GOODLUCK AVUNJA UKIMYA "WALITAKA KUNIUA" NIMECHOMA GARI LAO NI LA KISHETANI NAPITIA MAGUMU MENGI

  Рет қаралды 44,790

Denis Asumani

Denis Asumani

Күн бұрын

Goodluck gozbert afunguka kwa mara ya kwanza baada ya kuchoma gari

Пікірлер: 209
@GosbertHiluka
@GosbertHiluka 14 күн бұрын
Inahitaji ufahamu wa juu kumwelewa huyu brother anachokieleza,,,,mimi nimekuewa brother na unahitaji moyo mkuu sana wakati huu.....all the best!!!
@UziaNashon
@UziaNashon 7 күн бұрын
Uko sawa goodluck tena usiwasikilize hao wadunia lakin mtu wa MUNGU inampasa afuate maelekezo ya roho mtakatifu,usikilize ya watu.good will bless you,(my brother I love you extremely and your songs
@davidademi370
@davidademi370 13 күн бұрын
This man know the God he's serving ...I respect him and I will keep praying for him
@RevMwendowasaa
@RevMwendowasaa 10 күн бұрын
Kumuelewa Goodluck uwe rohoni sana.japo yako mapungufu madogo madogo.
@rosemarygelas1473
@rosemarygelas1473 14 күн бұрын
Mimi nafikiri kama hujapitia au hujafuniuliwa na MUNGU aliyoamua Good luck , mi nakupongeza Sana usife moyo kamanda wa Yesu
@blessedsenatornicko1579
@blessedsenatornicko1579 9 күн бұрын
Isaiah 3:10 IT shall be well with the righteous, may it be well with you my brother Goodluck
@kizitomkude
@kizitomkude 13 күн бұрын
ndugu yangu mnapenda utajiri wa haraka, mungu hana utajiri wa haraka fanyeni kazi wadogo zangu, mtakunywa mafuta, mtakunywa maji , mtakula hata ugali, baadae mtakuja kuona utajiri wa mungu wa kweli ukoje
@AlbertAdrian-x3l
@AlbertAdrian-x3l 14 күн бұрын
M binafsi nampongeza goodluck kwasababu ameonyesha ukomavu wa kiroho na kumthamini mungu zaidi ya gari na vitu vingine
@neemarosedawson3154
@neemarosedawson3154 14 күн бұрын
Goodluck Goodluck Goodluck naomba usome vizuri hoi coment yangu.. UMEANZISHA VITA KUBWA SANA. dumu kwenye maombi muda wote. Yesu atakushindia.
@LadislausyStanislausy
@LadislausyStanislausy 14 күн бұрын
Point
@madamelucy8429
@madamelucy8429 14 күн бұрын
Usimtishe bana aliyemuongoza kufanya hivyo ndio atampugania maana vita c vya mwanadamu bali ni vya bwana​@@LadislausyStanislausy
@violettemitchel6772
@violettemitchel6772 14 күн бұрын
Vita sio ya Goodluck ni ya MUNGU. Aliyemtuma achome gari ndiye atakayesimama vitani. Jifunzeni kujaribu hata kidogo kupata picha na kuamini kuwa MUNGU ni Mkuu sana kuliko wachawi na mashetani wote combined.
@yohanamuhambe9422
@yohanamuhambe9422 14 күн бұрын
Mambo ya rohoni wengine hamwezi kuelewa ,good luck yupo sahihi hongera sana
@YusthaMlowe
@YusthaMlowe 10 күн бұрын
Rudi kaka yangu kwa Yesu wewe kama wewe, Mungu anakupenda alikujua tangu hata mimba yako haijatungwa
@elibarickandrew4496
@elibarickandrew4496 14 күн бұрын
Nakuelewa sana.. Usipokuwa mtu wa Rohoni huwezi kumwelewa Gudluck. Vita vya Rohoni wa damu na nyama ni ngumu kuelewa. You are true soldier of God
@godlovemunuo4167
@godlovemunuo4167 12 күн бұрын
Awesome. Niliogopa sana nilipokuona kwa nabii huyu...Ubarikiwe kwa kusikia sauti ya Mungu...na kurejea. Wapo waimbaji wengi nimewaona kwa nabii huyu...bado hawajafunguka macho kuona unachokiona.. ..Mungu awapigaanie waondoke ktk nira hiyo waliyojifunga bila kujua. Mungu wetu hajawahi kushindwa
@benyavan5774
@benyavan5774 12 күн бұрын
Sema nilipokuona kwa nabii huyu wa uongo siyo nabii tu
@loicekhanali-xd5xz
@loicekhanali-xd5xz 13 күн бұрын
Nuru na giza hazina ushirika!jipange sawa sawa Bro,achana na hawa nabii wauongo ❤
@daniellaiser4672
@daniellaiser4672 14 күн бұрын
Hilo gari tayari lilikuwa la kwake so hapaswi kurudisha kwa aliyempa kisheria ana haki ya kufanya chochote kwani ni mali yake hata sheria inasema hivyo. Kimsingi amefanya jambo jema sana na la kiroho chochote kiovu kinachomwa amejiondoa kwenye umiliki wa kishetani hongera sana mtumishi wa Yesu Mungu akuinue zaidi
@japhetdaudmaneno8440
@japhetdaudmaneno8440 14 күн бұрын
Sasa unaenda kukua kiroho, ukweli huweka huru, MUNGU na akusidie na akuvushe,🔥🔥🔥📖🏹💪🇴🇲🇹🇿
@olipamkuyu5149
@olipamkuyu5149 7 күн бұрын
Hongera Goodluck wewe ni Shujaa hilo si jambo rahisi
@TimotéKambale
@TimotéKambale 13 күн бұрын
Nimekupenda sana kachma hii ngari Mungu aendeleye kukulinda na kukuchunga
@mbajawagome936
@mbajawagome936 14 күн бұрын
Pole sana mwanafunzi wangu, karama ya kuimba ilianza ukiwa shuleni. Wataongea lakini tumikia mungu wako, yehove yahweh
@ErentrudisKihwili
@ErentrudisKihwili 6 күн бұрын
Pole Gudlack MUNGU amekupa Maono ya Uponyaji. MUNGU AKUZIDISHIE NGUVU MPYA ZIIDI SHETANI AMEFELI.
@adriannebatakanwa6904
@adriannebatakanwa6904 13 күн бұрын
Hongera saaaaana Goodluck. Mungu Akuinue mnooooo.
@LadislausyStanislausy
@LadislausyStanislausy 14 күн бұрын
Umefanya maamuzi kama mwanaume,Goodluck usihofu Mungu ataleta heri,hongera
@MchungajiNzelani
@MchungajiNzelani 14 күн бұрын
Huduma yako naipenda sana hasa ule wimbo unaopendwa kwenye maarusi hadi hayati magufuri alizipenda nyimbo zako
@salomemahenge7935
@salomemahenge7935 13 күн бұрын
Hongela sna mimi niliambiwa wewe sio mlokole ila unaimba tu nyimbo za dini kumbe ni waongo wewe ni mtumishi wa bwana mungu azidi kukuinia mtumishi
@lucaskaswisha9247
@lucaskaswisha9247 13 күн бұрын
Mkuu pole sana na changamoto ila ushauli wangu kwako Mungu ni waneema sana kaa nae vizur tunza sana utakatifu ili uwe salama zaid .
@Anthony_Genge
@Anthony_Genge 8 күн бұрын
Mwenyezi MUNGU na akucmamie nyakat hizi ngumu kwako
@ShalineAdoyo
@ShalineAdoyo 13 күн бұрын
Well done brother it's only who is spiritual can understand your massage ,,kimya mda mrefu amuka uwangaze tena🔥🔥🔥🔥🔥
@josephandrew3444
@josephandrew3444 13 күн бұрын
Pole sana kijana mwenzetu, kumbe unapitia wakati mgumu ila juatu ni muda wako wakupepetwa ukomajaribuni ila usitoke kwenye reli mungu ukufanyie wepesi utadumu kushinda na kushinda.
@TinaMashaka-u1z
@TinaMashaka-u1z 8 күн бұрын
Nakuelewa broo pambana
@jonathankisingi1070
@jonathankisingi1070 14 күн бұрын
Acheni umasikini...gari SI kitu...Wengi mnaomshambulia hamjavaa kiatu chake.Gozberth kwa upande wangu nakusupport kwa kuchoma gari,Bali sikusupport kwa wewe kupost mtandaoni.
@JamsiNyazupe
@JamsiNyazupe 13 күн бұрын
Naungana nawe mkuu
@willydrumisha93
@willydrumisha93 12 күн бұрын
Be blessed keep it up Rock mtumishi wa Mungu
@QueenYusuph
@QueenYusuph 9 күн бұрын
Dah nimeskiliza nkajikuta naumiya sjuh kinaniumiza nini ila tukumbike kumshkur mungu kwakila jambo so tunaomba utajiri yesu atusaidiye
@deborahmsuyah5345
@deborahmsuyah5345 14 күн бұрын
Mimi ninachojua Mungu akikupenda hukusaidia sana ninakuombea tu.Ni maombi tu hakuna zaidi usiangalie mtu angalia Mungu baba ,mwana,na Roho Mtakatifu.Bado Mungu yuko na wewe atakusaidia.
@EvansOkujaonyonga
@EvansOkujaonyonga 13 күн бұрын
Mungu akutangulie gudluck kuwa na ujasiri huo huo
@AbelKahitira
@AbelKahitira 13 күн бұрын
Good bless u Mr goodrack be hamble , Mr your dision is goodthere is no need any discation
@BoscoSiria
@BoscoSiria 14 күн бұрын
Hongera kwa kufanya maamuzi Sahihi maishani mwako
@deomushy2594
@deomushy2594 13 күн бұрын
Cha msing msikilize Mungu Fanya kwa maelekezo yakimbingu
@collinsndwara6543
@collinsndwara6543 11 күн бұрын
Zidi kwa maombi kila siku mungu akupinganie
@MpokasyeJulius
@MpokasyeJulius 14 күн бұрын
Bwana Yesu akutie nguvu uvishinde vita vinavyoendelea kwa wakati huu ndg yangu
@CAPYBARA-r6w
@CAPYBARA-r6w 14 күн бұрын
Sitasaidia mtu yeyote daima tofaut na wadamu yangu.
@humbleshoal
@humbleshoal 11 күн бұрын
Kwa nini
@CaroLemma-d9r
@CaroLemma-d9r 14 күн бұрын
Kwakweli me nakuelewa Mungu akuinue
@SophiaLeonard-x3z
@SophiaLeonard-x3z 13 күн бұрын
Uko sahh kaka msikilze mungu
@NeemaIsaka-q9w
@NeemaIsaka-q9w 9 күн бұрын
Pole mungu yupo
@EstherjacksonShaalai
@EstherjacksonShaalai 13 күн бұрын
Amen mungu akusaidie
@anjelayona6863
@anjelayona6863 9 күн бұрын
Sijui itakuaje maana ujui ulicho kifanya japo kwako nisawa uyo nabii si kwamba alitaka kukua angetaka kukuua Wala usingeongea hapo ungeichoma kimy kimy kwani huongeshe umepanga ligi na yeye ila kumbuka yeye ninabii
@rhodalissu6953
@rhodalissu6953 14 күн бұрын
Chapa kazi mtumishi wa Mungu Good lack
@HERMANKIVAMBA
@HERMANKIVAMBA 10 күн бұрын
Umexhinda kwa uwez wa mungu
@mgongolwajoseph6901
@mgongolwajoseph6901 13 күн бұрын
Nakumbuka ulijinyanyua mabega mungu kakushusha ujinyanyua kuwa wewe ndio daimondi wa nyimbo za enjili
@humbleshoal
@humbleshoal 11 күн бұрын
We nae unasema nini! Em tupishe.
@annehaysanday9214
@annehaysanday9214 11 күн бұрын
Na pesa umepeleka wapi?!! Kama gari la kichawi mbona hadi umebadili rangi!Acha kumsingizia Mungu wewe una yakwako.Siku unapokea gari ulilia machozi ya furaha ukamtukuza Mungu leo baada ya kujazwa maneno na walioshindwa unathubutu kumpandikizia Nabii dhambi ya ajabu!
@AbediMawaya-us8bf
@AbediMawaya-us8bf 13 күн бұрын
Msipende kupikeya pokeya tumtafute mungu wakweli jaman si kila lango nilakuingia kunamengine siyo sema na mungu mwenyew si kutafuta mungu kwa wengine ni hatar utapandikizwa vitu visivyofaha tatizo ya baadhi ya wanadamu tunatapatapa atumwamin mungu na mungu wakweli yuko moyon mwako be care
@Jehhus_06
@Jehhus_06 13 күн бұрын
Kabla ujaenda kwenye madhabahu ulikuw tayari umechoka ila wanadamu wanadamu mnatisha km Nini ulienda pale tayar umechoka
@abubakaranwar337
@abubakaranwar337 13 күн бұрын
Wewe ni muongo kama jini ungenipa Mimi wewe unaweza kumchoma jini na akae tu wewe unatafuta kiki Mimi Sina gari nipe mimi
@MkuuMosses
@MkuuMosses 12 күн бұрын
Mwongo hakuna chochote mnapotosha watu tu
@Angelamutashobya
@Angelamutashobya 9 күн бұрын
Majira na nyakati humwandaa mwenye kipawa klwa ajili ya level mpya. School of law; Law of the Holy Spirit...huwezi kuikwepa hiyo ni sa
@japhetdaudmaneno8440
@japhetdaudmaneno8440 14 күн бұрын
Umechukua maamuzi ya Elisha aliliyetokosa ng'ombe alipokuwa akilima kwa jozi,..na kisha akamfuata Eliya..Sisi wasomaji wa neno tunakiweka vizuri 📖🔥🏹
@EpsonFelician
@EpsonFelician 13 күн бұрын
Watanzania acheni kunengenngeneka kwa wanaokoment vibaya Kama Kweli Mungu kamtuma afanye hiki kitu bc Vita Mungu ndo atakashugulika nayo na atamshindia Chezeni na Mungu wanaonengeneka kwa koment sizizofaa Vita ni ya Mungu elewa Kama kweli Ndo kaongozwa Na Mungu imeisha hiyo,...
@ChrisUromi
@ChrisUromi 11 күн бұрын
MUNGU GANI ALIKUSEMESHA CHOKO WEWE AU NDOTO ZAMAPENZI ZINAKUSUMBUA
@tikob8484
@tikob8484 14 күн бұрын
Kweli kabisa unacho kiongea binadamu sio wema minakukubali sana tena ile ngoma hauwez kushindana inanipa faraja ya moyo 🙏🙏🙏
@maryjacob9753
@maryjacob9753 14 күн бұрын
Hapo Mungu ndo anaenda kukutumia kwa viwango vya ajabu Sana Sasa hivi Maana umeitii sauti yake, hicho tuu Mungu anapenda umjue kuwa yeye ni nani.
@Janet_ndagijimana-b7l
@Janet_ndagijimana-b7l 13 күн бұрын
Amen amen urifanya muzuri Mungu atagutendeya vyamuzuri mara kami yahiyo muchafu Yagami usirudiye washetani wapo uzuni wanajivicha ndani yamungu tena niwashetani Mungu anagupenda amen
@ReinaLusajo
@ReinaLusajo 13 күн бұрын
Sauti. Ya .... Mungu ... Sauti ya. Mungu..... Ni. ... Muhimu .... Sana...... Mimi ni mungu wa wote. .. wenye. Mwili. Nawapenda wanipendao ... Wanitafutao kwa bidii. ... Wataniona ...... Huyomungu.... Wako... Ni... Mungu.. wa... Kweli... Kabisa. .... Kaza tyu
@malcomg1004
@malcomg1004 11 күн бұрын
Hivi mtu anakwambia Yesu akija ataenda airport kumpokea na Yesu atapanda gari lake,hivi hapo kuna mtu au huyu jodevy ni shetani,ila Mungu mkuu anajua namna ya kuhukumu
@SospeterMaingu
@SospeterMaingu 13 күн бұрын
Umedanganywa na pepo sio roho wa Mungu , maelezo me gi hayakusaidii heri ungenyamaza tu, ni woga wako tu,
@justinedicksondickson523
@justinedicksondickson523 13 күн бұрын
Mwenzio kadanganywa kachoma gari wewe ukidanganywa unachoma nini hata baiskeli huna, mwache nimaamuzi yake mwenyewe kwan gari kitu gani akichoma si lake
@humbleshoal
@humbleshoal 11 күн бұрын
Huna cha kuongea wewe, pumba tupu.
@AntonyChacha-l2m
@AntonyChacha-l2m 13 күн бұрын
Kila kitu Mungu ameniambia mmh pengine mnaambiwa na sauti ya shetani kwani Mungu ndio aliekwambia uichome kwanin usingeigawa au bc ungewia wenye waliokupa umelitia taifa hasara hiyo gar ilikua inalipiwa kodi pia ilikua inazalisha pale mlipokua mkiitumia kwenye kazi mbalimbali mi ckubali kama Mungu yuko ndani yako hata shetan ana natendo 6a kimungu ndan ya roho za mwanadam mmh
@mwendemwende5789
@mwendemwende5789 13 күн бұрын
Wewe mbonaulienda kwa huyo nabii tamaa
@UpendoLembris
@UpendoLembris 14 күн бұрын
Bora ww umetambua mapemaaaaa . MUNGU akusaidie kuna wale wenzangu na mm wapenda sifa wao waendeeleee
@FaustinJidaleka
@FaustinJidaleka 14 күн бұрын
Uko saw hata Mimi nikisikia saytı ya Mungu huwa Sina mjadala lazımam nitekeleza
@byoseasolokoci7257
@byoseasolokoci7257 14 күн бұрын
Bwana Yesu akusaidiye
@Daudimakaza-s1v
@Daudimakaza-s1v 13 күн бұрын
Mungu ypo na ww kaka
@MadataKazana
@MadataKazana 14 күн бұрын
Mngu akuinuwe zaid wanao kubeza juu yamaamuz yako hawajuw uliyopitia paka kuamuwa kuchoma gar
@lucywairimu2330
@lucywairimu2330 10 күн бұрын
Bona ungeitakasa then ubariki mtu nayo cos 3yrs ujafa kama Mali n za shetani tungekua wapi cos pesa twaweka bank n kila mtu anatoa n kutumia hyo ni utoto wa kiroho hakuna pia sheria y kuchoma Mali...wahitaji ufahamu wa kiroho...dunia imechafuka kila mahari labda uende binguni
@PauloKikwasi
@PauloKikwasi 13 күн бұрын
Unajikanyaga, nenda kwa wataaram wa saikorojia
@HamzaKibary
@HamzaKibary 14 күн бұрын
Uyu akapimwe akili hayuko sawa uyu kaongea na mizimu ya babu zake afu ana sema mungu kwl!?
@SimonKalinga-h5g
@SimonKalinga-h5g 13 күн бұрын
Wewe ni muongo hela za fiesta mbona hukuchoma
@AlbertAdrian-x3l
@AlbertAdrian-x3l 14 күн бұрын
Kuchoma gari ni jambo la kiroho sana maana angempa mtu ina maana ameigawa hiyo roho ya kishetani kwa huyo anayepewa gari hilo ni sawa na kahaba akiokoka achome nguo za ukahaba sio kuzigawa kwa mtu kwasababu anakua amegawa roho hile ya ukahaba
@ErentrudisKihwili
@ErentrudisKihwili 6 күн бұрын
UMESHINDAA MUNGU YUPO JUU NA WEWE.
@bossej1212
@bossej1212 13 күн бұрын
Watu ambao hawajapitia mambo haya ambayo unaongelea hawawezi fahamu. Otherwise unasema ukweli. Shikilia Mungu kwa nguvu zako zote
@humbleshoal
@humbleshoal 11 күн бұрын
Hakika
@IsaackKileo
@IsaackKileo 13 күн бұрын
wewe huna akili ata hilo jina ulilopewa nazani walikosea unakutana na manabii wa uwongo alafu unasema roho wa mungu kwani huyo roho wa mungu akukuonyeshe wakat wa kwenda arusha malaya wew
@yukundapeter8200
@yukundapeter8200 13 күн бұрын
Asante sana nami nilitaka kusema kwa nini huyo Mungu hakumxuia kwenda kuchukua gari?
@SospeterMaingu
@SospeterMaingu 13 күн бұрын
Inaonyesha, wewe ulikua unachepuka , mapepo yasingekuacha hivyo sidhani kama tatizo ni Ngurumo jikague wewe mwenyewe, hapo hujashinda umeshindwa muimbaji wangu,
@edgercyprian964
@edgercyprian964 13 күн бұрын
Duuuh kumbe haya mateso yameanza muda mrefu pole sana, Mungu yupo pamoja na wewe ndio maana akakuonyesha hivyo ulivyo kua unaviota lakini kabla hujaenda kule kwa nabii ungepiga goti ukamuuliza kwanza Mungu je niende au nisiende anje kujibu ila hukufanya hivyo ndio maana yametokea hayo
@humbleshoal
@humbleshoal 11 күн бұрын
Hayo ni majaribu ya kumfanya awe karibu zaidi na Mungu
@JekobuNgwara
@JekobuNgwara 13 күн бұрын
mama alie kataa gali lamwanae amefungua milango iwe hivyohivyo alikosea padogo nikumpa sala yatoba alipo sema anampeleka mwanae kwamwamposa hivi mjus namamba mwendo ikosawa
@nsiamasawe4578
@nsiamasawe4578 13 күн бұрын
Wengine wajifunze kwako uoga ni dhambi.
@humbleshoal
@humbleshoal 11 күн бұрын
Kweli ingawa sijawahi jua ni dhambi
@adellasebastian4495
@adellasebastian4495 12 күн бұрын
Mungu wako anaishi endelea kumtumainia bila kuangalia nani anaongea nini juu yako,ataendelea kukuinua tu
@SuledZakayo-i4t
@SuledZakayo-i4t 14 күн бұрын
Umeepjk moto wa shetani kakaa
@anjelinakasembe845
@anjelinakasembe845 14 күн бұрын
Million 6 zirudishe
@LadislausyStanislausy
@LadislausyStanislausy 14 күн бұрын
Hizo zimeshatumika
@gloriachristian1470
@gloriachristian1470 13 күн бұрын
Mhh wazimu tuu tafta hela kijana umefulia
@hellenshani1614
@hellenshani1614 13 күн бұрын
Ila sasa sheria ya Jamihurininaweza kumshitaki kwa kuharibu property. Japo kiimani alichofanya ni sahihi.
@MiryamOrungo
@MiryamOrungo 14 күн бұрын
Na pesa alizokupea ulipeleka wapi? Tena Wacha kucheza na Mungu.
@Wamisangi
@Wamisangi 13 күн бұрын
Kilometres alizozunguka na hilo gari anaweza kuzirudisha. Yaani arudirivasi mpaka siku alipoanza kuliendesha mara kwanza.
@JekobuNgwara
@JekobuNgwara 13 күн бұрын
wanao kuchukia niwareware filimasoni usteteleke nawengine waige mbona wengi walio pewa magali wamekufa oleole msio mwelewa huyu kijana nimefulahi saana anaetoa zawadi nimungu simwanadam
@Jehhus_06
@Jehhus_06 13 күн бұрын
Mmh jamani angerudisha tu mie naona kiki ila kakoseà kuchoma mali ni pesa angeuza tu
@MohamedShaksi
@MohamedShaksi 14 күн бұрын
Mungu anakwambia. Kweli dunia inatisha
@NayshatShareef
@NayshatShareef 14 күн бұрын
Huku kusema na Mungu siku hizi Imekuwa ni show mtu eti anaambiwa na mungu eti akawa anasumbuana na mungu Huuu ni msiba mkubwa
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 13 күн бұрын
Mungu ngubjaiusemesha ww. 😂😂
@isacklaizer6776
@isacklaizer6776 12 күн бұрын
Wengi wape ila wachache wasikilizwe...asikilizwe.
@LadislausyStanislausy
@LadislausyStanislausy 14 күн бұрын
Sasa siri za Geordavie zinaanza kutibuka,lisemalwo lipo
@kdazzy9967
@kdazzy9967 13 күн бұрын
Umelichoma gari vp kuhusu zile pesa ulizochukua
@princemozes9923
@princemozes9923 2 күн бұрын
Lakini ndungu yako alisema aliona mwangaza weupe iyo sinuru ya MUNGU
@mussaissa6796
@mussaissa6796 14 күн бұрын
MNADHANI MUNGU NI SAWA NA MATIKITI MAJI SIO!! ETI MUNGU AMENISEMESHA!!
@violettemitchel6772
@violettemitchel6772 14 күн бұрын
Kama hujawahi semeshwa usidhani wote wako kama wewe.
@SospeterMaingu
@SospeterMaingu 13 күн бұрын
HUO NDO MWISHO WAKO WA UIMBAJI TUBU KAPIGEAGOTI KWA NGURUMO UANZE MOJA NDO USHAURI WANGU KWAKO,
@MariamAhmadaMwikalo
@MariamAhmadaMwikalo 14 күн бұрын
Nakuamin haya mambo yapo mm yashanikuta
@NyamwizaNkiliye
@NyamwizaNkiliye 14 күн бұрын
Pointi nzuri ilikuwa kuludisha gari Kwa mwenyenalo sio kuchoma umemkufulu mungu
@MchungajiNzelani
@MchungajiNzelani 14 күн бұрын
Mungu gani amemkufuru
@phakundigervas1360
@phakundigervas1360 13 күн бұрын
Jamani swali langu ni je Gari hiyo ilikuwa bado Mali ya mtoa zawadi?
@humbleshoal
@humbleshoal 11 күн бұрын
Mungu yupi akiekufuriwa! Maana kuna Mungu wengi siku hizi.
@humbleshoal
@humbleshoal 11 күн бұрын
​@@phakundigervas1360 Hapana ni la aliepewa
@maryjacob9753
@maryjacob9753 14 күн бұрын
Wote mnaompinga huyu good luck ni kwa sababu hammjui Mungu, moo kama hampo achani kuongea maneno yasio na Maana.
My scorpion was taken away from me 😢
00:55
TyphoonFast 5
Рет қаралды 2,7 МЛН
GOODLUCK GOZBERT-SABABU ZA GARI KUCHOMWA MOTO,FIESTA-PART 2 Exclusive Interview
1:21:14
GOODLUCK GOZBERT NA WACHOKONOZI
20:24
WACHOKONOZI
Рет қаралды 42 М.
Salama Na Goodluck Ep 31 | WASTAHILI SIFA Part 1
31:43
YahStoneTown
Рет қаралды 98 М.
MSAIDIZI WA GEORDAVIE ACHEFUKWA | AMWAGA SIRI ZOTE | HUYU SIO MTU
17:17