Miye niko Lubumbashi ni mukongo nasema musoda njo muchejaji atari sana afrique kwasaivi. Siye wakongo tunamupeda sana na twayipeda Yanga itachukuwa bigwa ya silikisho
@dianajeremiah1547 Жыл бұрын
😊 yangaaaaaa
@SelemanAron-ij1fo Жыл бұрын
Dah!angalien swala la mtangazaji bana,amepoa sana yani,anajing'atang'ata sana
@ismailmasanilo7018 Жыл бұрын
😂😂😂
@asyashariffu7717 Жыл бұрын
Leo kajitahd tumvumilien atajrkbsha taratb taratb
@GodlistenSamwel-r8p4 ай бұрын
uyu ngereza n kenge
@JamesReuben-gt8up7 ай бұрын
Sema watangazaji wa TV3 wamepooza sanaaa
@carlosn_tz Жыл бұрын
Benja la dimba dah!
@PankrasNyigu-fx8xm Жыл бұрын
Mtangazaji Dah
@wilsonkahamba7702 Жыл бұрын
Hapo hii Tv Haina mtangazaji anakua kama ana soma gazette
@saidibrahim5263 Жыл бұрын
Mtangazaji Yuko kawaida Sanaa leo
@sallyeliya52136 ай бұрын
Hapa hamna mtangazaji,mechi jiwe kama hii wekeni watangazaji wa moto🎉🎉🎉
@malataogtz2080 Жыл бұрын
Jesus Moloko fayaaaaaaa
@rahmatonystan2691 Жыл бұрын
Mtangazaji umepowa Sana bwan
@agathamatambula538 Жыл бұрын
Limalisa tena mtangazaji nae😊😊
@makosatwalibu3132 Жыл бұрын
Mtangazaji unajizuka sana na mambo yaliyopita kuliko yaliyopo dah
@mortencegeorge8003 Жыл бұрын
Ila uyu mtangazaji bado sana😮
@frankgeorgemadiwa Жыл бұрын
Jamani TV3 huyo mtangazaji anaboa sana wekeni mwingine
@sierraminingltd1590 Жыл бұрын
Huyu mtangazaji wa Rede ama nn😂😂😂😂😂
@calskim4173 Жыл бұрын
Uyu mtangazaji bhna 😀😀kama anasoma magazet
@Ngwea_Crazy Жыл бұрын
Huyu anatangaza mpira au anatangaza ratiba ya mazishi..😂😂😂😂
@veronicangwale715910 ай бұрын
Kuna dunduka katetema vzr 😃😃😃😃😃😃😃
@hamidayanga8224 Жыл бұрын
👌💃
@athumankinguji5863 Жыл бұрын
Yanga juu,sema Mayer ukiwa kwenye goli ujapata nafasi nibora utoe Assist kuliko kufos ushinde wkt aupo vcur Leo tungeshinda hta mrngi sema Mayer ulizingua ila ongela kwa kujitaid kushnda
@charitymkombozi5900 Жыл бұрын
Watangazaj wa media zingine mna la kujifunza kutoka kwa watangazaj wa azam tv
@HappynessSaid-mr9og Жыл бұрын
We hujui kutangaza hiyo kazi huwez
@dengahmediatz3113 Жыл бұрын
Oa wanangu wa vitochi😁😁😁
@naomimwandu6825 Жыл бұрын
Maneno mengi
@barakaisack267 Жыл бұрын
Tafuteni mtangazaji ambaye yupo serious na kaz
@cosmaheptas80896 ай бұрын
Mtangazaji mavi huyo
@tabithadaniel7364 Жыл бұрын
Hatutaki simulizi zako bhana
@mauricebaraka9119 Жыл бұрын
Hamna mtangazaji hapa
@kassimrajabu7805 Жыл бұрын
Tv3 hakuna watangzaji wa mpira mamaeee
@gracegofrey4677 Жыл бұрын
Lomalisa nyie 🙌🙌🙌🙌 huyu musonda ndo yule tuliemuona Zambia magoli ya kichwa ya kushtukiza nyie💪💪💪 hii inatufundisha subra ndo kila kitu na kumpa mchezaji muda
@gidietitle2694 Жыл бұрын
Lufufu ndani futiboli😂tangazaji la fifa
@AfricaYangu Жыл бұрын
Ukitaka kujua kizuri ni kipi uone kwanza kibaya, Huyu mtangazaji jaman hapana .... Bora tu uangalia kimya kimya
@scholarhaule9956 Жыл бұрын
JOYCE MUTAMBALA TUSAMEHE BABA KAMA TULISEMA WW NI GARASA😂😂😂😂😂
sijui kwanini haweki sauti ya watu uwanjani kuna haja gani ya hizo mic utadhani nasikiliza redio tena inanafuu halafu mtangazaji jifunze kutangaza tena unatoka sana nje ya utangazaji hadi goli linafungwa ndo unakurupuka gooooooo na aliyefunga humjui utataja halidi aucho daaaaaah!!!!
@godwinwilliam5228 Жыл бұрын
Huyu mtangazaji mmemtoa wap mbona km anatangaza habari
@edsoneliah2802 Жыл бұрын
Yaani mpira utangazwe na Azam
@dansonchristian8874 Жыл бұрын
Uyu commentator anamambo ya kujifunza maana anaongea sana na kusahau kuutangaza mpira na radha n kama inapotea ivi ni ushaur tu au mwasemaje nyie
@charitymkombozi5900 Жыл бұрын
Mtangazaj kapoooa hata hainogi angekuwa sauti ya radi ingekuwa balaa, halaf hizo saut za mashabiki ndo huwa zinanogesha sasa nyie mnazipunguza mpaka mwisho
@braisonijohnsoni7542 Жыл бұрын
mtangazaji ni wa mchongo
@godlistenorio5950 Жыл бұрын
Huyu mtangazaji poor poor kabisa
@maestro_keysdcloopsbrand8372 Жыл бұрын
Hilo li madevu lilikua linaruka ruka tu leo, fala hili alafu airport linajifanyaa halitaki kuhojiwaa senge hili