No video

HAMISA MOBETTO Afunguka DIAMOND kumsusia MTOTO/ Kutotoa HUDUMA/Kupewa Gari na Mpenzi wake

  Рет қаралды 169,914

Rick Media

Rick Media

2 жыл бұрын

Kwa mara ya kwanza Hamisa Mobetto amefunguka tetesi za Baby Daddy wake Diamond Platnumz kumsusia mtoto.
...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram www.instagram....
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
#HamisaMobetto #DiamondPlatnumz

Пікірлер: 144
@RickMediatanzania
@RickMediatanzania 2 жыл бұрын
Kama unaona sauti inasumbua refresh Simu yako
@Jflavour
@Jflavour 2 жыл бұрын
Xawa mdam
@husseinofficial3955
@husseinofficial3955 2 жыл бұрын
Daah kweli ume sema kweli ! ahise ina sumbua sometimes
@maujanjatv24h41
@maujanjatv24h41 2 жыл бұрын
Sauti inasumbua hakuna cha kurefresh wala nini
@Swahili14
@Swahili14 2 жыл бұрын
Acheni ujanja account yenu mbovu🌚
@zaydelabay9776
@zaydelabay9776 2 жыл бұрын
@@maujanjatv24h41 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 turefresh imekuwa app ya mange
@Faith_joseph
@Faith_joseph 2 жыл бұрын
Hivi ni mimi pekee yangu napendaga kumsikiliza huyu dada au tupo wengi aki anajua anachokifanya....Watanzania tumebarikiwa kuwa na huyu mlimbwende🤩😍❤️
@twiseghekisilu8845
@twiseghekisilu8845 Жыл бұрын
Yupo vizuri anajitambua sana
@bahathmuro7145
@bahathmuro7145 Жыл бұрын
Nampenda sana
@natashaally192
@natashaally192 2 жыл бұрын
Hamissa kaonewa mno...na mafanikio ni kero kwa wengine..nakuombea kila la kheri . You are a strong lady mashallah
@stellanyakango5195
@stellanyakango5195 2 жыл бұрын
Safi Sana bby girl, mapenzi ya public utaendeshws km gari bovu. Endelea na msimamo wako. Nimefurahi uko smart ktk majibu yako. Endelea kupambana na Mungu akulinde wewe na familia yako.
@ARAFATVSHOW
@ARAFATVSHOW 2 жыл бұрын
Nakupenda hamisa manshallah ❤️
@muminawellnesssolutions4559
@muminawellnesssolutions4559 2 жыл бұрын
Respect for Hamisa, "Mimi ni Mama"
@maisaaalawy8064
@maisaaalawy8064 2 жыл бұрын
With confidence good hamisa
@Noah-se3ni
@Noah-se3ni 2 жыл бұрын
Hamisa zaa tu kwasababu wewe ni mtoto mmoja hao watoto wako ndio ndungu zako wanao sema yule sio mama yako wanawivu kwasababu mama yako anaonekana bado mdogo,
@khamisally9559
@khamisally9559 Жыл бұрын
Azae kupitia huo umalaya wake au? Mitoto ya haramu mitupu.
@priscillawilliam2085
@priscillawilliam2085 2 жыл бұрын
Safi sna Hamisa , unamajibu yenye hekima
@aquinoowour6067
@aquinoowour6067 2 жыл бұрын
Hamisa you're a super woman
@tashaciara6550
@tashaciara6550 2 жыл бұрын
Just love u hamisa from kenya
@jurakijuraki8870
@jurakijuraki8870 2 жыл бұрын
Ila wanyarwanda ni wazuri sana.
@shamlimah5682
@shamlimah5682 Жыл бұрын
This lady is the best pretty lady from all of diamond
@paulinekamau9633
@paulinekamau9633 2 жыл бұрын
She is the sweetest
@zenahyusuf46
@zenahyusuf46 2 жыл бұрын
You can say that again😍
@pillymcharo9855
@pillymcharo9855 Жыл бұрын
Mm mwenyewe nampenda sn hamisa na hata nikisia mtu anamsemaga vibaya napagawa mnoo nampenda sn uyu bint
@sandraechiveraya8570
@sandraechiveraya8570 2 жыл бұрын
Woooooow you are brilliant 💕
@rachelthomas1866
@rachelthomas1866 2 жыл бұрын
Mashalaah.. majibu yako yako vzr
@magrethathuman6824
@magrethathuman6824 Жыл бұрын
Very nice talking Mobeto,,unajielewa Sana dear keep it up achana na hao wanaojionesha Leo kesho wanaachana
@mathewmathayo212
@mathewmathayo212 2 жыл бұрын
Kweli mapenzi ya public siyo poa sana siyo kama wale wenye mapenzi ya public kama wale ambao wanaonaga haitoshi wakaweka na mabango yawezekana ikawa ni ushamba ikitokea mmeachana muweke na mabango ya kuachana kwa ababu si mbapensa mapenzi ya public umewasikia wenye akili wanakuambia hawana mapenzi ya kujionyesha
@najmaaa6548
@najmaaa6548 2 жыл бұрын
Nakupenda bure Hamisa. Allah kakujalia kauli poa
@puritywairimugathungu9259
@puritywairimugathungu9259 2 жыл бұрын
Majibu yako missa mashallah
@AMwamzola
@AMwamzola 9 ай бұрын
Yuko social good hamisa i like
@ndayisabaemile2219
@ndayisabaemile2219 2 жыл бұрын
Huwezi kuongeza sababu ya kuleya. Kulea ni kazi Mmmm.
@cherylcheryl7694
@cherylcheryl7694 2 жыл бұрын
Nakupenda we mdada hadi basi
@mohammadoman8963
@mohammadoman8963 2 жыл бұрын
Wewe una akili sana Mashaallah lzm uweke heshima kwa watoto wako sio zari mama wa ovyo
@malianonicass7029
@malianonicass7029 2 жыл бұрын
We usijifananishe na Zari kakuzidi Kila kitu harafu bonge la mama
@mohammadoman8963
@mohammadoman8963 2 жыл бұрын
@@malianonicass7029 mama gani asiyekuwa na tabia mama lina watoto wakubwa anatakiwa kujiheshimu ahemuka tu na kiben 10 anawafundisha nini watoto wake?
@shadivahassan1639
@shadivahassan1639 2 жыл бұрын
Smart woman 👌🏽😊
@njuka3515
@njuka3515 2 жыл бұрын
umekuwa Hamisa Hongera
@cherylcheryl7694
@cherylcheryl7694 2 жыл бұрын
Haswaaaaa
@rukiyatajir8064
@rukiyatajir8064 2 жыл бұрын
Congradulations dear keep it up dear you are doing well 😊 👍
@djtashrastababy2592
@djtashrastababy2592 Жыл бұрын
She is very brilliant
@aminaanab1071
@aminaanab1071 2 жыл бұрын
Smart girl 💗❤
@mariamshadia4974
@mariamshadia4974 2 жыл бұрын
Mitano tena kwa hamisa
@user-zg1tn3mm5j
@user-zg1tn3mm5j 9 ай бұрын
Yupo wengi
@ummimohamed2148
@ummimohamed2148 2 жыл бұрын
Mimi. Namuombea dua aolewe kwan yote hayo mitihani tu namuhurumia tu.
@neemankondya9642
@neemankondya9642 2 жыл бұрын
Amefanana na anjela kuongea
@ziadamtebwa3712
@ziadamtebwa3712 Жыл бұрын
Ķwa kweli uko vizuri
@mamboyake4520
@mamboyake4520 2 жыл бұрын
Hamisa and wengine kumbukeni kuna UKIMWI. ila pole keako ma kwa huyo mkaka wa watu
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 2 жыл бұрын
Hamisa maneno yako ni ya maana sana.
@susanwanyama1594
@susanwanyama1594 2 жыл бұрын
mungu akulinde
@julianapatrick7911
@julianapatrick7911 2 жыл бұрын
Aisee
@rosemaryikamba5288
@rosemaryikamba5288 2 жыл бұрын
Unajibu maswali vizuri Sana 👍
@azzamahamdu7039
@azzamahamdu7039 Жыл бұрын
Hamisa💟💟💟💟
@pamela3335
@pamela3335 Жыл бұрын
Je t'aime beaucoup
@ndayisabaemile2219
@ndayisabaemile2219 2 жыл бұрын
Unaokopa kusemwa duhhh sababu umekaliya kuchukuwa mabwana wawatu.
@maujanjatv24h41
@maujanjatv24h41 2 жыл бұрын
Umetumwa?
@cherylcheryl7694
@cherylcheryl7694 2 жыл бұрын
Bwanako kapotea?
@deborahnyamondo9990
@deborahnyamondo9990 2 жыл бұрын
kwani hawaezi kataa hao mabwana
@joyobango4602
@joyobango4602 2 жыл бұрын
Hakuna bwana ya mtu nonsense
@sakinaabdallah7713
@sakinaabdallah7713 Жыл бұрын
Si umesema baba watoto wako ndio wamekupatia
@rorency8819
@rorency8819 Жыл бұрын
Brother diamond kapoteza sanaaa.
@starlonejadamskp8224
@starlonejadamskp8224 2 жыл бұрын
Kama mnavyofaham 🍹
@maryamkhamis2321
@maryamkhamis2321 Жыл бұрын
Ckia..dada..angu..tubili..akimaliza..miti. huja. Mailin..hichi..kisikukoseshe..amani. hawakuazia..hapo.waliaza.mbali..sana. Hao.. kesho.watakwambia.mwegine..nigependa.kam.ugenyamaza.kam.hakuna Kilichopita..tu.nibora.yako.maisha.yanaendelea..tu
@mercyprecious
@mercyprecious 2 жыл бұрын
Ila bodyguard uko nyuma wueh nani kamchokoza jamani
@noraancellin6138
@noraancellin6138 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@letciamapunda8428
@letciamapunda8428 Жыл бұрын
Tupambane hamisa watoto hawachelewi kukua tuwaache na Vicent vyao siyo wewe tu nimekupenda tupo wengi
@michaelbenson1802
@michaelbenson1802 2 жыл бұрын
Wakarim wawapi wakati wanaua wa congo
@Noah-se3ni
@Noah-se3ni 2 жыл бұрын
Kweli Kabisa 😂🤣🤣🤣🤣😂😁🤣
@michaelbenson1802
@michaelbenson1802 2 жыл бұрын
Uyu dd hawajui vizuri ao watu
@Noah-se3ni
@Noah-se3ni 2 жыл бұрын
@@michaelbenson1802 Kweli Kabisa unachokisema 🤣🤣🤣🤣😁😂🤣
@michaelbenson1802
@michaelbenson1802 2 жыл бұрын
@@Noah-se3ni ndo ivo kk
@p30lites46
@p30lites46 2 жыл бұрын
Unajua wanyarwand walo jazana rwanda acha kupotosh watu khaa
@yusufually-dl8lj
@yusufually-dl8lj Жыл бұрын
Tupooooo
@sihabasihaba5155
@sihabasihaba5155 Жыл бұрын
Mrs juagar
@shadyachina2470
@shadyachina2470 2 жыл бұрын
C mpenz mzinifu mwenzio
@lulurubby2235
@lulurubby2235 2 жыл бұрын
Uongo bwana kwahiyo ata hukumbuki ulikua ulikua wapi au kwenye event duuh ..na yule uliekua unatoa video zake akiwa amelala au ulikua unamkomesha zari, kwahiyo diamond alikwambia mzae mmmm
@maryikwabe3368
@maryikwabe3368 2 жыл бұрын
Juu ww unaujua ukweli sitwambia basi aliyeinunua nani uko na majungu dada tulia yeye at least ako na hiyo ya kupewa au ya kujinunulia ww uko na gani? Wacha wivi ikifika mtu ako na chuki na mwizako kama amefanya vizuri wacha apewe hongera zake
@subirahamis7412
@subirahamis7412 Жыл бұрын
Makasiriko 😂
@willwi9123
@willwi9123 Жыл бұрын
Those cheek bones. Age is catching up with her
@cheupestefano5424
@cheupestefano5424 Жыл бұрын
I thought I was the only one who saw her cheeks show she is aging
@kassiAmos
@kassiAmos Жыл бұрын
Unfortunately we will all age 😂😂😂
@MostWorldOfSports
@MostWorldOfSports 2 жыл бұрын
Sauti mnaua vyb🤧
@asteriaheliza1093
@asteriaheliza1093 2 жыл бұрын
Vipi rich Ross waliachana au???
@princess-uf5ux
@princess-uf5ux 2 жыл бұрын
Sauti vip 😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏
@juliakamarey8476
@juliakamarey8476 Жыл бұрын
At least hamisa anajiheshimu you keep your relationship secret
@khamisally9559
@khamisally9559 Жыл бұрын
Kujiheshimu ndio huku kuzaa nje ya ndoa? Hakuna lolote hapa ni umalaya tu.
@mariamalongo8803
@mariamalongo8803 Жыл бұрын
I like u
@fridakakiko1217
@fridakakiko1217 2 жыл бұрын
usipende kuchukua wanaume za watu
@susanwanyama1594
@susanwanyama1594 2 жыл бұрын
umesema kweli
@swaleherashidimayunga4891
@swaleherashidimayunga4891 Жыл бұрын
Mwanamke huyu kachanganyikiwa hivi mwanaume anaweza kupata mtoto bila KUOA?
@agwalubifaridah7079
@agwalubifaridah7079 2 жыл бұрын
Sura yake sasa....🏃‍♀️🏃‍♀️
@modrinmaufi9142
@modrinmaufi9142 2 жыл бұрын
Weka yako tuone bwa wewee
@faiththawe4371
@faiththawe4371 2 жыл бұрын
Mitaya kama mizizi ya muwa
@zainabally4
@zainabally4 Жыл бұрын
Uongo mbona Rich Rose mbona ulimtambulisha adharani duniani
@eliyboy2240
@eliyboy2240 Жыл бұрын
Umeacha lin kujitangaza au baada ya kusemwa na mange
@swariotibi6134
@swariotibi6134 Жыл бұрын
Aki loe umeogia ukweli kabisa hamisa
@princefakamiomupovizurifak5929
@princefakamiomupovizurifak5929 2 жыл бұрын
Card umepewa au ufunguo tu unakutosha
@maujanjatv24h41
@maujanjatv24h41 2 жыл бұрын
Na wewe unatak upewe card?
@zenahyusuf46
@zenahyusuf46 2 жыл бұрын
Wataka card pia au
@telmacornelioluciano9632
@telmacornelioluciano9632 Жыл бұрын
He is the bestest 😂😂😂😂😂duuh
@mwanaishaabubakar5013
@mwanaishaabubakar5013 Жыл бұрын
She is...
@zaydelabay9776
@zaydelabay9776 2 жыл бұрын
No voice
@alyshachannel579
@alyshachannel579 Жыл бұрын
She gifted herself with a car 😂😂😂
@kassiAmos
@kassiAmos Жыл бұрын
At least she's able to gift herself what about you 😂?
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 2 жыл бұрын
Acha uwongo ww mbea Mkubwa ww mbona mondi uku ficha
@joyobango4602
@joyobango4602 2 жыл бұрын
Hater
@janembanga2138
@janembanga2138 Жыл бұрын
Tena alimwambia asimuseme kama ni yeye mpaka amununulia gari, lakini yeye alishindwa 🤪
@subirahamis7412
@subirahamis7412 Жыл бұрын
Hater😂
@rosejoely4518
@rosejoely4518 2 жыл бұрын
Bona la simba ulisema hazalani hukuficha
@lareineminah1353
@lareineminah1353 2 жыл бұрын
Alisemaa baada ya myaka 9 Nakupatikana kwa mtoto
@modrinmaufi9142
@modrinmaufi9142 2 жыл бұрын
@@lareineminah1353 usimjibu huyo chizi na committee yake ya kijinga
@lareineminah1353
@lareineminah1353 2 жыл бұрын
@@modrinmaufi9142 sawa
@janembanga2138
@janembanga2138 Жыл бұрын
Mama dangote alikuja kuona mtoto ukamwitia wandishi usifikirie tumesahau
@michelinemapendo6652
@michelinemapendo6652 2 жыл бұрын
sauti jamani wandishi
@Bobomsupa
@Bobomsupa Жыл бұрын
Haka kadem ni karembo
@maymunaabdallah4238
@maymunaabdallah4238 2 жыл бұрын
MUNGU NISAMEHE HUYU MTOTO NI WA JAGOUR YULE MBUNGE WA KENYA. AMEFANANA NA WATOTO WA MHE HATA SISI TULIENDA TEMBELEA BUNGE LA KENYA ALITUELEZA KUWA NISALIMIENI MTOTO WANGU
@NS-ru1yf
@NS-ru1yf 2 жыл бұрын
Hahaaa! Doh,unamkasirisha Simba jaman
@michilita2959
@michilita2959 2 жыл бұрын
Huyu Domo aka diamond baba east Africa amuheshimu huyu Binti kulingana na majibu yake ameonyesha kuwa anaheshimu deadbeat dad na hataki kumuazirisha
@freelancer6368
@freelancer6368 2 жыл бұрын
Ukiwa sidechick utakuwa na heshima gani watu wa one night stand? Ajue nafasi yake.. diamond hajaomba heshima kwa pugi she can talk whatever for all he cares
@michilita2959
@michilita2959 2 жыл бұрын
@@freelancer6368 stop being stupid did she or he tell u it was alone night stand km hujuwi nyamaza hao waliishi nyumba moja
@michilita2959
@michilita2959 2 жыл бұрын
@@freelancer6368 I think ur amale n if ur awoman be sure to fit in her shoes she was there to this idot called diamond growing from nothing ulizia history Yao uambiwe
@freelancer6368
@freelancer6368 2 жыл бұрын
@@michilita2959 Nyumba ganiii? Her situationship stopped at one night stand which led to accidental pregnancy
@michilita2959
@michilita2959 2 жыл бұрын
@@freelancer6368 pliz get something else u DNT know her plus the story I wish angekuja akakupea prove
@zehrahaji1566
@zehrahaji1566 2 жыл бұрын
Vigwegwe wameshajibiwa
@cherylcheryl7694
@cherylcheryl7694 2 жыл бұрын
Wamefikishiwa salamu hahhaha
@munaisa5850
@munaisa5850 2 жыл бұрын
porojo tu muna jifanya wahindi muna andika hapa kitu kingine muna andika kingine mafala huyo hamisa hana uzuri wowowte wala hana weupe amitumiya madawa yakuwa mweupe mwa mbiye atowe pecap uta kimbiya hahaha
@fatumagidion5076
@fatumagidion5076 2 жыл бұрын
Kajifunze kwanza kuandika😂😂😂
@zenahyusuf46
@zenahyusuf46 2 жыл бұрын
Waeza tumia madawa pia mama..a woman hating on another woman🤨 shame on you😏
@giftyabdallah2251
@giftyabdallah2251 2 жыл бұрын
Watu mnamakasiliko duuhhh
@shimii3662
@shimii3662 2 жыл бұрын
Are you okay??
@mahijjaeidi9144
@mahijjaeidi9144 2 жыл бұрын
Naww tumia
@ndayisabaemile2219
@ndayisabaemile2219 2 жыл бұрын
Umerizika bado huja rizika nyoooo .unaona aibu. Hivi leo ndo umekuwa na akili . Ulitaka kulingana na ZARI . subutu huwezi
@zenahyusuf46
@zenahyusuf46 2 жыл бұрын
Unatukana mtu ambae hakujui🤣🤣🤣 mtu ambae amekushinda zaidi ya elfu na mia,,huna aibu wewe😂
@modrinmaufi9142
@modrinmaufi9142 2 жыл бұрын
Wewe unalingana nani kiuchumi umekaa kutukana walio kuzidi mchawi mkubwa wewe
@deborahnyamondo9990
@deborahnyamondo9990 2 жыл бұрын
Sasa aje na miaka zao hazitoshani wewe huoni zari ni Rika ya mama yake
@elizabethwanyonyi5477
@elizabethwanyonyi5477 2 жыл бұрын
Y bitter words towards her? Take a chill pill and leave this lady alone.. Go to hell
BABA YANGU KIPOFU Full episode /28/ #love
45:53
BabaJoan
Рет қаралды 122 М.
Kids' Guide to Fire Safety: Essential Lessons #shorts
00:34
Fabiosa Animated
Рет қаралды 13 МЛН
managed to catch #tiktok
00:16
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 24 МЛН
WHO CAN RUN FASTER?
00:23
Zhong
Рет қаралды 39 МЛН
Alichokisema Tundu Lissu baada ya CCM kumchangia Sh5.3 milioni
4:50
Mwananchi Digital
Рет қаралды 103 М.
#EXCLUSIVE: DIAMOND AFUNGUKA UKWELI WOTE RAYVANNY KUONDOKA WCB...
9:18
SNURA: NIMEACHA USANII,FUTENI NYIMBO ZANGU NIKI.FA MSINIPOST
6:50
MASI MEDIA
Рет қаралды 4,2 М.
MAISHA YA NJE TUKIWA SAFARI ZA BIASHARA/TUCHEKE KIDOGO
9:42
Tiffany Store
Рет қаралды 17 М.
Kids' Guide to Fire Safety: Essential Lessons #shorts
00:34
Fabiosa Animated
Рет қаралды 13 МЛН