Diamond anapenda huyu mwanamke na watoto wake zaidi ya wengine,kuna siku watarudiana na itakuwa historia
@NewNew-ep5dqАй бұрын
San yani mm natamani ata leo warudiane
@IkoUwasi-it6qyАй бұрын
Ndoto hizo
@peacerichard8970Ай бұрын
Mie nampemda Tanasha tu,wengne mbwembwe
@pendombinga3584Ай бұрын
@@peacerichard8970tatizo tanasha kazidi kupooza sana
@MaryOman-tc1ntАй бұрын
Natamani sana Walee watt wao
@najjukolydia9938Ай бұрын
Tiffa is da heart of diamond
@aishaahmed5028Ай бұрын
Happy birthday 🎈🎉🎂🎊🎁 princess tiffa hongera mama tee na papa tee insha Allah daima muwe pamoja mzidi kupendana melee watoto wetu wenye wivu wazidi kupata vidonda vya tumbo utakuta hapo wanaitizama video kila wakati na huku wanafyonya na kulani mbona kazi mnayo 😂😂😂😂 kwetu ni rahaaa ❤️❤️❤️
Mashallah napenda wanavyishi zari na dai kwa watoto ❤❤❤❤❤
@mwajumagomera7609Ай бұрын
Couple yangu pendwa haijawahi tokea ❤❤❤❤❤
@EmanuellVictoriaАй бұрын
Wow So lovely Happy Birthday to her Princess tiffa🎉
@BunyenyeziJesca-ru2wdАй бұрын
Thanks for Creating good memories for your children ❤
@abdulkadershabani4570Ай бұрын
Happy birthday girl ❤❤❤
@KideNetworksАй бұрын
Ananmnunulia hata vitu hakuwai vipata na kina Esma😢🎉❤...Life bana,hata mkidema ni Freemason muacheni tu
@Oman-cd3zqАй бұрын
Ila bab tee mungu akupe maisha mrefu uzindi ku wangaliya watoto wako na nibab Bora piya❤❤❤ happy birthday tifa
@mwajumagomera7609Ай бұрын
Zari alichowazidi wengine kumzalia D mtoto wa kike ndo maana thaman yake iko juu❤
@aminakawawa5800Ай бұрын
Couple yangu pendwa ❤❤❤❤❤❤❤❤
@SyliviaKisakye-ye1gkАй бұрын
Happy birthday princess tiffa❤❤❤❤more blessings 🙌
@moinanizarmfaoumeАй бұрын
Happy birthday Tiffa 🎉
@jumakapilima7295Ай бұрын
Zuchu na Shakibu Wana mioyo ya chuma,,,,,
@user-nb7qj7hg6p27 күн бұрын
Umeonaeee😂
@AmanaAmos-hv3yz29 күн бұрын
Mond na zari forever ❤❤ then wanapenda sana na kupenda family yao,rudianeni tu..mlee watoto na kuongeza❤❤❤❤
@nabatanzijosephine220529 күн бұрын
Baby gal has grown May God bless her
@sseluwuolivia8478Ай бұрын
Wow my favourite family❤❤🔥
@LorinekavaiАй бұрын
Happy birthday Tiffa ❤❤❤❤❤
@sharontwijukye400829 күн бұрын
Zari protects her children's interests against all odds she is a good mother Shakib should move on he doesnt match zari's family vibe. Zari stop wasting his time
@OliviaOlivia-rh1ebАй бұрын
Team zari ad damiond ❤❤❤❤
@UnterHeroАй бұрын
Napenda life style yenuu❤❤❤
@user-ji7sy2wi7bАй бұрын
Happy birthday tiffah❤🎉
@stella825127 күн бұрын
Happy birthday tiffah
@carolineamito6709Ай бұрын
Beautiful, Diamond you are a responsible father, always love your children and remember your wife Zari. Your love story should be acted out.
@user-dx8jl1bd7nАй бұрын
Huyu msichana wa diamond anacheksha sana.. mtoto wa ki tz
@sylviemokosery870124 күн бұрын
Zari a été, et est tres intelligente ,pour rester en contact avec diamond elle lui a fait des enfants sans etre marier avec lui ,,, ❤❤❤ remettez vous ensemble zari et diamond et c'est tout !!
@MashakaFedrikАй бұрын
Happy birthday tee 😂😂😂
@Fatma-rj7vsАй бұрын
Wachni maneno wivu tu nibaba watoto wake
@joycechilumba237017 күн бұрын
Nampenda sana zali yani
@EliudiJastiniАй бұрын
Amazing 🎉
@user-wi6uk1vz1hАй бұрын
Qu'est-ce qui est incroyable, dans vos familles cela ne se passe pas ? Il ya quoi d'étrange ici , un papa est venu rendre visite aux enfants alors donc vous aimez les parents qui délaisse leur enfant ?
@TheVindcboyАй бұрын
❤❤❤😢
@MwajumaOkudoАй бұрын
❤❤❤❤🎉🎉❤❤❤❤
@faidhamyovela179Ай бұрын
Zuchu azae na yy 😂😂😂 ila kwa tanasha huwa haend jaman kwa zar kil msim yup😂😂
@petronillahosoro4828Ай бұрын
Diamond anapenda Zari sana kuliko wengine,warudiane tu,Zuchu atafute mpenzi wake hao wawili ni wapendzi
@shishgal2274Ай бұрын
@@petronillahosoro4828mbona huyo Simba hataki kumwacha zuchu?? mbona zuchu akimwacha anamfuata na kuenda kumpigia magoti??sahii zari ameharibu ndoa yake diamond ameridi kwa zuchu
@mtotowamankaАй бұрын
BOSS MAMA dangote
@juliusgeorge1381Ай бұрын
🎉🎉
@idinado-wk3lxАй бұрын
🎉🎉🎉🎉
@ashirievara8542Ай бұрын
💥💥💥🔥🥰
@musaahmed6810Ай бұрын
Lovely family
@khalidkareem8337Ай бұрын
Daaah ❤❤❤mamaee tutafute pesa
@halimaallyazizi4443Ай бұрын
Mashalwahu mashalwahu.daomond
@MwajumaOkudoАй бұрын
❤❤❤❤🎉🎉
@nishelbeb8822Ай бұрын
Happiness in Tz🎉😂❤but In Uganda Mwooto🔥😢😢😢this world no Balance😅😅😅😅😅
@sunyarehАй бұрын
Wewe unastarehe na watoto wako na Mimi mnaniibiya hela zangu zote mungu awalaaani na watoto wangu wanateseka kwa ajili yenu, huyo mwantumu mbona usimshike
@Mina.15Ай бұрын
Uncle diamonddd😂😂😂 demu ako na vidole 4️⃣ and half 😂😂😂
@mudibojaffar9269Ай бұрын
Maisha Ya Diamond Ni Burudani kwa Mashabiki zake
@EstarCharsАй бұрын
Good
@DaramuPlatnumzАй бұрын
Nikweli
@stellasimon8306Ай бұрын
Siku hizi Esma yuko wapi?
@MaryOman-tc1ntАй бұрын
Yani mm nasema wazungukee mwisho wa siku waoanee
@PaulHernandez-d8i28 күн бұрын
Lopez Thomas Clark Patricia Thompson Mark
@MsNajma-j7e29 күн бұрын
Wazazi wa kiume wote wangekuwa kama mondi wangetusha sana kwa upendo wa watto wao na matunzo na ushirikiano mkishazah ni ndg ila wanaume zetu wa tz na badhi ya wanawake mkiachana inakuwa vita watto wanakuwa kwenye marezi ya mzazi moja tu mma
@kurwapauloukovizurisana.go7861Ай бұрын
Wakati huu yule mganda wa watu yuko wapi sijui😂😂
@sunyarehАй бұрын
Ameniibiya hela zangu zote na kawaibiya watoto wangu hela zote
@user-oy1lo2cw6sАй бұрын
Nani huyo jamani
@OnesmoEmmanuel-xr2rfАй бұрын
𝐀𝐧𝐚𝐯𝐢𝐭𝐮𝐤𝐨 𝐭𝐢𝐟𝐚 😂😂😂😂😂
@abudually5444Ай бұрын
😂❤ pesa
@kessynurutajiri494024 күн бұрын
Na ww Dimond ni mnafiki na mvurugaji wa Ndoa za wenzio. Ungekuwa una mapenzi ya kweli mbona hukumuoa huyo mbibi? Domo Unaboa sana.
@josephineamujaro528324 күн бұрын
Hawa wana nyege wote
@user-yh6mq4ds1mАй бұрын
Hapa ndo hamisa anapoteseka akiona
@priscillardigi3242Ай бұрын
Bwana ya Zari Ako wapi?
@vibetz9991Ай бұрын
😏
@CHRISTINAMAGASIАй бұрын
Lazima ampende zari maana yeye ndo alimfamya aitwe baba
@abukizito5560Ай бұрын
Musaja watu shakibu bamukozesa bukozesa
@zariadunia6328Ай бұрын
Sasa hapo shakibu kakosewa wapi na diamond kama sio kutaka kiki kupitia baba Tee hapo ni kwake shakib hapo nikwa akina Tee ananyumba au hata chumba hapo SA kwanza aliomba aje SA zari akamkatalia sasa kosa la baba Tee ni nini hebu a dral na mke wake atuachie mond wetu we uliona wapi mume hata kuhemea haemei what are u bringing to the table Shakib kaa utulie tafute size yako mwizi wa mapenzi
@AniaSawakiАй бұрын
Ila mbona Tiffany kama umbo la kitoto linamuachs au mm ndo naona tofauti
@LorinekavaiАй бұрын
Ndiyoooo maaana anakuaaaaa
@philemonmagesa5548Ай бұрын
Amekua haraka mpaka nimemshangaa
@LorinekavaiАй бұрын
@@philemonmagesa5548 sai watoi wanakua haraka sana
@Kwazulu1Ай бұрын
Tiffa Hongera sanaa.
@King_186Ай бұрын
Sasa si anakua,,ww unataka abaki hivyo hivyo
@sharlharl5890Ай бұрын
Bi tukinao maskini bado Inlove na simba but simba yubo zake bize😂😂😂
@fatimamtoo9288Ай бұрын
Nyinyi ndio wale mkiachana na baba watoto zenu mwakasilikiana. Acha wivu wewe