Пікірлер
@godongladnes-kn7ei
@godongladnes-kn7ei 5 минут бұрын
mwijaku unaumwa wewe
@godongladnes-kn7ei
@godongladnes-kn7ei 9 минут бұрын
mwijaku mwehu wewe
@DavidSeghete-bb3rc
@DavidSeghete-bb3rc 27 минут бұрын
Nakupenda sana Kevin and loveness
@ConfusedClipperButterfly-rk1gz
@ConfusedClipperButterfly-rk1gz 44 минут бұрын
😂Pole
@TheranceNdayishimiye
@TheranceNdayishimiye 49 минут бұрын
Konde ongeza dawa tuko pamoj
@CatherineKelvin-h6h
@CatherineKelvin-h6h 52 минут бұрын
Joan hakika ni monitoring spirit 🙌🙌
@sistertrashid2488
@sistertrashid2488 Сағат бұрын
Yaani hilo janaume kama x hasband wangu shenzi zake alikua mbinafsi baba yule loh bora sasa nina maisha yangu yaani mtu anakuona upo kwenye maisha mazuri lakini husaidii ndugu
@paulabelleghe451
@paulabelleghe451 Сағат бұрын
huyo bwana atakua utajir wake kunanamna sio bure lazma anamashart pole kwa yote na hongera kwaushujaa
@evakessy3282
@evakessy3282 Сағат бұрын
Pole sana Dada... Ila nimegundua hauko sawa kiakili mamy😢jitahd usikae peke yako jichanganye na watu ambao unahisi Amani kuwa nao.. UNAHALI YA KUSAHAU SAHAU HAPO KWA HAPO
@Deekambeautyclinic730
@Deekambeautyclinic730 40 минут бұрын
Nimetoka kujifungua hivyo ni kawaida kwa mzazi mpya.
@Tommaxer
@Tommaxer 33 минут бұрын
Na nina msiba wa mtoto wangu bado mapema siwezi kuwa sawa dear.
@BintRasheed1999
@BintRasheed1999 2 сағат бұрын
Hatar
@kazungu-x2b
@kazungu-x2b 2 сағат бұрын
Pole blaza taz mm mwenyewe fundi wako miliwekwa ndadi ilatu niliachiwa ntakucha
@paulabelleghe451
@paulabelleghe451 2 сағат бұрын
mtangazaji mzuri anafanania kutangaza kam mina ally homgera sana mdogoangu utafika mbali
@jasiminihamisi5566
@jasiminihamisi5566 2 сағат бұрын
Nimeipenda sana my dear sister
@rojarajabu-j7y
@rojarajabu-j7y 2 сағат бұрын
Nakukubali mwanangu uko poa good
@AbisnaRashidi
@AbisnaRashidi 3 сағат бұрын
Mbona nataka kuoalewa wa pili
@jideysamytz
@jideysamytz 3 сағат бұрын
Nilishakuwa na mwanaume wa namna iyo mwisho wa siku yakanishinda nikaamua Bora nideal na maisha yangu mpaka Leo mtoto anamiaka mitano ajui ata mwanae anakula nini
@mariasalomemelchiorkaigaru1974
@mariasalomemelchiorkaigaru1974 Сағат бұрын
pole
@jideysamytz
@jideysamytz Сағат бұрын
Kikubwa tupo na furaha sanaaa
@RitbayRitbay
@RitbayRitbay 17 минут бұрын
Hyo asubir akue ana kikaz atakuja mwanangu tumeyaoan kwa wengi snaa
@KabenderaTijara-e9o
@KabenderaTijara-e9o 3 сағат бұрын
Saa ingine una hakili sa ingine siioni upo vizuri bado kidogoooo
@EnjibetSamwel
@EnjibetSamwel 3 сағат бұрын
Achen jamaa kaokota huko et
@AsmaRobert
@AsmaRobert 3 сағат бұрын
Clam naomba ela na mm😅
@kassimrajabu7805
@kassimrajabu7805 4 сағат бұрын
Zee linapenda sifa hili
@user-to6up4hg2w
@user-to6up4hg2w 4 сағат бұрын
Masha Allah you're beautiful ❤❤❤❤
@ZeynabAlly-c2m
@ZeynabAlly-c2m 4 сағат бұрын
Maneno yako ni mazuri na yanafundisha sana
@KhadijaDija-ir2hq
@KhadijaDija-ir2hq 4 сағат бұрын
Part 2 plz😢
@msowamhokole5028
@msowamhokole5028 4 сағат бұрын
Maambwa bwana mmn
@simaisalim108
@simaisalim108 5 сағат бұрын
Dah kiatu chako kilikua cha zege hakivaliki
@mwachumumwachumu6116
@mwachumumwachumu6116 6 сағат бұрын
Anza upya tu na hata ss tumetoka huko na ilikuwa hivyo mwisho tumezoea tu
@evancemsosa4379
@evancemsosa4379 6 сағат бұрын
Binti mpambanaji ila hakupata mtu sahihi,
@JokhaSaid-e1c
@JokhaSaid-e1c 6 сағат бұрын
Fundisho hapa kwa mabint wadogo kabla ya kuolewa mumchunguze mwanaume na khasa akiwa age go. Na uchunguzi uwe kupitia mke mkubwa kupitia hata rafiki zake
@SAFIAFOMAR
@SAFIAFOMAR 45 минут бұрын
Sio mabinti wadogo tu hata sisi wakubwa tuchunguze wanaume kupitia mke, ndugu zake wakaribu, marafiki zake kabla kuingia kwenye ndoa
@JokhaSaid-e1c
@JokhaSaid-e1c 6 сағат бұрын
Hi ni unyanyasaji pro max
@VicentDeograsi-u1w
@VicentDeograsi-u1w 6 сағат бұрын
Mh atari sana😢
@uwezawamungumkuu.amaniafrika
@uwezawamungumkuu.amaniafrika 7 сағат бұрын
Izo stori za shetani acheni. Wanawake wengi ndiyo chanzo cha uovu ndani ya ndoa. Alafu Wanaume wakijibu ndiyo wanaonekana wabaya na awafai, wakati ninyi ni tatizo kubwa sana kwenye maisha ya ndoa. Ukizingatia wanawake wengi awajui wanacho taka kwenye maisha yao na wanatafuta makuu yasiyo yaweza katika maisha. Ninyi wanawake, Mbinguni aliko Mungu mkuu amtaiona kwa matendo yenu juu ya Wanaume waliyo waoa.
@ndayushimiyerungarunga8712
@ndayushimiyerungarunga8712 7 сағат бұрын
Uaribike uwe kama Mama yako
@ndayushimiyerungarunga8712
@ndayushimiyerungarunga8712 7 сағат бұрын
Eti uwe munene uaribike kama Mama yako🤣🤣🤣
@MeshackPaschal-l1t
@MeshackPaschal-l1t 8 сағат бұрын
@Itambu
@Itambu 8 сағат бұрын
Mungu asimame na awaabishe wanao muunga shetani mkono.
@Itambu
@Itambu 8 сағат бұрын
kwa message ndy nn?? hubiri injili ya kweli acheni mbwembwe Mungu ni Mungu tanieni ipo siku mtajuta.
@franciskajessy4468
@franciskajessy4468 8 сағат бұрын
Pole sana dada
@ErcadulleDulle
@ErcadulleDulle 9 сағат бұрын
Bora kusikiliza na kuacha kama yalivyo sina macho ya rohoni kujua nani kat yao mkweli ni kuomba mungu tu sihukumu mtu
@MontyrDfyo
@MontyrDfyo 10 сағат бұрын
Kwani huyu nani
@RashidiHassani-b6z
@RashidiHassani-b6z 12 сағат бұрын
Kwan hili kanisa wanaabudi au nikanisa la kiki tu ,,mm silielewi miyayusho tu
@SabrinaBakari-p1f
@SabrinaBakari-p1f 13 сағат бұрын
Jamani wanawake tunapitia mengi ila tunajifunza nakupenda sana mama dee
@esperanceregine20
@esperanceregine20 13 сағат бұрын
Kwakweli benlee unacheza viziri
@msaniiezekielkamoyani
@msaniiezekielkamoyani 13 сағат бұрын
❤❤🎉🎉 natazama all the way from Bungoma county Kenya sihami nitanena badae 😂😂😂
@omarymwenebatu
@omarymwenebatu 13 сағат бұрын
Hiyo ndoshida yakupenda maisha raisi na kuwapenda ambao wameshafanikiwa bila kujua wamefanikiweje badala yakumpenda ambae mtaanzamaisha yakujipanga pamoja.
@zaytunhijja6771
@zaytunhijja6771 10 сағат бұрын
Looh wanaume utachuma nao vizur wakishafanikiwa tu wanatafute wakutumia nao
@EliachimSulle
@EliachimSulle 14 сағат бұрын
Anayejua ukweli mwenyez MUNGU
@pascalndimurwanko2051
@pascalndimurwanko2051 14 сағат бұрын
Nimemkubalihatamimipiya
@Isayahekima
@Isayahekima 15 сағат бұрын
Nawakubali sana MBENGOTV namna mnavyomhoji Mtu hadi Raha🤝
@Isayahekima
@Isayahekima 15 сағат бұрын
Huyu Dada Yuko sahihi
@HalimaHassan-b7h
@HalimaHassan-b7h 16 сағат бұрын
Dah! Najma Yani unajina kamalakeangu ilatu,Mimi sinakipaji kama chakwako shogayangu
@Haarun-h4q
@Haarun-h4q 17 сағат бұрын
@ Mariejo 123..hujui kitu na huna elimu juu ya mambo haya.Gozbert alipopiga magoti baada ya kupewa gari na Devi kumuwekea mikono began, pale bahati yake ndio imeondoka.