Mubarikiwe sana katika kufundisha watu, nimefarijiwa kweli kupitia huu nyimbo
@bawilipaul26405 жыл бұрын
Mungu awabarika sana wa tumishi wa bwana ila nawahomba albumu nyingine msivahe rangi nyingi kichwani chagueni rangi moja tu ...Asanteni kwa usikilivu mwema🙏🙏
@maggiasha90164 жыл бұрын
Iyo nikweli, ila dada uhuyo ambaye alituma kweli mungu amubari sana
@devganchusac51535 жыл бұрын
Amen Imetulia vizuri sana. Kazi nzuri
@lenacute53035 жыл бұрын
Amena kubwa niki sikiya wimbo uhu nakumbuka kwaya yetu kwakweli
@mawazonendjo97654 жыл бұрын
Mubarikiwe sana
@pastorshandrackTv5 жыл бұрын
Amen amen Mungu awabariki sana👏👏
@demsonmmunga12935 жыл бұрын
Wimbo huu unanikumbusha sana ndugu zangu luundu na sadi hongereni sect 4 kwa kazi hii njema
@josuebrown71634 жыл бұрын
Barikiweni sana watumishi
@jeanettetuyisabe50 Жыл бұрын
Mubarikiwe sna waimbaji
@user-gr6vi2ft3k2 жыл бұрын
Mungu awabariki sana nataman ningekuwa apo
@rehemalontinaremysaleh7807 Жыл бұрын
Amen huu wimbo unanibariki sana
@serafinamzomena64425 жыл бұрын
Nice song god bless all of your great work
@agapeomussa71395 жыл бұрын
MUNGU awabariki Sana vijana wetu pia awazidishie amani tell. Wimbo mzuri Sana.
@raymondmapendo75585 жыл бұрын
Safi sana mungu awabariki good job
@dieudonnemasumbuko14045 жыл бұрын
Wimbo huu unanipa majonzi sana mpaka nasikia rohoni yaani umeimbwa kiuruma huruma hivi alahaniwe aliye msaliti mwokozi.
@donalwabanya19055 жыл бұрын
Mubarikiwe waimbaji wa nyimbo za Mungu
@saraamri82645 жыл бұрын
AMEN mbarikiwe sana kwa wimbo mzuri
@emelinaeliasi81915 жыл бұрын
amen kubwa..tunaomba mungu azidi kuwabariki kwamaana nimengi ambayo mnayahandaa kwa kazi ya bwana .....👏👏
@mwaminialex50484 жыл бұрын
Amen
@bilobibyamungu72435 жыл бұрын
Mnahimba vizuri Sana wanduguzanu mubari kiwe Sana
@OdilaDorthea-xj5bs3 ай бұрын
Amina
@elizabethasani46855 жыл бұрын
Mubarikiwe sana kabisa
@user-gr6vi2ft3k2 жыл бұрын
Mungu awazidishie talent zenu
@dieudonnemasumbuko14045 жыл бұрын
Secta ya inne yetu mbarikiwe sana ,Nikweli moyo unahuma pale unapotendewa mambo mabaya
@rajabungoy74715 жыл бұрын
Mungu awabariki sana tu tuma zengine
@myekanowelongo6095 жыл бұрын
Mungu awajalie neema kwa huduma hii ,kwa kweli hayupo awezae kupingana na "Jemadari" wa vita ahishie juu ya mbingu za mbingu,ELSHADAI ndilo jina lake.Malipo yenu ni mengi tena yanafurika kama maji ya bahari kuu. Tunawatakia baraka tele wana Ujumbe kwaya
@user-rh8eh4bs4i2 ай бұрын
Ki
@bintimboto80375 жыл бұрын
Amin🙏💝
@jeannettejacob14415 жыл бұрын
Mungu awabariki sana🙏
@sarahmwajuma96044 жыл бұрын
Oh mon Dieu j'aime vraiment cette chanson que Dieu vous bénisse
@noelakashindi8138 Жыл бұрын
😮😮 😮
@danielmathengeofficialpage4058 Жыл бұрын
Fantastic, !
@mahelasami98565 жыл бұрын
Mungu awape nguvu
@user-hc6sv9lp1d2 ай бұрын
Huu wimbo huwa unanikumbusha kambini Nyarugusu kweli.
@mashakadoshabani36035 жыл бұрын
Mungu awabariki katika kazi zenu
@kanyaombeesuu78415 жыл бұрын
Asante kwa nyimbo nzuri
@jeaninemahango68275 жыл бұрын
Mungu walide sana tu
@user-gr6vi2ft3k2 жыл бұрын
Nice song God bless you so much
@salimagabriel12125 жыл бұрын
mubarikiwe
@marcelinemakongo5575 жыл бұрын
Mbarikiwe sana
@annajumanne88125 жыл бұрын
Napenda sana kazi jema
@florencekiza98895 жыл бұрын
Mubarikiwe SANA
@furahamariette98214 жыл бұрын
Bwana yesu awabariki sana kwaya etu ehee mungu ibariki kwaya yetu iendelee mmeimba vizuri sana ilatuna omba wimbo mmoja ivi amukuiweka uku you tube nilikua naitaji nsaada wenu muiweke naipendaga sana wimbo huo unaitwa uwemacho ndugu yangu au nyakati zamwisho au sikuza mwisho please muiweke mubarikiwe sana na mungu awajalie amena0
@user-rh8eh4bs4i2 ай бұрын
Vhh
@user-rh8eh4bs4i2 ай бұрын
Uy
@user-rh8eh4bs4i2 ай бұрын
Y
@zebestma73915 жыл бұрын
Amen 👍👍👍👍
@zabibukashindi4215 жыл бұрын
Amenaaaa
@meshacklosema1375 жыл бұрын
Mungu awe pamoja nanyi katika Kila mfanyalo
@lindajeremia79095 жыл бұрын
Nice song
@josuebrown71634 жыл бұрын
Hakunaga TAJI ya UBISHI labda niwakumbushe ilo tu🙏
@mauwakiza42475 жыл бұрын
Mubarikiwesan katika kazi mnazo
@laliyaabilele39095 жыл бұрын
Mubarikiwe sana kwakazi nzuri
@shukrandorcasoprah78705 жыл бұрын
GOD blessed you guys
@julietteniyokwizigira53395 жыл бұрын
AMEN 🙏❤️
@lambertetongo62435 жыл бұрын
Mungu awatiye nguvu ili siku moja mfikile lengo letu, mkaimbe zaidi mbinguni. Nakumbuka kazi yangu, Mungu awabariki sana.
@georgetteongaobe91085 жыл бұрын
Babondo
@promisehrroger85355 жыл бұрын
Amen🙏🙏🙏🙏🙏
@josuebrown71634 жыл бұрын
Eti labda ungewatuma malaika za mbingu. Wala ungeshuka mwenyewe maana watu wamekuwa viziwi hawasikii ya MWANADAMU mwenye mwili kama wao🤔.