JOEL LWAGA - ALIVYOKUTANA NA DIAMOND,WALICHOONGEA/ANARINGA?/UNYENYEKEVU NA UJINGA/KIPAJI KINILISHE

  Рет қаралды 20,818

Chumvi Ya Dunia

Chumvi Ya Dunia

Күн бұрын

Пікірлер: 38
@jamsonjames3618
@jamsonjames3618 4 жыл бұрын
Mfinanga unaelekea mbali sana, your doing what many church youth are missing...just mark my point,."unaelekea mbali sana"
@yetromtambulo3452
@yetromtambulo3452 9 ай бұрын
Well done bro Joel lwaga. Be blessed much. One day tutakutana tuu katika huduma
@lucymuthoni1885
@lucymuthoni1885 2 жыл бұрын
I love Your firmness
@kado_producer
@kado_producer 10 ай бұрын
Kaka joel nakukubali sana
@lucymuthoni1885
@lucymuthoni1885 2 жыл бұрын
I love this show from Kenya 🇰🇪 it’s really inspirational and a blessing the people we admire we get to hear their story... That person that keeps on passing in front of the camera is really unprofessional 😢
@orverfredy2694
@orverfredy2694 4 жыл бұрын
“Watu wangu wanahangamia kwa kukosa maarifa” muongozo wetu ni biblia tuache kumtukanisha Mungu. Yaani inafikia hatua mtu ukiwa mlokole unaonekana umepotea kimaisha... Vijana tulio amua kuokoka acha tuishangaze dunia. Akili kichwani, Yesu moyoni, pesa mfukoni....ubarikiwe mtumishi Joel, nimekuelewa sana. Hakuna unafiki hapa
@lwimboderick7479
@lwimboderick7479 4 жыл бұрын
Nimekuelewa sana hapa Mtumishi wa Bwana. Am blessed.
@oscarpelesi18
@oscarpelesi18 2 жыл бұрын
Joel saluti sana....nimekutana na wewe kwenye maneno yako...sound mind indeed ...
@gaspamgasa2366
@gaspamgasa2366 4 жыл бұрын
joel lwaga aliwahi kunijibu Dm nilijisikia vizuri
@joshuabm
@joshuabm 4 жыл бұрын
Minister Joel, that is really great and right on a point
@adellajohnbokato8453
@adellajohnbokato8453 4 жыл бұрын
Ni kweli Kuna kitu kikubwa nimejifunza Leo kupitia ndugu Joel... By the way big up mtumishi mfinanga...
@womanoffaith2001
@womanoffaith2001 4 жыл бұрын
Congrats sir Mbezi
@lumulimwakanjuki
@lumulimwakanjuki 3 жыл бұрын
J uko sahihi bro
@eneajoseph2010
@eneajoseph2010 4 жыл бұрын
nakukubar. Joel mungu akubarik
@matimfuko641
@matimfuko641 4 жыл бұрын
Huyo jamaa Yuko vizuri Sana Mungu azidi kumbariki
@babundoto5425
@babundoto5425 2 жыл бұрын
Nzuri inajengo
@joymdemeka4036
@joymdemeka4036 3 жыл бұрын
Joel Lwaga is very smart.
@stephenmungure7072
@stephenmungure7072 3 жыл бұрын
What a blessed interview
@geofreychacha489
@geofreychacha489 4 жыл бұрын
Asante kk Joel lwaga umenifungua macho na masikio
@andrewkihwelo1482
@andrewkihwelo1482 4 жыл бұрын
Mfinanga mimi ni mwimbaji.na kiukweli yoote aliyo yaongea joe ni sawa. Kabisaa. Nyongeza ya aliyo yaongea ni fanya ufanyalo huwezi kumpendeza kila mwanadamu.so ukitaka kufika mbali. Hebu angalia upande wako.maana ulicho itiwa wewe na MUNGU sicho walicho itiwa wao.kila mmoja alime mlaba wake na badaye tukutane kwenye mafanikio
@gaspamgasa2366
@gaspamgasa2366 4 жыл бұрын
asante kaka joel asee kumbe mi nilikua mtumwa wa kujishusha kwakua mjinga
@fadhiliaugustino7704
@fadhiliaugustino7704 4 жыл бұрын
God bless you Joel nimejifunza
@govinsonlugano9226
@govinsonlugano9226 2 жыл бұрын
Unapohudumu nakulenga pesa, utajipata unatumikia pesa Ukamuacha Mungu.Biblia inasema huwezi tumikia mabwana wawili! Kile najua,Mtumishi anaweza mtumikia Mungu na maisha ikaonekana duni nikwasababu alimtumikia Mungu kwauaminifu.hakutanguliza tamaa.Mungu nimwaminifu ana wakati wakubariki mtu kifeza.ndiomana Yesu akasema tafuteni kwanza ufalme wa Mungu na mengine ayo yote mtazidishiwa.yaani wewe kanisa likikuita ukabariki watu,utaomba wakutimizie kiwango cha pesa?iyo nayo sipoa.
@davyadamsontz
@davyadamsontz 2 ай бұрын
Wakikupa buku huko ulikoalikwa halafu unataka kurekodi tena utawapa hiyo buku, How about familia ambayo umeiacha nyumbani? Huduma huchukua muda ambao ungeweza kuzalisha vitu vingine...
@balozibalozi5257
@balozibalozi5257 4 жыл бұрын
Nimebalikiwa sana 🙏
@magdalenaobet8502
@magdalenaobet8502 4 жыл бұрын
Napenda uimbaji wako ubarikiwe Joel. Pia anza mazoezi upungue mwili hapo hujaoa ukioa si utapasuka wifi akifanya yake jikon punguza mwili bwana
@philemonpaulo1790
@philemonpaulo1790 3 жыл бұрын
Huna habari kuwa alioa mwakajana au humfuatilii?
@magdalenaobet8502
@magdalenaobet8502 3 жыл бұрын
@@philemonpaulo1790 Nina hbr post hii ni kabla hajaoa nashangaa inasoma miezi 8 tangu ipostiwe mh naona ilikuwa hewa
@joymdemeka4036
@joymdemeka4036 3 жыл бұрын
Nimeipenda sana hii interview
@neemajames4083
@neemajames4083 4 жыл бұрын
Mtumishi Joel kaongea neno la faida
@octavianfranc1384
@octavianfranc1384 4 жыл бұрын
Apo sawa joel
@josephstephen1079
@josephstephen1079 2 жыл бұрын
Hivi kukutana na Diamond Plutnumz ni neema tena msanii wa nyimbo za kidunia?
@chedystanley
@chedystanley 2 жыл бұрын
Brother na appreciate sana Kazi yako umenifanya nifunguke pia mm pia ni muimbaji tafadhali sikiliza nyimbo zangu kwa channel yangu hii hii Mungu akubariki
@patricksamwel6307
@patricksamwel6307 2 жыл бұрын
Bro Joel huo ndio ukweli, tatizo la Watu flani flani wanataka tuishi kwa nidhamu za uwoga wakiamini ndio unyenyekevu no hayo ni makosa ndio maana tunapa changamoto nyingi za ovyo. Daah! aisee Mungu akubariki mwenye akili ataelewa ulicho shauli.
@miltonmugisha1805
@miltonmugisha1805 4 жыл бұрын
Huo mfano wa Biblia umenifungua akili sana
@miltonmugisha1805
@miltonmugisha1805 4 жыл бұрын
Mkuu napanga kukupigia tangu juzi, kesho haipiti
@amamlen3731
@amamlen3731 4 жыл бұрын
Ayo maneno ukiyapima rohoni mmmh nihekima ya yuda..
GOSPEL TABLE WITH JOEL LWAGA (PART A)
20:01
Victory tv
Рет қаралды 3,4 М.
I'VE MADE A CUTE FLYING LOLLIPOP FOR MY KID #SHORTS
0:48
A Plus School
Рет қаралды 20 МЛН
Вопрос Ребром - Джиган
43:52
Gazgolder
Рет қаралды 3,8 МЛН
Jaidarman TOP / Жоғары лига-2023 / Жекпе-жек 1-ТУР / 1-топ
1:30:54
Mwanake kuuragwo ni pastor niundu wa iria Gatundu
12:58
Kururia tv
Рет қаралды 2,7 М.
konce tz ndani ya mjengo ni UFM
19:38
Konce Tz
Рет қаралды 59
I'VE MADE A CUTE FLYING LOLLIPOP FOR MY KID #SHORTS
0:48
A Plus School
Рет қаралды 20 МЛН