Aisee hiyo nimeipenda,Ubaya Ubwela,,,,,NSSF ni wanga sana😮😮,,,mwaka huu tuwarinde wachezaji wetu,,,,kwa visomo vya mana
@JeniphaFocus16 күн бұрын
Kama kweli mpenzu katua simba saluti kwa mo deuji pamoja na viongozi wengine 😊🎉❤
@saadomar248019 күн бұрын
Wanarogwa Sana, NAYANGA
@JumaJuma-u2tАй бұрын
Yani Simba rahaaaaaa sana ukisikia Kaz naumri ndosimbaa ii tupo kazni kwasaaa niushind tu
@Kambi-c1wАй бұрын
Kazin kwa aucho.kuna kazi
@AjensiKauzeniАй бұрын
Simba nguvu moja
@ROBERTJOHN-yg3ztАй бұрын
Gb 64 we noma Simba nguvu moja
@manmanonline6394Ай бұрын
Simba nguvu moja ❤❤❤❤❤
@EDWINLWEZAULAАй бұрын
Kaka umetisha
@houmdmajid-ur9dpАй бұрын
Ww sahiv mm sikuamin tena
@Paschalmaganga-v5p27 күн бұрын
Simba nguvu mojaaaa❤❤
@wailesmsongole191418 күн бұрын
Waooooo
@user-sk6qd8hx6u15 күн бұрын
Elaa
@ErickJohnfredy19 күн бұрын
❤❤❤
@user-wk2bg8zf3lАй бұрын
Simba nguvu moja🎉🎉🎉❤❤❤
@SalumuMajidi-iq9sp16 күн бұрын
Kama mpanzu katua unyamani bac sas mateso bac welcome mpanzu
@AidaniMwaipajaАй бұрын
Nice Gb 64
@MachameMachame-tx3bk18 күн бұрын
🎉🎉🎉simba nguvu moja
@sirajally8356Ай бұрын
chama alikua mlija wa yanga katuuza sana
@andrewkitema983819 күн бұрын
Ni muhimu muongee yote sasa hivi, Kwani ligi ikianza ni muda wenu wa kutoa matusi kwa viongozi wenu. MANGUNGU, TRYAGAIN n.k. Endelea kupayuka na kuropoka sasa.
@user-to1iw6es6y29 күн бұрын
Ubaya ubwela, maanayake ni ubaya umerudi
@PauloMole-lv4tfАй бұрын
mimi ni simba hila staki maneno mpaka niwaone uwanjani hisije kuwa kina jobe
@joshuasamson961820 күн бұрын
Gb 64 Yeye Ana Mawasiliano Ya Simu Za viongozi Moja kwa Moja Data Anazimegewa Vizuri Kwa Hiyo Elia Mpanzu Ni Mnyama
@halimalachpat192726 күн бұрын
Umetisha Gb 64 waeleze wajue.ubaya ubwela
@saadomar248019 күн бұрын
KWELI, wachezajiwetu WAZIR lkn wanarohwa Sana NAYANGA Ili kupoteza vipajivyao.
@user-bc5sd9qv8w18 күн бұрын
Haaaaa umenichesha kwel
@joshuasamson961820 күн бұрын
Lingi ikiisha Mwakani kuna uwezekano Mkubwa Simbasc ikauza wachezaji wengi sana ulaya
@kichenjewillian5720Ай бұрын
GB 360
@DorcusMalimi26 күн бұрын
Hatari
@EliyaKudaga-u4q29 күн бұрын
I love you SIMBA
@yunusimchala6569Ай бұрын
Magoli mwenyewe amekanusha
@AbasiKharidАй бұрын
Mbona yanga walisajili msimu mmoja na msimu huohuo wakachukua ubigwa
@fadhiryomary9492Ай бұрын
Kwanza manula nmuskie segelea 5 zilikuwa nyingi alaumiwe manula na chama na kenedi na inonga
@salimmalaka256Ай бұрын
SIMBA OYEEEEEE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@user-fl8ws8ey3yАй бұрын
Safi mkuuu
@Emmanuelmoke-k5sАй бұрын
Sisi simba tuna maneno jamani
@othmanhamad7887Ай бұрын
Tena na jezi ya mkude kapewa Chama,mkude chaliiiii
@hamadiayossyАй бұрын
Tuliosikia neno ubwaya ubwela naombeni like zenu jmn😂😂😂
@odilomwemeziernest646Ай бұрын
Zanini wakati wote tumesikia?
@twahambowe440Ай бұрын
Chama hana jipya ktk ligi yetu. Kubwa kwa sasa wachezaji wapewe KIAPO cha UAMINIFU kwa SIMBA, ili mashabiki waondoshe sintofahamu juu ya wachezaji wao kuihujumu timu.
@user-fv7qi9zp1sАй бұрын
GB64 tutatumia carbon fourteen,umetisha baba
@user-pn8ux8of7f24 күн бұрын
G B ACHA MANENO TUNATAKA UKWELI ERIYA MPA,ZU
@user-pn8ux8of7f21 күн бұрын
Baba hakuna cha mpazu wa faiasli wewe nunuwaga tu vocha
@SAfiSAfitzАй бұрын
Ametshaaa
@user-bt6ep3yb2hАй бұрын
Magufuli alikuwa ana akili sana kutimua walimu hewa, sasa wanafunzi wangeambulia nini.
Hili kweli gb 64 hizo data ni sahihi na hajalikodi popote mpeni maua yake jamani huyu jamaa kiboko😅😅😅😅😅😅😅
@AishaaMamaa-zh3cfАй бұрын
😂😂😂😂😂😂 atutaki mleviiiiiiiiiiii😂😂😂😂😂
@salamSalehhhhhАй бұрын
Machine ya maneno ila watu wa Simba 😁
@KeraryoGamahaАй бұрын
GB 64 wewe ni wamba kweli kweli
@SimonMwanaliАй бұрын
Gb64 nimsala
@HamisiKafuluma-m5oАй бұрын
Mwamba unaongea sana tena vizur ila usiwaswifu sana wachezaj
@swaleheukwaju2225Ай бұрын
Ikifika mwezi wa 12 usije itisha waandishi ooh hatumtaki mangungu. Yanga inao wachezaji mahiri sana watawafunga tena nyie endeleeni Mambo ya ushirikina 😂😂
@muksinimbaruku1233Ай бұрын
Umetoa mwiko mzee?
@ErnestMalimaАй бұрын
Bado anahangaika nao huyo😂😂@@muksinimbaruku1233
@BakariShemagembeАй бұрын
😂😂😂wemwamba ni hatari
@houmdmajid-ur9dpАй бұрын
Muongo ww simba hakuna ht mchezai 1 alofika dola laki 1 wachezaj wote wadogo wale hlf ww kesho t unabadilika sikuamin tena ww bwege 😂