Asante kwa kutuletea filamu zuri sana kabisaa kama unaikubali ihi filamu kwa 💯 na kwa 💯 gonga like first one
@ibrahimpaul62553 жыл бұрын
Vzr
@jajakajaniri5813 Жыл бұрын
Kbx ❤️❤️🔥🔥🔥🇧🇮
@aisharamadhan47783 жыл бұрын
Move inafundisha ulicho jaliwa nacho katika maisha uwe na moyo wakushukuru na uwe na subra katika maisha yko bila ya hayo utaingia baya katimaisha yawe mazuri yawe ya kimasikini nikutosheka na ulicho jaliwa nacho na... Mola.. Ndio utafaulu,,, Amiin Amiin ya rabbi Allah Amiin Amiin
@majaliwamussa92683 жыл бұрын
Sahihi
@aishamother99433 жыл бұрын
Hawa wanawake wawili wakikutana wanashida sana 😃😃😃😃nawapenda na hivyo vituko vyao tu
@mariamdar87843 жыл бұрын
Umeona.wanapendeza kwakwer kiwaenti pamoja.kama ile filamu ya mwasiti pambe
@user-gg9yb3jq2v9 ай бұрын
Dada ratifa unanimaliza nguvu kwa kucheka🤣🥰🥰🤣🤣🤣🤣 adi napata kwikwi by Abdul jayrani south Africa love you my sister umetulia umondani Safi Allah bless you
@aisharamadhan47783 жыл бұрын
Mashaallh move iko na mafunzo mengi katika jamii maisha kama haya yapo... Allah,, atuongoze wepesi wa kila familia na mema ya dua na akhera na wepesi wa kila jambo katika maisha... Amiin Amiin ya rabbi Allah Amiin Amiin Amiin
@zainabalex3883 жыл бұрын
Amiiin
@ftimaramadan47483 жыл бұрын
Amiin ya Rabby
@opplashynahlemix85963 жыл бұрын
Amiin
@bintyhamisi83113 жыл бұрын
Mwanamke amekosa huruma kweli.. Ila iko poa itawafunza wengi wenye tamaa ya dunia
@mariamissa15283 жыл бұрын
Ukiwa huna chako unadharaulika hadi na sisimizi pole sana muhogo mchungu
@shamsahabibu68623 жыл бұрын
Jamani hii move mpk nimelia😭😭 uyu baba anateseka
@anitanahimana21153 жыл бұрын
Asante sana gabo zigamba uko vizur
@moshimgaza56423 жыл бұрын
Wanaake tulizike nakile tulichojaaliwa na allah
@warrensantana15703 жыл бұрын
Wanawake waswahili ndio tabia zao hizi,,tamaa,wakosa adabu,kujilinganisha na familia zengine,hawataki kusoma
@sulesuburasubira65033 жыл бұрын
Kwawale mnaosoma comment tujuane apa
@bibibakari70203 жыл бұрын
Nipo nasoma na uchuro wa boss
@sulesuburasubira65033 жыл бұрын
@@bibibakari7020 haha
@richpato86833 жыл бұрын
But @@bibibakari7020
@user-fj7pl5ng5f3 жыл бұрын
Nipo nasoma
@nassirvarane68523 жыл бұрын
🤣🤣🤣walo mfikiria baba ake diamond wa zaman kwenye hii movie tuonane kwa like
@fettymuhammed97562 жыл бұрын
Jamaaaan 😍 adi uluma
@sabrinasabrina39743 жыл бұрын
Mama mpuzi et ningejua baba yk akizeek anakuwa vile nisingemkubal😀😀😀😀😀😀😀😀😀
@issaabdallah24173 жыл бұрын
Nzuri ila nilikua naipita 2 mpaka najuta kuikosa ila leo nimeenjoy
@waheedahtanzania49123 жыл бұрын
Mashallah movie makini sana)Wanaume tutafute pesa la si hivyo..........😂😂😂ila nimecheka mpaka nimeamsha walala mapema Eti nimechoka maisha mazuri ya ndotoni 😂
@ashazuber65482 жыл бұрын
Hahahahahahahahahaha
@maheeraltooby68623 жыл бұрын
Film bombaaaa mashaaallah vzr xnaaa
@jajakajaniri5813 Жыл бұрын
Munguwang Huyu Papa Ananiumiza Sana Kbx 😭😭😭😭 Yoooo Dada Pole Sana 🤔🤔🇧🇮🇸🇦🔥🔥🔥🔥🙏🙏🙏🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@alhajjbashir1833 жыл бұрын
Daa hii move n ya moto kali sana
@shamsahabibu68623 жыл бұрын
Et mamaweeee umeniulia wat🤣🤣🤣
@matikumagesa6753 жыл бұрын
Maskin baba namuonea huruma😭😭😭😭😭😭
@sulesule80253 жыл бұрын
No
@JeniferJunior-qi3le Жыл бұрын
Mmmmmh maisha magumu ad tunawazaga hivyoo daaa gud muv
@faudhiasalum72793 жыл бұрын
Wanaume tafuteni' Pesa 🤦♀️Isije. Kuwa 'kama Ya Mama dangote👌🏽👌🏽
@alhamud27213 жыл бұрын
😂😂😂😂
@tulianiabdallah17913 жыл бұрын
🤣🤣🤣mtoto wa Nyange
@lovenessjohn23603 жыл бұрын
Watafute pesa kiukweli jamani
@rehemabakali4943 жыл бұрын
🤣🤣🤣👌👌👌👌 tafuta pesa
@theresaelizabethelijah1173 жыл бұрын
Aiseee
@halimanasihu12003 жыл бұрын
Nihuko kumtumia subiani wako vizuri😀😃😃
@najmasaid7057 Жыл бұрын
😁😁😁
@alimwadima2547 ай бұрын
Big up Ukthy Tosa❤... MashaAllah
@HusseinShaban-mi7gc11 ай бұрын
Ahsanten Kwa filamu nzuri it's is very nice
@faudhiasalum72793 жыл бұрын
Mambo ya uswazi ayo👌🏽👌🏽👌🏽👌🏽
@dinimalibiche76823 жыл бұрын
Kikubwa dua ipo cku watanzania 2tatoboa
@mbossomuyambo6024 Жыл бұрын
Mungu akubariki KK tena akuzidishiye marifa kk yangu
@aminahhill12773 жыл бұрын
Nimependa mom mmoja anae uza vitumbuaa
@dianajavana94353 жыл бұрын
Maiko nondo unasaut nzurii😘😋
@mohammedmmari54593 жыл бұрын
SUBRA KATIKA MAISHA HAYA NIKITU CHA MUHIMU SANA .MAANA KILA JAMBO LINAWAKATI WAKE .
Tanesco kama Tanesco huwa atukosei deni kidogo tunakata Umeme hatunaga masiala
@salhashaban3009 Жыл бұрын
Jaman huruma kwa baba wawat
@elijikambenga72703 жыл бұрын
Ngoma nzur sana
@maryamtanzania9743 Жыл бұрын
Ila sipendi mwanaume wakumtegemea nwanamke
@dinimalibiche76823 жыл бұрын
Very nice is me ikiram malibiche
@jimmylezo41043 жыл бұрын
Mbona Mnachelewa Kupost Bhana Mnazingua,,,,
@elizafuraha17373 жыл бұрын
Nimeipenda Sana
@jimmylezo41043 жыл бұрын
Hlw
@Jacklinemwikali77311 ай бұрын
Movie nzuri sana❤❤
@victormalinga6393 жыл бұрын
Shimo Moja Wapo La Kila Ubaya Ni Mtu Kupenda Fedha, Guys Tutafute Fedha But Kuwa Makini Sana Na Kupenda Fedha Utaangukia Kwenye Kila Aina Ya Mashimo Mabaya Katika Maisha Yako...!!!
@bertinaafonsorapaz83453 жыл бұрын
Ntafanya chochote ili nyie muende chooni😆😆paka nyie
@tulianiabdallah17913 жыл бұрын
Wamekutana tena Mwasiti na shoga ake🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@daishajumanne59903 жыл бұрын
wanatishaaa
@tulianiabdallah17913 жыл бұрын
@@daishajumanne5990 🤣🤣🤣hatar
@bertinaafonsorapaz83453 жыл бұрын
Kwakweli 😅😅
@faoual34563 жыл бұрын
Nice mv💞💞💞
@mashakamagembe11883 жыл бұрын
Kweli kabisa pesa muhimu sana
@rosemarysebastian34243 жыл бұрын
Siyo kwa tamaa hiyo jamani
@EsperanceNzeyimana-wu8ks8 ай бұрын
Tama mbaya
@RyramadhaniRamadhani2 ай бұрын
Safi sana
@KhadijaKhadija-ee5kr3 жыл бұрын
Tunaomben mwendelezo jaman
@user-pu8li7jp2q3 жыл бұрын
nice move
@jumwablandina57732 жыл бұрын
Jomoniii movie bombaaa
@daishajumanne59903 жыл бұрын
asantee taam hiyooo
@fatmahaf49512 жыл бұрын
Jmn ukipata mume mwema anaye kupenda mueshim kwakl hata kama hana cocote unacho taka nikusaidian hujuwi kesho yake 🥺🥺😥😥
@zigmarifundi82563 жыл бұрын
Gabo anacheka kizushi
@anisabakari52983 жыл бұрын
😄😄😄😄😄 jamani unataka mtoto akajiuze kisa pesa 😄😄😄 tosa kz unayo
@saudahamad74813 жыл бұрын
Hawa wanawake wawili hatari
@hadijahamisi59183 жыл бұрын
Move nzuri nimeipenda😘
@hidrammwanga35083 жыл бұрын
Hahahaaa eti unajifanya hajjaty sana wewee
@hawahawa20303 жыл бұрын
Nice movie
@sabrinasabrina39743 жыл бұрын
Aisee mama kibok
@redmioman81053 жыл бұрын
Ongereni jamani Paty 2
@mwaliembwambo94433 жыл бұрын
Kali sana
@nyokuselacampany33633 жыл бұрын
Kaz kwanza vijana kuowa badae ukitoa droo ujanan penait uzeen
@nancykenya40073 жыл бұрын
Naomba part 2 Asante sana
@salmasulleysh7101 Жыл бұрын
Tafuta hela bba heshima pesa
@ashuraussein75823 жыл бұрын
nzuri🤔
@iradukundadiattiradukundad60933 жыл бұрын
Jaman mbon hamulet prt 2
@theresaelizabethelijah1173 жыл бұрын
Nawashangaa hii Filamu ni ya kitambo sana na haina Part 2
@kushmommy95993 жыл бұрын
Nice
@kibangahassan86843 жыл бұрын
kitenga uchumi wanakikalia
@mariamdar87843 жыл бұрын
Filamu mzr hp kipande cha kucheza bao.nikipenda inaonesha tamaduni ztu ht kwa wenzetu wanao tazama
@Nahdiya-nr3de Жыл бұрын
Astakfiru allah mungu tujaalie subra jamani
@kwizerasamia53973 жыл бұрын
Jaman part 2🥺🤦
@ftimaramadan47483 жыл бұрын
Ina Lilah waina ilaihi rajiun
@munabalushi2964 Жыл бұрын
Tamaa mbayaa
@sulesuburasubira65033 жыл бұрын
Twaisubr part2
@fauryshasadick38273 жыл бұрын
Tuletee na ya kigodoro pls
@baimarrajahbuayan62373 жыл бұрын
Aiseeer
@allymahamudu94923 жыл бұрын
Muogo mchungu
@Is-hakaKhamis-dj4mm Жыл бұрын
Kweri Mashoga siorafiki
@rehemaathuman66692 жыл бұрын
Mama kimbo ulikuwa bonge duuu
@tatuathuman1043 жыл бұрын
Muendelezo 😢😢
@binthkhamisi10973 жыл бұрын
Safi kashaulo
@tabithamsukwa52152 жыл бұрын
@ Usimuwekee Mungu wa Isreal Mipaka
@rosareekelvin67092 жыл бұрын
Movies kali😍😍😍
@aminamsomali16193 жыл бұрын
Part 2 tafadhali
@salmasaid6313 жыл бұрын
Part two please
@yohanajackisoni8873 Жыл бұрын
Pati2
@johnniyongere16603 жыл бұрын
We Mama mwehu unarazimisha mtoto Mambo Kama hayo mbona ww haujaenda? Mpuzi kbx
@khadijahali48373 жыл бұрын
😂😂😂Ety mashungi yk km unataka kwenda makkah
@lidiasaumu7116 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@khadijahali4837 Жыл бұрын
@@lidiasaumu7116 hhhh
@nadyahamisi27633 жыл бұрын
Part 2 mpka mwakani 2022
@theresaelizabethelijah1173 жыл бұрын
Kabisa labda mwandishi wa Script hakulipwa hela yake ndio kasusa kutoa part 2