Muandaaji Denis, na msimuliaji Annanias kazi yenu iko poa sana. Nimeangalia historia ya Mobutu na ile ya akina Nguema zote ziko correct but nimeona kuna TV channel moja inajaribu kuiga mnachofanya wanatuletea habari zisizokamilika na zenye mapungufu. Nyie piga kazi na endeleeni kutafiti na kutuletea habari zenye usahihi (Reality, Quality & Consistent)
@mpagazedenis83955 жыл бұрын
Hahahaha badala waje na kitu kizuri zaidi yetu
@djrockie54695 жыл бұрын
Tena hicho ki chanel jamaa hawezi kitofautisha R na L wanaboa sana ila huyu jamaa annanias anaonekana yupo ki profeshno zaidi
@mpagazedenis83955 жыл бұрын
Asante Muddy
@abdulisimba60355 жыл бұрын
Hakika Nawakubali sana hawa jamaa Channel yenu imetulia....
@namaduvaignas35375 жыл бұрын
Safi sana
@allymchomvu93285 жыл бұрын
simulizi za huyu jamaa ni kama historia zilizofanyiwa Research..kama unakubali hilo gonga like
@mariamzuheir42785 жыл бұрын
Ally Mchomvu : DENIS MPAGAZE upo vizuri sana kaka HONGERA M/MUNGU AKUPE AFYA NJEMA
@adamringo96085 жыл бұрын
sina uhakika kama bustani ya eden ipo afrika
@petterelias69764 жыл бұрын
Yupo vizuri hakuna siri chini ya jua
@jamesmero63114 жыл бұрын
Pamoja sana
@nondombilizi66243 жыл бұрын
@@adamringo9608 iko wapi naumasikini wafrika
@graytonndamgoba48055 жыл бұрын
Man!!! your narration conquers mind as if you are watching documentary !!!! This is what we call a talent.once again thumbs up bro!!!
@wilhelmuske9455 жыл бұрын
Was about to type the same....This guy..i nver heard him bfo though
@nyakwarObat4 жыл бұрын
Where did he get this information from since I can't seem to find what he's saying anywhere about his death?
@mbiseoldivai67645 жыл бұрын
Hii ndio channel yenye uelekeo sio za kujadili maisha ya mtu na demu wake. Appreciate you Global Tv
@jumpersamtimber81025 жыл бұрын
Ndumy Oldivai hahaa
@benjaminphilip74085 жыл бұрын
Ndumy Oldivai kabsa
@sylivanakaria32885 жыл бұрын
Ndumy Oldivai ahsante
@giovannibaraka20815 жыл бұрын
Kweli kabisa sijutii kununua bando kila linapokata
@sarahogama95404 жыл бұрын
Pwaahaaa
@ochoge5 жыл бұрын
Omg we need more of this...i ve enjoyed it so much...kiswahili kitamu aisee
@amannova39615 жыл бұрын
milly vegan Kweliii
@yusufukazamba23915 жыл бұрын
kaka Denis hata km mm ni bingwa wa kunukuu maandiko matakatifu kwako nasalute
@mpagazedenis83955 жыл бұрын
Hahahaaa
@carreneadhiamboagiloagilo62055 жыл бұрын
Uyu jamaa anajuwa kutangaza hadi mtu anaelewa good job kaka hongera 😘😘😘
@jeffmunyi81725 жыл бұрын
a fun from kenya..good analysis
@bantuvoicemuchaikinuthia25365 жыл бұрын
Man I can subscribe this Chanel a million times...😂😂😂 safi mpagazi
@iddyamri26295 жыл бұрын
Hongera kwa uwezo wako wa Ufafanuzi wako,Nakushauri Soma hii historia ya kush vizur zaidi,Nabii hafi Haile SelassieI anaishi
@iddyamri26295 жыл бұрын
Yupo Hadi Mjukuu anaitwa Zara Yakuob! ndg msimuliaji
@bonchrisgissey69755 жыл бұрын
Tangu nimfahamu Denis Mpagaze nimebadilika sana kifikra,naona pia matunda yake tunayafaidi wengi, God bless you
@globaltv_online5 жыл бұрын
Asante sana.
@yusufuheri65242 жыл бұрын
Huyu jamaa hata mimi video zake zimenisaidia sana ndio maana Nina video zake zaidi ya mia tano
Kaka denis una jua aise napenda sana historia na una jua kuhadithia historia na ahidi kusaidia sambaza kazi zako ili watu wapate kupata elimu ya kihistoria zaidi Jah bless i and i
@tanzanianaturalt.n48465 жыл бұрын
Kamaunawakubali global gonga like hapa
@kokudo83895 жыл бұрын
Mi siwakubali ila namkubali Ananias 🙌
@ramaninaujenzitz93955 жыл бұрын
Mpagaze bwn ananipaga starehe mazee, ila asitoe namba za simu anaweza aninyang'anye mke maana sio kwa kumzingua huko...
@ramaninaujenzitz93955 жыл бұрын
Mpagaze bwn ananipaga starehe mazee, ila asitoe namba za simu anaweza aninyang'anye mke maana sio kwa kumzingua huko...
@hawaahawaa48085 жыл бұрын
Uko vzr san Edgar
@salummohamed76405 жыл бұрын
Official gatende S.L.M.T
@theenigma26175 жыл бұрын
Nice narration sir keep up the good work JAH blessings
@mariangowi80194 жыл бұрын
Kweli umenifurahisha ningekuwa waziri wa elimu ningechota baadhi ya information nakuziweka kwenye mtaala wa tz. Endelea na utafiti. Asante sponsor
@kambiyusufu77094 жыл бұрын
Love ikiwa ni talee 29 12 2020 naiskiliza kama tuko wengi tujuane kwa like jamani
@abuumsemo50385 жыл бұрын
nafurahia Sana anaomba history ya rais jakaya. najifuza mambo mengi sana.
@75ytb5 жыл бұрын
Syo kuwa kuaminiwa Yesu alikuwa mweusi. Kwa historia ya bibilia yesu alikuwa mweusi. Someni bibilia msiangalie na kutazama senema za wazungu.
@ommyathumani72645 жыл бұрын
Hakika ndugu hawa wazungu wanatupotosha sna
@rasndekuonia26775 жыл бұрын
They write and tell African children what they aint know, His Majesty did dont die like that
@hamisibakari52495 жыл бұрын
Yesu kuwa mweusi inatusaidia nini sisi watu weusi?
@aliah17325 жыл бұрын
@@hamisibakari5249 ujue kuwa yote yanayosemwa ni uongo
@briannyamosi74065 жыл бұрын
@@hamisibakari5249 hatujui hebu muulize Yesu.. una maswali za kishenzi kweli. Ngamia wewe
@gracewanja12973 жыл бұрын
Am from Kenya and you really need a troppy for your good job
@mojamal0075 жыл бұрын
"Unajua Kizungumkuti Cha Africa Ni Kutotunza Kumbukumbu".....#TruthAndFacts.
@barakajaphet58475 жыл бұрын
Nzuri
@saleheinnocent76365 жыл бұрын
I believe in a Jah!! and love Christopher Columbus all the time of my breath.
@paulgadi4065 жыл бұрын
Jah bless I.. And I Selassie. Jah Rastafari.
@agnesawino2704 жыл бұрын
😂😂😂
@annewachira43175 жыл бұрын
Awesome! A Masterpiece!!!Asante!!!!🙏🙏🙏🙏🙏
@enockyohana68565 жыл бұрын
Unazungumzia ukwl na maisha ya wazi dunian...Africa tumerogwa na uchawi unaitwa upofu wa fikra...
@erquerichoms44825 жыл бұрын
Have learnt alot of history of africa from LISTENING yu..CONGRATS..asante kwa kazi njema
@abdulisimba60355 жыл бұрын
Rest in Peace Gabri Haille Sellasie....Msimuliaji Big up👏👏👏👏👏
@mksundaysunday69515 жыл бұрын
THIS is good initiative to preserve Africa in live presentation! BIG UP...!
@georgechombo36725 жыл бұрын
Golden voice this is your blessing gift.
@mariamfritsi49434 жыл бұрын
Nimeipenda sana hii simulizi, na msimuliaji anastahili kupewa sifa anajua jinsi ya kuelezea.
@nehzreal74455 жыл бұрын
You talk slowly making listeners to have that attitude of listening... You are dope +254 you rocking hive likes we move together...
@crislubris17275 жыл бұрын
we love how you give us new information
@wangash61444 жыл бұрын
I love the way you narrate with the Bible God bless you
@shammoha52975 жыл бұрын
Historia nzuri saaana. Shukran Ananiasedgar & Denis mpagaze. 💛👌🏽
@mpagazedenis83955 жыл бұрын
Tunashukuru mkuu
@globaltv_online5 жыл бұрын
Asante sana.
@nifaeltesot77003 жыл бұрын
Excellent narration keep it up bro from 🇰🇪🇰🇪
@simonmwangi49365 жыл бұрын
This Generation Needs Brejins Like You!!! Don't Stop The Good Vibe "Good Ova Evil"
@kimishakapanda91345 жыл бұрын
That's true,more than cool
@briannyamosi74065 жыл бұрын
You deserve a medal. You are so inspiring with these story. I like you alot and its my first episode.
@justinamusyoka49864 жыл бұрын
Alisema yesu alikuwa mweusi lakini picha akaonyesha za mtu mweupe! Cesare Borgia.
@erixonalexon87045 жыл бұрын
Unatangaza vizur mpk unanivutia sana kukusikiliza
@DRICK-vn3oj5 жыл бұрын
Kutangaza vizuri lakini vingine oungo!!!!
@mgogomgogo72665 жыл бұрын
Hana issue njaaaa nyingi
@anatolingowi71275 жыл бұрын
nabii
@simontamba12855 жыл бұрын
Wazungu siwapendiiiiii Kwa kweli yaaani sio watu kabisaa
@ommyathumani72645 жыл бұрын
Kabisa hawa watu weupe wapumbavu sna kwani wanatukwamisha sana mm pia wazungu siwapend sna
@michaeleustach87425 жыл бұрын
Ndo kaanan ao
@salmaalimusa5474 жыл бұрын
Wanatuita nyani utadhani walituumba wao
@Bigboy-nx3nc5 жыл бұрын
Liked the way you clarified bout the Christian and. Muslim religion it shows your well informed.
@mumbayeashata9935 жыл бұрын
Give Thanks mi Brothren, May Jah blessings upon to I & I
@amosmusole85245 жыл бұрын
Upo vizuri
@dennismutuma46595 жыл бұрын
Excellent narration, watching from Kenya.
@cornycornelius25294 жыл бұрын
Masimulizi mazuri ila tu, mungu tusi muite sir God, maanake hilo jina sir linatokana na tukio la kusalimiwa na malkia wa uingereza. Sina ufahamu kama mungu alisha msalimu malkia elizabethi ndipo aitwe sir.
@susanruo80875 жыл бұрын
This guy Ananias is something else... Simulizi kali sana
@ramamabinda50635 жыл бұрын
Mshkaji we ni msimulizi kweli kweli Ht story iwe mbaya vipi kwa namna unavyoihadithia inapendeza sana
@globaltv_online5 жыл бұрын
Asante sana.
@rahmaelly54975 жыл бұрын
Wow wow nice voice nimekupenda bure
@kinanaissango34925 жыл бұрын
Xawa
@apostleemmanuelmabuga81485 жыл бұрын
Hawa jamaa wenye TV stations and Radios station kiukweli naokumbea kwa Mungu wakupe offer ya ajira una sauti nzuri sana
@qaltumsaid30955 жыл бұрын
Kama ndiyo kwanza unaangali please gonga like👍 hapa
@mamudidrisa3855 жыл бұрын
Naanza kukufuatilia kaka..kumbe wapo watu wenye akili Tanzania
@azizawadh59734 жыл бұрын
Wengi tu na sio wanasiasa
@janenjenga56395 жыл бұрын
The voice of the narrator is so amazing.inaweza toa nyoka pangoni🇰🇪🇰🇪
@mendradasteven32605 жыл бұрын
historia nzuri sana i learn a lot about rasta.......i must be a rasta akili ni nywele
@TheSalma19995 жыл бұрын
Asante kwa hadithi nzuri
@hassanovajunior69725 жыл бұрын
Bro barikiwa sana una kipaji cha ajabu sana nakuona mbali sana kaka keep it up my brother I'm your big fan hapa
@globaltv_online5 жыл бұрын
Amina
@mbukwaclassic84895 жыл бұрын
Daaah nilikuwa sijuagi ,mmenifahamisha Aisee nice online tv
@mwanaharakatidjguy65465 жыл бұрын
Km unamkubar huyu jamaa weka like hapa
@DRICK-vn3oj5 жыл бұрын
kuna vitu anadanganya.
@danielomondionyango71635 жыл бұрын
perfect narration I have come a cross
@BINTIwaKITANGA3 жыл бұрын
Kaka hongera Kwa simulizi zako,Ila kama hutojali tuandalie simulizi za viongizi wetu watanzania waliotangulia mbele za haki.
@institutetourism90063 жыл бұрын
Rasta bless I and i
@simbiladaudi20853 жыл бұрын
Kwa hakika Historia zinazotolewa ni za kweli na msomaji anasimulia kwa vituo, hongera sana
@selemanimasatu24215 жыл бұрын
Kwa viwango vyako toka nianze kuskiliza story unazidadafua vizuri sana hakika hicho nacho ni kipaji ulichopewa na MORA wako.
@goodboi98215 жыл бұрын
Good research bro Itakuwa poa ukituwekea historia mzima ya Rastafarians
@phillipchikoko91655 жыл бұрын
Asante sana am so bless for sure
@peterkangethe76785 жыл бұрын
Mwanangu nakuvulia kofia kazi yako ni murwa na yenye masomo kweli Mungu akubariki.
@rubehdreadlocksstyler32615 жыл бұрын
Jah bless I and and Rastafai
@MuradMedia6524 жыл бұрын
Am also Ethiopian. This man remembered as a genocide heile sellasie killer (Ras tafari)
@deboradebs63094 жыл бұрын
Waafrika mmebarikiwa sana Na watu HATARI sana 🔥🔥
@nginapatitabeatrice39604 жыл бұрын
Very interesting story fast time
@sedrickndonde83194 жыл бұрын
Nakupenda sana, kazi yako nzuri sana, inajenga sana
@lucasroswe65445 жыл бұрын
Msimlizi unajua sanaaaaaa! Keep it up bro! Kweli we umesomea
@globaltv_online5 жыл бұрын
Asante sana.
@fidecharles52105 жыл бұрын
Mwanamke ni kiumbe pekee aliekutana na shetani live sasa hatujui waliongea nini zaidi😅😅 Binti akikukubali Lazima unavitu 2 pesa or akili hahahaaa
@MKobe_2545 жыл бұрын
Kweli kabisa
@gabrielmoses68605 жыл бұрын
Kweli Fides
@jameskyando1785 жыл бұрын
Fide Charles umenote iyo mze hahahaa
@juliethhouseofdesigns1474 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@prettyh75094 жыл бұрын
😅😅😜
@bujunjeri19634 жыл бұрын
aaahh...bona Napenda sanaa. Huu niukweli kabisaa. Juses was black & a rastaman & the Lion of Judah is YET 2come, He will come from MtZion(MtKenya) from the tribe of Judah(kikuyu)....amiini usiaminii huu ni UKEWLI. Wa Afrika wazidii kuamukaa kwanza kwa ubongoo
@sarahpita49905 жыл бұрын
Huyu jamaa mungu amsaidie sana ana kipaji kikubwa sana
@suratfrank62825 жыл бұрын
Hakuna maoni wala ushauri we ninyokelo kiboko yao kila kitu kipo wima bila chenga wala wingu chapeni kazi# salute Global
@davidleparakuo24013 жыл бұрын
Well researched and produced content 👏👏👏
@mugongunda4 жыл бұрын
Mnafanya kazi mzurii sana. Elimu mnayonipa imeshinda ile nilipata shuleni. Nikija Tanzanian naweza penda sana kuwa jua.
@saidkajiru444 жыл бұрын
Kiukweli brow uwezo wako ni mkubwa mno...big up my brow
@khamismaulid68395 жыл бұрын
Ndio nyerere alimualika aende tanzania bob akaenda na ilikua bob aimbe but wao walimzingua wakati ataka kuchoma bangi walimwambia No smoking, bob kawajibu ok No smoking no music
@kareemmbande39115 жыл бұрын
jah rastafarai
@salehally13945 жыл бұрын
Nakukubali sana mzee baba tatizo waafrika wengi tunaakili za kushikiwa!!
@mahamudunzige53695 жыл бұрын
Naomba nifahamishwe utawala wa NIGERIA Kabla ya Uhuru Mpaka ilipofikia Rais wa sasa Imetawaliwa na Marais wangapi!
@travelwaka7705 жыл бұрын
Si utafute Google
@ernestjoseph75935 жыл бұрын
Hiyo hint ya historia asante sana, we need more of this.
@amishadykiswaga10775 жыл бұрын
Uko sawa sana.....big up....am a Rasta in faith .....but u tried alot
@rojakijana11625 жыл бұрын
Asante Ananias Edigar
@globaltv_online5 жыл бұрын
Shukrani
@nzisakasau82345 жыл бұрын
we need more of this kazi nzuri sana pia sauti nzuri kwa simulizi...
@antonyorito73375 жыл бұрын
Fan wa jalas ako hapa
@nzisakasau82345 жыл бұрын
@@antonyorito7337 😂😉😂😂👐nakwambia kwa mpigo zaidi
@antonyorito73375 жыл бұрын
Uko na email nikucontact?
@tarrusbigman49195 жыл бұрын
Unafanya nini huku Nzisa
@nzisakasau82345 жыл бұрын
@@tarrusbigman4919 😂😂nasikiliza napenda such stories
@mstevens8325 жыл бұрын
My late Grandma Ethiopian what a beauty so cute.
@BANIANI_MBAYA5 жыл бұрын
Nice story telling skill. Kiswahili chako. 👍🏽
@nyekingobwire79935 жыл бұрын
Hakunabinti anayekubari ziro breni hatakama yeye niziro breen😂😁😁😁
@peterkaili93435 жыл бұрын
Kaka kuna mzee wa star tv nimemsahau jina pamoja na millardayo ndio aina ya mtangazaji ww hiyo ndio kazi yako hongera sana na muandaaji pia
@salumabdalla26185 жыл бұрын
Samadu Hassan
@malunganangali17695 жыл бұрын
Very good voice fore this mane
@rosemarykilonzo31195 жыл бұрын
Super interesting 👍🏾. Raster Live For Evermore 💪🏾
@rashidmollel5292 жыл бұрын
Hongera sana.nimeipenda.endelea kutuelimisha
@wanchara1844 жыл бұрын
Upo good sanaa. Ila da wazungu ni mapepo
@BeyHappiness5 жыл бұрын
😔😔😔😔😔 our very own kingdom of Kush.. the oldest in the world and we killed our own I cry for Africa
@moshinassoro73724 жыл бұрын
mwamba hyo kweli inauma waafrika tunaakili akna julius wanasfiwa sellasie tuna msahau is africa and world hero
@ngendonjoroge57175 жыл бұрын
a big fan watching you from Australia love African history
@mpagazedenis83955 жыл бұрын
Oooh, thank u
@gekajeremia89815 жыл бұрын
Kazi nzuri
@tinahmukami81515 жыл бұрын
Very informative.
@globaltv_online5 жыл бұрын
Asante sana.
@robertkiarie21545 жыл бұрын
Superb to the narrator I like the voice.
@globaltv_online5 жыл бұрын
Asante sana
@hadijahalifa54185 жыл бұрын
Wow! you're good! thanks
@apostlesamuelkiariemuthoni77545 жыл бұрын
Thank you for the great insight.
@petersonmuriuki53384 жыл бұрын
denis mpagazi na team yako mko poa bigup men mko strong
@frenkieemmanuel67534 жыл бұрын
Kazi nzuri ila unazunguka sana katika kugusia mambo mengine iyo inachosha .nenda moja kwa moja