HAILE SELASSIE: Mfalme Aliyeuawa Na Kutupwa Chooni!

  Рет қаралды 900,536

Global TV  Online

Global TV Online

5 жыл бұрын

HAILE SELASSIE: Mfalme Aliyeuawa Na Kutupwa Chooni!
Haile Selassie akiwa na umri wa miaka 13 tu, alipewa ukuu wa mgambo, wakati siku hizi kijana wa miaka 30 bado anakula kwao.
Haile aliaminiwa kwasababu ya akili nyingi, ingawa kila mtu anaakili isipokuwa tumetofautiana matumizi.
Haile alitumia akili kutatua matatizo ndiyo maana mwaka 1947 UK, ilipopigwa Ukame alitoa msaada wa pound 1000.
Alipofikisha umri wa miaka 28 alipewa ufalme wa nchi, marastafari wa Jamaica na duniani kote wakasema huyu ndo yule Masiah.
#HAILESELASSIE
www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID:
goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho

Пікірлер: 792
@ezrantare7344
@ezrantare7344 5 жыл бұрын
Muandaaji Denis, na msimuliaji Annanias kazi yenu iko poa sana. Nimeangalia historia ya Mobutu na ile ya akina Nguema zote ziko correct but nimeona kuna TV channel moja inajaribu kuiga mnachofanya wanatuletea habari zisizokamilika na zenye mapungufu. Nyie piga kazi na endeleeni kutafiti na kutuletea habari zenye usahihi (Reality, Quality & Consistent)
@mpagazedenis8395
@mpagazedenis8395 5 жыл бұрын
Hahahaha badala waje na kitu kizuri zaidi yetu
@djrockie5469
@djrockie5469 5 жыл бұрын
Tena hicho ki chanel jamaa hawezi kitofautisha R na L wanaboa sana ila huyu jamaa annanias anaonekana yupo ki profeshno zaidi
@mpagazedenis8395
@mpagazedenis8395 5 жыл бұрын
Asante Muddy
@abdulisimba6035
@abdulisimba6035 5 жыл бұрын
Hakika Nawakubali sana hawa jamaa Channel yenu imetulia....
@namaduvaignas3537
@namaduvaignas3537 5 жыл бұрын
Safi sana
@allymchomvu9328
@allymchomvu9328 5 жыл бұрын
simulizi za huyu jamaa ni kama historia zilizofanyiwa Research..kama unakubali hilo gonga like
@mariamzuheir4278
@mariamzuheir4278 5 жыл бұрын
Ally Mchomvu : DENIS MPAGAZE upo vizuri sana kaka HONGERA M/MUNGU AKUPE AFYA NJEMA
@adamringo9608
@adamringo9608 4 жыл бұрын
sina uhakika kama bustani ya eden ipo afrika
@petterelias6976
@petterelias6976 4 жыл бұрын
Yupo vizuri hakuna siri chini ya jua
@jamesmero6311
@jamesmero6311 4 жыл бұрын
Pamoja sana
@nondombilizi6624
@nondombilizi6624 3 жыл бұрын
@@adamringo9608 iko wapi naumasikini wafrika
@mbiseoldivai6764
@mbiseoldivai6764 5 жыл бұрын
Hii ndio channel yenye uelekeo sio za kujadili maisha ya mtu na demu wake. Appreciate you Global Tv
@jumpersamtimber8102
@jumpersamtimber8102 5 жыл бұрын
Ndumy Oldivai hahaa
@benjaminphilip7408
@benjaminphilip7408 5 жыл бұрын
Ndumy Oldivai kabsa
@sylivanakaria3288
@sylivanakaria3288 5 жыл бұрын
Ndumy Oldivai ahsante
@giovannibaraka2081
@giovannibaraka2081 4 жыл бұрын
Kweli kabisa sijutii kununua bando kila linapokata
@sarahogama9540
@sarahogama9540 4 жыл бұрын
Pwaahaaa
@graytonndamgoba4805
@graytonndamgoba4805 5 жыл бұрын
Man!!! your narration conquers mind as if you are watching documentary !!!! This is what we call a talent.once again thumbs up bro!!!
@wilhelmuske945
@wilhelmuske945 5 жыл бұрын
Was about to type the same....This guy..i nver heard him bfo though
@nyakwarObat
@nyakwarObat 3 жыл бұрын
Where did he get this information from since I can't seem to find what he's saying anywhere about his death?
@tanzanianaturalt.n4846
@tanzanianaturalt.n4846 5 жыл бұрын
Kamaunawakubali global gonga like hapa
@kokudo8389
@kokudo8389 5 жыл бұрын
Mi siwakubali ila namkubali Ananias 🙌
@ramaninaujenzitz9395
@ramaninaujenzitz9395 5 жыл бұрын
Mpagaze bwn ananipaga starehe mazee, ila asitoe namba za simu anaweza aninyang'anye mke maana sio kwa kumzingua huko...
@ramaninaujenzitz9395
@ramaninaujenzitz9395 5 жыл бұрын
Mpagaze bwn ananipaga starehe mazee, ila asitoe namba za simu anaweza aninyang'anye mke maana sio kwa kumzingua huko...
@hawaahawaa4808
@hawaahawaa4808 5 жыл бұрын
Uko vzr san Edgar
@salummohamed7640
@salummohamed7640 5 жыл бұрын
Official gatende S.L.M.T
@ochoge
@ochoge 5 жыл бұрын
Omg we need more of this...i ve enjoyed it so much...kiswahili kitamu aisee
@amannova3961
@amannova3961 5 жыл бұрын
milly vegan Kweliii
@yusufukazamba2391
@yusufukazamba2391 5 жыл бұрын
kaka Denis hata km mm ni bingwa wa kunukuu maandiko matakatifu kwako nasalute
@mpagazedenis8395
@mpagazedenis8395 5 жыл бұрын
Hahahaaa
@jeffmunyi8172
@jeffmunyi8172 5 жыл бұрын
a fun from kenya..good analysis
@carreneadhiamboagiloagilo6205
@carreneadhiamboagiloagilo6205 5 жыл бұрын
Uyu jamaa anajuwa kutangaza hadi mtu anaelewa good job kaka hongera 😘😘😘
@bantuvoicemuchaikinuthia2536
@bantuvoicemuchaikinuthia2536 5 жыл бұрын
Man I can subscribe this Chanel a million times...😂😂😂 safi mpagazi
@saleheinnocent7636
@saleheinnocent7636 5 жыл бұрын
I believe in a Jah!! and love Christopher Columbus all the time of my breath.
@iddyamri2629
@iddyamri2629 5 жыл бұрын
Hongera kwa uwezo wako wa Ufafanuzi wako,Nakushauri Soma hii historia ya kush vizur zaidi,Nabii hafi Haile SelassieI anaishi
@iddyamri2629
@iddyamri2629 5 жыл бұрын
Yupo Hadi Mjukuu anaitwa Zara Yakuob! ndg msimuliaji
@kambiyusufu7709
@kambiyusufu7709 3 жыл бұрын
Love ikiwa ni talee 29 12 2020 naiskiliza kama tuko wengi tujuane kwa like jamani
@mojamal007
@mojamal007 5 жыл бұрын
"Unajua Kizungumkuti Cha Africa Ni Kutotunza Kumbukumbu".....#TruthAndFacts.
@barakajaphet5847
@barakajaphet5847 4 жыл бұрын
Nzuri
@paulgadi406
@paulgadi406 5 жыл бұрын
Jah bless I.. And I Selassie. Jah Rastafari.
@agnesawino270
@agnesawino270 3 жыл бұрын
😂😂😂
@theenigma2617
@theenigma2617 5 жыл бұрын
Nice narration sir keep up the good work JAH blessings
@qaltumsaid3095
@qaltumsaid3095 4 жыл бұрын
Kama ndiyo kwanza unaangali please gonga like👍 hapa
@simonmwangi4936
@simonmwangi4936 5 жыл бұрын
This Generation Needs Brejins Like You!!! Don't Stop The Good Vibe "Good Ova Evil"
@kimishakapanda9134
@kimishakapanda9134 4 жыл бұрын
That's true,more than cool
@abdulisimba6035
@abdulisimba6035 5 жыл бұрын
Rest in Peace Gabri Haille Sellasie....Msimuliaji Big up👏👏👏👏👏
@bonchrisgissey6975
@bonchrisgissey6975 5 жыл бұрын
Tangu nimfahamu Denis Mpagaze nimebadilika sana kifikra,naona pia matunda yake tunayafaidi wengi, God bless you
@globaltv_online
@globaltv_online 5 жыл бұрын
Asante sana.
@yusufuheri6524
@yusufuheri6524 Жыл бұрын
Huyu jamaa hata mimi video zake zimenisaidia sana ndio maana Nina video zake zaidi ya mia tano
@enockyohana6856
@enockyohana6856 5 жыл бұрын
Unazungumzia ukwl na maisha ya wazi dunian...Africa tumerogwa na uchawi unaitwa upofu wa fikra...
@75ytb
@75ytb 5 жыл бұрын
Syo kuwa kuaminiwa Yesu alikuwa mweusi. Kwa historia ya bibilia yesu alikuwa mweusi. Someni bibilia msiangalie na kutazama senema za wazungu.
@ommyathumani7264
@ommyathumani7264 5 жыл бұрын
Hakika ndugu hawa wazungu wanatupotosha sna
@rasndekuonia2677
@rasndekuonia2677 5 жыл бұрын
They write and tell African children what they aint know, His Majesty did dont die like that
@hamisibakari5249
@hamisibakari5249 5 жыл бұрын
Yesu kuwa mweusi inatusaidia nini sisi watu weusi?
@aliah1732
@aliah1732 5 жыл бұрын
@@hamisibakari5249 ujue kuwa yote yanayosemwa ni uongo
@briannyamosi7406
@briannyamosi7406 5 жыл бұрын
@@hamisibakari5249 hatujui hebu muulize Yesu.. una maswali za kishenzi kweli. Ngamia wewe
@goodboi9821
@goodboi9821 5 жыл бұрын
Good research bro Itakuwa poa ukituwekea historia mzima ya Rastafarians
@rizikiswalehe362
@rizikiswalehe362 4 жыл бұрын
Kaka denis una jua aise napenda sana historia na una jua kuhadithia historia na ahidi kusaidia sambaza kazi zako ili watu wapate kupata elimu ya kihistoria zaidi Jah bless i and i
@mksundaysunday6951
@mksundaysunday6951 5 жыл бұрын
THIS is good initiative to preserve Africa in live presentation! BIG UP...!
@mariangowi8019
@mariangowi8019 4 жыл бұрын
Kweli umenifurahisha ningekuwa waziri wa elimu ningechota baadhi ya information nakuziweka kwenye mtaala wa tz. Endelea na utafiti. Asante sponsor
@mariamfritsi4943
@mariamfritsi4943 3 жыл бұрын
Nimeipenda sana hii simulizi, na msimuliaji anastahili kupewa sifa anajua jinsi ya kuelezea.
@abuumsemo5038
@abuumsemo5038 4 жыл бұрын
nafurahia Sana anaomba history ya rais jakaya. najifuza mambo mengi sana.
@mbukwaclassic8489
@mbukwaclassic8489 5 жыл бұрын
Daaah nilikuwa sijuagi ,mmenifahamisha Aisee nice online tv
@mwanaharakatidjguy6546
@mwanaharakatidjguy6546 5 жыл бұрын
Km unamkubar huyu jamaa weka like hapa
@DRICK-vn3oj
@DRICK-vn3oj 5 жыл бұрын
kuna vitu anadanganya.
@briannyamosi7406
@briannyamosi7406 5 жыл бұрын
You deserve a medal. You are so inspiring with these story. I like you alot and its my first episode.
@apostleemmanuelmabuga8148
@apostleemmanuelmabuga8148 5 жыл бұрын
Hawa jamaa wenye TV stations and Radios station kiukweli naokumbea kwa Mungu wakupe offer ya ajira una sauti nzuri sana
@hassanovajunior6972
@hassanovajunior6972 5 жыл бұрын
Bro barikiwa sana una kipaji cha ajabu sana nakuona mbali sana kaka keep it up my brother I'm your big fan hapa
@globaltv_online
@globaltv_online 5 жыл бұрын
Amina
@erixonalexon8704
@erixonalexon8704 5 жыл бұрын
Unatangaza vizur mpk unanivutia sana kukusikiliza
@DRICK-vn3oj
@DRICK-vn3oj 5 жыл бұрын
Kutangaza vizuri lakini vingine oungo!!!!
@mgogomgogo7266
@mgogomgogo7266 5 жыл бұрын
Hana issue njaaaa nyingi
@anatolingowi7127
@anatolingowi7127 5 жыл бұрын
nabii
@rahmaelly5497
@rahmaelly5497 5 жыл бұрын
Wow wow nice voice nimekupenda bure
@kinanaissango3492
@kinanaissango3492 5 жыл бұрын
Xawa
@crislubris1727
@crislubris1727 5 жыл бұрын
we love how you give us new information
@annewachira4317
@annewachira4317 5 жыл бұрын
Awesome! A Masterpiece!!!Asante!!!!🙏🙏🙏🙏🙏
@georgechombo3672
@georgechombo3672 5 жыл бұрын
Golden voice this is your blessing gift.
@nehzreal7445
@nehzreal7445 5 жыл бұрын
You talk slowly making listeners to have that attitude of listening... You are dope +254 you rocking hive likes we move together...
@mamudidrisa385
@mamudidrisa385 5 жыл бұрын
Naanza kukufuatilia kaka..kumbe wapo watu wenye akili Tanzania
@azizawadh5973
@azizawadh5973 3 жыл бұрын
Wengi tu na sio wanasiasa
@simontamba1285
@simontamba1285 5 жыл бұрын
Wazungu siwapendiiiiii Kwa kweli yaaani sio watu kabisaa
@ommyathumani7264
@ommyathumani7264 5 жыл бұрын
Kabisa hawa watu weupe wapumbavu sna kwani wanatukwamisha sana mm pia wazungu siwapend sna
@michaeleustach8742
@michaeleustach8742 4 жыл бұрын
Ndo kaanan ao
@salmaalimusa547
@salmaalimusa547 4 жыл бұрын
Wanatuita nyani utadhani walituumba wao
@erquerichoms4482
@erquerichoms4482 4 жыл бұрын
Have learnt alot of history of africa from LISTENING yu..CONGRATS..asante kwa kazi njema
@dennismutuma4659
@dennismutuma4659 5 жыл бұрын
Excellent narration, watching from Kenya.
@selemanimasatu2421
@selemanimasatu2421 5 жыл бұрын
Kwa viwango vyako toka nianze kuskiliza story unazidadafua vizuri sana hakika hicho nacho ni kipaji ulichopewa na MORA wako.
@nifaeltesot7700
@nifaeltesot7700 2 жыл бұрын
Excellent narration keep it up bro from 🇰🇪🇰🇪
@nzisakasau8234
@nzisakasau8234 5 жыл бұрын
we need more of this kazi nzuri sana pia sauti nzuri kwa simulizi...
@antonyorito7337
@antonyorito7337 5 жыл бұрын
Fan wa jalas ako hapa
@nzisakasau8234
@nzisakasau8234 5 жыл бұрын
@@antonyorito7337 😂😉😂😂👐nakwambia kwa mpigo zaidi
@antonyorito7337
@antonyorito7337 5 жыл бұрын
Uko na email nikucontact?
@tarrusbigman4919
@tarrusbigman4919 5 жыл бұрын
Unafanya nini huku Nzisa
@nzisakasau8234
@nzisakasau8234 5 жыл бұрын
@@tarrusbigman4919 😂😂nasikiliza napenda such stories
@meshackmgunda8789
@meshackmgunda8789 5 жыл бұрын
😀😀😀😀 nimeipenda iyo ya bobumaly
@TheSalma1999
@TheSalma1999 4 жыл бұрын
Asante kwa hadithi nzuri
@clementsimbila5035
@clementsimbila5035 5 жыл бұрын
Jamaa ukogo poa sanaaa... moo respect
@lucasroswe6544
@lucasroswe6544 5 жыл бұрын
Msimlizi unajua sanaaaaaa! Keep it up bro! Kweli we umesomea
@globaltv_online
@globaltv_online 5 жыл бұрын
Asante sana.
@user-sq7pz9ex5g
@user-sq7pz9ex5g 3 жыл бұрын
Kaka hongera Kwa simulizi zako,Ila kama hutojali tuandalie simulizi za viongizi wetu watanzania waliotangulia mbele za haki.
@sarahpita4990
@sarahpita4990 5 жыл бұрын
Huyu jamaa mungu amsaidie sana ana kipaji kikubwa sana
@MuradMedia652
@MuradMedia652 3 жыл бұрын
Am also Ethiopian. This man remembered as a genocide heile sellasie killer (Ras tafari)
@enosedee4326
@enosedee4326 5 жыл бұрын
YES RASTA
@cornycornelius2529
@cornycornelius2529 4 жыл бұрын
Masimulizi mazuri ila tu, mungu tusi muite sir God, maanake hilo jina sir linatokana na tukio la kusalimiwa na malkia wa uingereza. Sina ufahamu kama mungu alisha msalimu malkia elizabethi ndipo aitwe sir.
@wangash6144
@wangash6144 4 жыл бұрын
I love the way you narrate with the Bible God bless you
@Bigboy-nx3nc
@Bigboy-nx3nc 5 жыл бұрын
Liked the way you clarified bout the Christian and. Muslim religion it shows your well informed.
@shammoha5297
@shammoha5297 5 жыл бұрын
Historia nzuri saaana. Shukran Ananiasedgar & Denis mpagaze. 💛👌🏽
@mpagazedenis8395
@mpagazedenis8395 5 жыл бұрын
Tunashukuru mkuu
@globaltv_online
@globaltv_online 5 жыл бұрын
Asante sana.
@janenjenga5639
@janenjenga5639 4 жыл бұрын
The voice of the narrator is so amazing.inaweza toa nyoka pangoni🇰🇪🇰🇪
@fidecharles5210
@fidecharles5210 5 жыл бұрын
Mwanamke ni kiumbe pekee aliekutana na shetani live sasa hatujui waliongea nini zaidi😅😅 Binti akikukubali Lazima unavitu 2 pesa or akili hahahaaa
@Kobe_254
@Kobe_254 5 жыл бұрын
Kweli kabisa
@gabrielmoses6860
@gabrielmoses6860 5 жыл бұрын
Kweli Fides
@jameskyando178
@jameskyando178 4 жыл бұрын
Fide Charles umenote iyo mze hahahaa
@juliethhouseofdesigns147
@juliethhouseofdesigns147 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@prettyh7509
@prettyh7509 3 жыл бұрын
😅😅😜
@saidkajiru44
@saidkajiru44 4 жыл бұрын
Kiukweli brow uwezo wako ni mkubwa mno...big up my brow
@ramamabinda5063
@ramamabinda5063 5 жыл бұрын
Mshkaji we ni msimulizi kweli kweli Ht story iwe mbaya vipi kwa namna unavyoihadithia inapendeza sana
@globaltv_online
@globaltv_online 5 жыл бұрын
Asante sana.
@BeyHappiness
@BeyHappiness 5 жыл бұрын
😔😔😔😔😔 our very own kingdom of Kush.. the oldest in the world and we killed our own I cry for Africa
@mumbayeashata993
@mumbayeashata993 5 жыл бұрын
Give Thanks mi Brothren, May Jah blessings upon to I & I
@amosmusole8524
@amosmusole8524 4 жыл бұрын
Upo vizuri
@nyekingobwire7993
@nyekingobwire7993 5 жыл бұрын
Hakunabinti anayekubari ziro breni hatakama yeye niziro breen😂😁😁😁
@rachaelmisiko7047
@rachaelmisiko7047 5 жыл бұрын
Napenda historia sanaaa Uboeshi
@nawwarsultwaan6404
@nawwarsultwaan6404 3 жыл бұрын
Dah mwanamke haezi kumkubali ziro playni hakika Kaka mungu akupe afya kaka
@susanruo8087
@susanruo8087 4 жыл бұрын
This guy Ananias is something else... Simulizi kali sana
@mahamudunzige5369
@mahamudunzige5369 5 жыл бұрын
Naomba nifahamishwe utawala wa NIGERIA Kabla ya Uhuru Mpaka ilipofikia Rais wa sasa Imetawaliwa na Marais wangapi!
@ktravel3527
@ktravel3527 4 жыл бұрын
Si utafute Google
@danielomondionyango7163
@danielomondionyango7163 5 жыл бұрын
perfect narration I have come a cross
@Smartboy-wt1es
@Smartboy-wt1es 5 жыл бұрын
Umetisha xna mpagaze uko vzr ile mbaya
@wanchara184
@wanchara184 4 жыл бұрын
Upo good sanaa. Ila da wazungu ni mapepo
@apostlesamuelkiariemuthoni7754
@apostlesamuelkiariemuthoni7754 5 жыл бұрын
Thank you for the great insight.
@rosemarykilonzo3119
@rosemarykilonzo3119 5 жыл бұрын
Super interesting 👍🏾. Raster Live For Evermore 💪🏾
@justinamusyoka4986
@justinamusyoka4986 4 жыл бұрын
Alisema yesu alikuwa mweusi lakini picha akaonyesha za mtu mweupe! Cesare Borgia.
@phillipchikoko9165
@phillipchikoko9165 5 жыл бұрын
Asante sana am so bless for sure
@BANIANI_MBAYA
@BANIANI_MBAYA 5 жыл бұрын
Nice story telling skill. Kiswahili chako. 👍🏽
@gabriellucas8869
@gabriellucas8869 5 жыл бұрын
kiukweli Mimi huwa nasikliza pindi usimuliapo ww tu.
@bujunjeri1963
@bujunjeri1963 3 жыл бұрын
aaahh...bona Napenda sanaa. Huu niukweli kabisaa. Juses was black & a rastaman & the Lion of Judah is YET 2come, He will come from MtZion(MtKenya) from the tribe of Judah(kikuyu)....amiini usiaminii huu ni UKEWLI. Wa Afrika wazidii kuamukaa kwanza kwa ubongoo
@njonjolomahfudh3238
@njonjolomahfudh3238 5 жыл бұрын
MIMI NAWAKUBALI AISEEEE AND THE VOICE BRO IS AMAIZING
@thomasmutero1911
@thomasmutero1911 5 жыл бұрын
Kazi nzuri bro ..254
@felixjeremy
@felixjeremy 5 жыл бұрын
Shukran sana. Love this channel
@youngmreno9931
@youngmreno9931 5 жыл бұрын
Jamaa anajua sana kusimulia
@leonardmisalaba3108
@leonardmisalaba3108 5 жыл бұрын
Unajua kaka
@saydbarakismailiya1515
@saydbarakismailiya1515 5 жыл бұрын
Safi sana
@peterkaili9343
@peterkaili9343 5 жыл бұрын
Kaka kuna mzee wa star tv nimemsahau jina pamoja na millardayo ndio aina ya mtangazaji ww hiyo ndio kazi yako hongera sana na muandaaji pia
@salumabdalla2618
@salumabdalla2618 5 жыл бұрын
Samadu Hassan
@mendradasteven3260
@mendradasteven3260 5 жыл бұрын
historia nzuri sana i learn a lot about rasta.......i must be a rasta akili ni nywele
@king-kk1hi
@king-kk1hi 5 жыл бұрын
Kazi safi endeleeni na kazi ya historia ya afrika
@shekalage7009
@shekalage7009 5 жыл бұрын
Story yako iko Bomba sana mkuu..... KONGOLE
@peterkangethe7678
@peterkangethe7678 4 жыл бұрын
Mwanangu nakuvulia kofia kazi yako ni murwa na yenye masomo kweli Mungu akubariki.
@paulmuwelelwa7306
@paulmuwelelwa7306 5 жыл бұрын
Napenda sana jinsi unavyosimulia na misemo unayochanganya
@ernestjoseph7593
@ernestjoseph7593 5 жыл бұрын
Hiyo hint ya historia asante sana, we need more of this.
@aminaali792
@aminaali792 5 жыл бұрын
I love this channel God bless you my brother ❤️
@harunabdishakur7477
@harunabdishakur7477 3 жыл бұрын
Hi
@deboradebs6309
@deboradebs6309 3 жыл бұрын
Waafrika mmebarikiwa sana Na watu HATARI sana 🔥🔥
@amishadykiswaga1077
@amishadykiswaga1077 5 жыл бұрын
Uko sawa sana.....big up....am a Rasta in faith .....but u tried alot
@nehemiakusaga9273
@nehemiakusaga9273 5 жыл бұрын
Safi Sana bro nakubali Sana Sana unajua kukiwakilisha habar ng'a ng'ania Sana talanta yako
@globaltv_online
@globaltv_online 5 жыл бұрын
Asante sana
@ompmgcrasta
@ompmgcrasta 5 жыл бұрын
GOD IS GREAT TO HAAHCHUE (GOD) WHAT'S IS LORDSHIP BECAUSE I'VE NEVER HEARD ABOUT IT OR NEW IT EXSITED GOD IS GREAT
@Togolay
@Togolay 5 жыл бұрын
Mungu azidi kuwabariki kazi nzuri
@moshinassoro7372
@moshinassoro7372 4 жыл бұрын
mwamba hyo kweli inauma waafrika tunaakili akna julius wanasfiwa sellasie tuna msahau is africa and world hero
@hadijahalifa5418
@hadijahalifa5418 5 жыл бұрын
Wow! you're good! thanks
@danielelwin1778
@danielelwin1778 5 жыл бұрын
Yesu,enoki na manabii wengine walikuwa weusi,wayahudi halisi ni weusi na si weupe
@simbiladaudi2085
@simbiladaudi2085 3 жыл бұрын
Kwa hakika Historia zinazotolewa ni za kweli na msomaji anasimulia kwa vituo, hongera sana
FRANSISCO NGUEMA: Rais Mvuta BANGI Aliyeua Nusu Ya Raia / Alinyongwa Pia
13:34
ОСКАР ИСПОРТИЛ ДЖОНИ ЖИЗНЬ 😢 @lenta_com
01:01
HISTORIA: RAIS Aliyekatwa Masikio Akiwa Hai, Na Yeye Aliwakata Wengine
18:44
HOTUBA YA J K NYERERE MBEYA MWAKA 1969
49:55
TZ TRENDING
Рет қаралды 242 М.
Hawa ndio watoto wote wa Bob Marley pamoja na wajukuu zake!
11:03
Simulizi Na Sauti
Рет қаралды 53 М.
OMAR  AL-BASHIR: Rais Aliyetema Mate Juu Yakamdondokea Mwenyewe
17:00
Global TV Online
Рет қаралды 639 М.
HISTORIA Ya IDD AMIN, Darasa La 4 Aliyetikisa Wazungu/NYERERE Akimtia Adabu
26:09