Daaaaaaah hizo hereni veepeee mzee baba au ndo umarekani unawaaribu
@josephmatonyi18025 жыл бұрын
Sindio hapo
@zuberimkuba36745 жыл бұрын
Mungu akupe mwisho mwema na hereni zako inshallah
@jifunzelughanapatrice59665 жыл бұрын
Konde Gang...one love... WCB for life.
@vitukovyainstagram30715 жыл бұрын
Wote Mlio Play Video na kuja moja kwa moja kuangalia comments, tujuane kwa likes zenu hapa.
@ikramlihuti33314 жыл бұрын
Tutajuana tu
@Official_Sunday_Mjeda4 жыл бұрын
god bless u kuryaboyz from mara
@directorsebastindjsebastin64424 жыл бұрын
Vituko vya Instagram navipenda sana
@user-ri6jn7rs2b5 ай бұрын
Konde gang big up
@keamaoli5 жыл бұрын
Vijana wanapiga kazi hawa na wanasadiana kuinua wingine sio kila siku kunyenyekea media wakati social media ipo.big up...ila kunamafala wanataka kuwanagusha ila watashindwa..siku za kunyenyekea media zimeisha ....
@michaelramadhan94665 жыл бұрын
*🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥UTAJUAJE KAMA UNASHIDA YA NGUVU ZA KIUME* *Mtu Mwenye Shida ya Nguvu Za Kiume Atajuaje?* Vifuatavyo ni viashiria vya mtu mwenye tatizo la Ukosefu/Upungufu wa Nguvu za Kiume. Mtu mwenye tatizo la ukosefu wa nguvu za kiume huwa na dalili zifuatazo: 1. Kushindwa kabisa kusimamisha uume wake 2. Uume kusimama ukiwa legelege 3. Kuwahi kumaliza tendo la ndoa 4. Mwanaume kutokuwa na uwezo wa kufanya tendo la ndoa katika baadhi ya staili ( Mara nyingi mwanaume huyu huwa na uwezo wa kufanya tendo la ndoa staili moja tu ). Hapa mwanaume anakuwa na uwezo wa kufanya tendo la ndoa kwa staili ya “ missionary” pekee. Ikibadilishwa staili, mwanaume anakuwa hana tena uwezo wa kusimamisha uume wake . japo katika hali ya u lege lege 5. Uume kutokuwa na uwezo wa kusimama wenyewe bila kushikwashikwa ama kutomaswa kwa muda mrefu. 6. Uume kusinyaa ukiwa ndani ya mwanamke. 7. Uume kusinyaa, pindi inapotokea activity yoyote ya kiungo ama ogani nyingine ya mwanaume wakati wa tendo la ndoa. Kwa mfano, wakati wa tendo la ndoa, ikitokea mwanaume amekohoa au kupiga chafya, uume nao unasinyaa. 8. Uume kusinyaa mara tu baada ya kutolewa ndani ya uke ( Kwa mfano kama unafanya tendo la ndoa, halafu uume ukatoka nje, kitendo cha kuushika kuurudisha ndani, tayari una sinyaa ) 9. Kutokuwa na uwezo wa kurudia tendo la ndoa. 10. Kupatwa na maumivu wakati wa tendo la ndoa. HIVYO,zifuatazo ni bidhaa zetu ambazo zinaweza kumsaidia mtu mwenye tatizo hilo,ikumbukwe bidhaa hizi sio dawa bali ni chakula cha nyongeza(supplements ) #argi+ #multimaca #beepollen Kwa maelezo zaidi piga Whatsspp 0628942717
@directortreskas54194 жыл бұрын
Powa
@lvinnyboetz40764 жыл бұрын
Nakubali konde
@majaliwapili29285 жыл бұрын
Hao mabodgad mbona watanashati sana wamepende kupitiliza
@braxidesnabwile52773 жыл бұрын
Napenda konde boy akishirikiana na mavoko
@selfumuruma10324 жыл бұрын
So cool Imekaaa bango ni kubwaaaaa
@princenyakurungwi69254 жыл бұрын
Hiyo ndo interview ya mwisho kwa mmakondo ndani ya wcb
@youngweezy38464 жыл бұрын
Prince Nyakurungwi hahaha
@mmassadieudonnengomoya86074 жыл бұрын
Kizazi Sanaa ✌️
@lauriansimon68055 жыл бұрын
namshaur angetafuta jina lingine cz ni team mpya unayoiunda ya wasanii wa makabila tofauti kuliko kuita Kundi KONDE GANG BADALA YAKE TAFUTA KIANZIO THN GANG
@bonifasikalima92145 жыл бұрын
Kweli kabisa ,,labda litakuwa kundi LA mtwala...tu.
@jumamaokola53764 жыл бұрын
Jeshiiii konde boy
@mbidadaud12565 жыл бұрын
Ongea tu kiswahili chako ngeli yako inaboa but nawakubali sana WCB
@josephmasenga77185 жыл бұрын
Ndo njia ya kuijua ngeli kama unaaibu hutokijua
@matesokamonga81015 жыл бұрын
First born hongera konde
@vicemedicalhealthcareoffic23115 жыл бұрын
Konde Gang noma xan...!!@ Chris Brown wa tz , acting like Nipplhusle
@hoptalentzhpz88174 жыл бұрын
Kond boy wew muwongo san urikua burund ungasama kama musani wakwanza gusani kond atakua murund
@manchizemedia80605 жыл бұрын
WCB ,KONDE GANG' NA BLOCK 89 MNATUCHANGANYIA HABARI TU ACHENI IZO KIKI HAZIFAI
@suliamanwilliams47934 жыл бұрын
Fantastic
@Fgldesigns5 жыл бұрын
Sijui yunaosikiliza ni wazungu maana, hayo mavingeleza yanazidi... Haya ongeeni kiingeleza mwanzo mwisho ila mtuandikie tasfiri yake kwa Kiswahili kwa chini ili mridhike.!
@hiribaeomara9174 жыл бұрын
Kama huwelewi ni ww
@Fgldesigns4 жыл бұрын
@@hiribaeomara917 Kama Kiswahili chenyewe kinakushinda sipatii picha hicho Kiingereza.
@meck_billions4 жыл бұрын
Punguza kingereza ww upo bongo hapa!kiswahili tunaelewa pia
@fahadfahmy5 жыл бұрын
Vijana wameipa mbele dunia wamesahau akhera
@faustinedeogratias43375 жыл бұрын
Issue za akhera utazkuta hukohuko akhera tatzo watu mnataman vitu ambavo mda wake bado
@alphaoscar13005 жыл бұрын
Napenda sana munavyoimba. lakini nachukia sana munavyovaa/munapovaa heleni
@salimkhamis36385 жыл бұрын
Heleni ni jina la mtu, alizovaa Harmonize zinaitwa herini au hereni
@mashalamusicempire11584 жыл бұрын
Kizazi sana harmo
@stanrockenterprise51085 жыл бұрын
Konde boy one love man..
@chayogasperi97835 жыл бұрын
Kiki mboooooovu sana hii . Hii kuondoka WCB ni kiki tu kama kiki nyingine .
@salumusalumuhamisi29024 жыл бұрын
Wasengee nyiee
@abdulhamidy89204 жыл бұрын
Eti no 1 africa
@ussikhamisussi48825 жыл бұрын
Mapepe mengi Mzee.
@bonnysureolkokolaboy43425 жыл бұрын
Uo ujanja ujanja2 wa kutengeneza pesa mashabiki tufunguke akili, Hii Konde Gang navoelewa ni Team mokotu laliful, ni kutuchanganyatu mziki uzidi kua Bongo ila mi nimependa sana tupate mashindano kimziki afu mashabiki tupate mangoma makali
@abdullihmwamba30705 жыл бұрын
duuu sii kwa ulivyo vaa kama mvetinam
@letisiamakonda38734 жыл бұрын
Akianguka ghafla unaezasema sufuria
@raphaelexvery75775 жыл бұрын
Nakubari harmo
@vickyboymfalme7856 Жыл бұрын
hekima
@zulekhajumanne6645 жыл бұрын
Kha! Jaman hizo heren. Astaghafiru llah
@nassirhamad8385 жыл бұрын
Hhaahahahah
@asiatumbwambo1335 жыл бұрын
Zulekha Jumanne kwa kweli ni shida yaani mi nachukia 😏😏
@nellymatalanga50335 жыл бұрын
😂😂😂
@hassanyahya50655 жыл бұрын
😃😃😃
@mwaks33475 жыл бұрын
Zulekha Jumanne waislsm tumejisahau na mambo ya dunia
@Official_Sunday_Mjeda4 жыл бұрын
i love ❤
@youngweezy38464 жыл бұрын
Nimegundua kitu kupitia hii konde boy bado yupo wcb
@barakaaloycelaiza23395 жыл бұрын
Jo nizo anaweza sana.
@Notepad_TV5 жыл бұрын
kweli kabisa...kafanya kazi nzuri,ila kwa upande wa filamu fupi nina hakika utafurahia kazi zilizo kwenye link hii kzbin.info/door/HSti278EBBUyZTzly8vgbA mimi nimezipenda,zitazame na wewe
@saidyr65672 жыл бұрын
Hapa kidogo uliongea ukweli kwamba konde gang ni taw la wcb
@kassimally18035 жыл бұрын
Wabongo mkihojiwa lazima mchanganye lugha wakati weledi wa lugha yenyew ni dhaifu
@anoldjose77935 жыл бұрын
Kassim Ally umeona ee
@kassimally18035 жыл бұрын
Yap hahahahhh
@Fgldesigns5 жыл бұрын
Sasa sijui tunaotazama ni wazungu.!? Nawaza kwa sauti
@richmuziki5 жыл бұрын
Rich gang konde gang
@pasleemnyama85484 жыл бұрын
Fala sana uyu konde boy msenge sana
@francomselewa98444 жыл бұрын
Sanaaa
@aminabashirhabib19043 жыл бұрын
Hapa alicheza ki yy huyu no nyoka
@alhajimuhjaj4395 жыл бұрын
Helen jau kama wakike mwamba vp
@josephinemakungu84475 жыл бұрын
wa hamo amenimbamba vipi mavazi 😂😂😂😂😂 askari au vipi 😃😃
@petrojuma18745 жыл бұрын
amini kwamba konde boy ndani ya miaka miwili utakua n msani mkubwa mala mbili ya diamond
@leviskahonga39854 жыл бұрын
Labud kuvaa elen maan zinaashilia usho
@yusuphsimon81514 жыл бұрын
daa ila vyenye inaznguaa ivo vipini masikio bro hamna taartibu zingne za kung'arisha muonekano wenu enyi wasanii make ivo vitu kaa ushoga ndani ake au mimi tu ndo tofasiri angu mbovu bwana Harno
@shabanalphonice65714 жыл бұрын
Hako kakibur katakufelisha ustueke saw hio gang mbal sama na chama la simba sema haupogo tena
@israelivan36235 жыл бұрын
Unafer kaka ...sio kutoboa life uvae heren
@jumakhalfan68695 жыл бұрын
Juma khalphani
@jabilichipila24565 жыл бұрын
Herenii tenaa duuuh
@abdallahngajua62165 жыл бұрын
wew mtoto wa kiume unavaa VIP heren
@sophieaden53675 жыл бұрын
Signed under WCB imekuwaje?
@ivantompoo78434 жыл бұрын
jeshi jonijo anakuforce mamb ya kiseng af we jonijo tunataka tujue jina lako ulipatej au umelipat kwenye mzk wa baba John
@lenjeevara34075 жыл бұрын
Pwaaaaaaaaaaa
@idrissaabdullahmbumulule59714 жыл бұрын
Konde acha kuvaa elen ww mm nakuelewa sana
@mokotvonline64565 жыл бұрын
Tia like kama una mkabali konde boy
@officialjohn94204 жыл бұрын
Yap!yap!
@hassanhancha14135 жыл бұрын
Mouuzi ww angalia
@erodeshayo86725 жыл бұрын
Hereni vua mzeee twelewane
@vincentokambo31995 жыл бұрын
Hahaha hahaha Sawa mmakonde
@rtmbilu8415 жыл бұрын
Swabri kama nimekuona
@salimsaidimu55124 жыл бұрын
Harmonize ana roho chafu Sana. I use to be his fan bit apana. Mbona kamsarau diamondi ? Ambaye amemkuza Hadi akafuka mahala alipo Sasa ivi ?? Ivi binadamu hawana shukran??
@immaculatendinda39003 жыл бұрын
Respect growth ya mtu ,ulitaka sushi chini ya mtu forever,that's not growth..ukikua unaondoka nyumbani ukajitegemee
@mashalamusicempire11584 жыл бұрын
Chapaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
@Safinatulshifaa5 жыл бұрын
Mmakondo ongea lugha yako as i told uuu wacha upuuzi Mahereni kama ziwa la NG'OMBE
@nellymatalanga50335 жыл бұрын
😂😂😂 moja haitoshi eti
@viviyanviviyan24645 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@kihanda25545 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 Tanzania bwana raha sana
@abeer42014 жыл бұрын
🤣😂🤣😂Ziwa ranini
@khalidsadick36904 жыл бұрын
Said Hamoud wivu huo
@officeabdurazak31204 жыл бұрын
Nakukubal san
@leviskahonga39854 жыл бұрын
Ivi eleni zinaashilia nin
@ym_tv42344 жыл бұрын
Sasa hivi eti hawa jamaa ni mahasimu
@djgeorgekiller36174 жыл бұрын
Leo nimepitia hii interview na nimegundua kuwa hamo na simba wapo na bifu LA kutengenezwa hawana ugomvi hawa jamaa
@yusufuhassan65245 жыл бұрын
Anasema mtume ومن تشبح من كوم وهو منهم
@mustafamohdfo28145 жыл бұрын
Yusufu Hassan خطأت
@sophiapeter34715 жыл бұрын
DJ mbn mmembadilisha
@mansourmkanakuta66415 жыл бұрын
ametisha
@NeemaKmussa4 жыл бұрын
Mbona siku hizi dharau
@Safinatulshifaa5 жыл бұрын
Ngeli haikupendezi kabisa
@richmuziki5 жыл бұрын
Bado mmiTu rich gang ndo mimi
@petromsomar26524 жыл бұрын
Kond nn xax mahereni ayo
@tuitoekkomen34845 жыл бұрын
Ana maarifa huyu,
@leganimwagala76845 жыл бұрын
Mbona hereni tena
@alimohamed47125 жыл бұрын
Ushoga maherini
@hojamathias99895 жыл бұрын
Umeambukizwa kizungu huo ugonjwa magu haupendi hata kidogo
@saidjjfour28445 жыл бұрын
Wild animals from serengeti natinal park Magu ni nani na maisha ya watu@ pumbavuuu.