Hekaheka ya Leo Tena ya Clouds FM leo July 31, 2017 imetokea Mivumoni ambako inadaiwa mtu mmoja amekuwa akiwalaghai watoto wa kike na kiume kwa kuwapa pesa na kuwapandisha kwenye Bajaj kisha huwabaka.
Пікірлер: 48
@mimaakenirram14055 жыл бұрын
mungu wangu nakuomba unusuru watt wetu na haya mambo maana ss kira kona ndo haya haya walhai mtihani na ss tulio kuwa mbali na watt wetu nikisikiaga hivi uwa nachanganyikiwa sana
@neemakilomoni42587 жыл бұрын
😳🙆🏾😭😭😭😭wazazi fanyeni urafiki na watoto wenu mtajua mengi yanao wasibu yani huyo mtu msinge muwacha ,shetani mkubwa huyo huyo police mshenzi eti mtegeshee hakuna dhamana kwa mbkaji ni miaka 30 jela ina uma sana jmani khaa
@sabrinamajikata9307 жыл бұрын
Kwa kweli hali bado ni mbaya kwa watoto wetu lazima wazazi na walezi tuwasaidie watoto ili waweze kujua kwa namna gani wanaweza kujilinda wenyewe. wazazi wengi hawazungumzi na watoto tupo busy kutafuta pesa. wazazi inabidi tutenge muda wa japo dakika 20 kwa siku zakuzungumza na watoto kujua mambo wanayoyachukia wanayofanyiwa
@idrisamakware32617 жыл бұрын
Hiv kweli askari wamepata taarifa alafu wanapuuza kweliii
@tracyjustice16007 жыл бұрын
Huyu ni shetani kwa kweli, inabidi muweke picha yake ipate kusambaa na watu tupate kumjuwa, hawa watu wawe exposed tusilee watu kama hawa kwenye jamii yetu au kukingia kifua, na jeshi la polisi wamefeli vibaya sana ingekuwa kwenda kukamata Chadema zamani wangekuwa ndani
@mwanaiddi13505 жыл бұрын
Mungu atawahukumu
@kombab11127 жыл бұрын
jamani mwenzenu hani natetemeka, hivi tuwaweke wapi watoto wetu jamani
Kwa wasenge kama hawa wanatakiwa wachinjwe tu inatia huzuni sana hadi moyo unauma kama sana ila ipo siku nitaua mtu bila ya kujali kama anacheo gani kwenye serikali
@lucyngambeki25817 жыл бұрын
duh jamany kwa mwendo huu Mungu atatuchoma moto kaaaaaaaaaa tutaamisha watoto dar
@fatumaomari81156 жыл бұрын
Lucy Ngambeki sio dada tu ndugu yang tumuombe Allah atusaidie tuu
@dodomikleni92997 жыл бұрын
So sad wallaah
@sabrinamajikata9307 жыл бұрын
nashauri kipindi chenu mara moja moja muwe mnawaalika wataalamu kuja kuzungumza juu ya mawasiliano bora kati ya walezi na watoto maana kuna jinsi ya kuwasiliana na watoto ambapo wazazi wengi hawana ujuzi huo na wakati mwingine kushindwa kutambua viashiria vya mtoto aliefanyiwa vitendo hivyo vya ukatili
@TheSalma19995 жыл бұрын
Yesu wangu !!!!!
@stellamwakatulile32023 жыл бұрын
Wanawake Mbona wengi Huo ni ukatili jamani
@minormine44177 жыл бұрын
Askari wetu kesi kama hizi hawatilii maanani lakini ingekuwa ya vyama wangekusanyika wengi tu nyumbani kwa huyo mbakaji.
@aminamassare8887 жыл бұрын
yaan hao polic wae serious
@naimamushi48195 жыл бұрын
Ingekuwa ni Mimi hapo kiukweli hata hyo nyumba yake ningeitia moto ndugu zake wote wafe haki ya mungu
@zaikaisi62805 жыл бұрын
Jaman etyi mtegesheee mtoto wako😭😭😭
@aminayasni90317 жыл бұрын
Ujue hawa askar wetu wanamatatizo sana bas angempeleka mwanae ili akamtegeshee hamjielewi Mjue pesa tu ndo mmezitanguliza mbele nataama zenu za pesa hizo kaangalien na wanenu humo majumban labda wameshatendewa vibaya hata huyo Mtt na mdgoake pia wachekiwe atakua kashafanya yake ibiris huyo anaechezea watt wa wenzake wanawake wameisha Au huyo Mtt unaefanyia hivyo anaraha gan?
Gea uvumilivu unakikomo sio kubakwa kwa watoto pili ishu sio kumuomba raisi magufuli ishu kutoka front kuwanyoosha wapuuzi kama hao inauma sana
@kivumbindonga97077 жыл бұрын
Kwanza wazazi wanatakiwa kuwa karibu sana na watoto wao ,umjue mwanao ndani mpaka nje . Pili kwa sasa inabidi serikali na vyombo vya habari vijitaidi kuamasisha wazazi kwa kutoa elimu jinsi ya kulea watoto kwa malezi bora ili kuepuka matatizo kama haya , Maanake inaonesha wazazi wengi hawana mda na watoto kabisa na hii inasababishwa na matatizo ya kielimu na uchumi na maendeleo nchini. Pia watu kama hawa wabakaji wanatakiwa kuchukuliwa hatua haraka sana ni uzembe tu wa polisi , ushahidi ni wakujitosheleza kabisa kwa huyu m'bakaji wanabidi wamsake na wamtie ndani ni mwiba kwa jamii .
@mussaotieno31376 жыл бұрын
Kivumbi Ndonga nema
@kingcobra92387 жыл бұрын
Angeenda kumtegesha mwanae huyo askari ili abakwe mpuuzi sana huyo
@naimakweyamba53405 жыл бұрын
Rana tullah uyooo.. yani Mtu unakuwa kama nyoka au Mamba...
@saidsaid94636 жыл бұрын
Watoto wawe wazi kwa wazazi wao sheria ifute mkondo
@TheSalma19995 жыл бұрын
Omg whaat?
@RachelMbega2 ай бұрын
Police wa Tanzania du
@mnzavachris54237 жыл бұрын
angemcbukua askari akatumike kama mtego
@abdulazizimohd26825 жыл бұрын
Huu mtandao ni mtandao mkubwa sana wa wabakaji na malengo yao ni makubwa ni hasa kwa watoto wa kiume, kwa uchunguzi nilioufanya jumuiya ya nchi za ulaya wameweka mawakili wao pamoja na wafanya kazi waliokuwamo ndani ya serekali na tena ni viongozi waliokuwa si waaminifu wanalipwa pesa nyingi sana ili vitendo hinyo visambae kwa kasi wamelenga baada ya mwaka 2025 wawe wamefanikiwa Tanzania iwe na wasenge wingi ili sheria ya kuowana wanaume kwa wanaume ipate kupita, mimi ninacho kuombeni wananchi wenzangu sasa wakati umefika wa kuchukuwa hatuwa mikononi mwetu, lakini tusimuonee mtu tuwe na ushahidi wa kutosha juu ja mtuhumiwa halafu tuchukuwe hatuwa mikononi mwetu tena tuwaazibu vikali ili wakome watendaji wa jambo hilo la kuwalawiti watoto, kwani kwa sasa serekal haina uwezo tena wa kulishuhulikia jambo hilo, kwa sasa sheria iliokuweko ni vigum kumtia hatiani mshukiwa na hata ukimtia hatiani wao wanamtandao mkubwa saana wana mawakili waliokuwa profeshno wa kuwatetea na kutoka na kwenda kuendeleza vitendo hivyo vya ubakaji, hayo ni maoni yangu wananchi wenzangu nawaomba tukiwa na ushahidi wa kutosha na tukijirizisha mtoto kafanyiwa kitendo cha ubakaji na aliemfanyia yupo na tunamjuwa na nikawaida yake kufanya hivyo basi tuchukuwe hatua mikononi mwetu tusipo fanya hivyo tukategemea serekali hapa baada ya miaka sita mbeleni taifa letu la Tanzania litakuwa na wasenge wengi sana tena huenda ikawa na wasenge nusu kwa nusu na waliokuwa si wasenge, hao watu wanawaandaa wasenge wa baadae tusipokuwa makini taifa tutaliangamiza
@fatmakhalfan28694 жыл бұрын
Abdulazizi MOHD umeongea point sana na nimekuelewa sana Allah atulindie watoto wetu
@fatumaomari81156 жыл бұрын
Akamwatwe
@husnajohn60106 жыл бұрын
huyu baba anachekesha kidogo anahasira
@zainabukalua66417 жыл бұрын
Jeshi lapolisi jaman mbona hamna ushirikiano nasisi wananchi?? matatizo yetu tutayapereka wap???
@leokamil62845 жыл бұрын
Ajabu sana wanamakusudi sana,mpaka watu wachukue sheria mikononi alafu ageuziwe kibao
@innocentyusto29067 жыл бұрын
unatishaa
@fletcherfredy14407 жыл бұрын
police hawafai Kabisa hata ukienda kushtak hawachukui hatua tumewachoka kabisa mkimpata mchinjeni kabisa kazi ya police ni kuchukua maiti kukamata hawajui kazi yao