MUNGU ni mwema hongera Sana kazi njema kila la kheri kwenu nyote barikiwa Sana Yanga
@Bintisayuni5025 күн бұрын
Yaani. Kifupi Wamepewa kifungashioooo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@MalaikaBright-rv6yb24 күн бұрын
Wa buza tena😂😂😂😂😂
@bahatimshali273125 күн бұрын
Hawa kweli sio mashabiki. Juzi mlisema Chama ni mzee alipokuwa Simba. Leo mnaanza kusema ni Kijana. Hamna msimamo. Mnaongea kishabiki, halafu mnasahau mlichoongea siku zilizopita
@pinomjata67825 күн бұрын
Wamevurugwa, mbona wanaweweseka 😂
@bahatimshali273125 күн бұрын
Ngoja nii-save hii Post. Halafu nitakuja kujibu
@PatrickJapheth-q1q25 күн бұрын
😅😅😅😅😅😅 Simba ni next level
@user-bo3gn8lv9b25 күн бұрын
nakupa.salut
@bahatimshali273125 күн бұрын
Kuna watu wa kuwahoji, ila sio hawa
@KizingiliRamadhani-gh5gq25 күн бұрын
Mnazoa wachezaji kama mitumba
@IddiHassan-mr3sb25 күн бұрын
Amewashinda kumsajili
@user-ug1nv3xl4d25 күн бұрын
Sema semaji la mabingwa
@sangaelly854825 күн бұрын
Yanga moyo unawauma sana
@TinoJoaquim25 күн бұрын
wanaliwa hao ona wanavioangaliana
@bonifacelugo294125 күн бұрын
Unadanganya watu we Uto feitoto mlimuuza bei gani?
@musamagulu202325 күн бұрын
Kamuulize babako utajua aliuzwa bei gani
@sittamwigulu839525 күн бұрын
@@musamagulu2023povu
@ramadhanimrungu580625 күн бұрын
Aliuzwa million 270.4 kama ujui ww unafikili alienda bule
@rashomary410825 күн бұрын
Million 200
@saidsalum42324 күн бұрын
We kweli mtu wa mpira ujui kama azam walitoa pesa kwa Feisal
@jackisonngosha553324 күн бұрын
Yanga kucheza tz wanaiyonea
@ildephoncemajaliwa787225 күн бұрын
Nyie semeni kwa kujifariji tutaona panapovuja tutatafutana na mtasema tu
@AllyMohammed-nv5sj25 күн бұрын
Pumbavu ujui mpira kauze madafu ndiyo gani yako
@bahatimshali273125 күн бұрын
Mlipiga kelele kuwa Mayele atakuwepo, na akaondoka. Sasa endeleeni.
@Purity-l2v25 күн бұрын
Waambie mwakarobo hao😅😅😅
@charlesmashindike487424 күн бұрын
Utopolo mbumbumbu mchezaji unamuwekea kipengele je akiwa free agent
@JohnMagofi25 күн бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@khadijajumanne332425 күн бұрын
Kichaa sio lazima aokote makopo hatahao nao wapo
@rashidhamis-fe8jq25 күн бұрын
Mnafanya komedi
@kazinaimwishehe-ec3xu25 күн бұрын
Mmeuza beigan bwege ww uyo aliondoka bule😂😂😂
@telvinnicholas25 күн бұрын
Alikuwa anamkataba ameondokaje bure, hivi mkonserious kusema hivyo au ?
@abdulhalimsalim138625 күн бұрын
Mikubwa mizima ovyo wala haichekeshi
@JohnMagofi25 күн бұрын
makolo mapovu mdomoni kama walevi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@bahatimshali273125 күн бұрын
Wewe unaamini Thamani yote ya Simba ni 1.8 B
@user-uj5wg9mm2t25 күн бұрын
Km wasenge😂😂😂😂
@NELEWARDYMWASILE-dn1ll25 күн бұрын
Buy one 1⃣ get one 1⃣ free 😅😅😅😅😅😅😅
@monicalucas373825 күн бұрын
Eti buy 4 gt 5 offer😂😂😂😂
@KizingiliRamadhani-gh5gq25 күн бұрын
Yaaan ww ndoo taira
@josephmandala222525 күн бұрын
Na makubaliano yalisainiwa IKULU kwa mjibu wa Hansrafael
@rashidhamis-fe8jq25 күн бұрын
Yanga mbona mnaroho mbaya kupita kiasi mnawafunga wachezaji wa ndani
@user-qo6qv6mc5p25 күн бұрын
Xavi mtupu
@user-zu8ou2oe4c25 күн бұрын
Hahaha bado hamjasema mpak usemeee simba nguvu mojaààaaàa
@AlbiniusNdaki25 күн бұрын
Mbona kolo mnamapovu
@LadslausiAugustino25 күн бұрын
Kama hauna Point za kuongea bora ukae kimya
@NassoroSipemba25 күн бұрын
Kama hawa taila basi nyie sio mataila nendani mkamsajili fei tuone kama kweli hayo mnasema yana ukweli.
@husnasena605525 күн бұрын
Wamekuja kufanya majaribio wachezaji wa simba
@JitihadaRashidi25 күн бұрын
Hawa jamaa wapo wapi mbna wanavikofia kofia?
@mathayomatembo-gm2ge24 күн бұрын
Umekosa watu wakuwahoji mbona machizi hao maden fc
@julianajeremiah435325 күн бұрын
Kwenda weee mpe pesa nani, mtamjua km watoto au wdumavu mwisho mtajua