NABII GEORDAVIE NA SIRI YA KUGAWA MAGARI KWA WAUMINI, KIKEKE AHOJI PESA INATOKA WAPI?, JE SADAKA?

  Рет қаралды 296,378

Crown Media

Crown Media

Күн бұрын

Hii ni CROWN MEDIA, 92.1 CROWN FM & CROWN TV
Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: www.facebook.c...
TIKTOK:
www.tiktok.com...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz

Пікірлер: 1 100
@almazroey2006
@almazroey2006 2 ай бұрын
Ata kikekek anajuwa kuwa jamaa anachokiongea Ni usanii Tu kama umeiona hiyo Kwa kikeke gonga like tujuwane
@TumainiAkyoo
@TumainiAkyoo 2 ай бұрын
Kwakweli, wachache ndio tunaelewa
@aristidesvedasto7855
@aristidesvedasto7855 Ай бұрын
Kabisa😅
@EnthusiasticFencers-rg2td
@EnthusiasticFencers-rg2td 13 күн бұрын
Kikeke ana akili mnoo hana mauza uza
@GideonJackson-bq2lg
@GideonJackson-bq2lg 2 ай бұрын
Walioona nabii anarangi mbili weka like hapi😂
@Brizzy1115
@Brizzy1115 13 күн бұрын
😅😅😅😅
@DeboraCalton
@DeboraCalton 13 күн бұрын
Tetrasaiklini
@NancyShoo-ce2wx
@NancyShoo-ce2wx 13 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@lisaupendoibrahim5509
@lisaupendoibrahim5509 12 күн бұрын
Nimecheka kwa nguvu… nabii wa mchongo
@wilbethamosha6208
@wilbethamosha6208 12 күн бұрын
😂😂😂
@faithe4063
@faithe4063 2 ай бұрын
In Kenya we said WE LISTEN BUT WE DON'T JUDGE
@manoramatv858
@manoramatv858 12 күн бұрын
Alioona mikono ya NABII ina sugu ni kama mpiga pushapu gunga like hapa.
@leecode6135
@leecode6135 9 күн бұрын
Anajichubua kiaina
@NechLove
@NechLove 9 күн бұрын
Alisahau kupaka wese
@hidayamkanjumwa9917
@hidayamkanjumwa9917 5 күн бұрын
Aaah😂😂😂😂​@@leecode6135
@hidayamkanjumwa9917
@hidayamkanjumwa9917 5 күн бұрын
​@@NechLove😂😂😂😂muacheni
@brownTv8076
@brownTv8076 2 ай бұрын
Hii ndio Interview Kubwa ya Nabii na Kikeke kuliko ile ya MillardAyo, Ayo ajifundishe kuuliza maswali kama Kikeke,Nabii anaulizwa hadi anajisikia raha kujibu swali, Kama na ww umeona hilo Gonga Like Hapa
@DionisKalisto
@DionisKalisto 2 ай бұрын
Kumbuk kikeke ni nkongwe
@VillaTemu-k4p
@VillaTemu-k4p 2 ай бұрын
Kikeke nice 👍 Yupo kwenye gemu mda mrefuuu
@athumanfuko199
@athumanfuko199 2 ай бұрын
Unaulizwa haboeki na yeye anafunguka.
@khadjamhozya
@khadjamhozya 2 ай бұрын
Miradi ,ayo Ni mtangazaji mzuri Sana, kuringana na muda ambaye amekaa kazini, na ukumbuke kikeke Ni wa muda mrefu
@danielmgogo8305
@danielmgogo8305 2 ай бұрын
Ayo ni Habari nyingine anamaswari ya mitego kama hujui utalopoka yote Lakin kikeke maswari ya kawaida tu
@dismaschindongo4338
@dismaschindongo4338 2 ай бұрын
Interview imekaa vzr saana Mungu akubariki Mzee wa Ngurumo ya Upako pamoja na mh Salim kikeke
@AmaniChalale
@AmaniChalale 2 ай бұрын
Asante kaka kikeke kwa mahojiano mzuri, naomba muwe mnawahoji watumishi wetu, ili tujue watumishi wetu wakoji kiroho. Hapo mwenye macho haambiwi tazama.
@YusuphuMashimila
@YusuphuMashimila 2 ай бұрын
Watumishi matatizo hayo
@humbleshoal
@humbleshoal 11 күн бұрын
​@@YusuphuMashimila Mungu yu pekee ajuae
@greenngusa872
@greenngusa872 2 ай бұрын
Hakika nabii anahekima kubwa ya Mungu kujibu. Sijawahi jua kama anaweza kujieleza kwa ufasaha namna hii. Mimi ni Mch naweza ogopa kuhojiwa na watu wa imani nyingine kwa sababu nakuwa naamini wanakusudi baya nyuma yake lakini sasa nimelielewa neno linalosema muwe tayari kumjibu kila mtu. Akiwepo Roho wa hekima inawezekana. Hongera sana nabii mkuu.
@TunauzaSimu-fn2ff
@TunauzaSimu-fn2ff 2 ай бұрын
Hakuna cha unabii ! Acheni ku...
@MussaMussa-z7m
@MussaMussa-z7m Ай бұрын
Sas mch kumbe ujakamilika fala kwel
@adjafamkungilwa1154
@adjafamkungilwa1154 2 ай бұрын
Wanaokumbuka interview alofanya na milard ayo,alisema kua alikutana na yesu uso kwa uso ndo akamteua kua nambii,tujuane kwenye likes
@Life_LensDiaries
@Life_LensDiaries 2 ай бұрын
Alimuona yule dogo mzembe mzembe anauliza maswali ya kichawa
@MkoiTvTz
@MkoiTvTz 2 ай бұрын
FAMILIA YA MKURUGENZI WA HALIMASHAURI YATEKWA NA KUVULIWA NGUO ZOTE, KAKA YAKE AELEZEA TUKIO ZIMA.! kzbin.info/www/bejne/haOYnmNjibmtqLc Hii ni Mkoi Tv Online na huu ni muendelezo wa kukuletea matukio adhimu ya simulizi za kweli ambazo hazina hata chembe ya shaka toka kwa wana familia wa Mkoi Tv Online toka kila pembe ya Dunia. Leo tupo na Kaka wa Mkurugenzi wa Halimashauri ya Mji... ( JINA LINAHIFADHIWA) akieleza jinsi walivyotekwa na watu wenye silaha za kivita wakati wakitokea safari. Na baadae watu hawa waliwalazimisha kuvua nguo zote yani watoto wa kiume, mama yao, Baba na dada yake ambae ni Mkuruenzi wa Halimashauri ya mji mmoja maarufu nchini uliopo katika ya mikoa ya Tanzania. Ni tukio la kufedhehesha sana na kusikitisha, Familia hiyo Wasema ni issue ya uli paji visasi mambo ya biashara sio Siasa. VIDEO hii hapa, share, Like, Comment na Subscribe au tupigie kwa simu namba +255713575718 Ipo Whats app
@RomanMwinyi
@RomanMwinyi 2 ай бұрын
Tuma ela sio kudai likes 2
@jacobmwankenja5466
@jacobmwankenja5466 2 ай бұрын
Unabii unatoka kwa Mungu na hivyo hivyo hats utendaji kazi unatoka kwa Mungu, utasemaje eti muanze kuwafundisha namna ya kutenda kazi! Huo sasa ni unabii wa kimwili
@goodluckjohnuiso-gt1fg
@goodluckjohnuiso-gt1fg 2 ай бұрын
Huwa anakutana na yesu wake mara kwa mara yesu wake ni Makonda!!!
@johnenos233
@johnenos233 Сағат бұрын
I like this man, he's Smart.. Dr Gio
@geraldnyangali1991
@geraldnyangali1991 2 ай бұрын
Interview of the year, congratulations Salim and Crown Media team for organizing this
@paulmwaipopo9946
@paulmwaipopo9946 2 ай бұрын
Salim asante kwa kurudi nyumbani. Wewe ni nguli. Asante kwa kumhoji vizuri sana Mtakatifu wa Mungu, Nabii Mkuu Geordavie. Nimefurahi alivyoweka wazi vyanzo vyake vya mapato. Nimejifunza kufanya biashara inayojitegemea, yaani isiyohitaji your physical presence. Mungu akubariki Nabii Mkuu. Mungu akubariki Salim Kikeke.
@hillwilltv6781
@hillwilltv6781 2 ай бұрын
😢😢😢
@coolruler6820
@coolruler6820 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂mtakatifu
@richardkonzo5717
@richardkonzo5717 2 ай бұрын
Una kichaa wewe!! Mtakatifu unamjua wewe? Tapeli kama Geo unamwita mtakatifu!!!
@ShaibuMtalagulia
@ShaibuMtalagulia 2 ай бұрын
Huyu nae eti nambi aliezaliwa bongo jinga kwer hata halijui nn anaongea
@stephenmwaniki2803
@stephenmwaniki2803 2 ай бұрын
Mtakatifu au mtakakitu🙀🙀🙀🙀🙀🙀
@gilbertburasixbert2569
@gilbertburasixbert2569 14 күн бұрын
Nimemfahamu Nabii Dr GeorDavie muda sana over 35 years now .3nzi za shule pale ilboru mtu mwenye imani na kusimamia anachoamini nimekuwa partner pale anafundisha nidhamu ya kumjua Mungu ....Amewahi kufundisha somo la Tofauti ya Kumjua Mungu na Kumfahamu Mungu
@jamesmollel7034
@jamesmollel7034 3 сағат бұрын
Ukwl mi pia nimesikia alikaaa ilboru tena nyumba ya udongo
@OfficialKiliPaul
@OfficialKiliPaul 2 ай бұрын
The sound quality I doubt it’s not good please improve on that n welcome back salim u the best in tz✌️👌🔥
@lusubilomwaijengo3428
@lusubilomwaijengo3428 Ай бұрын
Maswali mazuri sana Kikeke, pia majibu mazuri sana kutoka kwa Nabii. The best Interview.
@kidesnassor146
@kidesnassor146 11 күн бұрын
Walio sikia neno nimefany kazi sana ya mng eti achatu niende kuwangalia movie gong like
@AntonyKawage
@AntonyKawage 2 ай бұрын
Mtu wa rohoni ataelewa ya Rohoni ,na wa mwilini ataelewa ya mwilini,Ahsante
@DanielMbena
@DanielMbena 2 ай бұрын
Kwel kabisa
@kassimamir219
@kassimamir219 2 ай бұрын
Roho inakaa wap kwanz
@MansourKabuhaya
@MansourKabuhaya 2 ай бұрын
Duh... Wanaosali kwa huyu, kweli wamepotea😂😂
@Catherine-mh8sw
@Catherine-mh8sw 2 ай бұрын
​@@kassimamir219😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@samehewaliokukoseya2605
@samehewaliokukoseya2605 2 ай бұрын
Miningeenda 2 anipe angalao 5 mill ​@@MansourKabuhaya
@williammrutu200
@williammrutu200 Ай бұрын
Dr.na mtumishi wa Mungu wew una roho ya kipekeee Sanaa na Mwenyezi Mungu akupe maisha marefu sanaaa
@pastorisraelhaki3426
@pastorisraelhaki3426 2 ай бұрын
Kabisa mimi kama mchungaji. Mchungaji Huyu anafanya kazi ya Mtume Yakobo. Soma katika (Yakobo:1:27) Kuhubiri injili haitajiki tu,kuhubiri Neno pia Matendo huitajika. Tuache kuwahukumu wachungaji,Tuachie Mungu kazi. Mchungaji David hongera kwa kazi ya Mungu unayo ifanya.
@exsaverymogela6671
@exsaverymogela6671 Ай бұрын
Ukoo sahihi kabisaaaa
@collinskimweri4461
@collinskimweri4461 23 күн бұрын
Matapeli wanasifiana
@chandegea-i4i
@chandegea-i4i 11 күн бұрын
Njaa itakuua
@LinusRaymond8
@LinusRaymond8 2 ай бұрын
Shalom Bb Nabii waaah..! that's Great eeh..! Exemplinary Conduct for the Really wining star.....
@rosetasuleiman6799
@rosetasuleiman6799 2 ай бұрын
Kikeke Uko vizuri,the master of Jounalism
@salmampinga4995
@salmampinga4995 2 ай бұрын
Powerful!!! Daddy umenifungia Mwaka Kibingwa💪nime enjoy sana❤❤️🙏🙏
@paulrwechungura4284
@paulrwechungura4284 Ай бұрын
Hamna mpya
@hopevoicesband7391
@hopevoicesband7391 2 ай бұрын
Mungu awakened nyinyi munao nyasa washirika kwa kujichanua na Sadaka za wanyonge, olewenu munao frahikia vyeo vya Dunia hii yani yesu apande gari yako,wewe bwana wa majeshi akukemee wewe unaye jita na bii mukuu, wewe mungu na akukemee wewe narudia yesu akajaleo anapanda gariyako,unadhani,mungu anahitaji gari, wewe ni freemason number 1
@Bbyviny
@Bbyviny 2 ай бұрын
Elewa swali na lilivyo jibiwa acha ujuaji
@AnacletEdward
@AnacletEdward Ай бұрын
Sisi bwana binadamu wenye uelewa Mdogo ni ni wengi,ila wanao soma bibilia ni wachache,mwanadamu Mwenye akili pungufu anajua mtumishi anayetoa alichobariki akakigawa Kwa wahitaji ni free mason, watumishi mabaili ndiyo wanaomtumikia Mungu Mwenyezi.kweli binadamu tunayo mapungufu ya kipumbavu
@AnacletEdward
@AnacletEdward Ай бұрын
Mnaomteta Ngurumo mbona hamsaidii watu ni kukaa kumtanulia midomo,au nyie Mungu Mwenyezi amewanyima ndio maana mnakuwa wambea,nijibu nyie wendawazimu
@Mwakaismsociety
@Mwakaismsociety 2 ай бұрын
Hongera nabii geordevi,na interview Kali toka kwa kikeke.am your fans kikeke
@nelsonmrutu371
@nelsonmrutu371 2 ай бұрын
Maneno machache kazi kubwa Zaidi 💪 Mungu azidi kukubariki NABII MKUU DK GEORDAVIE .
@dannypeter4951
@dannypeter4951 2 ай бұрын
Baraka za mungu Zina nguvu kubwa kuliko.mungu akubariki
@ebenezersumari5408
@ebenezersumari5408 2 ай бұрын
Baada ya hii interview Hakuna atakae niambia lolote kuhusu GeorDavie nikamuelewa.. ✋✋ Anakuambia yeye sio Mzee 😊 "Yesu akija ataazima gari lake maana anapenda ufahari pia" God's standards I love this interview 🌟🌟🌟🌟🌟
@Joe-tr2vk
@Joe-tr2vk 2 ай бұрын
Wapi kwenye bible imeandikwa Yesu anapenda ufahari?
@lio28183
@lio28183 2 ай бұрын
Jidanganyeni...ipo siku..
@abedinegoraphael4774
@abedinegoraphael4774 2 ай бұрын
​@@Joe-tr2vkAlipanda punda
@valeriamtenga3384
@valeriamtenga3384 6 күн бұрын
Hili ni tatizo ama hakika km umeshiriki hapa Inaitaji neema ya Yesu
@siskimkimu737
@siskimkimu737 6 күн бұрын
Kumbe ni mwes hivi aseeeee,
@everlyne8595
@everlyne8595 3 күн бұрын
Mungu akubariki sanaa nabiii unasaidia watu
@AllyMwinyi-rx8gr
@AllyMwinyi-rx8gr 2 ай бұрын
Alhamdulillah namshukuru Allah kwakunijaalia tokea kuzaliwa ni muislam yaarab tujaalie sisi waislam tuwe ni wenye kushukuru na unachoturuzuku yaarab tupe mwisho mwema
@pauloegbert515
@pauloegbert515 2 ай бұрын
Ila mue mnachanga msipende kuchangiwa
@edchrisbeatz8976
@edchrisbeatz8976 2 ай бұрын
Ukiwasikia waislam wavyojitetea kiwa muislam hadi huruma 😂 relax nduguuu uislam haukupeleki kwa mungu aseee uislam ni mafundisho ya kumjua huyo mungu usipoteze muda kuhusu dini cha kujiuliza unafuata makatazo ambayo molo wako amekuamrisha!!?
@oscarclaine5878
@oscarclaine5878 2 ай бұрын
Kwamba ukiwa muislam we poponi jumla sio😂 pole yako
@frankpeter4178
@frankpeter4178 2 ай бұрын
Na mashekhe wako huwa wanaenda kupewa hela hapa, kama hoja ni dini
@abdalahmjomba471
@abdalahmjomba471 2 ай бұрын
Ooooh ndugu yangu hata kwetu wameibuka masharifu shekhe cha muno muno muombe mungu tu akujalie wewe na familia yako mwisho wako uwe mzuri.
@ramadhanidadi6805
@ramadhanidadi6805 9 күн бұрын
Mungu amekubariki kwa utajiri mkubwa na anakubariki zaidi unapozidi kutoa, Hongera kwa hilo, naomba kuuliza km kuna andiko ambalo yule Punda alirudishwa alipoazimwa
@EmmanuelMabuga-r3w
@EmmanuelMabuga-r3w 2 ай бұрын
Nimekuja kufaha zaidi kwamba sio vzr kumhuku mtu kabla huja msikiliza Mungu Alie mhukumu wa haki akulinde nabiii G
@yasintamsuya
@yasintamsuya 2 ай бұрын
Nimependa sana haya mahojiano classic ❤ kwanza inafurahisha hata kutazama Yani kunawatu wakihojiwa unafurahia anavyojibu Kwa kujiamin alafu ame relax anaelewa anachokijibu 🎉🎉
@oscarclaine5878
@oscarclaine5878 2 ай бұрын
Huyu ni motivation speaker mzuri sana
@Zenji_znz
@Zenji_znz 2 ай бұрын
😂😂😂kwaio yesu atumie gari yake nyie wakristo mambumbumbu kweli 😂😂😂
@massatujeli3158
@massatujeli3158 Ай бұрын
​@@Zenji_znzdah hii imeniumiza sana
@jovinathasavoie8018
@jovinathasavoie8018 Ай бұрын
​@@Zenji_znz,😂😂😂😂,Africa kuna vituko
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 Ай бұрын
Ila usisahau kama uyo nabii mwanae alikufa kifo cha kutatanisha baana
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 Ай бұрын
Nabiii yuko sawa baana
@JombaTUncleT
@JombaTUncleT 13 күн бұрын
Na waenende kwa SHERIA na USHUHUDA. Kama sivyo bira shaka kwao hao hakuna asubuhi... Hiyo ndiyo kanuni ya kuupima unabii na nabii. AMRI ZA MUNGU ZOTE KUMI na USHUHUDA WA YESU KRISTO TU. 🎉
@arnoldfulment1668
@arnoldfulment1668 2 ай бұрын
A take home message here is financial stability strengthen your confidence levels
@mbekitv693
@mbekitv693 7 күн бұрын
BONGE MOJA LA INTERVIEW 🔥🔥👏🏻
@barakambise1859
@barakambise1859 2 ай бұрын
Salim Kikeke brother, you are too professional and beyond.. #Congratulations
@JanethMassawe-d4e
@JanethMassawe-d4e 12 күн бұрын
mtumishi nabii geordevi naomba mungu akuguse uniwezeshe na mimi mim ninaomba unibariki na nyumba rumu tatu tu ninaguswa sana na huduma yako unavyovundisha kwa imani napenda sana nina watoto wa ratu mimi ndy baba mimi ndy mama nabii ninaomba neema yako inifikie na mimi asante nabii wa mungu
@DjmekaMeka
@DjmekaMeka 11 күн бұрын
Saw tuma namb yako tutakutafut
@Lemar355
@Lemar355 11 күн бұрын
Jishkilie utauponza🎉
@Mwakaismsociety
@Mwakaismsociety 2 ай бұрын
So genius nabii geordevi.
@HappyANDREA-i2q
@HappyANDREA-i2q 2 ай бұрын
MUNGU ambariki sana Nabii Mkuu Geodevie anamoyo wa kimungu sanaa
@ErickJr-k5b
@ErickJr-k5b 2 ай бұрын
Salimu uko vizuri
@BonifaceBonala-w9j
@BonifaceBonala-w9j 6 күн бұрын
Uposaw giordevi unafanana na jemsi nabii nyakiya wa mwenge mpakani kuwarudishia sadaka waumini
@jonfredkewe3451
@jonfredkewe3451 2 ай бұрын
Mzee Mpe gari Salim Kikeke ametuletea elimu amefanikiwa kupinga Imani potofu iliyopo juu yako kwa kutuletea elimu sahihi.
@marthaherman343
@marthaherman343 11 күн бұрын
God bless you Lilian mwasha wewe uko rohoni kabisa mambo ya rohoni ni ya mtu binafsi na Mungu watu wengine hawawezi kuelewa na Kila mtu atatoa tafsiri yake ila Mimi namuelewa Godluck
@damsonwilson5202
@damsonwilson5202 2 ай бұрын
Nabiii Mkuuu Anajibu vizuri sana sana
@siasia5469
@siasia5469 2 ай бұрын
Do you Think so...!?
@evansokemwa6587
@evansokemwa6587 Ай бұрын
anajibu kiuchacha sana
@valeriamtenga3384
@valeriamtenga3384 6 күн бұрын
Ooohhh
@giztony2009
@giztony2009 2 ай бұрын
Brilliant interview! Very genius
@ErickLuvanda-n6g
@ErickLuvanda-n6g 2 ай бұрын
Nampenda sana huyu baba anajitoa sana kwa ajili ya watu wote na wenye uwezo achagui mtu anaupendo watu wa aina wote mpaka waliodhaifu kiakili na kiroho Mungu akubariki Amen
@winniembilingi4566
@winniembilingi4566 12 күн бұрын
Sawa brother
@J2M_JAYMAX
@J2M_JAYMAX 3 күн бұрын
Kwa nn mtumishi ujichubue usoni😅😅na watumishi wake mikoani kawachubua😅cjui ni nn siri yake sio bure😂
@dailantz4073
@dailantz4073 2 ай бұрын
Kweli nabii mkuu hana moyo mzuri sana kwatanzania nabii uyu ninamba moja hakuna kama gurumo ya hupako wegi wamefanikiwa kipiti gurumo ya hupako naukombozi
@gladnessmsolla6006
@gladnessmsolla6006 2 ай бұрын
Ukisema hana ni umemaanisha ana roho mbaya unatakiwa kusema ana roho nzuri..
@maprosokelly2986
@maprosokelly2986 2 ай бұрын
Nashukur mungu kuwa mkristo viongoz wangu tujitaidi kunyanyuana kiuchumi wakristo kwa wakristo ata kuwajengea nyumba wasio jiweza ingekuwa vizur zaid
@kimalinganomhelela8377
@kimalinganomhelela8377 2 ай бұрын
Hongera sana Kikeke kwa maswali yanayotokana na utafiti wa kina.
@apostelgodwin
@apostelgodwin 2 ай бұрын
Geodevi hajaanza huduma ya kanisa leo .. alifanya miaka na miaka akiwa na msaidizi wake hadi pale walipokuja kugawanyika kila mtu akaenda eneo lake na kuanzisha kanisa la Yesu ..hivyo amekomaa kwa mambo mengi anayajua ..usishindanae nae kama mwanadamu ww Muombe Mungu akusaidie na ww ❤.. mm napita tu
@prosperalphonce7540
@prosperalphonce7540 2 ай бұрын
Such a genius talks
@gibrilmongi5646
@gibrilmongi5646 2 ай бұрын
This is my qoute to all comment readers, "Time can tell alot but don't judge what you can't understand"
@RayaAbdalla-h2c
@RayaAbdalla-h2c 2 ай бұрын
Anajichubua jamani huyu uwiiiii🤸
@FordMwasambungu
@FordMwasambungu 2 ай бұрын
Uko vizuri sana mchungaji natamani kukuona nafanyaje
@mossesmungure
@mossesmungure 2 ай бұрын
Thank you Daddy Nabii Mkuu I connect to your Grace you have God Heart for sure 💪🏽💪🏽🙇🏽🙇🏽💪🏽💪🏽
@finiasmaengela2996
@finiasmaengela2996 2 ай бұрын
Epuka matapeli na manabii wa uongo
@faithe4063
@faithe4063 2 ай бұрын
Okoka ukampokee Bwana Yesu waja ujinga
@JinguMath
@JinguMath 2 ай бұрын
Jitu zima liko daddy
@zandys4686
@zandys4686 2 ай бұрын
@@JinguMath😂😂😂😂😂😂 acheni bana watu waliolala msiwaamshe
@Joelkilumile
@Joelkilumile 12 күн бұрын
Falasi wewe toa si 😂😂😂
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 Ай бұрын
Kwelii kabisa
@BeatriceChalange
@BeatriceChalange 2 ай бұрын
Nafkri watumishi wengi waige mfano wa Nabii Mkuu katika kujibi Maswali kwa hekima lakini pia unyenyekevu, Nilipata kufuatilia interview na Pastor flan umemhoj siku za karibuni ujuwaji mwingi kumkosoa sana mtangazaji mpaka Haina ladha. Binafsi nimependa hii interview na imejibu Maswali ya wengi. Nakupenda Nabii Mkuu Dr.GeorDavie wewe ni Tunu ya taifa .
@ShukranMwakyambo
@ShukranMwakyambo 2 ай бұрын
Yule dahaaa majivuno Mengi
@MansourKabuhaya
@MansourKabuhaya 2 ай бұрын
Tunu gani ya wizi wa mchana kwa waimini
@Catherine-mh8sw
@Catherine-mh8sw 2 ай бұрын
Taifa gani?
@JackTembo-c4z
@JackTembo-c4z 2 ай бұрын
Mtumishi gan niiangalie
@SamwelMollel-br9md
@SamwelMollel-br9md 2 ай бұрын
Kakuibiya nini ww mwenyewe masikini tajiri nabii atashukuw nini kwako​@@MansourKabuhaya
@jeremynanapu3031
@jeremynanapu3031 5 күн бұрын
John 4:24 says, "God is Spirit and those who worship Him must worship in spirit and Truth". Read also Matthew 24
@MiriamDanielChakumwande
@MiriamDanielChakumwande 2 ай бұрын
Safi Nmependa Iyo God's Standard
@kwisa4899
@kwisa4899 2 ай бұрын
Huyu jamaa na inspire sana kumpenda Mungu
@Jonathanabedinego
@Jonathanabedinego 2 ай бұрын
Kikeke ni noma❤🎉
@emmanuelnjoka7369
@emmanuelnjoka7369 2 ай бұрын
😅😂
@mwalimulucas3522
@mwalimulucas3522 2 ай бұрын
Best questions bravo answers
@revkomutv7533
@revkomutv7533 2 ай бұрын
Nampenda sana naeza kumuona aje kutoka kenya
@DaudiKivuyo-b7u
@DaudiKivuyo-b7u Ай бұрын
Hapn umesem ukweli nabii mkuu kweli ❤❤❤❤❤
@Rev.EliaSimba
@Rev.EliaSimba 2 ай бұрын
Binafsi nimependa hapo aliposema miaka aliyotumika karibu 44, huu muda wa kutumika ni muhimu sana usipuuzwe. Kuna wanaoweza kufanikiwa kwa muda mfupi, lakini wanaofanikiwa kwa muda mrefu kama huu wengine wajitie moyo kuna wakati Yesu atawainua, pia watumike pasipo kuishia njiani.
@paschalpaul3862
@paschalpaul3862 2 ай бұрын
Noted spiritual consultation
@WilliamsLawrence-j7e
@WilliamsLawrence-j7e Ай бұрын
Huyu ni mfanya biashara....Mungu hafanyiwi kazi kwa namna hyo....hawa waumini wake wajifanyie tathmini na imani hii....
@humbleshoal
@humbleshoal 11 күн бұрын
Watapotoshwa akiri zao wasiamini kweli, huijui hii?
@valeriamtenga3384
@valeriamtenga3384 6 күн бұрын
Wamefungwa fahamu
@AbeidySarum
@AbeidySarum 7 күн бұрын
Uyu msaniii Amna nabii hapa
@paulshija7632
@paulshija7632 2 ай бұрын
Nabii anajipiga Mkorogo, ila atambue Mungu hadhihakiwi, apandacho mtu ndicho atakachovuna
@JesuinaBabili
@JesuinaBabili 14 күн бұрын
Nimeliona pia…mikono ipo tofauti na uso!☹️
@marywanyika6924
@marywanyika6924 2 ай бұрын
Brilliant interview, hongera kikeke
@mwanadamtz1298
@mwanadamtz1298 14 күн бұрын
Waliokuja baada ya kuchumwa gari tujuane.
@josephlokai4013
@josephlokai4013 14 күн бұрын
Ndò nimefika kumjua zaidi..kanisa lake iko wapi huko Tz???
@shafiihussein
@shafiihussein 10 күн бұрын
Kama umenionq na Cheka kwenye KZbin dp yangu gonga like hap😅😅😅
@kabelwasalim6305
@kabelwasalim6305 2 ай бұрын
Me nadhan swala la hukumu tungemuachia Mungu,ukiangalia kuna mtu alikuwa anaitwa king solomon,wengi wanamjua kama mfalme suleiman,alikuwa anahela kuliko tajiri yoyote ambae unajua ambae yuko apa saiv alibarikiwa ya yuko peponi kama kawaida,me nadhan tungeacha kuona umasikini kama ndo njia pekee ya kwenda peponi tunge muachia Mungu afanye kazi yake
@bettyprosper8911
@bettyprosper8911 2 ай бұрын
Well said Mungu atusaidie
@evansokemwa6587
@evansokemwa6587 Ай бұрын
wewe unaongea nini kwa uyu tapeli???
@kelvinmasungakilunguja7539
@kelvinmasungakilunguja7539 2 ай бұрын
Baba katisha ongera mtumish❤
@anjelinakasembe845
@anjelinakasembe845 2 ай бұрын
Baba yetu GeorDavie nimsaidizi wa wengi 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@salomecaroly5534
@salomecaroly5534 2 ай бұрын
Yanga kwa sasa wanahitaji maombi ya nabii mkuu 😂in Salim voice😂😂
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 Ай бұрын
Hata wewe muraa
@abilityemmanuel5704
@abilityemmanuel5704 2 ай бұрын
Namshukuru Mungu na Bwana Yesu Kristo kumuinua Geo-David kuwa mtumishi wake. Watumishi kutoka Singida wanaongezeka. Tusiiisahau Singida kwa injili
@humbleshoal
@humbleshoal 11 күн бұрын
Mungu akusaidie kuifahamu kweli
@colmanuiso545
@colmanuiso545 2 ай бұрын
17:00 ----17:15 🔥
@LimbuNationBuildersCoLts-hi3em
@LimbuNationBuildersCoLts-hi3em 2 ай бұрын
Kikoje Ni fundi wa kuuliza maswali. Big up Salim Kikeke
@benjaminlijongwa3715
@benjaminlijongwa3715 2 ай бұрын
KIKEKE MNAFIKI SANA ANAULIZA HUKU ANATIKISA MGUU. .ETI BIBLIA INASEMA KATIKA SIKU ZA MWISHO WATATOKEA WATU WANAOJIDAI KUWA MANABII ANAAKILI SANA SEMA HAJAOKOKA NDIO SHIDA YAKE
@nurdinmfamau3493
@nurdinmfamau3493 14 күн бұрын
Ukweli Utabaki Kuwa Kweli Hii Nisehemu Ile Yakuwa Watakuja Kutokea Manabii Wauongo.
@valeriamtenga3384
@valeriamtenga3384 6 күн бұрын
Nimependa sana maswali ya kikeke , ana maswali ya undani na yako logical
@AlbertChavala
@AlbertChavala 2 ай бұрын
Hongera
@roselyimo3676
@roselyimo3676 2 ай бұрын
Ambacho nimekiona hapa watu wanakimbilia magari ila sio Roho wa Mungu. na ndio maana roho ya udanganyifu imejaa duniani na Yesu aliwatabiri hawa. hapa ni kupiga hela tu lakini mafundisho ya Rohoni na njia ya Uzimani hapa sijaiona kabisaaa. eti Yesu Kristo atakaa nae na kuchagua gari yake ivi Yesu ni Roho au ni Mwili huu wa nyama??? na kifupi Yesu Kristo alikufa kilichotoka ndani yake ni Mungu kwa hiyo Mungu anarudi ndani ya mwili wa mwanadamu mwingine Malaika wa 7 atakapopiga baragumu duniani ndipo sirii za Mungu zitakuwa wazi. wacheni uongo wa Yesu kurudi Airport ni nani atatoa cheo cha unabii??? wanasomea vyuoni na kutafuta nguvu za nyongeza yaani KIKIKE WEWE UNA AKILI ZA ZIADA
@Prophetdrmoses
@Prophetdrmoses 2 ай бұрын
Unajua kama hujitambui kapimwe akili vzr mzee kaongeq kwa khekima Acha Kiki za kijinga kujifanya mtakatifu kuliko bibilia
@levinamathias8507
@levinamathias8507 2 ай бұрын
Mungu akubariki sana
@roselyimo3676
@roselyimo3676 Ай бұрын
@@Prophetdrmoses hekima ya magari
@gloriaatupele9090
@gloriaatupele9090 2 ай бұрын
Mungu aendelee kukutunza mtumishi Watanzania tunakuombea
@masabarakizajustin5868
@masabarakizajustin5868 2 ай бұрын
Sijui kama ana mke au hana. Kama ana mke ninadhani ndiye angekuwa anampangia nguo za kuvaa. Kama hana, je, ana mpango wa kuoa? Kama hana mpango wa kuoa, kwa nini?
@MagembeFadhili
@MagembeFadhili 2 ай бұрын
Mbon java vizuli t au nilitak avae sut
@itikamwaseba4156
@itikamwaseba4156 2 ай бұрын
Ana mke na watoto na mtoto wake mmoja maarufu mkubwa alifariki mwaka jana
@SamwelMollel-br9md
@SamwelMollel-br9md 2 ай бұрын
Mambo yamke yanausiyana nini hapa
@charlesseba2000
@charlesseba2000 2 ай бұрын
Ndugu yangu unakufuru... Na Yesu with hahitaji gari kusafiri, omba upewe Roho Mtakatifu akufundishe kujibu maswali
@mtzhalisi2232
@mtzhalisi2232 2 ай бұрын
Fungua kanisa uko vizuri
@mosesjackson8260
@mosesjackson8260 2 ай бұрын
Elewa swali akishuka Kwa mfano wa kibanadam kama mwanzo, usi prejudice na huo ni mfano tu not real na akahusanisha na bible.
@mtzhalisi2232
@mtzhalisi2232 2 ай бұрын
@mosesjackson8260 uko vizuri ndugu.. Huyu kilaza lazima atakuwa ameluelewa
@MsAggie5
@MsAggie5 2 ай бұрын
Unafikiri YESU angekuwa hapa Leo angepanda dala dala kama wewe? Hujamsikia nabii akitoa mfano WA Yesu alipoingia Jerusalem na mwana Punda??????
@MansourKabuhaya
@MansourKabuhaya 2 ай бұрын
​@@mosesjackson8260huu ni upuuzi mkubwa sana
@PastorErickjmi
@PastorErickjmi 12 күн бұрын
Mtumishi wa Mungu yuko vizuri tuzidi kumuombea sana nimsaada sana sana kwawatu
@HopefulFlower-sn4kg
@HopefulFlower-sn4kg 2 ай бұрын
TUNAOKUAMINI TUNASEMA" "WE LOVE YOU DAD" !!
@MansourKabuhaya
@MansourKabuhaya 2 ай бұрын
Ndo nyie mliopotea, mbona mpo wengi tuu
@RutaJuvent-d8z
@RutaJuvent-d8z 2 ай бұрын
Dave ume. Halibika,Bwana Yesu situation za mwisho atashuka na marina zake na kuchukua wateule wewe unaongea atapanda marina zako
@RutaJuvent-d8z
@RutaJuvent-d8z 2 ай бұрын
Nabii hata hajui siku zamwisho itakuaje,Ana ongea ati Yesu atampokea Airport.
@RutaJuvent-d8z
@RutaJuvent-d8z 2 ай бұрын
Kila mtunaɓii,duu! Hata Israel haiko hivo muwe na aibu walau mjiitte wafa lme haidhuru bas masurutan,
@SeciliaFabian-g2s
@SeciliaFabian-g2s 3 күн бұрын
I don't know but I think some they clean money
@badmanno.1650
@badmanno.1650 2 ай бұрын
Yeye mwenyewe ndani ya nafsi yake anajua anadanganya. 😅
@SalomeMpota
@SalomeMpota Ай бұрын
Nimependaaa
@exsaverymogela6671
@exsaverymogela6671 Ай бұрын
Unajichelewesha aiseeee badiri mtazamoooo
@valeriamtenga3384
@valeriamtenga3384 6 күн бұрын
Anajua sana
@leonoraclavery2272
@leonoraclavery2272 11 күн бұрын
Biblia inatafsriwa vibaya sana na watu wanaojiita manabii
@angelr2165
@angelr2165 2 ай бұрын
Injili yao ndo hyo hyo Standards na mafanikio, hawahubirigi injili ya kumjua kristo na kuishi maisha matakatifu... Huyu ni agent anaejijua tena vizuri tu.. na hao waumini wake ni wale wale wapenda vya Mungu na wala hawamuhitaji
@samweli7985
@samweli7985 2 ай бұрын
Kwani kuwa tajiri ndiyo kuwa mbali na Mungu? Au kuwa maskini ndiyo kuwa mtakatifu na kumjua Mungu?
@berithaandersonn2234
@berithaandersonn2234 2 ай бұрын
Hujabahatika kusikiliza mahubiri ya huyu baba, lakini pia media zinakupotosha. Hua hawatumi video za mahubiri unayosema, wanatumia kile kitakachopata views na likes nyingi. Na kama unaongelea interview hii basi nikukumbushe kuwa hii ni interview, anajibu anachoulizwa tu. Ubarikiwe
@angelr2165
@angelr2165 2 ай бұрын
@@samweli7985 Kupenda pesa ndio shina la dhambi zote.. sio kuwa na pesa huyo nabii wenu amejaa kiburi, yan ukampe lift ya gari yako Mungu haloo.. Mmeshalogwa na hamuoni na Mungu anawaacha kama mlivyo kwa sababu kiu yenu ipo kwenye kupata hela na sio kumjua yeye
@angelr2165
@angelr2165 2 ай бұрын
@@berithaandersonn2234 hadi kanisa lake nshawahi kukanyaga kisongo huko Arusha hakuna chochote anachohubiri zaid ya sadaka nono.. nshamfatilia hadi hizo ibada anazofanya akiwa nje ya nchi kama hujawah kuona nabii wa uongo basi ndo huyo... ila kama kama unakimbiliaga manabii ukihisi ndo ukomboz wako huezi elewa.. Mtazame Yesu
@goodluckdaniel4670
@goodluckdaniel4670 2 ай бұрын
Utajiri wa Dunia, bila kumhusisha Yesu ni Uongo,,Injili ya siasa nyingi pasipo kutafsiri usahihi wa maandiko ya biblia siyo Injili ya kweli Nabii😊
@jacquelinemwakasala9563
@jacquelinemwakasala9563 2 ай бұрын
Ubarikiwe baba mm naomba unisaport uimbaji wangu .amen
@devidmafuru5538
@devidmafuru5538 2 ай бұрын
Nenda kanisani kwakwe msaada utapata ukifika ibada moja ukisema utasaidiwa
@JoackimuGeorge-t8y
@JoackimuGeorge-t8y 2 ай бұрын
Dr joedev kumbe yupo smart ee nilikuwa namuonaga nikajua mzee wa kiki..karibu dar kwetu bhana
@stephenmmbago4975
@stephenmmbago4975 2 ай бұрын
Mzee ana hekima sana , He deserve to be on that position
@ezekielpraise2025
@ezekielpraise2025 2 ай бұрын
Mimi namsikiaga tu Goe Dav! sema watu wengi wanaweza mchukulia poa jamaa nini anazungumza,ila alichoongea mwanzo mpaka mwisho jamaa anakitu na yupo real.Salim bless you sana kwa hii interview
@ManHussein.
@ManHussein. 2 ай бұрын
Naona mmekusanyana mazombi ya Geo Dav ili mumpe ma-comment ya kutosha ya kumpamba ili muwaingize pabaya watoto wa Mungu.
@humbleshoal
@humbleshoal 11 күн бұрын
​@@ManHussein. Mungu atufungue akiri tupate kuijua kweli yarab
@innocentestomih
@innocentestomih 8 күн бұрын
❤Geodavie #Genius
@shyevents8239
@shyevents8239 2 ай бұрын
mzee genius sanaa
@saidsalim851
@saidsalim851 2 ай бұрын
𝕜𝕒𝕜𝕨𝕒𝕞𝕓𝕚𝕒 𝕪𝕖𝕪𝕖 𝕤𝕚𝕠 𝕞𝕫𝕖𝕖
@MsAggie5
@MsAggie5 2 ай бұрын
Anajua Sana kujibu maswali. Big up kwake
@Catherine-mh8sw
@Catherine-mh8sw 2 ай бұрын
​@@saidsalim851😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@augustinomakoye2396
@augustinomakoye2396 Ай бұрын
Asante sana nabii
Каха и дочка
00:28
К-Media
Рет қаралды 3,4 МЛН
REAL or FAKE? #beatbox #tiktok
01:03
BeatboxJCOP
Рет қаралды 18 МЛН
Une nouvelle voiture pour Noël 🥹
00:28
Nicocapone
Рет қаралды 9 МЛН
99.9% IMPOSSIBLE
00:24
STORROR
Рет қаралды 31 МЛН
Каха и дочка
00:28
К-Media
Рет қаралды 3,4 МЛН