Fredrick Mulla ameishi Nairobi kwa miaka 3 sasa, amegundua Kenya inaizidi Tanzania kwenye mambo haya

  Рет қаралды 15,441

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Күн бұрын

Пікірлер: 95
@ethanperoti7313
@ethanperoti7313 4 ай бұрын
Mimi ni mkenya. Nimelelewa Mombasa lakini saizi naishi Nairobi. Nimeipenda interview. Nina mambo kadhaa.. 1. Chwani ni sheng na neno hilo halitumiki sana Mombasa. Huko kuna Hamsa/Hamsini =50, Jiti = 100, Tenga = 1000 2. Mnaskia watu wa Nairobi wanaongea Kiswahili kibovu na mnachukulia wakenya wote hawajui Kiswahili. Hilo si sahihi. 3. Hilo shirika lililoiweka Kenya number 1 lenyewe ni international. Dunia nzima Kenya ilikuwa nambari mbili. 4. Msichanganye ukarimu na upole. Karimu = generous. Mpole = kind/polite 5. Camp Mulla waligawanyika kwa sababu wengine kama miss karun walienda kusoma ng'ambo. Camp Mulla wenyewe wametoka kwenye familia za kitajiri. 6. Kuna makundi kama vijana barubaru na wanavokali Show ya Simulizi na Sauti iko juu. Fredrick Mulla yuko juu
@Donjesse1694
@Donjesse1694 3 ай бұрын
Kabisaa,, ukarimu sio upole,, wakenya niwakarimu ndo maana tuna support wageni wengi Sana haswaa kimziki
@LandrickXl
@LandrickXl 3 ай бұрын
wewe pia upo juu 🔥👏🏼
@West-moran
@West-moran 3 ай бұрын
Kenyan here. What an observation! This guy is intelligent and understands our differences as neighbors. Hii interview imeenda shule. Very good content.
@danielmacharia9603
@danielmacharia9603 3 ай бұрын
Niko rada
@thedaveiknow.
@thedaveiknow. 3 ай бұрын
Woow! I’m surprised by this guy’s depth of knowledge of the Kenyan music industry.Everything he said is si true especially about charisma! I have subbed to his channel ❤
@androidtv4286
@androidtv4286 4 ай бұрын
Very intelligent interview. Mnauelewa mziki. Big up.
@nixnovember
@nixnovember 3 ай бұрын
Mulla my nigga💯🙌🏿 Intelligent rapper ako na catalog ilosheheni madini. Nigga is next level 🙌🏿
@Qqambaa
@Qqambaa 3 ай бұрын
Wakenya wanapenda wabongo sana but wakenya si wapole
@kennedyobiero5697
@kennedyobiero5697 3 ай бұрын
Kuna watoto wa familia walilelewa Tanzania, walipokuja Kenya, ilikuwa ni Kila asubuhi watu wakiamka, unaskia "Shikamoo mjomba" (hata sikumbuki kama hio ndio ilikuwa hio salamu ya asubuhi). Tulikuwa tunachoka sana na hio mambo. Saa hizi ni wakubwa, huku Kenya, wako na tabia za Kenya kabisa. Halafu, ile chenye amesema. Hata Mimi nilipotoka Kisumu nikaenda Mombasa, kuongea kwa kiswahili ilikuwa si mchezo. Nakumbuka sijui nikiulizia kitu kwa duka ni shilingi ngapi, na wananiambia "Dala". Na Mimi Dala yenye najua kwa kijaLuo inamaanisha "home". 🤣
@aishabakari4686
@aishabakari4686 2 ай бұрын
huyu jamaa nimemkubali yuko vizuri 💯💯📌
@Donjesse1694
@Donjesse1694 3 ай бұрын
Interview nzuri hii🔥🔥 lakini ni vizuri mtofautishe Ukarimu na upole,, wakenya tunapenda wageni sana,,, jiulize mbona tuna kambi mingi za wakimbizi na idadi nyingi ya wageni.
@kennedyobiero5697
@kennedyobiero5697 3 ай бұрын
Huyo brother, we wish him all the best, while he is in Kenya. He is our brother because we are all Afrikaans
@TAV_sports
@TAV_sports 4 ай бұрын
Ukarimu ama generosity ya hiyo list, ni ya uwezo wa kusaidia mtu akiwa kwa shida, kama kumchangia hela hivi si ukarimu wa kusalimia watu
@Qqambaa
@Qqambaa 3 ай бұрын
Njoo mombasa salam utapata Hata kama hutaki kwanxa wakigundua we Ni mbongo
@mariamkimtai693
@mariamkimtai693 4 ай бұрын
The ❤❤i have to my country 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪♥️❤
@Qqambaa
@Qqambaa 3 ай бұрын
Nipitie maryam plz nishakupitia
@AnyThingQool
@AnyThingQool 3 ай бұрын
WAKENYA SIO WANAFIKI, NA PIA HAWANA USWAHILI, HAWAFUATILII MAISHA YA WATU.
@loner_wolf
@loner_wolf 3 ай бұрын
Sio kingereza kinachosha , wakenya sio wote wanaongea kingereza , mtaani wanaongea kiswahili chao , na kipo kivyao vyao . Wakenya Kingereza wanasoma shuleni , sio mtaani , so mtaani ni kiswahili na makabila yao na kama kunahaja ya kingereza wanaongea kingereza kizur na kibovu . Iko hivyo .
@dastonamichaels1854
@dastonamichaels1854 4 ай бұрын
Imebamba ..nawapenda sana tz mulla issa vibe😂
@mwanafalsafa3613
@mwanafalsafa3613 4 ай бұрын
Huyu ni young Mulla? Wa
@tumainiamani111
@tumainiamani111 4 ай бұрын
Maoni yangu Kwenye malipo ya wasani wa njee inabidi wasilipwe kikubwa sana kuliko wa ndani ilikuongeza value yetu kwani hata kenya kuna wakatiwalishuka sana kimuziki kutokana na kuwapa nafasi kubwa wasanii wa njee na sio wa ndani ndio maana wasanii wengi sana wa kenya aliokuwa wakali kipindihiko waliacha mziki na kuangalia kazinyingine za kufanya kuwaingizia kipato. Pia bila kusahau hapa kwenye live preformance kweli tuko nyuma inaitajika tuaalike sana ilitupate kujifunza lakini pia Kuna live preformance alifanyaga Mboso kwenye stage ya Yamaha niliona ilikuwa noma sana. @Fredrick Mulla asee hawa Camp Mulla walikuwa noma sana kipindi chao Kama ile kazi ya # Hold it down ilikuwa noma sana Sharauti sana men
@stanleymatasa9955
@stanleymatasa9955 4 ай бұрын
Mbona watanzania mwapenda sana kulinganisha Kenya na Tanzania na wote wamoja
@bryankibet1587
@bryankibet1587 4 ай бұрын
Sisi ni kimoja but tuko na differences ,we are built different
@williamkirema6254
@williamkirema6254 3 ай бұрын
Hii tabia itabidi muwache
@johdanny7816
@johdanny7816 3 ай бұрын
uko sahihi sisi sote wamoja. We all africans black peoples. I like the way I'm mtu mweusi from Tz nawapenda sana kenya
@danielmacharia9603
@danielmacharia9603 3 ай бұрын
Tunashare boundary na lugha
@spartachize122
@spartachize122 4 ай бұрын
Kizazi sana, umetusoma vzr❤
@jasiri25
@jasiri25 4 ай бұрын
Kusema ukweli muziki kenya wanalipa poa nliwai kuhisi pia lakn bongo mtu kama mapanchi, kina baraka na wengine apo apaa wana talent na wakufa njaa
@aminmohammed4249
@aminmohammed4249 4 ай бұрын
Mapanch mtu mmoja noma sanaaa
@Qqambaa
@Qqambaa 3 ай бұрын
​@aminmohammed4249 Tanzania msanii kulala njaa nikujitakia hususan kama una kipaji
@jmwalimtzafrica3791
@jmwalimtzafrica3791 4 ай бұрын
Mimi ni mtanzania naipenda kenya
@Qqambaa
@Qqambaa 3 ай бұрын
Karibu mombasa
@mancholotrasco8350
@mancholotrasco8350 4 ай бұрын
Kenya inatuzid mambo mengi tu way bck
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 4 ай бұрын
Kama
@jonamnyone8014
@jonamnyone8014 4 ай бұрын
Tanzania tupo vizuri kwenye professional football. Timu zetu zinalipa vizuri na league yetu ni Bora.
@mzeke-r9h
@mzeke-r9h 4 ай бұрын
Kuhusu mlima kilimanjaro na meruserikali yetu ilifeli kitambo na ziwa victoria na ziwa nyasa ziwa tanganyika .sema wacha tunyamaze kwa sababu hatuna ubaguzi.ila tubadilikeni wabongo mm nishazaa nao ulaya wana ubaguzi wa vitu vingi.....mtazamo mimi zitazami maokoto...mitazamo kwa maslah ya taifa...
@paulinewangila-cs6ys
@paulinewangila-cs6ys 3 ай бұрын
Makubwa,ila watu hii bongo wanafiki sanaaa wanakuchekea moyoni🙃
@StrongbowArrow2004
@StrongbowArrow2004 4 ай бұрын
kusoma tu caption nimekosa hamu ya kutazama, napita mtanisimulia badae🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️ Uzalendo ni pamoja na kupenda taifa lako na kulithamini bila kujali mapungufu yake.🤔🤗 alisema Baba
@kakawamashariki8978
@kakawamashariki8978 4 ай бұрын
Pamoja Sana Tr,ni vyema kuwapenda jirani zetu kama nafsi yetu kwakuwa imeandikwa,bila kusahau uzalendo kwanza kama ulivyo tangulia kuwasilisha.
@StrongbowArrow2004
@StrongbowArrow2004 4 ай бұрын
@@kakawamashariki8978 Mpende akupendae usisahau hilo pia 😅😅 kwa mbili ,mbili hapo
@RamadanPaul
@RamadanPaul 4 ай бұрын
Daah🙌🏿 chukua soda mkuu nitakulipia. Mimi pia huwa sipendi mtu kudharau nchi yake. Kwanza huyu anaonekana anatamani sana kuwa mkenya, ona hata anavyoongea😂 eti anadhubutu kutaraba kwa kiswahili kibovu cha kenya😢👀👀
@africanmandetraveler2847
@africanmandetraveler2847 4 ай бұрын
Sote ni wafrica na ndo maana kuna mwingiiliano wa makabira pande nyingi za Africa.
@StrongbowArrow2004
@StrongbowArrow2004 4 ай бұрын
@@africanmandetraveler2847 Ulishajiuliza kwann Kenya kuna ukabila tangu enzi na enzi? apo ndo pakuanzia, hata hivyo hakuna aliowabagua ila tunachotaka uzalendo kwanza aibu yetu ni ya kwetu, uwezi kuta kituo chochote cha television huko Kenya ikiandika ati ya kwamba Kenya imezidiwa na nchi fulani why sisi ndo tutukuze wenzetu.🤔
@alexkibe4179
@alexkibe4179 4 ай бұрын
Kwa ukarimu. Tz mko top. Hakuna vile kenya tuko hapo 😅.
@Movewithdavid
@Movewithdavid 4 ай бұрын
🙄🙄
@freddiekipkoech4752
@freddiekipkoech4752 3 ай бұрын
wee.. ukarimu sio upole, wala heshima ama kusalimiana... ukarimu maana yake, kusaidia na kumuinua mtu aliye chini. haiya. mbona basi, ombaomba toka tz wamejazana katika miji zetu zote, na sio dar ama arusha ama mwanza? jiulize hino swali.. 🤔🤔
@josephevaristi8923
@josephevaristi8923 3 ай бұрын
​@@freddiekipkoech4752we jamaa wakalenjin acha kubwabwaja bila facts,,mbn hyo miji ya tz ulioitaja omba omba wamezagaa Kila kona
@michellejuma3129
@michellejuma3129 2 ай бұрын
ukarimu sio upole
@habari254
@habari254 4 ай бұрын
SAFI SANA
@Ronymante
@Ronymante 4 ай бұрын
Mziki kenya walipa ,na vile muda wasonga viwango vitazidi kuziacha za Tz ,yaudhi kunq wasanii tulowaskiza tukiwa watoto leo hawana chochote
@Movewithdavid
@Movewithdavid 4 ай бұрын
Kenya hata Kuna wasanii mitaani tu,wadogo bt wanapata shows za kama 50k-100k za Kenya per show.
@rojatv167
@rojatv167 3 ай бұрын
Ndomana alikiba anasemaga ukitaka ambie live pesa inapanda nitofaut na kumbia to heit
@cypriannyamwamu
@cypriannyamwamu 4 ай бұрын
Huyu jamaa ako na Unairobi mob
@Ronymante
@Ronymante 4 ай бұрын
Streaming Tz hailipi ,KZbin pesq yake kidogo,mfano tu sofiya nzau ambaye alianza mziki mwaka jana pkee,aliunda 75M za Kenya toka tu Spotify pkee,msanii bora Tz , diamond hajaweza kufikia pale ,kazi zake zaenda youtube pkee😢😢
@Movewithdavid
@Movewithdavid 4 ай бұрын
Very true,na hivo ndio alipata pesa,hata sahizo asipowachilia hits,ashajitoa Kwa shida zake,na ujuwe shows Kenya hawezi kosa,hata sio lazima afanye show Nairobi pekeake,Kenya unaweza kulia mziki miaka mingi sana hata ukiwa hujulikani sana.
@giftedhand773
@giftedhand773 3 ай бұрын
Fredick mullur is up coming Kendrick Lamar
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 4 ай бұрын
✌️👍👊.
@Ngudure
@Ngudure 4 ай бұрын
King Tai
@danielmacharia9603
@danielmacharia9603 3 ай бұрын
Niko kenya
@Selemanian
@Selemanian 4 ай бұрын
Nakubaliana nae 10% tu
@johnmkatakona6474
@johnmkatakona6474 4 ай бұрын
Watoto wa morogoro..mko wapi? mulla uyapa
@ninjaisma7983
@ninjaisma7983 4 ай бұрын
Exposure muhimu waambie wabongo wenzio boi
@samuelmwatsuma4462
@samuelmwatsuma4462 4 ай бұрын
🇰🇪🇰🇪
@georgekabaka377
@georgekabaka377 4 ай бұрын
Sasa mbona wasanii wao wanalalamika malipo ??
@wambuageorgemutua1930
@wambuageorgemutua1930 4 ай бұрын
Sababu wanafahamu wanafaa kupata zaidi kuliko vile wanalipwa. Competition huku iko juu sana
@Movewithdavid
@Movewithdavid 4 ай бұрын
Hawataki kulipwa pesa kidogo,wanataka hata ikiwezekana ikuwe standardized,ile ya hakuna kulipa msanii chini ya 50k za Kenya,wanajuwa rights zao boss.
@felixmakinda7689
@felixmakinda7689 3 ай бұрын
Wakenya hawapendi muziki WA Kenya kwa ukubwa. Wakenya wanapenda Bongo na miziki ya kigeni. Inashangaza lakini inaeleweka. Wasanii WA Kenya wengi huimba maneno yeye aibu kubwa. Tasfida hawana hata. Hauwezi sikiza wengi wao ukiwa na mwanao ama mzazi wako.
@nicoledinga9948
@nicoledinga9948 3 ай бұрын
But honestly Swahili started in Kenya, then went to Zanzibar and the rest is history 😂😂
@Brian_J17
@Brian_J17 3 ай бұрын
Go back to your history books.
@kingstonbarnaba5254
@kingstonbarnaba5254 3 ай бұрын
​@@Brian_J17 Uo ndio ukweli anakwambia. Tofauti ni Tanzania mlikikumbatia kama taifa sisi tunachukulia tu kawaida isipokua kwa wapwani.
@eliasaNgahehwa-l2f
@eliasaNgahehwa-l2f 4 ай бұрын
Uyo boya tu
@risson_76
@risson_76 4 ай бұрын
Unamjua adi useme boya??
@eliasaNgahehwa-l2f
@eliasaNgahehwa-l2f 4 ай бұрын
@@risson_76 namjua boya tu
@joycegacheri5177
@joycegacheri5177 4 ай бұрын
Boya ni kitu gani 😂
@rwenji22
@rwenji22 4 ай бұрын
Provoke. Wrong number na sitakwambia kwa nini. Jijazie mwenyewe. Fanya collabo mob.
@ramermohamedy4344
@ramermohamedy4344 4 ай бұрын
Kaka kuna banana zoro
@MrNoNonsenseYes
@MrNoNonsenseYes 4 ай бұрын
HATA TOP 20 YA KENYA HAWEZI KUINGIA , SI KWA UBAYA. BABU WA TIKTOK MWENYEWE PIA ALILIONGELEA HILI
@MrNoNonsenseYes
@MrNoNonsenseYes 4 ай бұрын
HATA TOP 20 YA KENYA HAWEZI KUINGIA , SI KWA UBAYA. BABU WA TIKTOK MWENYEWE PIA ALILIONGELEA HILI
@MrNoNonsenseYes
@MrNoNonsenseYes 4 ай бұрын
HATA TOP 20 YA KENYA HAWEZI KUINGIA , SI KWA UBAYA. BABU WA TIKTOK MWENYEWE PIA ALILIONGELEA HILI
@MrNoNonsenseYes
@MrNoNonsenseYes 4 ай бұрын
HATA TOP 20 YA KENYA HAWEZI KUINGIA , SI KWA UBAYA. BABU WA TIKTOK MWENYEWE PIA ALILIONGELEA HILI
@abdulkadiradam477
@abdulkadiradam477 3 ай бұрын
Wabongo hamna ukarimu yoyote nmekua uko kwenu mara mbili
@freddiekipkoech4752
@freddiekipkoech4752 3 ай бұрын
haiya. wasanii wote wa kibongo waliohamia kenya. kisa, kenya inalipa vizuri; -fredrick mulla -mr nice. -lady jaydee -ray c -babalevo -dudubaya -rose muhando -maria shusho -zabron singers (ata Marco alifariki kenya), -fautine munishi
@FrankKashamakula-xb1pc
@FrankKashamakula-xb1pc 3 ай бұрын
Ray C yupo France
@freddiekipkoech4752
@freddiekipkoech4752 3 ай бұрын
@@FrankKashamakula-xb1pc awali, alikuwepo kenya🇰🇪 kabla ya kuvuka ughaibuni 🇫🇷
@salimjumaa8180
@salimjumaa8180 4 ай бұрын
Wakenya muache kabisa na mkae kw ku2lia otherwise watachukua wasanii wenu wawe wakenya😂
@freddiekipkoech4752
@freddiekipkoech4752 3 ай бұрын
kenya sisi wakarimu, ndo maana unakuta wabongo walemavu katika miji zetu kama zote wakiombaomba mitaani. pia utakuta wahamiaji toka uganda, rwanda, burundi, congo, southsudan, ethiopia, somalia, na sahizi wanigeria na wacameroune, wanazidi kujazana kenya, kisa kenya kuna riziki na mapato mazuri. yaani wakenya ni watu wana wasapoti kwenye biashara zao ndogo ndogo, pia wakenya wanawaajiri kazi ndogo ndogo. yaani kenya kuna opportunities
@ThandoAfro
@ThandoAfro 4 ай бұрын
Naona @mutoriah kwa background
To Brawl AND BEYOND!
00:51
Brawl Stars
Рет қаралды 17 МЛН
It’s all not real
00:15
V.A. show / Магика
Рет қаралды 20 МЛН
Tuna 🍣 ​⁠@patrickzeinali ​⁠@ChefRush
00:48
albert_cancook
Рет қаралды 148 МЛН
coco在求救? #小丑 #天使 #shorts
00:29
好人小丑
Рет қаралды 120 МЛН
Daktari ashtakiwa kwa kumbaka Mgonjwa Mombasa Kenya
3:23
Simulizi Na Sauti
Рет қаралды 778
SENGA NA PEMBE KWENYE CHEKA TU
12:19
Cheka tu
Рет қаралды 1,4 МЛН
Duniani Leo
VOA Swahili
Рет қаралды 74
Why Chrysler Has Nearly Disappeared
12:40
CNBC
Рет қаралды 498 М.
To Brawl AND BEYOND!
00:51
Brawl Stars
Рет қаралды 17 МЛН