FAMILIA KUIPATA CONTENT YA MZEE SAID NI KAZI NGUMU MNOO......MSAADA KOKOTE UTAKAKOKUTA MTU AMEIBA HII CONTENT AKAIPOST KWAKE NITUMIE LINK YAKE 0782100162 HUYO ALIEPOST UTAKUWA UMENISAIDIA SANA FAMILIA🙏
@RukhayyahMtutuma15 күн бұрын
pamoja familia
@femidayahaya488215 күн бұрын
Chagamba zipo nyingi yu mbona..hata hii ukimaliza tu itapostiwa pahala.
@DM_1515 күн бұрын
Ondoa shaka familia
@Finestonline15 күн бұрын
@@femidayahaya4882 msaada wako ndugu yangu nipate link zake tu familia wanaua sana nguvu kazi yangu 🙏
@salimkadenge323115 күн бұрын
Poa gamba
@stevenobure824115 күн бұрын
Tunamuombea Maisha marefu sana Mzee Saidi ili tuweze kumfaidi maana anatupa raha sana Nawe Changamba hongera kazi nzuri 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@rosenamilia414015 күн бұрын
Kwa muda wa nusu saa watazamaji wanaomfuatilia Mzee Saidi 1.2k🎉🎉🎉🎉❤❤.Shikilia hapo hapo Chagamba kwa kumhoji Mzee Saidi kula siku.
@user-ho1jq3ut2w13 күн бұрын
🎉Yjistyuyyyuu98888😮
@christophermbuga962315 күн бұрын
Mzee Saidi nampenda sina maelezo kwa nn!! Ninaongeza mb kila mara ili nimsikie Mzee Saidi!! Udumu Mzee. Unatupa raha. Mwaga madini Mzee!! Nakukubali mnooo
@Shuu_mwak13 күн бұрын
An uyu mzee awekewe ulinz kwa kweeel an me ananimalizia bando langu😂😂😂😂
@Shadia54415 күн бұрын
Jamaniii jamaniii jamaniii 😂Chagamba na mzee saidi jamaniii nilikuwa namsubili mzee saidi 😂Chagamba anainjoi sanaaaaaa LIKE 10 😂
@mjumbemwanda966615 күн бұрын
Hadi wanawake mnapenda mpira? ❤
@abasikusaga613215 күн бұрын
❤ kumbe na wewe umoo
@MwanzoNyedeche15 күн бұрын
Mambo mrembi
@Shadia54415 күн бұрын
@@MwanzoNyedechepoa kipenzi changu
@Shadia54415 күн бұрын
@@mjumbemwanda9666ndiyo tena miee yangaaaa 😂😂😂😂
@GeradinaJohn-xh8pw15 күн бұрын
Napenda hii make haina matusi bali inafurahisha sana👌👌👌👌
@OmanAlkamil-nl2zw15 күн бұрын
Nimekuwa wa Kwanza jmn,, from Oman 🇴🇲🇴🇲🇴🇲 nilikumic Mzee saidi
@GeradinaJohn-xh8pw15 күн бұрын
Sawa Oman wa Tz😂😂
@gidanoagustino905615 күн бұрын
😂😂😂
@BaruaniBakari15 күн бұрын
Mzee saidi ww.wachekesha kweli jamani mungu akuweke
@salimalaquimane307715 күн бұрын
Yanga binwa msimu huu Asante MUNGU 🙏♥️
@MpembaMayunga14 күн бұрын
Kama unamkubal Mzee said gong like🎉🎉🎉🎉🎉
@alikawinga228915 күн бұрын
Mzee saidi niko ujerumani wanifuraisha sana mimi ni Yanga
Mm shabiki wa yanga mzee saidi anaujua mpira kweli nampenda sana
@user-we3cm7db2h15 күн бұрын
Mungu akupe maisha marefu mzee SAID nakupnda sana mm napenda sana kukuckiliza wewe MB zangu naeka kwa sabb yako ila mm ni YANGAAAAAAAAAAAAAAAAAA ila mzee SAID AZIZ bado yupe sana YANGAAAAAAAAAA.
@BADILIJUSTUS-fs3oo15 күн бұрын
Chagamba kazi Yako unaitenda vizuri aise
@ChenchiKing15 күн бұрын
Yan Bato La Mzee Said Akunag Wakulimaliza🔥🔥🔥
@user-ch2it3qt5z14 күн бұрын
Yan mzee Said ukwl unamzid jemedar KABSA Mungu akupe Maisha marefu mzee Wangu❤ ishi miaka 💯 tuenjoi burudan
@GodblessMushi-e6y15 күн бұрын
Maze Said ni msema kweli, big up Chagamba, big up Mzee Said, big up Miraji a.k.a Mara moja
@lumistarboy849915 күн бұрын
😂😂 Mzee Said na Gamba hii perfect combo
@michaelmduba593115 күн бұрын
Kumekucha kumekucha na mzee Said
@user-vi7ly9zh1q15 күн бұрын
Nimecheka jamani 😂😂 mzee said
@Mary-fs4mc15 күн бұрын
Kumekucha kumekucha 😂😂 Baba yangu mzee Said, Gamba tuwekee no.ya mzee Said jamni. 😂😂
@abelimaganga41715 күн бұрын
Chagamba nilikuwa nimechoka Sanaa nimetoka kazin lakin baada ya kumwona huyu mzeee nimefurah Sanaa ahsant sana
@BADAWY57515 күн бұрын
Mzee Said mzee wa mpira anajua sana mpira na anajua kumtambua mchezaji kila la kheri mzee saidi wachezaji wako kwa mtazamo wanaonekana wanaujua
@shefatiakeleye89714 күн бұрын
Mhuuuu😂😂
@MichaelMwambango15 күн бұрын
Ila Mzee Saidi bhana 🔥🔥🔥
@emaculatemakoi822615 күн бұрын
Huyu mzee nampendaaa sanaaaa
@user-ff1it9og8y15 күн бұрын
Mmm h ni kweriii Mzee Said maneno yake yana maaana Tz bila uchawiii wachezaji hawatobowiii wazeee wa Simba kaeni mapema mtafakari ni wapi mmekosea hizo gori 5 mchezo ulikuwaje e uwanjani wachezaji wa Yanga waliingilua Mlango ganisiku ya mchezo hiyo ni Vita ya kisasiiiiiii Simba kurudisha ufalume❤❤❤❤❤
@trice_yanga14 күн бұрын
nakuona mchawi umetoaa maoni😂
@mohdkhatib22314 күн бұрын
Hapa kama simba wanataka ushindi watengeneze timu na wakinunua wachezaji wanunue wachezaji wa viwango na si wachezaji wa mafungu.
@JANE-jv4eq15 күн бұрын
Ngendembe imeanza lini tena mzee saidi 😂😂😂😂😂😂😂
@deogratiaspmwolo194215 күн бұрын
Mzee said kipenzi cha wana yanga . Yanga tunakupenda sana mzee said. Wewe ni kipenzi chetu
@evansmoshi192315 күн бұрын
Wana yanga chawa wenu huyu ntunzeni sana?
@VedastinaVedarian14 күн бұрын
Tupo na mzee said mpka wamfukuze ahamie kwetu 😅
@minazsaid247015 күн бұрын
Mzee Said bado hujasema 😂😂
@zakayomgaya275815 күн бұрын
😂😂,😂 chagamba mwambie mzee saidi tunafulahi sana kumskia mwanasimba wenzie tupo nyuma yake
Uwa nasubiri interview ya mzee Said,Hao wengine wakina kisugu siasa nyingi mara mama mara nyoko
@user-ls2pp5hi6m15 күн бұрын
Mzee wetu said tunampenda sanaa
@rashadymuhamad629310 күн бұрын
Yaani tunampenda vibaya mnoooo!!!
@GIFT37tv14 күн бұрын
IMENIUMA SANA KUMUACHA SAIDOO NTOMBANDOKIZA
@MpembaMayunga14 күн бұрын
😂😂😂😂 xhenzi zako
@user-hp5zf2fw4o15 күн бұрын
😅😅😅😅😅😅mzee unateseka sana poleee
@christophermbuga962315 күн бұрын
Mzee wa ngendembwe!! Mzee Said uko vizuri
@chumaramadhani.758115 күн бұрын
Mzee Said umetoa SMG kwa YANGA, wewe umebaki GOBOLE, Pole Sana.
@MariamMbonde-v1e15 күн бұрын
😅😅😅 mzee side angalia usije mpiga vibaoooo huyo chagamba aisee jaman nmecheka sanaaa😂😂
@cleophasmkungu62314 күн бұрын
Huhuuuu! Mzee Said utauaa, eti hamna cha Mkwara wala Mkwaraaaa😃😃
@Hgd-jk6lh14 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂mezee said jamani nampendaa saan😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅mwenye nambar yake naombeni ninavocha yake laki 1chagamba nicheki mwanagu mie ni yanga ila nampendaa saan mzee Saidi😂😂😂like za mzee said ♥️
@PeterTelemka15 күн бұрын
Nimemsubiri Sana mzee said hivi viongozi wa kaole Sanaa wako wapi kipaji hiki jamani kwenye maigizo
@PlanetLeo72114 күн бұрын
Mimi ni mwananch ! ila I like Mzee Said. He also makes me to be happy when I’m very stressful.
@salmamlokela198715 күн бұрын
Mambo yashaaanza uku😂😂😂
@ElizabethLukosya-lv2vf14 күн бұрын
Pamoja sana mzee wetu saidi 🤗
@lumistarboy849915 күн бұрын
Gamba Augustine ni namba 6 Gambaaaaa unampoteza Mzee ila hapo kwa Deborah nimecheka sana😅😅😅😅
Chagamba jitahidi kila siku ukutane na Mzee Saidi mi MSURE mbaya.Wanafamilia tunampenda sana ,hasa kwa ukweli wake,vichekesho na lugha yake ya utani.Mie nacheka tu huku na kuongeza uhai wangu😂😂😂
@LinuslusianLinuslusian15 күн бұрын
Mzee Said yuko safi mbona Jobe haongelewi?
@MuammaryAbdalla15 күн бұрын
wakikuita debora na wew waite joicy
@mustaphawelder702215 күн бұрын
Watakuwa wanaijua daby Kwan hata kwao kuna daby
@nasibumuya450413 күн бұрын
mzee saidi mm nakukubali sana hata kama nimevugwa nikikusikia bavu sina🤣🤣🤩
@chrispinallan368315 күн бұрын
Wee mzeee saidi noma sn Nina zawadi yk nitafute mzee wang
@user-zq2tj9gr6r15 күн бұрын
Mzee saidi saidiya simba yako
@phiddeschacha314315 күн бұрын
Yaani Mzee Saidi wenye kukuelewa wamekuelewa
@jamesmakaranga117015 күн бұрын
Mzee said bn nakukubali sna
@moseshaji117715 күн бұрын
Mzee Said nakufatilia vyema sana kila utupiapo interview mpya Nipo Bin Umran Doha Qatar hapa
@hyy411414 күн бұрын
Upo umran mm nipo Umqan
@clementmmbaga305215 күн бұрын
Hatarii mzee said
@tamariamisi35408 күн бұрын
Thank you so much said I love you me I live from yuganda
@WilliamStanley-m8u15 күн бұрын
Nakuelewa mzee said
@kingslove777215 күн бұрын
Mzee said bana we leo umeamua je
@gaspermathayo520414 күн бұрын
Ndomana watoto wayanga wananita debora😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@harunimsangi777013 күн бұрын
Mzee saidi bwana mungu akupe maisha marefu
@ramadhankombe264315 күн бұрын
Kwa sasa hv hawawez kumuelewa mzee Said.lkn ngoja ligi ikianza ndio watamuelewa vzr anachomaanisha huyo mzee.hahahaaaaa walah mzee said unanifurahisha sanaaa.na ww chagamba unachombeza kiunafki km vile huelewi simba watavyodhalilishwa na yanga😅😅😅
@HassanHassan-vh6pc15 күн бұрын
Mzee said x hii tunakubandikia bango mlangoni kwako
@claragodfrey298515 күн бұрын
Mzee saidi unanipa burudani jamaniii ata kula sijala sababu ya maneno yako
@rozamabagala62425 күн бұрын
Saido mzee kukimbia hadi ajikusanye kama tairi za scania😂😂😂
@AllyMaketa14 күн бұрын
Chagamba ww yanga mzee said nakuelewa sana
@EmmanuliM.lugembe15 күн бұрын
Changaba unakuwa unamcheleweaha sana Mzee saidi
@Izzoh202115 күн бұрын
Mzee saidi sio yanga tu waswahili simba mmezidi uswahili yanga tushatoka uko hohohoho,mzee saidi kula chuma hicho simba imebaki siasa tu kama una D mbili utakuwa umenielewa,mbili hiyo kikosi ya yanga mim yanga naiyogopa mzee saidi huogopi? iko na mafundi tupu hohoho kuna team itakula 10 msimu ujao hohoho nimekaa pale hohohohoho