Friji bovu Uko sahihi kabisa kuhusu kilinda wachezaji.Hata maamuzi mabovu ya marefa Uongozi wa Simba hautakiwi kukaa kimya
@HellenErasto2 ай бұрын
Frijibovu nakubaliana naww
@johnmwita93703 ай бұрын
Nimekuerewa friji mbovu
@georgegregory84143 ай бұрын
Friji bovu wewe unakuwa sana kuuchambuwa mpira uko vizuri kaka
@EmanueliWildausoni3 ай бұрын
Friji bovu now mm nakusikiliza sanaa uko vzr broo
@SalimRamsei-ok9el2 ай бұрын
Pmj sanaa
@patrickkilongo32143 ай бұрын
Kanute yupo friji bovu haondoki na vipimo kafanya tayari kwaajir ya kwenda pre season , means apo kati ya kiungo mmoja hata kuja
@anithawidambe75433 ай бұрын
MAGOLI SAFI SANA KWENYE USAJILIA MO UNAWASHUKURU SANA
@kassimmwawado70023 ай бұрын
Unatupotezea muda kwa dibaji ndefu!
@KibibiMwalimu-pg8fg3 ай бұрын
Naamini mgunda anajuwa kulinda wachezaji
@sangaelly85482 ай бұрын
Taaabu kuwa iko kuleee wanako loga
@shabanimwinyikhery11743 ай бұрын
Kuna watu wanachheza usiku watu wanacheza usiku..😃😃😃
@charleskuyeko44003 ай бұрын
Huo usemi wa Furgasson waambie Viongozi wa Simba. Naona wamefanya usajili mkubwa sana lakini wamejisahau kwenye namba 2 sijui nani amewaroga. Wakumbusheni tafadhali, Kapombe kachoka. Magoli yamekuwa yakipita kwake. Wasiposhituka kazi yote nzuri waliyofanya itakuwa sawa na 0. Kapombe hamwezi Dube. Kapombe hawawezi Waarabu. Mtanikumbuka kama haya hayafanyiwi kazi.
@flova70223 ай бұрын
Kwann humwamini Israel taifa teule
@lucasluhamba23742 ай бұрын
Kelvin kijiri kaka
@IsmailMrisho-v1n2 ай бұрын
NDUMBA ZIMETAWALA SANA..... 😢
@lonesomekabora55473 ай бұрын
Friji bovu mbona kwa feilasufi friji limegandisha?
@geraldmagembe44283 ай бұрын
Mpuuzi wewe, ila hata vichaa Wana washabiki.
@GiresseMukwemulereGirelo3 ай бұрын
Kitu kina waponza Simba ni kwasababu muna sifia sana wachezaji inje ya uwanja waki fika ndabi uwezo mdogo
@bahatimshali27313 ай бұрын
Nyie mbona mmewasifia Kinzumbi, japokuwa mmemkosa. Mmemsifu Boka, mmemsifu Chama. Kuna dhambi gani Simba wakiwasifu ambao hawajafika?
@JoseHaule-tx7lu3 ай бұрын
Yanga wivuuuuu wanahisi goli tano zitajirudia hakuna hiyooo,saiz wao ndio wanamiliki wazeeeeeeee😂😂😂😂😂😂😂😂
@bahatimshali27313 ай бұрын
@@JoseHaule-tx7lu Wazee FC. Waliowaita wazee wamewasajili