😂😂😂😂frij bovu chama ana mpira wa kuzaliwa kipaji org si cha kufundishwa atacheza misimu hata mitatu au minne badae hamjui mpira
@kolosii4351Ай бұрын
Hivi nauliza kwa Tanzania kuna timu moja tu ya kuiongelea kila siku?? Mbona zipo nyingi sana achana na 30 za ligi kuu. Ila kila kukicha ni yanga, yanga....
@alphoncealmack9240Ай бұрын
Mwinyi zahela kaishiwa hajui hata anaongea nini ni kama mtu asiejua mpira
@khajihamisi5054Ай бұрын
Njaa inawasumbua friji na Zahera! Wanashindwa kujua Yanga na Simba ndio kilele cha ukubwa, sasa ukifika kileleni mwa mlima unaenda wapi?
@alphoncealmack9240Ай бұрын
Mpira hapo chenga babu huna kumbukumbu
@AgartonMheza-ul3wwАй бұрын
Acha ushamba
@alphoncealmack9240Ай бұрын
Hakuna nchezaj ataecheza milele si kwamba et kutoka simba kwenda yanga anapotea ni uongo mtupu inatokea mchezaj hata angecheza timu nyingine atapitia mapito hayo kushuka na kupanda