Mfinanga unaelekea mbali sana, your doing what many church youth are missing...just mark my point,."unaelekea mbali sana"
@yetromtambulo34529 ай бұрын
Well done bro Joel lwaga. Be blessed much. One day tutakutana tuu katika huduma
@lucymuthoni18852 жыл бұрын
I love Your firmness
@kado_producer10 ай бұрын
Kaka joel nakukubali sana
@lucymuthoni18852 жыл бұрын
I love this show from Kenya 🇰🇪 it’s really inspirational and a blessing the people we admire we get to hear their story... That person that keeps on passing in front of the camera is really unprofessional 😢
@orverfredy26944 жыл бұрын
“Watu wangu wanahangamia kwa kukosa maarifa” muongozo wetu ni biblia tuache kumtukanisha Mungu. Yaani inafikia hatua mtu ukiwa mlokole unaonekana umepotea kimaisha... Vijana tulio amua kuokoka acha tuishangaze dunia. Akili kichwani, Yesu moyoni, pesa mfukoni....ubarikiwe mtumishi Joel, nimekuelewa sana. Hakuna unafiki hapa
@lwimboderick74794 жыл бұрын
Nimekuelewa sana hapa Mtumishi wa Bwana. Am blessed.
@oscarpelesi182 жыл бұрын
Joel saluti sana....nimekutana na wewe kwenye maneno yako...sound mind indeed ...
@gaspamgasa23664 жыл бұрын
joel lwaga aliwahi kunijibu Dm nilijisikia vizuri
@joshuabm4 жыл бұрын
Minister Joel, that is really great and right on a point
@adellajohnbokato84534 жыл бұрын
Ni kweli Kuna kitu kikubwa nimejifunza Leo kupitia ndugu Joel... By the way big up mtumishi mfinanga...
@womanoffaith20014 жыл бұрын
Congrats sir Mbezi
@lumulimwakanjuki3 жыл бұрын
J uko sahihi bro
@eneajoseph20104 жыл бұрын
nakukubar. Joel mungu akubarik
@matimfuko6414 жыл бұрын
Huyo jamaa Yuko vizuri Sana Mungu azidi kumbariki
@babundoto54252 жыл бұрын
Nzuri inajengo
@joymdemeka40363 жыл бұрын
Joel Lwaga is very smart.
@stephenmungure70723 жыл бұрын
What a blessed interview
@geofreychacha4894 жыл бұрын
Asante kk Joel lwaga umenifungua macho na masikio
@andrewkihwelo14824 жыл бұрын
Mfinanga mimi ni mwimbaji.na kiukweli yoote aliyo yaongea joe ni sawa. Kabisaa. Nyongeza ya aliyo yaongea ni fanya ufanyalo huwezi kumpendeza kila mwanadamu.so ukitaka kufika mbali. Hebu angalia upande wako.maana ulicho itiwa wewe na MUNGU sicho walicho itiwa wao.kila mmoja alime mlaba wake na badaye tukutane kwenye mafanikio
@gaspamgasa23664 жыл бұрын
asante kaka joel asee kumbe mi nilikua mtumwa wa kujishusha kwakua mjinga
@fadhiliaugustino77044 жыл бұрын
God bless you Joel nimejifunza
@govinsonlugano92262 жыл бұрын
Unapohudumu nakulenga pesa, utajipata unatumikia pesa Ukamuacha Mungu.Biblia inasema huwezi tumikia mabwana wawili! Kile najua,Mtumishi anaweza mtumikia Mungu na maisha ikaonekana duni nikwasababu alimtumikia Mungu kwauaminifu.hakutanguliza tamaa.Mungu nimwaminifu ana wakati wakubariki mtu kifeza.ndiomana Yesu akasema tafuteni kwanza ufalme wa Mungu na mengine ayo yote mtazidishiwa.yaani wewe kanisa likikuita ukabariki watu,utaomba wakutimizie kiwango cha pesa?iyo nayo sipoa.
@davyadamsontz2 ай бұрын
Wakikupa buku huko ulikoalikwa halafu unataka kurekodi tena utawapa hiyo buku, How about familia ambayo umeiacha nyumbani? Huduma huchukua muda ambao ungeweza kuzalisha vitu vingine...
@balozibalozi52574 жыл бұрын
Nimebalikiwa sana 🙏
@magdalenaobet85024 жыл бұрын
Napenda uimbaji wako ubarikiwe Joel. Pia anza mazoezi upungue mwili hapo hujaoa ukioa si utapasuka wifi akifanya yake jikon punguza mwili bwana
@philemonpaulo17903 жыл бұрын
Huna habari kuwa alioa mwakajana au humfuatilii?
@magdalenaobet85023 жыл бұрын
@@philemonpaulo1790 Nina hbr post hii ni kabla hajaoa nashangaa inasoma miezi 8 tangu ipostiwe mh naona ilikuwa hewa
@joymdemeka40363 жыл бұрын
Nimeipenda sana hii interview
@neemajames40834 жыл бұрын
Mtumishi Joel kaongea neno la faida
@octavianfranc13844 жыл бұрын
Apo sawa joel
@josephstephen10792 жыл бұрын
Hivi kukutana na Diamond Plutnumz ni neema tena msanii wa nyimbo za kidunia?
@chedystanley2 жыл бұрын
Brother na appreciate sana Kazi yako umenifanya nifunguke pia mm pia ni muimbaji tafadhali sikiliza nyimbo zangu kwa channel yangu hii hii Mungu akubariki
@patricksamwel63072 жыл бұрын
Bro Joel huo ndio ukweli, tatizo la Watu flani flani wanataka tuishi kwa nidhamu za uwoga wakiamini ndio unyenyekevu no hayo ni makosa ndio maana tunapa changamoto nyingi za ovyo. Daah! aisee Mungu akubariki mwenye akili ataelewa ulicho shauli.
@miltonmugisha18054 жыл бұрын
Huo mfano wa Biblia umenifungua akili sana
@miltonmugisha18054 жыл бұрын
Mkuu napanga kukupigia tangu juzi, kesho haipiti
@amamlen37314 жыл бұрын
Ayo maneno ukiyapima rohoni mmmh nihekima ya yuda..