JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV. KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136.
Пікірлер: 48
@adilmohamed21173 ай бұрын
Msimu wa simba hu km dalili tuna anza kuziona kwa wale wanao ona mbali
@salimmalaka2563 ай бұрын
BILA ZUNGUWO KISOMO NA ALBADIRI WATAROGWA SIMBA OYEEEEEE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@AshelyAbel-kg4kx3 ай бұрын
friji bovu nakukubari sana kunywa soda ntalipa
@barakajamalis7763 ай бұрын
Moo nakupa Big up, tuondolee aibu tajir
@charleskuyeko44003 ай бұрын
Simba wameanza kuziba midimo ya watu. Kazi itakapoanza Simba itakuwa homa jiji.
@hamzaibrahimu3 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉Mungu awape afya njema ,ili waweze kuitumikia timu yetu vizuri Tunamtegemea Mungu 🤲
@iddiramadhan3 ай бұрын
Amiinna Rabillah Allah miinnah 🤲
@barakaPaulo-ei8zp3 ай бұрын
P1 san
@chillogeorge13833 ай бұрын
Hivi ndivo wanasimba wanavyopenda. Stella Abijan wamecheza lini michuano ya kimataifa zaidi ya mara ya mwisho mwaka 1991 walipowafunga wao wenyewe 2:0 kwa Mkapa, chini ya Generali wao, strike BOLI ZOZO!!
@marthamsacky69733 ай бұрын
Maombi yangu kwa Mungu naomba uwalinde wachezaji wetu na mabaya uwape hekima na nguvu
@AminAbrahaman3 ай бұрын
Nampenda sana cimba yang
@marthamsacky69733 ай бұрын
Tujitahidi sana kuomba kwa ajili ya team yetu jamani Mungu wetu awalinde na mabaya yote
@HamisiKoko3 ай бұрын
🎉sina cha kukulipa kaka wewe ni mchambuzi bora beba tu mauwa yako
@barakajamalis7763 ай бұрын
Bro waambie,nakupa 5
@CasianLawa3 ай бұрын
Fei toto namkubali sana naomba viongozi na mabosi wa Simba wapambane kupata saini ya Feitoto
@ArryBob3 ай бұрын
Bado feitoto unyamamwingi inawezekana😂
@TwahaMasinda3 ай бұрын
Ongera, mo, tumor, Sana, tuondolee, aibu
@abdallahshariff65552 ай бұрын
Watawapiga vijomi na wasiweze kukimnua
@maryamnofli21092 ай бұрын
Tulidhalilika. Sanaaa. Mungu. Tusaidie
@JohnGoryo3 ай бұрын
Hatimae yametimia kumbe tetesi zako n za kweli et
@mzeebabumzee3 ай бұрын
paka sasa wacha mbuzi wote simba kumbe siyo wa baya simba ndiyo ili kuwa mbovu muli kuwa wa kweli mbona sasa mauwa kama yote nguvu moja
@anithawidambe75433 ай бұрын
ASANTE SANA MO NA MAGOLI MUNGU AWABARIKI SANA. SAS BADO FEI TOTO NA MAYELE NA AZIZI KI MO FANYA SANA
@rexgodwill73533 ай бұрын
Aziz ki na mayele tuachane nao watatuletea virusi kwenye timu... Hii shida ya wachezaji wetu kuwa na mahusiano ya upande wa pili imetuathiri Sana kuhujumiwa msimu uliopita... Hao Akina inonga na chama waliyuhujumu Sana... Mtu namkubali ni feisal pekee kama inawezekana
@marthamsacky69733 ай бұрын
Kabisa kabisa,
@adamdanielycharles33973 ай бұрын
Jamaa anajua kuchambua soka duh!!! Nimemkubari
@mfalmewasoka9493 ай бұрын
🔥 🔥 🔥 🔥
@TwahaMasinda3 ай бұрын
Wewe, ujuitu
@SalmaChamy-tg4bo3 ай бұрын
Sio kunyanyasika tu na kudhakilishwa pia na kila wachambuzi na magazeti
@MussaHassan-e3f3 ай бұрын
Nakubal
@wisleymmehwa20643 ай бұрын
msitupe promotion kama akina jobe
@aliomarsalimosalimo73773 ай бұрын
❤❤
@philimonmtweve45223 ай бұрын
Mmea za kuingia kwenye mfumo
@ArryBob3 ай бұрын
Bado feitoto unyamamwingi inawezekana
@NasraKai3 ай бұрын
Mambo vp😢🎉😂
@salimmalaka2563 ай бұрын
POWA ❤❤❤
@LinusKyando3 ай бұрын
WATAJIGONGA SANA HIYO SIO RIADHA NI MPIRA
@rairaime49533 ай бұрын
Mungu ibariki Young Africans Mungu ibariki Tanzania "we uogopi"