Kumekuwa na tetesi nyingi kuwa mfanyabiashara mkubwa Fred Vunjabei anadaiwa Kutumia Uchawi kwenye biashara zake mpaka kupelekea kupewa jina La mkinga Mchawi amejibu suala hilo.
Пікірлер: 115
@aminanamoyo833 жыл бұрын
I really admire this guy,🤝👌🏿❤🇹🇿🇨🇭
@davisnitu8903 жыл бұрын
Fred ni mtu makin na Anaongea logic, I'm appreciate u brother
@chrissinyinza11723 жыл бұрын
Uyu ginimbi wetu anabusara sana ongera sana fred👏
@neemanyove31513 жыл бұрын
🤣🤣🤣 ginimbi
@jacklinengozi11223 жыл бұрын
Don't disrespect ginimbi u fool.
@ahz69073 жыл бұрын
Huwa nachukiaga hilo swali wanalomuulizaga fredy kuhusu uchawi. Ni ajabu sana. Hawa wanahabari wa tz. Nimependa fredy alivyojibu.
@mbuyutztz61313 жыл бұрын
Vunjabei anabusara sana
@ghostelmendez72063 жыл бұрын
Fredy tengeneza kitabu cha somo la biashara..... Maaana una ujuzi sana vunja bei these is genius Mr
@geazisanga74003 жыл бұрын
tajiri kachukua tuzo nicwe chawa kweli........uchebe noma
@pikolaizaog73033 жыл бұрын
Mm nampenda Sana vunjabai...more love 4rm kenya 🇰🇪
@juxjemc57683 жыл бұрын
Mm mtu kama ana pess halaf hana ndoa baas namuona haman kitu kwa sababu sasa hv matajir wakubwa hawaoi sijui tatzo lipo wap
@husnamfuko61363 жыл бұрын
Hawatak kuwekewa wivu... Wa enjoy wanacho jisikia Akimtak mtu yoyote a nampata.. Ao nini
@juxjemc57683 жыл бұрын
@@husnamfuko6136 umalaya una mwish
@salmaahumansalmaathuman51903 жыл бұрын
Duh hyo bonge km pipa la chibuku sjui hyo sut keshonewa buza🤣🤣🤣🤣
@jumahyusuf55243 жыл бұрын
😁😁😁😁😁
@aminatanzanya74753 жыл бұрын
🤔
@zeddybass66723 жыл бұрын
Piga kelele kwa wakinga😂😂😂
@ghostelmendez72063 жыл бұрын
Weuweeeeeee tupo wakina sangaaaaaaa
@zeddybass66723 жыл бұрын
@@ghostelmendez7206 pamoja sana mambelo 🔥🔥🔥
@spreadlove21193 жыл бұрын
We carrymastory muhoji na huyo bonge mwenye koti la blue basi na wee 😍
@zainabwage46583 жыл бұрын
😂😂
@joshuajacobs88523 жыл бұрын
😂😂jamaaa ana chungulia ile mbaya
@ashuuuaisha91223 жыл бұрын
Una nini lakini wewe😂😂😂
@emanuelmoshama38993 жыл бұрын
😀😀😀uyo ndo too much money mwenyewe
@upendotarimo93243 жыл бұрын
Ha ha haaaaa mbavu zangu
@petermsulah62643 жыл бұрын
hahahaha bonge amevaa nn
@greatestdaniel78653 жыл бұрын
Hivi ndio vitu ninavyo penda kuviona hata mb hainiumi
@josephndilwa38303 жыл бұрын
huyu jmaa ametoka familia ya biashara, babake mpambanaji sana mzee sisi kwa sisi. wanaomjua basi huwez shangaa huyu kuwa na pesa
@abdially2123 жыл бұрын
Wabongo hamkawii kusema jamaa freemason
@pikolaizaog73033 жыл бұрын
Huyo mnono ungemwoji bwana mtangazaji 😀😀😀
@azenathnyaway23283 жыл бұрын
most upcoming vinesiti man wah yaan haka kazungu pia ni noma kukatamka
@mafiosoismail74753 жыл бұрын
Fred akivua kofia anaonekana mkubwa kuliko hata bonge 😂😂😂😂
@faridaessa78443 жыл бұрын
Daah huyo kaka bonge
@boniphaceog10203 жыл бұрын
I need Young people with the skills to work and manage them to come and help us and one day be interviewed like fred vunja bei with his team
@zuhairomar80383 жыл бұрын
Uchawi ni kujituma nimekuelewa broo#Mr one! 👊👊
@azibossladykenny24553 жыл бұрын
Jamanii yule big kule nyuma kwani vip nimemtizam tuu yey nimecheka mpaka basii, 😂😂🤣🤣🤣
@aminatanzanya74753 жыл бұрын
Mi Zaid yako nimecheka mpk bas
@zakiamsafiri123zakiamsafir73 жыл бұрын
Watu wanapambana kwa jasho
@tinnahagustinolyelu4247 Жыл бұрын
Kabisa mchawi halafu maskini rooo
@pendoelias48223 жыл бұрын
Huyu Kaka anajituma Sana na anajibu kiufasaha Sana hongera kwako Fred
@jumabidery50513 жыл бұрын
Bonge kanipa raha saana jamani
@highthemetv78573 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/jmiyf6mJiLCNgtU 👆👆👆👆👆👆👆 Kama ni muoga usifungue hii video😨 Tazama jinsi Kafara inavyotolewa hadharani watu wanachinjwa mbele ya camera 😭😭
@zakiamsafiri123zakiamsafir73 жыл бұрын
Bora mfanye ivyoivyo muwaoji kabla awajafa wakifa mtasema utajiri wa kafara
@sirbinladen7863 жыл бұрын
Tiba ya kizazi na dawa ya chango kwa kina Mama kzbin.info/www/bejne/e3mYhaOEhbR9mpI
@sirbinladen7863 жыл бұрын
Tiba ya nguvu za kiume kzbin.info/www/bejne/jYaTe56vbsZniJo
@calvinamon41253 жыл бұрын
Wakinga nawaona?
@masilingimbilinyi55893 жыл бұрын
Woyooooo
@sirbinladen7863 жыл бұрын
Mvuto wa kupendwa na watu kzbin.info/www/bejne/qJWlc32ngbZrfac
@kgs952 жыл бұрын
Fred vunja bei
@mwanajumasaid19833 жыл бұрын
Jmn bonge shikamooo waaaah
@malikzafarani1723 жыл бұрын
Uchebe acha shobo
@faridaahamed40903 жыл бұрын
mbna mawivu saana vijanaa acheni ushamba nendeni nyie basii tatizo wa tatizo baadhi ya wabongo 2na roho za kichawiii
@faridaahamed40903 жыл бұрын
mbn mnamkosoa kwani amekosea wp ?basii nenda ww kwa vunjabei mtabaki majungu yy mambo yanamuendea huo ni ushamba,tatizo huo ni ushamba wa life ndomaana mnaroho za kimaskini mpongeze alipofikia sio kupost ushamba
@faridaahamed40903 жыл бұрын
@Florah Samuel roho imekuuma kumuona uchebe ypo navunjabei hyo niroho ya kimaskini acha ushamba
@faridaahamed40903 жыл бұрын
@Florah Samuel sametime mkiona roho zinawauma kwaajili ya maisha yawa2 kunywa suma ya panya ,nashangaa roho zinawauma kumuona uchebe ypo navunja bei 🤣🤣🤣🤣
@neemakaluwa18413 жыл бұрын
@@faridaahamed4090 Me kiukwel sijaona ubaya aloongea Uchebe.
@rahmahabibu47273 жыл бұрын
Ivi huyu bonge alikuwa hajui kma na yey anachukuliwa na camera au 😂😂😂😂😂 Kaachia domo kma kapu 😂
@benjamininyambaso50413 жыл бұрын
Hahhahahaha
@aliabeid86133 жыл бұрын
Vunjabei tunaomba na Zanzibar zifike huduma zako
@mu-crzymahez92293 жыл бұрын
hahhahaha
@nusalim33893 жыл бұрын
Bonge ukiachia yupo nyuma Ila Cha ajabu anamsikiza fredy kwa mbele ,hapo talented Ni bonge hiyo tuzo ilifaa iwe yake tu
@aminatanzanya74753 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@kabangaonline45233 жыл бұрын
Mtani wangu sura kama yangu ngoja NAMI ntafte pesa
@deusnzeran47523 жыл бұрын
Hii ni Safi watanzania kuwa mabilionea hata hayati alisema hilo
@sirbinladen7863 жыл бұрын
Uchawi wa Biashara kzbin.info/www/bejne/d4TWZHqdqM6aoNk
@dggxxxxfgff38763 жыл бұрын
Haiwezekani nife bila kua na pesa😀😀kila nikiona uyudada nacanganyikiwa
@nusalim33893 жыл бұрын
Kumuacha bonge kakaa nyuma mda wote na kumfuata uchebe Ni zarau !
@mosimba4673 жыл бұрын
Mbona kibakuli anafrahia sana
@maimunaulotu20753 жыл бұрын
Bonge analegeza mdomo jmn😅😅😅😅😅😅😅
@mwanajumasaid19833 жыл бұрын
Uchebe kapendeza jmn
@masalakulwa76013 жыл бұрын
Uchebe anazidi kuwa mcharo balaa dah😋😋
@ghostelmendez72063 жыл бұрын
Hahahahahahaha
@aminatanzanya74753 жыл бұрын
Yupo na tajir kwnn asipendez na hana stress km zamn
@sirbinladen7863 жыл бұрын
Abar zenu ndgu zangu naomba nikukarbishen katika masomo yetu yanayohusu tiba za maradhi mbali mbali kila Alhamisi bila malipo yoyote karbuun mjifunze ingia KZbin andika sir Binladen 786 ili mjifunze
@hassanchauluwa73083 жыл бұрын
Uchebe msenge 😁😁😁tajiri kachukua tunzo
@aminatanzanya74753 жыл бұрын
Kwann yy asiwe chawa
@samsonisaack51453 жыл бұрын
Nakukubali Sana Big Vunja bei
@RobbyDejan12343 жыл бұрын
Umedeserve kuchukua hiyo kitu bro.
@dominickmkungile52872 жыл бұрын
Namkubali huyu jamaa.
@sanimoclassic19173 жыл бұрын
Huwa namkubali sana huyu jamaa Fred Vunja bei
@dshazarajabu99503 жыл бұрын
Nakuona bongeee
@bahatisanga75452 жыл бұрын
Safi Sana bro
@faridaessa78443 жыл бұрын
Hongera kaka
@sikudhanimohammad76923 жыл бұрын
Anavyokunja sura sasa
@yasristeven11353 жыл бұрын
Chawaaaz
@sponsor78823 жыл бұрын
Freemason
@davidedward30893 жыл бұрын
Hahahaha utakufa na wivu mbwa 😂😂😂
@magynzioka11223 жыл бұрын
Wewe pia si uingie uko umshide vuja bei
@sponsor78823 жыл бұрын
@@magynzioka1122 naogopa Dhambi
@benjamininyambaso50413 жыл бұрын
Mtangazaji amemsahauu bongee
@francowilly50492 жыл бұрын
❤️
@kmotivation11303 жыл бұрын
Bonge Lina hema hatar
@aishasaid67003 жыл бұрын
Napenda anavoongea
@godfreyleka58393 жыл бұрын
Akili kubwa
@rukiayusuph40193 жыл бұрын
Too much money hoyeee
@elizanafasi69603 жыл бұрын
Hongera sana
@elizanafasi69603 жыл бұрын
Boss
@khadijabuberwa33623 жыл бұрын
Ex
@kevinmoses91703 жыл бұрын
Uchebe my guy
@wahidamusin6133 жыл бұрын
Kitu ambacho nakishanga sana ni wanaumme kujipendekeza kwa mwanaumme mwenzao sana ndio maana mashonga wamekua wengi taifa hili wanaumme kutwa kuwanganda wanaumme wenzao