HARMONIZE AFUNGUKA “HII NDIO ALBUM YANGU YA MWISHO, MWAKINYO ATAPIGWA TU”

  Рет қаралды 21,152

Millard Ayo

Millard Ayo

25 күн бұрын

Пікірлер: 62
@zomasamweli
@zomasamweli 22 күн бұрын
Wasanii wote ni chawa waserikali Kasoro mmoja TU, nae anapigwa vita vikali nay wamitego👊👊👊
@jamesrux
@jamesrux 23 күн бұрын
25 /05 ni Happy birthday 🎂 yangu jameni sapoti zenu kwangu Croatia Football 🇹🇿🇭🇷
@trapnondo873
@trapnondo873 23 күн бұрын
Sasa cc ma funs wa nje ya Tanzania inatuhusu nn hio story ya samia...mbona kama unaboaa sasa .....juu hatuezi sikizaa sasa
@BarackaelStephen-td2ui
@BarackaelStephen-td2ui 23 күн бұрын
Kila kitu mama mama tumechoka kuma mak
@MaryNgeni
@MaryNgeni 22 күн бұрын
😂😂
@gmgimba
@gmgimba 23 күн бұрын
Kweli kaka❤❤
@ScopionScopion-zj9cd
@ScopionScopion-zj9cd 23 күн бұрын
mimi Nauliza2 kwani rais wetu samia kafanya Nini wanaojua Nifahamisheni bx
@frolencejovenary667
@frolencejovenary667 23 күн бұрын
Harmonise is very strategic aisee, unajua tunaingia kwenye uchaguzi, huyu mshikaji ni hatari sanaa, very strategic kuliko maelezo
@GilberthRajab
@GilberthRajab 23 күн бұрын
Mwakinyo nipondee hicho kisturi. Maana Hana Cha maana Apo #
@KhelefuHamad
@KhelefuHamad 23 күн бұрын
Hiyo alibam mnjoo ufunguwe zanzibari km ww kweli unampenda samia
@bavonichristopha1693
@bavonichristopha1693 23 күн бұрын
Konde ni chawa Kama machawa wengine tu
@Zoneemillion
@Zoneemillion 22 күн бұрын
Ila wew chawa zaid 😂
@HappinesMbhanyasima
@HappinesMbhanyasima 23 күн бұрын
Biap sana broo nakukubali konde gen 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥👌
@AllyBabu-kr6lg
@AllyBabu-kr6lg 23 күн бұрын
Harmo mi shabiki ako laki opo unazingua bangi. Utafanya niamie kwa kiba
@AmanSamson-zo3nr
@AmanSamson-zo3nr 22 күн бұрын
Zungumzia music Acha siasa broo Kwann mama mama,Sisi tunajua anachokifanya so cool
@awamiabbas222
@awamiabbas222 23 күн бұрын
Upuuzi na uchawa mtupu
@silivianjonh6851
@silivianjonh6851 22 күн бұрын
uvae kijani tu albam nzima
@bonnypaul1516
@bonnypaul1516 23 күн бұрын
Mama mugani
@abedsaidy7263
@abedsaidy7263 23 күн бұрын
Huyu kanenepa duu mashaallah
@josephlorri431
@josephlorri431 22 күн бұрын
Bondia boga... eti anataga kupigana na mwakinyo... labda awe kwenye mieleka
@abeidomar2433
@abeidomar2433 19 күн бұрын
Ni vidonge anameza doz hununua kwa yule bodyguard wake ndio huleta container ya hizo dawa ya gym sio mwili wake
@PatrickMwamba289
@PatrickMwamba289 19 күн бұрын
Harmonize hajiamini Tena anategemea uchawi kwenda mjini😢😢😢😢😢😢
@EdwinPaul-fr9ro
@EdwinPaul-fr9ro 23 күн бұрын
Hili jamaa jinga sana
@samnyambabe2529
@samnyambabe2529 23 күн бұрын
Nahisi hiyo do itakuwa albam mbayo zaidi coz kama itajaa kumsifia raisi itakuwa kama uchawa flani ivi hautoweza kufocus na mziki mzuri, zaidi ya kumsifia tuuuu raisi....!! it's boring mpk hapo
@m___ck799
@m___ck799 23 күн бұрын
Yaani😢maana siyo wananchi wote wanaomsupport huyo mama... atakuwa amelipwa pesa ndefuuuu for him to decide to make an album!
@user-wn4is4wf4v
@user-wn4is4wf4v 23 күн бұрын
Mwakinyo atakujakua ww
@mlebesitv2628
@mlebesitv2628 23 күн бұрын
ww kilaza kaa kimya 😮
@islamyasin7203
@islamyasin7203 23 күн бұрын
Akuna chamana apa albam kumbe ya raisi sisi Waze wa mbembelezo wa mapenzi tunapingwa chini😢😢
@user-wd2bc7bf5x
@user-wd2bc7bf5x 23 күн бұрын
marioo yupo jaymelod wasikilizen achaneni na huyu akasikilizwe na samia wake😂😂😂😂
@vibetz9991
@vibetz9991 23 күн бұрын
Kibongee
@AllyBabu-kr6lg
@AllyBabu-kr6lg 23 күн бұрын
Nyie mashabiki wa domo mna wivu😊😊😊😊
@nzeyimanamwavita1904
@nzeyimanamwavita1904 21 күн бұрын
😂😂😂😂 kibongee kweli. Tembo. 😊😊
@JulianaMushi-nq3kc
@JulianaMushi-nq3kc 23 күн бұрын
umeniuzi san mim shabiki yako lkn kumsifu hapana nikikumbuka idara ya maji inavyotubambikizia bili cna hamu na maccm
@RajabuSuleiman
@RajabuSuleiman 23 күн бұрын
unapotea hovyo kaka konde
@lunangabenjamin3121
@lunangabenjamin3121 23 күн бұрын
Ili li harmonazy lijitume sana mazowezini juu bila ivo litanenepa mpaka shetani atamshangaa.
@niyorukizaelias8142
@niyorukizaelias8142 23 күн бұрын
Vijana mshawaharibu kwamambo yenu ya uchi uchi mungu awasamehe.
@petercostakisoka
@petercostakisoka 23 күн бұрын
Kwishaa mpaka mualikwe
@Shadrafa-th6le
@Shadrafa-th6le 23 күн бұрын
Wa kwazani nipeni lenk zangu
@jackisonmlaari4556
@jackisonmlaari4556 22 күн бұрын
Huyu jamaa ni mzenge kweli
@SixbertMakoko
@SixbertMakoko 23 күн бұрын
Huyu aliwahi kusema hatowahi kutokea rais kama magufuli
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 23 күн бұрын
Mama Samia Tena du kweli😂😂😂nchi inamambo kama wasemavyo watupoli🙆🙆wasanii wa bongo wengi wanauchawa sanaaa kwenye viongozi hawana uchawa Kwa jamii inao wazunguka na kuwapa hera Hakuna mtetezi kwenye Jamii
@FrenkKilumile
@FrenkKilumile 22 күн бұрын
Harmonize penda sana kuforce kupendwa na rais kwa kila mbinu
@ScopionScopion-zj9cd
@ScopionScopion-zj9cd 23 күн бұрын
unaongea kama mjinga frani iv watu tulijua unasema Nini kumbe bang tupu wewe siuna gari lini tumenunua mafuta 3314 kama sio kipindi hiki cha mama yetu acha uchawa fala ww
@babalao3250
@babalao3250 21 күн бұрын
We tengeneza tu bode ili mwakinyo apate uwepesi wa kukuchana nyama bila huruma
@babalao3250
@babalao3250 21 күн бұрын
Mi nikajua konde anaakili kumbe box tupu
@austinfoster4512
@austinfoster4512 23 күн бұрын
Kisituli or kigoda 😅😅😅
@lenoxbuhanza4926
@lenoxbuhanza4926 23 күн бұрын
Kiswahili ni kipana sana,ungepunguza kutumia neno “TOFAUTI TOFAUTI”yapo maneno mbalimbali yenye maana hiyohiyo mfano:mbalimbali,kadha wa kadha,hizi ama zile.msiigane sana kwa kutumia neno moja kila wakati,ukimsikia Ibra utasikia kitu hikihiki,ukisikiliza Diamond neno hili utalisikia kila baada ya sentensi.
@zomasamweli
@zomasamweli 22 күн бұрын
Ongelea mziki acha siasa na kama unataka siasa gombea ujinadi ila sio mzk uchanganye na siasa au!!! Unataka kuwa chawa😂😂😂😂
@onisimbomasawe-be4mm
@onisimbomasawe-be4mm 19 күн бұрын
Ney wa mitengo ndo dawa yenu
@mohamedmbalazi748
@mohamedmbalazi748 23 күн бұрын
Anaejua nne zilizopita atutajie hapa maana nakumbuka ile 1 tu aliyotoaga siku moja na diamondi
@ShinjeMackenzie
@ShinjeMackenzie 23 күн бұрын
Chawa mashavu huyu pumbavu
@EzekiaMichael-jn5np
@EzekiaMichael-jn5np 23 күн бұрын
Maagano hayo jamaangu
@user-zx2pk4mg2k
@user-zx2pk4mg2k 22 күн бұрын
Punguza uchawa fala ww
@davidmalogo7100
@davidmalogo7100 23 күн бұрын
Katiba mpya ndo suluhisho itafuta umungu walaisi watanganyika mana Kila kitu wanataja jina Eva ambae hanaalilo Fanya ila watunjaa wanasifu ili kupata mkate halam
@RajabuSuleiman
@RajabuSuleiman 23 күн бұрын
umeamua uimbe nyimbo zasiasa kaka ukimsifia Mama bc hio itakua nyimbo yachama cha CCM
@RajabuSuleiman
@RajabuSuleiman 23 күн бұрын
Saw
@RajabuSuleiman
@RajabuSuleiman 23 күн бұрын
piga nyimbo zakimataifa naso nyimbo yavyama weweee amka
@stephenmaroa6178
@stephenmaroa6178 22 күн бұрын
Huyu jamaa siku zote ni mshamba
@JokynendembilleNdama-gu9tz
@JokynendembilleNdama-gu9tz 22 күн бұрын
ushamba wake nini ebutuambie
@JonasMbuyah
@JonasMbuyah 18 күн бұрын
Uchawa huu 😡
@michaelaloyce2072
@michaelaloyce2072 23 күн бұрын
Chawa mixer mzee wa kiki
They RUINED Everything! 😢
00:31
Carter Sharer
Рет қаралды 23 МЛН
Шокирующая Речь Выпускника 😳📽️@CarrolltonTexas
00:43
Глеб Рандалайнен
Рет қаралды 11 МЛН
Ndaro na Leonardo Waoneshana Ubabe Jukwaani, Ona hapa nani mkali?
21:33