Huyu GB nashindwa kumuelewa kama ingekuwa hivyo,Yanga asinge waacha Yaniki bangala,Shabani juma Kisinda walikuwa na mchango mkubwa pale yanga,wasingeachwa,lakini Yanga waliwaacha.Sasa hiki ndiyo kumjengea kiburi yanga.
@AshaAmiri-l2g4 ай бұрын
Chamaaaaa oyeeeeee GB64 upo sawa sana
@stellamboya86734 ай бұрын
Acha ujinga Leo ndio umeongea pumba aswaa chama muache aende
@MwazambaMicrofinance3 ай бұрын
Wachambuzi mtafuteni huyu jamaa
@mamu-ji4wl4 ай бұрын
Ila father huu kichwaa namkubali san
@SarafinaNaheka-cs6ws4 ай бұрын
Uko sawa brother chama sio sahihi kumuacha
@GodfreyLupinda4 ай бұрын
Huyu anakoelekea abaki yeye na chama
@KaizerEdwin3 ай бұрын
Kwahy una taka chama afie simba we mshambaa nn
@christopherlugalala98284 ай бұрын
Ni kweli mwamba huyo chama baba lao
@madenge7314 ай бұрын
....eti mchambuzi ana miaka 24 halafu anachambua mpira, je huo mpira kaucheza ana miaka mingapi??? 🤣🤣🤣🤣
@hakheemhussein85744 ай бұрын
😀😀
@EdgarMwaipopo3 ай бұрын
Kaka acha ujinga
@EdgarMwaipopo3 ай бұрын
Kaka auna akili kwani chama ni mungu was simb
@jescaisack86764 ай бұрын
Wewe uko simba kwa ajili ya chama acha ujinga mwache aende
@dstaroficial4 ай бұрын
Acha ushamba ww mpira wakisasa hauend kwa mchzaj kama chama
@AshaAmiri-l2g4 ай бұрын
Mshamba wewe ila chama baba lao chama oyeeeeee
@safiliMuhammad4 ай бұрын
Kuna. Mambo nakukubali kwa manufaa ya Simba kwa hili hapana na ndio maana avimba kichwa anajiona mkubwa kuliko simba
@AshaAmiri-l2g4 ай бұрын
@@safiliMuhammad kuna watu wanapewa majina hayaendani mbona husemi wakina Fredy fungafunga anakufhnga kitu kwa chama apewe mxua yake atavyojiona simba na ajione ila sifayake ampe hata mm nakuamini chama
@RamdIbrahim4 ай бұрын
😂😂😂👏👏👏
@jescaisack86764 ай бұрын
Kwani ukiacha kushabikia wewe aitaitwa simba acha aondoke chama kazeeka uyo anabahatisha mda mwingine mbona tumetolewa na mashujaa na chama alikuwepo
@vicentstephenjr47664 ай бұрын
Wew GB tulikupenda ila unasema upuuzi, Chama, Saido, Jobe, Luise, Onana na Ayub wote waomdoke, tunataka mabadiliko
@maguosenior78094 ай бұрын
Wewe mwanachama wa wachezaji ondoka na mchezaji wako.wameppita wachezaji wazuri kuliko chama.
@christopherlugalala98284 ай бұрын
Umewaona wapi mbona hivo
@AsumwikeLwinga4 ай бұрын
Chamaamaa azeeke simba
@ishe_ngo89264 ай бұрын
Wewe kama unataka kwenda Yanga na Chama wako nenda tu husituzingue
@safiliMuhammad4 ай бұрын
Acha. Ujinga Simba ipo. Kabla wewe na chama hamjazaliwa
@vicentstephenjr47664 ай бұрын
Acha kushabikia, kwani wew nani
@fadhilishomari1334 ай бұрын
Huyu jamaa sas hivi anaropoka haongei facts, yani yeye anashangilia simba kwa ajili ya Chama
@rabinmarco37824 ай бұрын
Anasema ukwel ndo inavyo takiwa watu waamke huko walpo lala viongoz wa Simba
@fadhilishomari1334 ай бұрын
@@rabinmarco3782 Yani kwamba shabiki anayesema mchezaji fulani ambaye unaona kabisa kila msimu ukikaribia kuisha anafanya visa kisa kajua anapendwa sana na amefanya mengi basi na wew ndio unahama? HUYO HAWEZI KUWA SHABIKI WA KWELI