unataka kumchanganya mpenzi wako?Mfanyia haya..!!!abdulrazack

  Рет қаралды 598,079

The XO

The XO

5 жыл бұрын

Instagram @tirarira2

Пікірлер: 246
@moyowangu7729
@moyowangu7729 4 жыл бұрын
Mashallah 25yrs kwa ndoa Mungu akuzidishie na hio,
@qaiyahdoow1257
@qaiyahdoow1257 2 жыл бұрын
Allah Anijalie
@wennybarny168
@wennybarny168 5 жыл бұрын
Mwanaume anakuwa na ww mwanamke akikupenda tu au la wale wanaoroga wanaume ndo wanafanikiwa. Hakuna kauli wala matendo. Kuna wanawake wachafu wananuka, wagomvi, wavivu, hawjui kupika na wana kauli mbovu sana kwa wanaume zao ila ndo wanapendwa na hawaachwi.
@shamimkingazi8925
@shamimkingazi8925 5 жыл бұрын
Basi ujue mwanaume kampenda kupitiliza 😍 hata pia kuna wanaume wachafu hata kuoga hawataki ila unakuta nwanamke ammpeeeeenda kwahiyo kuacha ni mtihani sio kuwa wee mbaya au mchafu au anuka domo 😛😛😛😛😛😛mwenyewe meno kaa nashabikia yanga lkn napigwa mabusu 😎
@mwasitiramadhan5634
@mwasitiramadhan5634 5 жыл бұрын
@@shamimkingazi8925 😂😂😂😂😂😂😂
@shamimkingazi8925
@shamimkingazi8925 5 жыл бұрын
@@mwasitiramadhan5634 😆😆😆😆😃😃😘😘😘😘
@anithaswalleh5837
@anithaswalleh5837 5 жыл бұрын
Shamim Kingazi 😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣😂😂😂😂😂 umenichekesha wakati nilikua nimenuna jaman duuh una vituko wewe
@jamilajamila9682
@jamilajamila9682 5 жыл бұрын
@@shamimkingazi8925 🙈🤭🤣🤣🤣🤣🤣👌🤣🤣
@lauraabass1077
@lauraabass1077 5 жыл бұрын
Daah ahsante ma Hindu nimekukubali yaani mpaka mwanao kafata nyayo zako za ndoa. Mpo talented sana, wallah naendelea kuzingatia mafunzo yenu mama na mwana. 😘😘
@hadijakabona955
@hadijakabona955 5 жыл бұрын
Pambee tuu kwingwi napata mafunzo kabra sijaingia kwenywe ndoa naitaji uwe somo yangu nimekupenda bule 😍😍😍
@BeatriceSwai-j5t
@BeatriceSwai-j5t 10 күн бұрын
Nice ❤
@archykawere1430
@archykawere1430 4 жыл бұрын
Mama mahaga u are fire...amazing concept plus u look amazing hun
@thexoshowtira
@thexoshowtira 4 жыл бұрын
Thank u darling 😍😍
@marysdiosa8764
@marysdiosa8764 3 жыл бұрын
@@thexoshowtira Da Tee tunaomba # za kungwi tuna jambo naye
@thexoshowtira
@thexoshowtira 3 жыл бұрын
@@marysdiosa8764 Huyu nilipoteza cm,labda nikupe za huyo mwingine
@aishasalum7936
@aishasalum7936 3 жыл бұрын
@@thexoshowtira namba ya kungwi please dadake
@uwingeneyeshadia7697
@uwingeneyeshadia7697 5 жыл бұрын
Mama unafunda kwa hekma na busara na adabu🙏 Mansha Allah
@angelngoye4910
@angelngoye4910 5 жыл бұрын
Kungwiii umetishaaa😆😆
@hafsakhamis5334
@hafsakhamis5334 Жыл бұрын
Asante kwako mama ...Ila pia hongera...mana pia umepata uyo mume wakujali ayo unayomfanyia
@fettymudy8894
@fettymudy8894 5 жыл бұрын
Ntakufata mama uwe somo wangu nmekubali
@user-qv8zq3fy7f
@user-qv8zq3fy7f 2 ай бұрын
Mama umetisha ❤❤nowadays lzma tutambue pesa kuna botu lapwezi kununua isipokuwa jali japo utu w mtu ata km haba kitu
@centralboytz4240
@centralboytz4240 5 жыл бұрын
😅😅😅we mama ni kwikwi🙌 watu hawajui wanakwama wap 👌
@emmanuelnzaligo6262
@emmanuelnzaligo6262 4 жыл бұрын
Mama umeongea kweli kabisa endelea kuwafundisha dada zetu hata hawaelewi
@salmasaid1521
@salmasaid1521 Жыл бұрын
Shukran kwa somo nzuri
@obviousmphande8621
@obviousmphande8621 5 жыл бұрын
Dada wewe Safi sana wafundishe hawo wasiejua kwakweli mwanawake wengine wanaboa sana .hata kama mtu unataka kucheza muda mlefu unashindwa maana navitu vingine ukiviona hata mpaka nguvu zinapotea kabisaaaaa tafauti na muonekano wake.
@WitnessOchora-dd1gm
@WitnessOchora-dd1gm Жыл бұрын
Jamn atali ❤❤❤ nmepnd mamy natmn nkiolew uwe como wanguu🙏🏽😘 mung akulinde n akzdshie umr mlefu amina
@WitnessOchora-dd1gm
@WitnessOchora-dd1gm Жыл бұрын
🙏🏽❤️
@milkajanuary9056
@milkajanuary9056 5 жыл бұрын
Muda wa kazi tu hapa ,nani anapenda
@jenipherclement2103
@jenipherclement2103 4 жыл бұрын
Jmn kuna wanaume ata umfanyie nn haelew,,,, huzun kwel ndoa za ck hz
@user-fj6gp4hi6c
@user-fj6gp4hi6c 4 ай бұрын
Asant sana mamy
@sponsor7882
@sponsor7882 5 жыл бұрын
SOMO ZURI KWA SLAY QUEEN
@FloraMwavula
@FloraMwavula Ай бұрын
Umetisha mama❤❤❤
@rsshidmnkonje7432
@rsshidmnkonje7432 Ай бұрын
Toeni ushauri sana Kwa wadada wa sasa
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 5 жыл бұрын
Kitaalam hauruhusiwi kinawa huko chini kwa kuingiza kidole( douching). Wala hutakiwi kunawa na sabuni inauwa Bacteria. Unatakiwa kunawa na maji tu, mwili wenyewe unafanya natural cleansing. Wataalamu mpo humu ndani? Au mnasemaje?
@joymas1653
@joymas1653 5 жыл бұрын
What she said ukifanya hivyo , utapata fungus milele
@thambulilucia9898
@thambulilucia9898 5 жыл бұрын
Nakubaliana na wewe kabisa 💯💯 Hata mtu aoshe na manukato yote ya dunia kila mwanamke huwa na harufu yake ya ukeni
@tausikichukwi7520
@tausikichukwi7520 5 жыл бұрын
Ni kweli kidole hakitumiki kujisafishia huku......ni maji unapitisha tena bila sabuni!!
@safiamasoud1328
@safiamasoud1328 5 жыл бұрын
Kidole lazima kipite na harufu ya huku kweli ipo ila ikiwa hujasafisha lazima itoke harufu tofaut(kuna kunukia na kunuka) sasa usiposafisha lazima unuke!!
@mwanahamisbwanga1184
@mwanahamisbwanga1184 2 жыл бұрын
Nkweliii kabsaaa
@user-yi6ou8xf9q
@user-yi6ou8xf9q 9 күн бұрын
Somo lako nzuri sasa wewe unapatokana wapi ,mimi flaviier kutoka kongo
@wambuimungai1950
@wambuimungai1950 5 жыл бұрын
Haloooo Oooo!! 😍👌
@PendoPanclas-lt5zu
@PendoPanclas-lt5zu Жыл бұрын
Jamani Mumy asantee saaaaaana ❤❤ Nakupend buree🥰🥰
@ramadhantembo2453
@ramadhantembo2453 4 жыл бұрын
Mama mola akuzidishie neema yenye kheri na afya njema ukapate kuishi vyema katika ardhi hii kwa ajili yamasomo yako yahekma na taadhima, kila laheri mama!!
@mwasitilimbanga7494
@mwasitilimbanga7494 5 жыл бұрын
Ilo nalo neno mama maana sikuizi wasichana tunajifanya wajuwaji kuliko uwezo wetu
@emmanuelpaul24
@emmanuelpaul24 4 жыл бұрын
Umenena
@sadambaraka7583
@sadambaraka7583 4 жыл бұрын
Mashallh
@bintiiddy7043
@bintiiddy7043 5 жыл бұрын
Haaahaaaa jaman uwiii mbavu zangu mie Asante sana ubarkiwe mama
@atsubaby127
@atsubaby127 Жыл бұрын
Kabisa
@maryambailakhunani3360
@maryambailakhunani3360 5 жыл бұрын
Hatwareee kungwi nimekupenda
@BisadaSaidi
@BisadaSaidi 21 күн бұрын
Jamn naomb kuuliza me mum wang simuelew me ni mke wa tatu IL Kun mke wake wa pili wameachan ila bd cjajuw japo wan mtoto IL akiambiw chocht yupo tayar Kwa lot. IL ananifich happy cielw
@thexoshowtira
@thexoshowtira 21 күн бұрын
@@BisadaSaidi anafanya chochote akiambiwa kwa heshima tu,.kumbuka ana mtoto nae.
@karimhamis
@karimhamis 8 ай бұрын
tira bwana eti lazimaaaaa😂😂😂😂
@leilaabdul8597
@leilaabdul8597 5 жыл бұрын
Mwingine unampikia vizuri anashiba unafanya kila lakini mkiingia kitandani anakwambia kachoka
@esperancenzeyimana2433
@esperancenzeyimana2433 5 жыл бұрын
Leila Abdul Iyo ni kweri kabisa
@futureyouthfoundation5801
@futureyouthfoundation5801 4 жыл бұрын
akichoka njoo kwa watoto wakungwi huku tukupe raha dada
@futureyouthfoundation5801
@futureyouthfoundation5801 4 жыл бұрын
akizingua tyu kacho piga hap kwa mtoto wa kungwi au tuma namba tuje kumuonesha mwanamke anataka nn bhan tena mpuuzi huyo
@lulusanga2326
@lulusanga2326 4 жыл бұрын
@@futureyouthfoundation5801 😂😂😂😂
@vibestudio4707
@vibestudio4707 5 жыл бұрын
kwa darsazaidi tupe namba tukuletee wari wetu plz
@user-xi1pi4zr3b
@user-xi1pi4zr3b 5 жыл бұрын
Mama hatari nmekuelewa sana.
@jaligawesa
@jaligawesa 4 жыл бұрын
Nimechekaaaa!!😂
@francoismalenge1373
@francoismalenge1373 2 ай бұрын
Hello 👏
@rosenaadolfu99
@rosenaadolfu99 5 жыл бұрын
Hamna kitu hapo ujinga mtupu. We sema umempata wa bahati yako mama kaa utulie
@jacksonchimomo554
@jacksonchimomo554 4 жыл бұрын
Rosena Adolfu Wew ndo mjinga wa kutupwa jiwe hilo limekupa
@hajiiddy4843
@hajiiddy4843 4 жыл бұрын
@@jacksonchimomo554 ndio anatabia hizo zinazosemwa hajui saman ya mwanaume na kwa tabia hiyo tutawatumi na kutupa kule anafundishwa anasema upumbavu
@adbulmama5065
@adbulmama5065 3 жыл бұрын
Kweri Maman unasema ukweri
@AikaKassa
@AikaKassa Ай бұрын
@tamimamtumwa-sw8xy
@tamimamtumwa-sw8xy 10 ай бұрын
Nakupataje mama
@fatumahassan7273
@fatumahassan7273 2 жыл бұрын
Asante mama
@julesnahimana1068
@julesnahimana1068 5 жыл бұрын
Mola Ali jaliye ,maneno mazuri
@pendondossy2158
@pendondossy2158 4 жыл бұрын
Asanteeeeeee
@mauwawilson323
@mauwawilson323 Жыл бұрын
🤣🤣🤣ukweli mama
@zainanamaganda6543
@zainanamaganda6543 5 жыл бұрын
Mashaallah shukran jazzakah Allah kheirah from UAE
@neybeuty3619
@neybeuty3619 3 жыл бұрын
Du nipevitu vya nguvu nikupe vituvyanguvu😄😄
@zainabumohammed8334
@zainabumohammed8334 5 жыл бұрын
hahahaha Hatareee Mambo Fire
@futureyouthfoundation5801
@futureyouthfoundation5801 4 жыл бұрын
tena sana
@abellangaiza7940
@abellangaiza7940 4 жыл бұрын
Naomba namba somo
@user-xd3pu3pk5d
@user-xd3pu3pk5d 6 ай бұрын
mama unafunda vizur sana
@truemindstv142
@truemindstv142 5 жыл бұрын
Hahaha mama anajuavyo, nani kweli kabisa
@madiyamsonde562
@madiyamsonde562 5 жыл бұрын
amisa chuma 😚😚😚
@elishamaligana5187
@elishamaligana5187 3 жыл бұрын
Nimeipenda hiyoooo
@deborahrehema5819
@deborahrehema5819 5 жыл бұрын
Fantastic mama kinywa cha mwanamke ndo chanzo cha ndoa kuaribika
@chique23
@chique23 5 жыл бұрын
haswa
@lucywanjiru4218
@lucywanjiru4218 5 жыл бұрын
Napenda haya👌👌
@Ngoniboy0623
@Ngoniboy0623 4 жыл бұрын
Naomb ntafute kwa WhatsApp number +255627714797
@birehaissa2661
@birehaissa2661 5 жыл бұрын
Nakubali napenda usafi
@jeffmauzo5483
@jeffmauzo5483 5 жыл бұрын
Hahaha lazima apige pap
@muhamedwardah5144
@muhamedwardah5144 5 жыл бұрын
Mme ni funza asante😍😍😍😍😍😍😍💞💞💞💞💋💋💋💋💋💋💋
@veronicabernard4151
@veronicabernard4151 3 жыл бұрын
Kwastahili hii hatuachwiii
@erickendrick3330
@erickendrick3330 5 жыл бұрын
Ahahaha.....Duuuu
@tiifhabby7411
@tiifhabby7411 5 жыл бұрын
Wanaume wa cku wao wenyew mahaba hawa yawajui😆😆tena man wa dar ndio kabisaa wanavyo. Penda zegee atari😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂ukiuliza eti ataki awe na kitumbo
@merryn4891
@merryn4891 5 жыл бұрын
Kweli
@bigboy8508
@bigboy8508 5 жыл бұрын
Nataka mke wa kufira. Pesa ziko
@user-op9uf6ji1r
@user-op9uf6ji1r 7 ай бұрын
Mama asante kwa mafunzo yako
@SafeHaven_TV
@SafeHaven_TV 5 жыл бұрын
Nimewapenda bure...Ooh TIRA..
@SafeHaven_TV
@SafeHaven_TV 5 жыл бұрын
@@thexoshowtira Tira,hivi unajua ulivyo kweli?Great show by the prettiest host ever....duuh.
@dianamedi7453
@dianamedi7453 5 жыл бұрын
Now days thanks kadriyawanawake asilimia98 wameendelea kwausafi na jinsiyakututumia maeneoyao yaikulu hadi wanaume wanachanganyikiwa na hasa wandaniyandowa kwahapa me nahisi hajafunza kipya. Still anahitajikusoma zaidi
@ridiamwainunualsee7495
@ridiamwainunualsee7495 4 жыл бұрын
Diana medi safi
@winfridapeter4458
@winfridapeter4458 5 жыл бұрын
Ahsante sana
@imeldabwire6628
@imeldabwire6628 5 жыл бұрын
nimekupenda mom,asante nimekuelewa
@khalfanabdulrahman4705
@khalfanabdulrahman4705 5 жыл бұрын
Please if I may have the contact of the guest in this episode. I would like her to teach my wife a few things. Thank you
@thebeautifulone7982
@thebeautifulone7982 5 жыл бұрын
lol
@paulinengugi3435
@paulinengugi3435 5 жыл бұрын
🤣
@hamzanyimkuu8002
@hamzanyimkuu8002 4 жыл бұрын
Same to me 😀😀😀
@marymamakevj3227
@marymamakevj3227 4 жыл бұрын
@@thebeautifulone7982 😂😂
@birih8801
@birih8801 2 жыл бұрын
😂😂
@medi222alrajhi9
@medi222alrajhi9 5 жыл бұрын
Mh majisifu mengi huna lolote
@saunahussein4887
@saunahussein4887 5 жыл бұрын
medi222 alrajhi yoi
@thebesthoyame
@thebesthoyame 5 жыл бұрын
If possible can you put english subtitles please
@futureyouthfoundation5801
@futureyouthfoundation5801 4 жыл бұрын
she sayed that no matter how girls proud themselve that i am break up with him because i decided it that is not true there is something behind that she failed to do inorder to in spear him so better to find a way to in speared him
@zahramunir8596
@zahramunir8596 5 жыл бұрын
Hahaa eti nna bahati? kumbe una nuks!!
@SA-xj8hc
@SA-xj8hc 5 жыл бұрын
Sio kweli wanaume sote sio sawa , mbona kuna watu tunapenda harufu ya kwapa za wake zetu wakati wa shughuli , tena inaleta MAHANJAMU hasa. Kuna makabila yanaamini hizi harufu ndio zinazoleta mvuto baina ya jike na dume .🤣🤣🤣
@sophiaakilimali8689
@sophiaakilimali8689 5 жыл бұрын
Nice 😘
@witnesstegga5994
@witnesstegga5994 5 жыл бұрын
Hahahahahahahaaaaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂......... Ncheke mie
@bisibo27
@bisibo27 5 жыл бұрын
😂 😂 😂 😂 😂
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 5 жыл бұрын
LoL
@dianamedi7453
@dianamedi7453 5 жыл бұрын
Hahahahah a lollll
@ysean9872
@ysean9872 4 жыл бұрын
Will they do the same for us??😢 au sisi tufanye tuu lkn hatufanyiwi
@lifesailor981
@lifesailor981 4 жыл бұрын
'Treat yours, the way you love to Be treated'
@jenniferkayoza9618
@jenniferkayoza9618 4 жыл бұрын
ukweli nuksi tena mbaya sema hawajitambui wa ivyo
@Sam-sj1cy
@Sam-sj1cy 2 жыл бұрын
Halloooo 🇧🇲
@hafsakhamis5334
@hafsakhamis5334 Жыл бұрын
Ila wanaume wengine hata uwafanyie nin hawaridhiki
@ruthcharles3649
@ruthcharles3649 4 жыл бұрын
asante sana kwasomo zuri
@eliaamoss3720
@eliaamoss3720 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂 eti nikwa babako
@vailethjoseph5674
@vailethjoseph5674 5 жыл бұрын
asante asante asante asante asante asante asante
@victoriamefya6287
@victoriamefya6287 5 жыл бұрын
oioioiioi 😘😘😘kungwiii
@mymswadik6795
@mymswadik6795 5 жыл бұрын
Nisaidie no za kungwi,au nampataje?
@ShalonSebastian-hc8oh
@ShalonSebastian-hc8oh Жыл бұрын
Samahan niulize kidogo mume wako kama nimfanya biashara amefata mzigo utamwambia maneno gan ya kumwambia ili afalijike?
@thexoshowtira
@thexoshowtira Жыл бұрын
Nakupenda mume wangu,Mungu akutangulie,akulinde na akufanyie wepesi kwenye shughuli zako.Safari njema.
@user-sv6zy3hc8o
@user-sv6zy3hc8o 4 ай бұрын
Mhhh jamani wengine hata maneno mazuri hamya jui
@ayunramadhan3104
@ayunramadhan3104 5 жыл бұрын
Siku hizi mtihani aibu za chumbani ziko hadharan ni msiba
@magrethbbw7524
@magrethbbw7524 5 жыл бұрын
Kwakwel
@ayunramadhan3104
@ayunramadhan3104 5 жыл бұрын
@@magrethbbw7524Eti kafundwa kama umefundwa mbona unasema mambo ya kike mtandaon mapenzi huwezi kwenda kujifunza kwa mtu c kweli
@magrethbbw7524
@magrethbbw7524 5 жыл бұрын
@@ayunramadhan3104 mapenz mtu anajua naturally ukifundishwa n sawa unaishi maisha yako Na mume kwa akili ya mwanamke mwenzako
@magrethbbw7524
@magrethbbw7524 5 жыл бұрын
Watu hatufanani kwakwel tusiforce kuwa ambavyo hatupo.makungwi waliofundwa kweli hawawez kuongea mambo kama hayo mtandaon ,mtandao unatumiwa Na weng hasa watoto
@ayunramadhan3104
@ayunramadhan3104 5 жыл бұрын
@@magrethbbw7524 watu kutokuwa na adabu
@zahoromzee5417
@zahoromzee5417 3 жыл бұрын
Mpendwa habari naomba kuuliza Nilikuuliza kuhusu lile kusu kwamba hakuna njia mbadala yakupima njia wakati wakujifungu? Ila kubwa naomba uniambie mafutagani mazuri ambayo naweza kumfanyia mpenziwangu Massage Na lingine nataka kua je kama uke wamwanamke hata ukimuandaa unakua mkavu je tunaweza kutumia mafuta?, kama inawezekana mafutagani?(yanaitwaje?) Asante
@evefesto1985
@evefesto1985 4 жыл бұрын
Jaman Tira nimekumiss mno
@joycedaudi8765
@joycedaudi8765 2 жыл бұрын
Tuna omba za Mama amisa
@nasrairunga7730
@nasrairunga7730 5 жыл бұрын
Huyu mama nizaidi ya fundi
@ummulkheirzubeir6320
@ummulkheirzubeir6320 5 жыл бұрын
Asante mama ake
@ashatimo4666
@ashatimo4666 3 жыл бұрын
❤❤💋
@hamdatyussuf6030
@hamdatyussuf6030 5 жыл бұрын
Jamani naomba namba ya somo tafadhali
@vivianwegero4738
@vivianwegero4738 3 жыл бұрын
Wewe
@cessianthony2644
@cessianthony2644 4 жыл бұрын
Woyoooooo
@rizikisamwel9904
@rizikisamwel9904 5 жыл бұрын
Asante
@qutbabyqut91
@qutbabyqut91 5 жыл бұрын
Atali
@bigboys016
@bigboys016 4 жыл бұрын
Subutu yao,hawa waleo wenye mahaba ya njiwa
@agnesmkanga5009
@agnesmkanga5009 5 жыл бұрын
Kusema ukweli mafundisho ya kwamba Usafi wa ukeni ni mpk kuingiza vidole nna wasiwasi vipi kwa mabint zetu wadogo ambao wamejitunza,wanaweje,!?mi najua inapaswa kutumia Maji ya kutosha na safi!
@mamysaad4955
@mamysaad4955 5 жыл бұрын
Kwa uwelewa wng mm mwanamke aliyeanza mchezo wa wakubwa ndio anatakiwa ajisafishe kwa kutumia vidole lkn kwa mabinti waliojitunza hawana haja yakufanya hivo cz hakuna uchafu aliomwagiwa ndani.
@alisss9757
@alisss9757 5 жыл бұрын
Nikweli asante mama
@tukupasyalaitoni8062
@tukupasyalaitoni8062 Жыл бұрын
Mwamposa
@DIAMONDPLATNUMZ331
@DIAMONDPLATNUMZ331 3 жыл бұрын
weeeeeeeeeee
@thexoshowtira
@thexoshowtira 3 жыл бұрын
☺️☺️☺️
@mathiaszakaria3703
@mathiaszakaria3703 4 жыл бұрын
Tira Hii interview siichokagi ya Mamisa 😅😅 Yani daaah I wish wote wapitie Hii wamsikilize huyu mama
Maamisa chuma,
12:20
The XO
Рет қаралды 90 М.
EVOLUTION OF ICE CREAM 😱 #shorts
00:11
Savage Vlogs
Рет қаралды 14 МЛН
ПОМОГЛА НАЗЫВАЕТСЯ😂
00:20
Chapitosiki
Рет қаралды 22 МЛН
KITOMBO KITAMU,,KUWA MALAYA KITANDANI
17:05
Betty Chanzi katuku
Рет қаралды 98 М.
Mwanaume Akiomba Andazi Anapewa By Mariam Migomba | Kitchen Party Online
5:14
Kitchen Party Online
Рет қаралды 3,2 М.
KUNGWI DUME: KUTOKWA NA MAJIMAJI UKENI
28:49
Ibrah Thedon
Рет қаралды 18 М.
Dr. Chris Mauki: Ukiyaona haya, hata kama unampenda, mwache aende
10:14
MFANYIE MUMEO HIKI AKUPE KILA UNACHOTAKA
14:29
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 62 М.
EVOLUTION OF ICE CREAM 😱 #shorts
00:11
Savage Vlogs
Рет қаралды 14 МЛН