Magoli | Namungo FC 1-2 Tabora United | NBC Premier League 25/08/2024

  Рет қаралды 162,667

Azam TV

Azam TV

Күн бұрын

Пікірлер: 65
@HarunaNditimye
@HarunaNditimye 2 ай бұрын
Hongera TABORA UNITED
@BenPeter-vp2cy
@BenPeter-vp2cy 2 ай бұрын
Lefa mzuri sana ajitahidi kuwa ivo ivo❤
@mrbontel976
@mrbontel976 2 ай бұрын
Hongera tbr yetu, tunakusubiri Mwinyi
@Cadmaxplus
@Cadmaxplus 2 ай бұрын
Sana Tabora yangu naipendaga sana kikubwa tubaki ligi kuu
@Muhammedually
@Muhammedually 2 ай бұрын
Mwamuzi yupo vizuri,huyu ndy mrithi wa arajiga
@Hamis-ks1sy
@Hamis-ks1sy 2 ай бұрын
Nilikua naitafuta hii comment
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 2 ай бұрын
Hongera tabora
@dirahussein9291
@dirahussein9291 2 ай бұрын
Tabora Moja hiyo
@AlliMohamed-q2y
@AlliMohamed-q2y 2 ай бұрын
Mashallah ground zimeboreshwa❤
@SamsonLesscar
@SamsonLesscar 2 ай бұрын
NBC premier league inavutia sana
@CharlesSomeke-b5m
@CharlesSomeke-b5m 2 ай бұрын
Yanga raha product zinafanya kz nzuri
@BenPeter-vp2cy
@BenPeter-vp2cy 2 ай бұрын
Goli lapili zuri mno
@haidhabushiri9558
@haidhabushiri9558 2 ай бұрын
Ligi tamu
@RugeMoremi
@RugeMoremi 2 ай бұрын
Good makamboooo
@McKicheche
@McKicheche 2 ай бұрын
Saf sana Tabora🐶
@ladislaus799
@ladislaus799 2 ай бұрын
Yacuba akicheza tabora wanachukua ubingwa😂😂😂
@davidmwanga6018
@davidmwanga6018 2 ай бұрын
Yacouba yupi
@HASSANTL-m7c
@HASSANTL-m7c 2 ай бұрын
Makambo vs jumashabani ndo wamenileta apa
@IbrahimMohamed-c3c
@IbrahimMohamed-c3c 2 ай бұрын
Makambovic👍🏾
@bantujunior9549
@bantujunior9549 2 ай бұрын
Hawa waliocheza leo tabora utd hawakucheza mechi ya kwanza
@isaackaitira7654
@isaackaitira7654 2 ай бұрын
Chuku alicheza hapo ni makambo tu wengine walikuwepo
@kuholakalani2472
@kuholakalani2472 2 ай бұрын
Kwahiyo?
@NtamamiloGibson
@NtamamiloGibson 2 ай бұрын
Kwenye hicho kikosi Makambo tu hakuwemo wengine wote walikuwemo.
@nurdinmfamau3493
@nurdinmfamau3493 2 ай бұрын
Simba Walibebwa Tu Mechi Yakwanza. Lakini Wacha Masiku Yasonge Tuone Panapovuja.
@isaackaitira7654
@isaackaitira7654 2 ай бұрын
@@nurdinmfamau3493 msimu huu utasubiri sana watu wako serious sana
@ikulunimahalipatakatifu7642
@ikulunimahalipatakatifu7642 2 ай бұрын
Karibu tena home Makambo na Juma Shabani Pigeni kazi
@pastorgodwinchengula7848
@pastorgodwinchengula7848 2 ай бұрын
Hivi huyu Shaban ndio ameishiwa huku baada ya kuzingua Yanga?
@ikulunimahalipatakatifu7642
@ikulunimahalipatakatifu7642 2 ай бұрын
Yanga siyo timu ya baba yake yanga ni kama timu zingine, kazi ni kazi
@pastorgodwinchengula7848
@pastorgodwinchengula7848 2 ай бұрын
@@ikulunimahalipatakatifu7642 ni wewe ndio unafikiri Yanga ni kama timu zingine loo. Uwe na mwanao mmoja acheze Namungo mwingine acheze Yanga halafu waulize ikiwa hizo timu zinafanana.
@azizymachadeson3577
@azizymachadeson3577 2 ай бұрын
​@@ikulunimahalipatakatifu7642 we kweli hewa eti kazi kazi uache kazi unayolipwa elfu 50 unaenda kulipwa elfu 10 afu useme kazi kazi nyie so watu wa football ni shabiki oya oya ambao hamjui mpira hata kidogo😂😂😂😂😂 nakucheka wewe na Juma shabani apo amefeli sema hana namna
@TatuHusseni-hs7mu
@TatuHusseni-hs7mu 2 ай бұрын
Tabora yangu msimu huu mkaze kweli kweli
@ladislaus799
@ladislaus799 2 ай бұрын
Tabora wanavyuma hapo yacuba hajacheza
@edibilychaula.3753
@edibilychaula.3753 Ай бұрын
Naona product za Yanga zipo kila mahali
@jenestertituskagisa7637
@jenestertituskagisa7637 2 ай бұрын
Ila Azam bado Sana kamera zenu azilizishi matukio ayaonekani vizuri Kama jinsi mlivyo kuwa mnazisifia kamera zenu binafsi hakuna lolote zaidi ya kuongeza ela ya vifurushi
@FatumaIssa-w1s
@FatumaIssa-w1s 2 ай бұрын
Anzisha ya kwako
@Stevmwamba2090
@Stevmwamba2090 2 ай бұрын
Kwani imelazimishwa kutazama mkuu! Katazame movies za rufufu azam tuachie wenyew
@alhajshabani5595
@alhajshabani5595 2 ай бұрын
Hivi hawa marefa hawaoni au hawajui sheria ya kipa mguu wake mmoja uwe kweny mstari
@ramadhaniiddy5059
@ramadhaniiddy5059 2 ай бұрын
Once Bees always Bees
@KhamisiHilali
@KhamisiHilali 2 ай бұрын
Timu za ligi kuu bara Wala msipate tabu ya usajili maana yanga kila msimu inasajili 7 inaacha watano wa maana bado Wana kiwango mim namsubiri Guede kufanya makubwa
@azizimbale9720
@azizimbale9720 2 ай бұрын
Sasa ni mchezaji gani hapo amecheza yanga karibuni maana Kama makambo ni muda Sasa zaidi ya misimu mitatu
@KhamisiHilali
@KhamisiHilali 2 ай бұрын
@@azizimbale9720 djuma shaban
@michaelenockefraim6967
@michaelenockefraim6967 2 ай бұрын
Wakwanza nipen like zangu
@victorgunda4048
@victorgunda4048 2 ай бұрын
Br hiari naona upo kwenye majukumu yao
@naimasbuguza2395
@naimasbuguza2395 2 ай бұрын
Mbona husemi soda ya bemba... Au kwasbb ameondoka yanga
@yussufritzy7684
@yussufritzy7684 2 ай бұрын
Tabora,,, haikuwa penalty
@radynnyagaly3692
@radynnyagaly3692 2 ай бұрын
Offside kabisa hii
@RahimKulwa
@RahimKulwa 2 ай бұрын
Kinyo wa bunju@
@MwanyiluTz
@MwanyiluTz 2 ай бұрын
Ina enda kuwa epl ndog hii
@SimonJeshi-nq1hs
@SimonJeshi-nq1hs 2 ай бұрын
Hakuna penart
@SuleimanMuhammed-g7q
@SuleimanMuhammed-g7q 2 ай бұрын
Alicheza dada yako
@DaudFataki
@DaudFataki 2 ай бұрын
Mboka impaya mkoa amboa wanaume hatunavioo
@kuholakalani2472
@kuholakalani2472 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@BillHunter-Musician
@BillHunter-Musician 2 ай бұрын
Duuh juma shabani anatia huruma Hadi so pouwa! Kutoka kuilingia yanga Hadi namungo duuh😂 ama kweli kupanga nikuchagua😅
@Joe-tr2vk
@Joe-tr2vk 2 ай бұрын
Maisha ni popote,sisi watu wazima tunaelewa.
@olarivolariv1313
@olarivolariv1313 2 ай бұрын
Cha muhimu ni hela tuu ndugu
@ikulunimahalipatakatifu7642
@ikulunimahalipatakatifu7642 2 ай бұрын
Kwani yanga ndiyo timu peke yake?,
@pastorgodwinchengula7848
@pastorgodwinchengula7848 2 ай бұрын
​@@ikulunimahalipatakatifu7642aamaana alikuwa anahitajika Yanga bado yeye akajiona ni mkubwaa sasa anaishia wapi mwenzie yuko Azam pale..
@RomboBoy-bl7ql
@RomboBoy-bl7ql 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 kwel hii nbc
@Deadskytz
@Deadskytz 2 ай бұрын
😂😂
@proisolution7166
@proisolution7166 2 ай бұрын
shida ya hii timu ya hii Tabora na Fountain gate hipo kwenye maadili,eti timu zote zilifungiwa kama sikosei na timu zote zilipangiwa kuanza na simba,sasa ninyi mnaosema udhamini ya GSM mtusaidie,timu iliyocheza na simba leo asilimia 70% tofauti.ingekuwa yanga ungesikia wambea.
@ClaudMkoka-bf2sf
@ClaudMkoka-bf2sf 2 ай бұрын
😂
Family Love #funny #sigma
00:16
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 13 МЛН
How it feels when u walk through first class
00:52
Adam W
Рет қаралды 26 МЛН
Cool Parenting Gadget Against Mosquitos! 🦟👶 #gen
00:21
TheSoul Music Family
Рет қаралды 33 МЛН
MPOKI MUHUDUMU / BROTHER KEY TAJIRI
30:27
BONGO LAND
Рет қаралды 182 М.
The Match That Made Zinedine Zidane Retire
14:37
BR7 Football
Рет қаралды 3,5 МЛН
Lamine Yamal will never forget Endrick's performance in this match
14:22
Family Love #funny #sigma
00:16
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 13 МЛН