Uyu dada muulizaji napendaga sana kufata interview zake kwasababu amejuwa kazi kabisa ❤
@VitalBalemba8 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤ unapendeza dadangu
@ZaharaniAlmahadi8 ай бұрын
Semeni ukweli
@Ramadhan61158 ай бұрын
@@ZaharaniAlmahadi ndo hukweli huyo
@mohamedsheealom87457 ай бұрын
Anakuwa mzuri sababu anapeana mda wa muulizwaji ajibu alichouliza ila kuna wanahabari wanauliza hadi wanakera mic🎤 kwa muulizwaji sekunde mara sekunde kwake hadi anaeulizwa anakereka huyu anauliza maswali ya maana na anapeana mda...sio ile wewe unakula eenh nakula ww unapenda eenh napenda wewe unaenda choo eenh na..wewe unapiga luku eenh napi..wewe una yani hata hajamaliza unauliza😂
@KiongoziMwandamizi8 ай бұрын
Dada ni mzuri hafu yuko smart kichwani, (huyu ndio kipenzi cha waoaji sasa) alie mchumbia atakula mema ya nchi, kanivutia sana infact namtaka kama huyu👏👏👏👏👏
@user-zt3ug9wv7f8 ай бұрын
Wallah tena mwenye aliwahi huyu binti alibahatika sana ,urembo, imani yaan kila kitu yupo vizur
@KiongoziMwandamizi8 ай бұрын
@@user-zt3ug9wv7f Yaani wazungu wanaita beauty with brain, yaani she is just perfect fit kua mke. Anajielewa, anajua kujielezea, ana maono hafu sio mkurupukaji kujibu, ni mzuri hafu hajioni/kunata... Shida wadada kama hawa sisi tuliotulia hatuwezi pata unakuta umekutana na senior bandit daaah kulanina😳😳😳😂😂😂🤣🙌🙌🙌
@user-zt3ug9wv7f8 ай бұрын
@@KiongoziMwandamizi eti senior bandit 😄 🤣 alafu utapata jamaa mtto mzur kma huyo tena hatoshek yuaenda kuchepuka na kinyanya yaan hta sijui nini hua inatusumbua wanaume cjui ni tamaa ama kurogwa
@KiongoziMwandamizi7 ай бұрын
@@user-zt3ug9wv7f Tamaa za fisi tu sasa mtoto cute km huyo nikachepuke hafu upwiru wake atoe nani, its unfair kumcheat mwanamke kama huyu. Mi nikipata km huyu watu watahisi kanipa limbwata coz nitampa muda wote baada ya kutoka kutafuta vijisent Sema kuna wale visirani ukichelewa rudi ulikua kwa mwanamke mwingine ukiwahi vp leo hujapitia inakera, kwakifupi mi home boy sana sinaga muda wa kuzurura kwahio itakua km mapacha😂😂😂😳😳🤣🤣🙌🙌👏
@selemanmaganga-le4zg7 ай бұрын
Alafu anajistili saana, sijawai kumwona akiwa kichwa ata akiwa anaigiza
@alfredkasololo52428 ай бұрын
Dada Kidoti anaweza na unzuri yake pamoja na hekima yake anapozungumuza anaweza akawa Mama wa Taifa🙏💟🇨🇩
@BenemuluBillyado-ji4ze8 ай бұрын
Huyu mlembo nambali sana kwani Siku hizi mbona simonie kwa Steve 🇧🇮🇰🇪👍👏👏
@christaoman88908 ай бұрын
Yupo anaendelea na Steve
@aflahabdula40848 ай бұрын
Hakta mzuri mashaallah nakupenda unavaa vizuri lakini usiengezeke baada ya hapo au ikiwezekena jipunguze kidogo love you ❤
@user-oj8ml6bw8y8 ай бұрын
Safi sana ndugu yetu Stivu kwa kujilinda na uchafu wazinaa hivyo ndivyo inavyotakiwa tuwe mpaka utakapooa achana na hayo maneno yawazinifu wao wanaita eti mahusiano washenzi hao wanamuasi Mwenyez Mungu. Mwenyez mungu amekataza uzinifu tusizini mpaka tutakapooa
@chantalharakandi25768 ай бұрын
Masha Allah alhamndulillah mzuri uyu dada alafu anakili sana
@stitore2388Ай бұрын
Mashalla upendeza sana 💯💯✅✅✅⚘🌷💐🌺🌹🥀❤❤❤❤❤
@roudhamahmoud7638 ай бұрын
Kama watu wengine wanavoamini ukipanda ndege tu kwenda nje kutafta maisha ushakuwa milioniya
@zulachama10678 ай бұрын
Ukiwa mzoefu na kazi huipendayo kila kitu ua chepesi kwa kweli huyu mdada anajua kuinterview watu,na hajra umependeza kwa kweli waaah❤❤❤😢.jameni andikeni jina la hajra vizuri acheni kuliandika vibaya.hajira ni malipo ya kazi fulani hulofanya,na hajra ndio jina la mtu.2 thiings remember.
@ZulfaJuma-qi9kv8 ай бұрын
Y😂😢😮😮😅😅😅
@Mpe123398 ай бұрын
Unasema kweli dada asante ni M-pesa kutoka RD Congo lubumbashi 🇨🇩
@stevensosipita7 ай бұрын
MIMI KATIKA MAISHA YANGU SIWEZI OWA MSANII KAZI YAWO UMALAYA KUZINI ETI MAHUSIANO NAWASHAURI MUOLEWE ACHENI UPUMBAVU HONGERA STEVE
@RuhuneKabose4 ай бұрын
Atra Unajuwa Valasana Dada Tenaukomuzurisan❤❤
@ChenchiKing8 ай бұрын
Nimekubal Xan Mdad Kasema Ukweli Mtupu🎉🎉🎉
@silassimwamusa41718 ай бұрын
Mimi natoka Kenya jamani huyo Dada ambaye anamuhoji hajira Aki nampenda sana angalau anipe namba ya simu
Wee 🎉 baby girl mm hua nakupenda tu sana walai nipee nafasi mama kwakweli nakupenda na nitakutekesa Kama mwanamke na nidakulea kaa mke wangu kipenz changu ja roo
@JosephuPatrick945 ай бұрын
Yuko good sana❤
@AdrienMathayoadrison5 ай бұрын
Asante sana ila mwanamke msaniii atari kbs
@AmooTena8 ай бұрын
Kweli kabisa
@benedictinelusambo0698 ай бұрын
Kijana anatafuta pesa mapenzi yanachanganya sana
@mohammedkidody56187 ай бұрын
Nakupenda cn hajra❤❤❤
@SaidyKaonekaАй бұрын
Mashallah hajira Mashallah
@elikanaernesti84408 ай бұрын
Stev tumuombee na yeye tumuombee saa ukijumlisha hapo unapata jibu
@husseinjums54048 ай бұрын
Hajila kwanini usiolewe angalia usizeheke bila mtoto hajila inatakiwa update mtoto kwanini usimzalie sivu Mana tunafaham Kama uko namausiano nae inafahamika fanya Ivo
@user-ff4zm3hk7b8 ай бұрын
Steve unawewaka wafanyakaziwako matatani kaka but sio mbaya tuna kukubali kak
@mancargo_998 ай бұрын
Hajira natamani nikuone ukifanya kazi na steve tena....
@kassimukipingu79178 ай бұрын
Wewe ndio weefy acha kujificha
@congratulationmayunga38338 ай бұрын
Muoane wenyewe kwa wenyewe msiwe na limitations mfano Steve akikuoa hajiraaa kazi itaendelea vizuri kuliko uolewe na Mimi Sanaa lazima uacheeee😂
@SamMalaxy-gf2xn8 ай бұрын
Yes
@user-qf9uj2oc1b7 ай бұрын
Hajira na Steve wamemuch sn mimi nilikua naomba hajira aolewe na steve please✅
@kdpretoria7808 ай бұрын
Steve bado anambo yakitoto sana hawez kuwaza kuoa 😅
@DaudAshery-ie2pf8 ай бұрын
Ana mambo ya kitoto ndo style yake ya kutafta ridhik
@user-ch2it3qt5z8 ай бұрын
amlipua😂mbn sion mabomu Steve nmwanaume wa dar
@ramadhanabdul22977 ай бұрын
Mimi nipo tayari kumuoa kidoti nampenda sanaaaa
@EmmanuelLupojaАй бұрын
Mzuri sawa ila kuolewa sasa
@jamalibaruti71267 ай бұрын
Sister wa mbengo TV namkubali kazi yake big up
@DamarisKerubo-cm5df8 ай бұрын
Mwambie Steve Niko hapa 😂😂
@KiongoziMwandamizi8 ай бұрын
😂😂😂😂🙌🙌
@manibahodaniel84057 ай бұрын
Wewe nani?
@Njunwa-DK8 ай бұрын
Line nakupendaaaa saan unakitu🎉🎉🎉
@RobertChacha-hb9re7 ай бұрын
Huyu demu namkubali huyu❤❤❤
@NorahMatto23 күн бұрын
Steve bwana kuchekesha tu kuoa aaaah
@salamsabdullah-st9pt7 ай бұрын
Wow Dada mzuri huyu
@HarrisonKatana-yv7ee3 ай бұрын
Aiii mbna hajira hatukuoni tna kw Steve n nn mbya
@MELOPHILEBOY-oj8uy7 ай бұрын
Steve owa
@benedictinelusambo0698 ай бұрын
Kapendeza kweli yan
@haruniaisha59058 ай бұрын
Sasa si akuoe mwenyewe ajira
@michaelkitundu14895 ай бұрын
Naomba connection mrembo huyo.
@abdulhajiahmed87357 ай бұрын
Salaam zangu kwa Hajira Mwalimu
@khamisali59788 ай бұрын
Steve mwenywe anasemaje😅😅😅
@hamisisalim8 ай бұрын
Kidoti MashaAllah uko vizuri
@JosephOsanya-ik7bk7 ай бұрын
Niko kenya huyo demu ni mali safi bana
@user-ps5jv4jk1c8 ай бұрын
Hajra kapendeza jmn
@user-ev6bq9gf1f8 ай бұрын
Alafu kizuri bala
@user-jv5dq2zf2o8 ай бұрын
Hajira mmmmhh sawa nimekupata
@alfredkasololo52427 ай бұрын
Na sisi mpia kutoko CongoRDC tunakufata, dada Hadjira. Na sema kama tunakupenda vile vile. Ila Nakuomba utujulishe ao utuonyeshe yule aliyo chukuwa roho yako ya mapenzi. Ili tumuite shemeki. Sababu ya unzuri wako, atalipa mail Tanzania na Congo kwa sisi wenye. .
@rodgersmwagu2398 ай бұрын
Ata akisema nimuoe leo nipo tayari,😂😂
@DaudAshery-ie2pf8 ай бұрын
Mhhh unamjua
@ZulfaJuma-qi9kv8 ай бұрын
Set timer
@user-sd8sq5zc7c8 ай бұрын
Stive sakapesa
@JosiasFidele-dz8fg7 ай бұрын
Namu penda hajira ❤
@user-mx1dm4jm7y16 күн бұрын
Mm nataka ilo gauni nitalìajw
@user-iv1ry9bo3x8 ай бұрын
Dada kazi poa
@user-ni4hv1bq1z8 ай бұрын
Ft
@Liliana-mc2su8 ай бұрын
😁😁😁stev kavurugwa antk pesa
@DaudAshery-ie2pf8 ай бұрын
True
@festobabely74448 ай бұрын
Hongereni
@HabibaBb-d3sАй бұрын
Mashallah❤❤❤❤😂
@DanielMasiko-oz8mf2 ай бұрын
Nataka nikuoe
@caissemalatinho2528 ай бұрын
Uyu dada mtangazaji anapendeza sana akiva mwanaume, lakini kwa leo huuuuuuuuu
@user-zk8qj6xc4l8 ай бұрын
Uyo wacha hakupali kuorewa na steve mweusi Uyo wanaendana na steve 😊
@NzaiShux8 ай бұрын
Nikikupata ww
@user-hk2si3nf8q6 ай бұрын
Pao
@jameskenny18088 ай бұрын
Kazi nzuri ila tuna itaji contact yenu MBENGO TV
@user-wn6qd6ci5h8 ай бұрын
❤
@bobboris48598 ай бұрын
Tivu wetevu mwingi demu hujawaonyesha nyumban kwa Familia