Mimi nimumoja ambaye anataka kuwa kama ulivio m'y brother Joël i am héritier from drcongo
@witnessvictor76452 жыл бұрын
Noted down 🙏🙏🙏🙏. Barikiwa Sana mtumishi.
@danielmwayinga1572 жыл бұрын
Joel big up sana mzee.
@amamlen37313 жыл бұрын
Ukimsikiliza kwa masikio ya nyama yupo Sawa Kabisa ila Ukimsikiliza kwa sikio la rohon Kuna ka hekima ka yuda ambalo sio hekima ya Mungu. Kahekima kakishetan
@immaculatendinda39002 жыл бұрын
Kwa hivyo kufanikiwa kifedha ni ushetani ...yaani cjui tunakwama wapi wacristo,..vitu vilivyo Bora twawapa wengine ambao sio wa ufalme wetu?? Tafakari
@evalinemfinanga81932 жыл бұрын
KAZI kubwaaaa
@benjaminmunkondya3 жыл бұрын
Mimi Namuita Joe Well A Man Of Excellence!!.Yatupasa Kujifunza Excellence Katika Huduma.
@asmahussein27793 жыл бұрын
Akili Kubwa Joel Lwaga mwamba wangu wa muda wote kwenye nyimbo za injili🔥🔥🔥🔥🔥