Mmmh uyu mtoto ameniliza kwa kweli ana maneno ya busara kama mtu mzima mashallah ❤❤
@oman1oman179Ай бұрын
Kaka fabie na team yako nawaombea dua kwa allaah ajitokeze mtu mwenye roho ya mapenzi na iman awanunulie gari kazi mnaofanya ni kubwa sana mbele ya allaah mungu atawalipa kwa kazi mnaofanya
@user-sh9jl2hx4uАй бұрын
Ya ALLAH! Ipokee Dua ya mtoto huyu na kwa baraka ya Dua hiyo walipe mazuri wote wale wadau wa DTV Amin
@leylam2121Ай бұрын
Mashallah mashallah mtoto anamaneno ya hekma allah akujalie kila lakher mwanangu
@erinestangowi7785Ай бұрын
Mama yetu msafi mashaAllah mpe hongera kwa usafi sio watu wengine unashida mbaka usafi wanashindwa kufanya usafi ni muhimu hatakama unashida wajitahidi usafi
@maryamabdullah9169Ай бұрын
Mashaaallah Allah Awazidishie baraka tele katika utafutaji wa Riziki Tunayoiomba ni Furaha tuu
@Fatima1234-wl1nuАй бұрын
Alhamdulillah nashukuru mungu kwa wote mliyojitolea kwenye hii family hii mtalipwa mara mbili kwa mlichokitoa
@AwzaMstafaАй бұрын
Nimefurahi sana mwanangu usome kwa bidii Mungu atakusimamia
@oman1oman179Ай бұрын
😢😢😢😢mungu awalipeni wote mlie jitolea kwa ajili ya allaah
@fatumamasudi4963Ай бұрын
Mashallah kaka feiba na kampunu yako, Allah atawalioa kila lakhery
@chikujuma18Ай бұрын
❤❤❤❤ mashallah hongeren fabi na Adam pamoja na wanaotoa misaada mola awazidishie mlipo mtoa awaongezee inshallah shukuran kwa kuongea furaha ya hii family
@oman1oman179Ай бұрын
❤❤❤❤❤ninacho mpmpendea bibi nimsema kweli kwaungine mtu angesema nina umwa lakini yeye haseni uongo
@AAs-qw7fsАй бұрын
Masha Allah yuajibu vzr nimependa kwa kwel jmn❤
@tato8979Ай бұрын
Kazi nzuri fabi mungu akubariki sana
@UmJibreel-fo2grАй бұрын
Mashallah Allah awalip Kila mweny amejitolea
@zainabumartin9520Ай бұрын
Mtoto anahekima mashaallah ❤❤
@Aminahlamranl420-hw2ieАй бұрын
Maashaallah huyo mtt yako vizr. Fab ,Adam na wengne wote Allah awalipe kheir
@halimamfaume1925Ай бұрын
MashaAllah ❤❤❤ Alhamdulillah
@user-uo3xz4do6lАй бұрын
Mashaallah ❤
@user-cb2us2nu2mАй бұрын
MUNGU AKUBARIKI FABY
@user-yb6wh1bk9dАй бұрын
Allah atakupa nguvu zaidi
@khadijasayeed3381Ай бұрын
huyu mtoto jaman anaongea kama mtu mzima hadi machozi yamenitoka❤️
@zuhrazuhra637Ай бұрын
Ni mdogo ila anajitambua Mashaallah, malezi ya bibi ni mazuri mno
@khadijasayeed3381Ай бұрын
@@zuhrazuhra637 Kabisa yaan kalelewa vzr sana
@azaniasaidi93Ай бұрын
Mashaa'Allah mtoto mzur leo kafurahi ❤
@user-nd8gg4ig7mАй бұрын
Mtoto anamaneno ya busara mpaka machozi yamenitoke😢😢
@hyy4114Ай бұрын
Allahumma Ameen hbbty uliniliza sana nashukuru sana leo kuona umepata fraha
@munirasallim6450Ай бұрын
Kumbe huyu mtoto n msichana interview Ile nyingine nilimuona kma mvulana
@navioma4882Ай бұрын
Bibi ni msafi sana mashaa allha
@DativaMboweАй бұрын
Aminaa❤❤❤❤ mungu akubariki ndugu mwandishi
@SalmaSamiryАй бұрын
Mashaallah allahumma barik mwenyzimungu ni mkubwa wallah kila alie toa alla amzidishie ameen
@SalmaSamiryАй бұрын
Mashaallah mtoto anajua kujieleza vizuri Allah ambariki 😢😢😢
@JohanMwambageАй бұрын
Jamani mungu ni mwema nililia sana sikuile mtoto aliniliza asante mungu
@oman1oman179Ай бұрын
Manshallaah bibi leo kaipata furaha kisha bibi aonyesha ni msafi ni juu maisha yanampiga lakini usijali bibi inshallaah huo ndo mwanzo
@zainabumartin9520Ай бұрын
Mwaambie awe anasoma dua kilasiku akiamka asubuhi najioni pia aswali sana ajitahidi
@omanmct135Ай бұрын
Aaallahmdulilah
@omanmct135Ай бұрын
Nimefurahi sana
@binthkhamis8042Ай бұрын
MashaAllah na shule ya likoni
@SharifaOman-bf1bnАй бұрын
Allaah humma amiin
@mariamissa4029Ай бұрын
mashaallah mtoto ananeno mazuri na hekma❤❤
@zuhrazuhra637Ай бұрын
Malezi ya bibi mazuri mno Mashaallah
@user-ft2vq5on6lАй бұрын
Wenye uwezo wanunulieni gari kaka fabi wanatembea sana kwa miguu
@user-fh8gh5ws5gАй бұрын
😢😢
@fatuma5208Ай бұрын
Mashallah ❤❤
@aishajuma7813Ай бұрын
🙏🙏🙏
@oman1oman179Ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤ manshallaah tabarakallaah
@khadijatanzania8040Ай бұрын
Yaan huyu wakiume kafanana na bibi yake balaa
@halimaoman8726Ай бұрын
Huyo kaka akumpa lodi ya miezi minne ampe na ushaidi binadamu atuaminiki na pia watangazaji lazima muwepo ata kumlikodi kinyemela ili ushaidi
@dtvonline2099Ай бұрын
Amepewa pesa mbele yangu
@yusraahmed4414Ай бұрын
Kaa fabi Kwa Sisi watu wa Kenya mchango wetu twatumana vipi?tafadhali naomba kujuwa
@dtvonline2099Ай бұрын
Safari com tumia
@halimasawa611Ай бұрын
Number Ya kutuma mana me pia nko kenya nathamn sana kutoaa kidgo changu
@AsiyaahamzaHassanАй бұрын
Ukiwa Kenya unafanya hv *840#
@fatumamasudi4963Ай бұрын
Mashallah kaka feiba na kampunu yako, Allah atawalioa kila lakhery