MZEE SAID| TUKIFUNGWA NA YANGA TU USAJILI WOTE UTAKUWA MBOVU |TUTATUKANA VIONGOZI WATU WAMEKULA PESA

  Рет қаралды 130,046

Finest Online

Finest Online

17 күн бұрын

Пікірлер: 548
@Finestonline
@Finestonline 15 күн бұрын
FAMILIA KUIPATA CONTENT YA MZEE SAID NI KAZI NGUMU MNOO......MSAADA KOKOTE UTAKAKOKUTA MTU AMEIBA HII CONTENT AKAIPOST KWAKE NITUMIE LINK YAKE 0782100162 HUYO ALIEPOST UTAKUWA UMENISAIDIA SANA FAMILIA🙏
@RukhayyahMtutuma
@RukhayyahMtutuma 15 күн бұрын
pamoja familia
@femidayahaya4882
@femidayahaya4882 15 күн бұрын
Chagamba zipo nyingi yu mbona..hata hii ukimaliza tu itapostiwa pahala.
@DM_15
@DM_15 15 күн бұрын
Ondoa shaka familia
@Finestonline
@Finestonline 15 күн бұрын
@@femidayahaya4882 msaada wako ndugu yangu nipate link zake tu familia wanaua sana nguvu kazi yangu 🙏
@salimkadenge3231
@salimkadenge3231 15 күн бұрын
Poa gamba
@stevenobure8241
@stevenobure8241 15 күн бұрын
Tunamuombea Maisha marefu sana Mzee Saidi ili tuweze kumfaidi maana anatupa raha sana Nawe Changamba hongera kazi nzuri 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@rosenamilia4140
@rosenamilia4140 15 күн бұрын
Kwa muda wa nusu saa watazamaji wanaomfuatilia Mzee Saidi 1.2k🎉🎉🎉🎉❤❤.Shikilia hapo hapo Chagamba kwa kumhoji Mzee Saidi kula siku.
@user-ho1jq3ut2w
@user-ho1jq3ut2w 13 күн бұрын
🎉Yjistyuyyyuu98888😮
@christophermbuga9623
@christophermbuga9623 15 күн бұрын
Mzee Saidi nampenda sina maelezo kwa nn!! Ninaongeza mb kila mara ili nimsikie Mzee Saidi!! Udumu Mzee. Unatupa raha. Mwaga madini Mzee!! Nakukubali mnooo
@Shuu_mwak
@Shuu_mwak 13 күн бұрын
An uyu mzee awekewe ulinz kwa kweeel an me ananimalizia bando langu😂😂😂😂
@Shadia544
@Shadia544 15 күн бұрын
Jamaniii jamaniii jamaniii 😂Chagamba na mzee saidi jamaniii nilikuwa namsubili mzee saidi 😂Chagamba anainjoi sanaaaaaa LIKE 10 😂
@mjumbemwanda9666
@mjumbemwanda9666 15 күн бұрын
Hadi wanawake mnapenda mpira? ❤
@abasikusaga6132
@abasikusaga6132 15 күн бұрын
❤ kumbe na wewe umoo
@MwanzoNyedeche
@MwanzoNyedeche 15 күн бұрын
Mambo mrembi
@Shadia544
@Shadia544 15 күн бұрын
​@@MwanzoNyedechepoa kipenzi changu
@Shadia544
@Shadia544 15 күн бұрын
​@@mjumbemwanda9666ndiyo tena miee yangaaaa 😂😂😂😂
@GeradinaJohn-xh8pw
@GeradinaJohn-xh8pw 15 күн бұрын
Napenda hii make haina matusi bali inafurahisha sana👌👌👌👌
@OmanAlkamil-nl2zw
@OmanAlkamil-nl2zw 15 күн бұрын
Nimekuwa wa Kwanza jmn,, from Oman 🇴🇲🇴🇲🇴🇲 nilikumic Mzee saidi
@GeradinaJohn-xh8pw
@GeradinaJohn-xh8pw 15 күн бұрын
Sawa Oman wa Tz😂😂
@gidanoagustino9056
@gidanoagustino9056 15 күн бұрын
😂😂😂
@BaruaniBakari
@BaruaniBakari 15 күн бұрын
Mzee saidi ww.wachekesha kweli jamani mungu akuweke
@salimalaquimane3077
@salimalaquimane3077 15 күн бұрын
Yanga binwa msimu huu Asante MUNGU 🙏♥️
@MpembaMayunga
@MpembaMayunga 14 күн бұрын
Kama unamkubal Mzee said gong like🎉🎉🎉🎉🎉
@alikawinga2289
@alikawinga2289 15 күн бұрын
Mzee saidi niko ujerumani wanifuraisha sana mimi ni Yanga
@Kuminamoja1995
@Kuminamoja1995 15 күн бұрын
Nipo USA 🇺🇸 Nipe number yako
@derimkongwa5965
@derimkongwa5965 15 күн бұрын
Kaka nipe namba yako nashida nawewe
@derimkongwa5965
@derimkongwa5965 15 күн бұрын
​@@Kuminamoja1995kaka nipe namba yako nashida naww
@derimkongwa5965
@derimkongwa5965 15 күн бұрын
Nipe namba yako kaka nashida naww
@YusuphMayunga-z8l
@YusuphMayunga-z8l 15 күн бұрын
Mm shabiki wa yanga mzee saidi anaujua mpira kweli nampenda sana
@user-we3cm7db2h
@user-we3cm7db2h 15 күн бұрын
Mungu akupe maisha marefu mzee SAID nakupnda sana mm napenda sana kukuckiliza wewe MB zangu naeka kwa sabb yako ila mm ni YANGAAAAAAAAAAAAAAAAAA ila mzee SAID AZIZ bado yupe sana YANGAAAAAAAAAA.
@BADILIJUSTUS-fs3oo
@BADILIJUSTUS-fs3oo 15 күн бұрын
Chagamba kazi Yako unaitenda vizuri aise
@ChenchiKing
@ChenchiKing 15 күн бұрын
Yan Bato La Mzee Said Akunag Wakulimaliza🔥🔥🔥
@user-ch2it3qt5z
@user-ch2it3qt5z 14 күн бұрын
Yan mzee Said ukwl unamzid jemedar KABSA Mungu akupe Maisha marefu mzee Wangu❤ ishi miaka 💯 tuenjoi burudan
@GodblessMushi-e6y
@GodblessMushi-e6y 15 күн бұрын
Maze Said ni msema kweli, big up Chagamba, big up Mzee Said, big up Miraji a.k.a Mara moja
@lumistarboy8499
@lumistarboy8499 15 күн бұрын
😂😂 Mzee Said na Gamba hii perfect combo
@michaelmduba5931
@michaelmduba5931 15 күн бұрын
Kumekucha kumekucha na mzee Said
@user-vi7ly9zh1q
@user-vi7ly9zh1q 15 күн бұрын
Nimecheka jamani 😂😂 mzee said
@Mary-fs4mc
@Mary-fs4mc 15 күн бұрын
Kumekucha kumekucha 😂😂 Baba yangu mzee Said, Gamba tuwekee no.ya mzee Said jamni. 😂😂
@abelimaganga417
@abelimaganga417 15 күн бұрын
Chagamba nilikuwa nimechoka Sanaa nimetoka kazin lakin baada ya kumwona huyu mzeee nimefurah Sanaa ahsant sana
@BADAWY575
@BADAWY575 15 күн бұрын
Mzee Said mzee wa mpira anajua sana mpira na anajua kumtambua mchezaji kila la kheri mzee saidi wachezaji wako kwa mtazamo wanaonekana wanaujua
@shefatiakeleye897
@shefatiakeleye897 14 күн бұрын
Mhuuuu😂😂
@MichaelMwambango
@MichaelMwambango 15 күн бұрын
Ila Mzee Saidi bhana 🔥🔥🔥
@emaculatemakoi8226
@emaculatemakoi8226 15 күн бұрын
Huyu mzee nampendaaa sanaaaa
@user-ff1it9og8y
@user-ff1it9og8y 15 күн бұрын
Mmm h ni kweriii Mzee Said maneno yake yana maaana Tz bila uchawiii wachezaji hawatobowiii wazeee wa Simba kaeni mapema mtafakari ni wapi mmekosea hizo gori 5 mchezo ulikuwaje e uwanjani wachezaji wa Yanga waliingilua Mlango ganisiku ya mchezo hiyo ni Vita ya kisasiiiiiii Simba kurudisha ufalume❤❤❤❤❤
@trice_yanga
@trice_yanga 14 күн бұрын
nakuona mchawi umetoaa maoni😂
@mohdkhatib223
@mohdkhatib223 14 күн бұрын
Hapa kama simba wanataka ushindi watengeneze timu na wakinunua wachezaji wanunue wachezaji wa viwango na si wachezaji wa mafungu.
@JANE-jv4eq
@JANE-jv4eq 15 күн бұрын
Ngendembe imeanza lini tena mzee saidi 😂😂😂😂😂😂😂
@deogratiaspmwolo1942
@deogratiaspmwolo1942 15 күн бұрын
Mzee said kipenzi cha wana yanga . Yanga tunakupenda sana mzee said. Wewe ni kipenzi chetu
@evansmoshi1923
@evansmoshi1923 15 күн бұрын
Wana yanga chawa wenu huyu ntunzeni sana?
@VedastinaVedarian
@VedastinaVedarian 14 күн бұрын
Tupo na mzee said mpka wamfukuze ahamie kwetu 😅
@minazsaid2470
@minazsaid2470 15 күн бұрын
Mzee Said bado hujasema 😂😂
@zakayomgaya2758
@zakayomgaya2758 15 күн бұрын
😂😂,😂 chagamba mwambie mzee saidi tunafulahi sana kumskia mwanasimba wenzie tupo nyuma yake
@leoncengabo5799
@leoncengabo5799 15 күн бұрын
Kkkkkkk Mzee Saidi nakupata vizurii nikiwa Kampala. Wazingue team!!! Makoe,kutunguluka,juijuijuii!!!! Kkkkkkkkkkk,misemo Yako,kweli nimeingia kamsi nimepotea...
@user-eh6wn9qf4b
@user-eh6wn9qf4b 15 күн бұрын
Tulikumiss sanaaaa xema saiz chagamba anazingua 😂😂😂😂😂😂
@WilliamStanley-m8u
@WilliamStanley-m8u 15 күн бұрын
Nakuelewa sana mzee said
@BarnabaJaphet
@BarnabaJaphet 15 күн бұрын
Daaah ebana hapo sasa afadhar nimepata furaha ya moyo.pamoja sana gamba mpe salam mzee said
@kelvinkumila4708
@kelvinkumila4708 15 күн бұрын
BOKA TENA?? WAMELETA MWINGINE?? JANA?? ANAITWA BOKA!! KATOKA WAPI??? EEEH!😢😢
@Sadick-vb5gg
@Sadick-vb5gg 15 күн бұрын
Uwa nasubiri interview ya mzee Said,Hao wengine wakina kisugu siasa nyingi mara mama mara nyoko
@user-ls2pp5hi6m
@user-ls2pp5hi6m 15 күн бұрын
Mzee wetu said tunampenda sanaa
@rashadymuhamad6293
@rashadymuhamad6293 10 күн бұрын
Yaani tunampenda vibaya mnoooo!!!
@GIFT37tv
@GIFT37tv 14 күн бұрын
IMENIUMA SANA KUMUACHA SAIDOO NTOMBANDOKIZA
@MpembaMayunga
@MpembaMayunga 14 күн бұрын
😂😂😂😂 xhenzi zako
@user-hp5zf2fw4o
@user-hp5zf2fw4o 15 күн бұрын
😅😅😅😅😅😅mzee unateseka sana poleee
@christophermbuga9623
@christophermbuga9623 15 күн бұрын
Mzee wa ngendembwe!! Mzee Said uko vizuri
@chumaramadhani.7581
@chumaramadhani.7581 15 күн бұрын
Mzee Said umetoa SMG kwa YANGA, wewe umebaki GOBOLE, Pole Sana.
@MariamMbonde-v1e
@MariamMbonde-v1e 15 күн бұрын
😅😅😅 mzee side angalia usije mpiga vibaoooo huyo chagamba aisee jaman nmecheka sanaaa😂😂
@cleophasmkungu623
@cleophasmkungu623 14 күн бұрын
Huhuuuu! Mzee Said utauaa, eti hamna cha Mkwara wala Mkwaraaaa😃😃
@Hgd-jk6lh
@Hgd-jk6lh 14 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂mezee said jamani nampendaa saan😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅mwenye nambar yake naombeni ninavocha yake laki 1chagamba nicheki mwanagu mie ni yanga ila nampendaa saan mzee Saidi😂😂😂like za mzee said ♥️
@PeterTelemka
@PeterTelemka 15 күн бұрын
Nimemsubiri Sana mzee said hivi viongozi wa kaole Sanaa wako wapi kipaji hiki jamani kwenye maigizo
@PlanetLeo721
@PlanetLeo721 14 күн бұрын
Mimi ni mwananch ! ila I like Mzee Said. He also makes me to be happy when I’m very stressful.
@salmamlokela1987
@salmamlokela1987 15 күн бұрын
Mambo yashaaanza uku😂😂😂
@ElizabethLukosya-lv2vf
@ElizabethLukosya-lv2vf 14 күн бұрын
Pamoja sana mzee wetu saidi 🤗
@lumistarboy8499
@lumistarboy8499 15 күн бұрын
Gamba Augustine ni namba 6 Gambaaaaa unampoteza Mzee ila hapo kwa Deborah nimecheka sana😅😅😅😅
@user-pw4hw5sx6e
@user-pw4hw5sx6e 15 күн бұрын
Nilitaka kushangaa bila kumtaja saidoo
@musamwakalibule3383
@musamwakalibule3383 15 күн бұрын
Sasa😂😂😂😅 jamani mzee said, huyo chagamba kakosea nini? Usimpige huyo
@nelsonlugaimukamu6611
@nelsonlugaimukamu6611 14 күн бұрын
Hongereni sana kwa kipindi kizuri,mzee saidi namkubali sana....msema ukweli
@mwanaidimtengo8151
@mwanaidimtengo8151 15 күн бұрын
Jaman Nampenda sana Mzee Saidi,Deboraaaaaaah Hahahaaaaaaaaaaa
@user-tk5wi3gi5o
@user-tk5wi3gi5o 15 күн бұрын
Mzee saidiiiìii unanichekesha mpaka basi,nawapata kutokea mascat Oman,
@westonyjob1747
@westonyjob1747 13 күн бұрын
Nimejikuta nimecheka kwa sauti ety nyooo😂😂
@trice_yanga
@trice_yanga 14 күн бұрын
Mzeee said kwann wakuite Deborah 😂😂😂
@user-lr6kf6bf9l
@user-lr6kf6bf9l 15 күн бұрын
Chagamba hapa Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 tunakupata vilivyo....😂😂
@jofreymsomba4652
@jofreymsomba4652 15 күн бұрын
Noma sana mkuu mzee saidi huyu
@halidijuma1884
@halidijuma1884 15 күн бұрын
Mimi yanga ila mzee Saidi na ENJOY kumsikiliza,,
@MusaDadi-pd3jd
@MusaDadi-pd3jd 13 күн бұрын
Mzee said ni 🔥🔥🔥
@allymwashambwa5920
@allymwashambwa5920 14 күн бұрын
mzee saidi ni shidaa sana mjini
@taufiqis-haq536
@taufiqis-haq536 14 күн бұрын
Mzee said umeongea point Sana viongozi wa Simba wachukue Huu ushauri
@shabanihaji3896
@shabanihaji3896 15 күн бұрын
Ila mzee saidii 😂😂😂
@MohammedIsmail-fw9vn
@MohammedIsmail-fw9vn 15 күн бұрын
Mzee Said muwe mnamlipa hela kama hamuwezi wekani namba
@KaujuMwakajumba
@KaujuMwakajumba 15 күн бұрын
Kweli bwana mzee hata fridge Hana
@EdsonMdagachule
@EdsonMdagachule 15 күн бұрын
Mzee Said upo sasa kabisa
@tamariamisi3540
@tamariamisi3540 8 күн бұрын
Nikiwa from uganda I love said o
@EmmanuliM.lugembe
@EmmanuliM.lugembe 15 күн бұрын
Mi mwemyewe mzee sis nimemc sana
@jabalimikechi7750
@jabalimikechi7750 14 күн бұрын
Mzee wangu Said 🇨🇩🇨🇩🇿🇦🇿🇦mimi ni shabiki yako kindakindaki, ila mimi YANGA 😂😂😂😂😂
@HanafyTuwa
@HanafyTuwa 14 күн бұрын
Chagamba yupo kama kunguni vile anang'ata huku anapuliza taratibu 😂😂😂😂🙌🙌🙌
@rashadymuhamad6293
@rashadymuhamad6293 10 күн бұрын
Kwa kweli, hivyo hivyo yaaaniii.
@Mary-fs4mc
@Mary-fs4mc 15 күн бұрын
Gamba kwanini malizia ukuta wa yeriko😂😂😂😂😂
@gideonchipepo8405
@gideonchipepo8405 14 күн бұрын
Hongera sana Mzee saidi wewe ni mkweli siku zotee
@EliasMyeya
@EliasMyeya 15 күн бұрын
Mzee saidi unatufurahisha san wanayanga,......najua ndo tumejazana apa
@idybwoytz8485
@idybwoytz8485 15 күн бұрын
Gambaaa una enjoy San 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 sem mzee Saidy
@mrrockboy9508
@mrrockboy9508 15 күн бұрын
😂😂😂😂 Mzee Saidi bana😅😅😅😅
@nacetsiringa1334
@nacetsiringa1334 13 күн бұрын
Chagamba unatukosea weka namba tuchangie hela ya maji kwa mzee said na miraji mahojiano mazuri sana 🎉🎉
@geraldndosi2083
@geraldndosi2083 14 күн бұрын
😂😂😂 mzee wetu saidi leo anaongea kwa uchungu sana
@witnessgeorge1976
@witnessgeorge1976 15 күн бұрын
😂😂😂nilikumc mzee said😂😂😂
@assumedprivacy3940
@assumedprivacy3940 15 күн бұрын
Nasema tena, Mzee Saidi hamia Yanga roho yako itulie mzee wangu
@rosenamilia4140
@rosenamilia4140 15 күн бұрын
Chagamba jitahidi kila siku ukutane na Mzee Saidi mi MSURE mbaya.Wanafamilia tunampenda sana ,hasa kwa ukweli wake,vichekesho na lugha yake ya utani.Mie nacheka tu huku na kuongeza uhai wangu😂😂😂
@LinuslusianLinuslusian
@LinuslusianLinuslusian 15 күн бұрын
Mzee Said yuko safi mbona Jobe haongelewi?
@MuammaryAbdalla
@MuammaryAbdalla 15 күн бұрын
wakikuita debora na wew waite joicy
@mustaphawelder7022
@mustaphawelder7022 15 күн бұрын
Watakuwa wanaijua daby Kwan hata kwao kuna daby
@nasibumuya4504
@nasibumuya4504 13 күн бұрын
mzee saidi mm nakukubali sana hata kama nimevugwa nikikusikia bavu sina🤣🤣🤩
@chrispinallan3683
@chrispinallan3683 15 күн бұрын
Wee mzeee saidi noma sn Nina zawadi yk nitafute mzee wang
@user-zq2tj9gr6r
@user-zq2tj9gr6r 15 күн бұрын
Mzee saidi saidiya simba yako
@phiddeschacha3143
@phiddeschacha3143 15 күн бұрын
Yaani Mzee Saidi wenye kukuelewa wamekuelewa
@jamesmakaranga1170
@jamesmakaranga1170 15 күн бұрын
Mzee said bn nakukubali sna
@moseshaji1177
@moseshaji1177 15 күн бұрын
Mzee Said nakufatilia vyema sana kila utupiapo interview mpya Nipo Bin Umran Doha Qatar hapa
@hyy4114
@hyy4114 14 күн бұрын
Upo umran mm nipo Umqan
@clementmmbaga3052
@clementmmbaga3052 15 күн бұрын
Hatarii mzee said
@tamariamisi3540
@tamariamisi3540 8 күн бұрын
Thank you so much said I love you me I live from yuganda
@WilliamStanley-m8u
@WilliamStanley-m8u 15 күн бұрын
Nakuelewa mzee said
@kingslove7772
@kingslove7772 15 күн бұрын
Mzee said bana we leo umeamua je
@gaspermathayo5204
@gaspermathayo5204 14 күн бұрын
Ndomana watoto wayanga wananita debora😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@harunimsangi7770
@harunimsangi7770 13 күн бұрын
Mzee saidi bwana mungu akupe maisha marefu
@ramadhankombe2643
@ramadhankombe2643 15 күн бұрын
Kwa sasa hv hawawez kumuelewa mzee Said.lkn ngoja ligi ikianza ndio watamuelewa vzr anachomaanisha huyo mzee.hahahaaaaa walah mzee said unanifurahisha sanaaa.na ww chagamba unachombeza kiunafki km vile huelewi simba watavyodhalilishwa na yanga😅😅😅
@HassanHassan-vh6pc
@HassanHassan-vh6pc 15 күн бұрын
Mzee said x hii tunakubandikia bango mlangoni kwako
@claragodfrey2985
@claragodfrey2985 15 күн бұрын
Mzee saidi unanipa burudani jamaniii ata kula sijala sababu ya maneno yako
@rozamabagala6242
@rozamabagala6242 5 күн бұрын
Saido mzee kukimbia hadi ajikusanye kama tairi za scania😂😂😂
@AllyMaketa
@AllyMaketa 14 күн бұрын
Chagamba ww yanga mzee said nakuelewa sana
@EmmanuliM.lugembe
@EmmanuliM.lugembe 15 күн бұрын
Changaba unakuwa unamcheleweaha sana Mzee saidi
@Izzoh2021
@Izzoh2021 15 күн бұрын
Mzee saidi sio yanga tu waswahili simba mmezidi uswahili yanga tushatoka uko hohohoho,mzee saidi kula chuma hicho simba imebaki siasa tu kama una D mbili utakuwa umenielewa,mbili hiyo kikosi ya yanga mim yanga naiyogopa mzee saidi huogopi? iko na mafundi tupu hohoho kuna team itakula 10 msimu ujao hohoho nimekaa pale hohohohoho
Red❤️+Green💚=
00:38
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 78 МЛН
Little girl's dream of a giant teddy bear is about to come true #shorts
00:32
24 July 2024
49:58
SHARIF MUDH-HIRIDIN
Рет қаралды 12