiwasi vipi kwa mabint zetu wadogo ambao wamejitunza,wanaweje,!?mi najua inapaswa kutumia Maji ya kutosha na safi!
@mamysaad49555 жыл бұрын
Kwa uwelewa wng mm mwanamke aliyeanza mchezo wa wakubwa ndio anatakiwa ajisafishe kwa kutumia vidole lkn kwa mabinti waliojitunza hawana haja yakufanya hivo cz hakuna uchafu aliomwagiwa ndani.
@alisss97575 жыл бұрын
Nikweli asante mama
@tukupasyalaitoni8062 Жыл бұрын
Mwamposa
@DIAMONDPLATNUMZ3313 жыл бұрын
weeeeeeeeeee
@thexoshowtira3 жыл бұрын
☺️☺️☺️
@mathiaszakaria37034 жыл бұрын
Tira Hii interview siichokagi ya Mamisa 😅😅 Yani daaah I wish wote wapitie Hii wamsikilize huyu mama