Geah Habib kaifuatilia ishu ya mwanaume anayedaiwa kuwarubuni watoto na kuwabaka

  Рет қаралды 26,624

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Hekaheka ya Leo Tena ya Clouds FM leo July 31, 2017 imetokea Mivumoni ambako inadaiwa mtu mmoja amekuwa akiwalaghai watoto wa kike na kiume kwa kuwapa pesa na kuwapandisha kwenye Bajaj kisha huwabaka.

Пікірлер: 48
@mimaakenirram1405
@mimaakenirram1405 5 жыл бұрын
mungu wangu nakuomba unusuru watt wetu na haya mambo maana ss kira kona ndo haya haya walhai mtihani na ss tulio kuwa mbali na watt wetu nikisikiaga hivi uwa nachanganyikiwa sana
@neemakilomoni4258
@neemakilomoni4258 7 жыл бұрын
😳🙆🏾😭😭😭😭wazazi fanyeni urafiki na watoto wenu mtajua mengi yanao wasibu yani huyo mtu msinge muwacha ,shetani mkubwa huyo huyo police mshenzi eti mtegeshee hakuna dhamana kwa mbkaji ni miaka 30 jela ina uma sana jmani khaa
@sabrinamajikata930
@sabrinamajikata930 7 жыл бұрын
Kwa kweli hali bado ni mbaya kwa watoto wetu lazima wazazi na walezi tuwasaidie watoto ili waweze kujua kwa namna gani wanaweza kujilinda wenyewe. wazazi wengi hawazungumzi na watoto tupo busy kutafuta pesa. wazazi inabidi tutenge muda wa japo dakika 20 kwa siku zakuzungumza na watoto kujua mambo wanayoyachukia wanayofanyiwa
@idrisamakware3261
@idrisamakware3261 7 жыл бұрын
Hiv kweli askari wamepata taarifa alafu wanapuuza kweliii
@tracyjustice1600
@tracyjustice1600 7 жыл бұрын
Huyu ni shetani kwa kweli, inabidi muweke picha yake ipate kusambaa na watu tupate kumjuwa, hawa watu wawe exposed tusilee watu kama hawa kwenye jamii yetu au kukingia kifua, na jeshi la polisi wamefeli vibaya sana ingekuwa kwenda kukamata Chadema zamani wangekuwa ndani
@mwanaiddi1350
@mwanaiddi1350 5 жыл бұрын
Mungu atawahukumu
@kombab1112
@kombab1112 7 жыл бұрын
jamani mwenzenu hani natetemeka, hivi tuwaweke wapi watoto wetu jamani
@naimakweyamba5340
@naimakweyamba5340 5 жыл бұрын
Yani Jani sijui watoto wetu wakae wapi? Juu
@aishaddddhh6272
@aishaddddhh6272 5 жыл бұрын
Da geah wakikamatwa wafungwe kifungo cha maisha
@ruditaboti3157
@ruditaboti3157 7 жыл бұрын
Yan mpaka naogopa yarabbi nilindie mwanangu
@latypherngombo1022
@latypherngombo1022 5 жыл бұрын
Mmmmmh ila wanaume jamn sijui wamelogezewa 😓
@safindume2089
@safindume2089 6 жыл бұрын
Pole sana wazazi
@alitesco4943
@alitesco4943 6 жыл бұрын
Jamani huyu Jamaa kwanini hafungwi siyo hake child abuse wanaitwa piodfile
@kingcobra9238
@kingcobra9238 7 жыл бұрын
Kwa wasenge kama hawa wanatakiwa wachinjwe tu inatia huzuni sana hadi moyo unauma kama sana ila ipo siku nitaua mtu bila ya kujali kama anacheo gani kwenye serikali
@lucyngambeki2581
@lucyngambeki2581 7 жыл бұрын
duh jamany kwa mwendo huu Mungu atatuchoma moto kaaaaaaaaaa tutaamisha watoto dar
@fatumaomari8115
@fatumaomari8115 6 жыл бұрын
Lucy Ngambeki sio dada tu ndugu yang tumuombe Allah atusaidie tuu
@dodomikleni9299
@dodomikleni9299 7 жыл бұрын
So sad wallaah
@sabrinamajikata930
@sabrinamajikata930 7 жыл бұрын
nashauri kipindi chenu mara moja moja muwe mnawaalika wataalamu kuja kuzungumza juu ya mawasiliano bora kati ya walezi na watoto maana kuna jinsi ya kuwasiliana na watoto ambapo wazazi wengi hawana ujuzi huo na wakati mwingine kushindwa kutambua viashiria vya mtoto aliefanyiwa vitendo hivyo vya ukatili
@TheSalma1999
@TheSalma1999 5 жыл бұрын
Yesu wangu !!!!!
@stellamwakatulile3202
@stellamwakatulile3202 3 жыл бұрын
Wanawake Mbona wengi Huo ni ukatili jamani
@minormine4417
@minormine4417 7 жыл бұрын
Askari wetu kesi kama hizi hawatilii maanani lakini ingekuwa ya vyama wangekusanyika wengi tu nyumbani kwa huyo mbakaji.
@aminamassare888
@aminamassare888 7 жыл бұрын
yaan hao polic wae serious
@naimamushi4819
@naimamushi4819 5 жыл бұрын
Ingekuwa ni Mimi hapo kiukweli hata hyo nyumba yake ningeitia moto ndugu zake wote wafe haki ya mungu
@zaikaisi6280
@zaikaisi6280 5 жыл бұрын
Jaman etyi mtegesheee mtoto wako😭😭😭
@aminayasni9031
@aminayasni9031 7 жыл бұрын
Ujue hawa askar wetu wanamatatizo sana bas angempeleka mwanae ili akamtegeshee hamjielewi Mjue pesa tu ndo mmezitanguliza mbele nataama zenu za pesa hizo kaangalien na wanenu humo majumban labda wameshatendewa vibaya hata huyo Mtt na mdgoake pia wachekiwe atakua kashafanya yake ibiris huyo anaechezea watt wa wenzake wanawake wameisha Au huyo Mtt unaefanyia hivyo anaraha gan?
@naimamushi4819
@naimamushi4819 5 жыл бұрын
Police wanatakiwa wamkamate nasio kusema ategeshewe
@abdulyiddy358
@abdulyiddy358 7 жыл бұрын
Mzazi unaejifanya eet ww mkali ili watoto wako wakuogope akili huna zama zimebadilika kuweni marafiki na Watt zenu acheni ujinga wadodoseni watoto weeenu
@fgjjgbnko4383
@fgjjgbnko4383 5 жыл бұрын
Kumbe babu sea alibaka kweli😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@kingcobra9238
@kingcobra9238 7 жыл бұрын
Gea uvumilivu unakikomo sio kubakwa kwa watoto pili ishu sio kumuomba raisi magufuli ishu kutoka front kuwanyoosha wapuuzi kama hao inauma sana
@kivumbindonga9707
@kivumbindonga9707 7 жыл бұрын
Kwanza wazazi wanatakiwa kuwa karibu sana na watoto wao ,umjue mwanao ndani mpaka nje . Pili kwa sasa inabidi serikali na vyombo vya habari vijitaidi kuamasisha wazazi kwa kutoa elimu jinsi ya kulea watoto kwa malezi bora ili kuepuka matatizo kama haya , Maanake inaonesha wazazi wengi hawana mda na watoto kabisa na hii inasababishwa na matatizo ya kielimu na uchumi na maendeleo nchini. Pia watu kama hawa wabakaji wanatakiwa kuchukuliwa hatua haraka sana ni uzembe tu wa polisi , ushahidi ni wakujitosheleza kabisa kwa huyu m'bakaji wanabidi wamsake na wamtie ndani ni mwiba kwa jamii .
@mussaotieno3137
@mussaotieno3137 6 жыл бұрын
Kivumbi Ndonga nema
@kingcobra9238
@kingcobra9238 7 жыл бұрын
Angeenda kumtegesha mwanae huyo askari ili abakwe mpuuzi sana huyo
@naimakweyamba5340
@naimakweyamba5340 5 жыл бұрын
Rana tullah uyooo.. yani Mtu unakuwa kama nyoka au Mamba...
@saidsaid9463
@saidsaid9463 6 жыл бұрын
Watoto wawe wazi kwa wazazi wao sheria ifute mkondo
@TheSalma1999
@TheSalma1999 5 жыл бұрын
Omg whaat?
@RachelMbega
@RachelMbega 2 ай бұрын
Police wa Tanzania du
@mnzavachris5423
@mnzavachris5423 7 жыл бұрын
angemcbukua askari akatumike kama mtego
@abdulazizimohd2682
@abdulazizimohd2682 5 жыл бұрын
Huu mtandao ni mtandao mkubwa sana wa wabakaji na malengo yao ni makubwa ni hasa kwa watoto wa kiume, kwa uchunguzi nilioufanya jumuiya ya nchi za ulaya wameweka mawakili wao pamoja na wafanya kazi waliokuwamo ndani ya serekali na tena ni viongozi waliokuwa si waaminifu wanalipwa pesa nyingi sana ili vitendo hinyo visambae kwa kasi wamelenga baada ya mwaka 2025 wawe wamefanikiwa Tanzania iwe na wasenge wingi ili sheria ya kuowana wanaume kwa wanaume ipate kupita, mimi ninacho kuombeni wananchi wenzangu sasa wakati umefika wa kuchukuwa hatuwa mikononi mwetu, lakini tusimuonee mtu tuwe na ushahidi wa kutosha juu ja mtuhumiwa halafu tuchukuwe hatuwa mikononi mwetu tena tuwaazibu vikali ili wakome watendaji wa jambo hilo la kuwalawiti watoto, kwani kwa sasa serekal haina uwezo tena wa kulishuhulikia jambo hilo, kwa sasa sheria iliokuweko ni vigum kumtia hatiani mshukiwa na hata ukimtia hatiani wao wanamtandao mkubwa saana wana mawakili waliokuwa profeshno wa kuwatetea na kutoka na kwenda kuendeleza vitendo hivyo vya ubakaji, hayo ni maoni yangu wananchi wenzangu nawaomba tukiwa na ushahidi wa kutosha na tukijirizisha mtoto kafanyiwa kitendo cha ubakaji na aliemfanyia yupo na tunamjuwa na nikawaida yake kufanya hivyo basi tuchukuwe hatua mikononi mwetu tusipo fanya hivyo tukategemea serekali hapa baada ya miaka sita mbeleni taifa letu la Tanzania litakuwa na wasenge wengi sana tena huenda ikawa na wasenge nusu kwa nusu na waliokuwa si wasenge, hao watu wanawaandaa wasenge wa baadae tusipokuwa makini taifa tutaliangamiza
@fatmakhalfan2869
@fatmakhalfan2869 4 жыл бұрын
Abdulazizi MOHD umeongea point sana na nimekuelewa sana Allah atulindie watoto wetu
@fatumaomari8115
@fatumaomari8115 6 жыл бұрын
Akamwatwe
@husnajohn6010
@husnajohn6010 6 жыл бұрын
huyu baba anachekesha kidogo anahasira
@zainabukalua6641
@zainabukalua6641 7 жыл бұрын
Jeshi lapolisi jaman mbona hamna ushirikiano nasisi wananchi?? matatizo yetu tutayapereka wap???
@leokamil6284
@leokamil6284 5 жыл бұрын
Ajabu sana wanamakusudi sana,mpaka watu wachukue sheria mikononi alafu ageuziwe kibao
@innocentyusto2906
@innocentyusto2906 7 жыл бұрын
unatishaa
@fletcherfredy1440
@fletcherfredy1440 7 жыл бұрын
police hawafai Kabisa hata ukienda kushtak hawachukui hatua tumewachoka kabisa mkimpata mchinjeni kabisa kazi ya police ni kuchukua maiti kukamata hawajui kazi yao
@mariamkombo5325
@mariamkombo5325 7 жыл бұрын
😂😂😂
@hamadnassoro1491
@hamadnassoro1491 7 жыл бұрын
Hii hatari sana dada
Robert Greene: A Process for Finding & Achieving Your Unique Purpose
3:11:18
Andrew Huberman
Рет қаралды 13 МЛН
CAN YOU DO THIS ?
00:23
STORROR
Рет қаралды 38 МЛН
Don't look down on anyone#devil  #lilith  #funny  #shorts
00:12
Devil Lilith
Рет қаралды 48 МЛН
Он улетел, но обещал вернуться...
00:30
ПРЕМИЯ ДАРВИНА
Рет қаралды 4,8 МЛН
​​The Empty Grave Podcast | Episode 1: “Somebody Knows”
50:36
Washington Post
Рет қаралды 10 М.
How a case gets to the US Supreme Court
5:10
Vox
Рет қаралды 1,9 МЛН
CAN YOU DO THIS ?
00:23
STORROR
Рет қаралды 38 МЛН