From Mozambique 🇲🇿. Harmonze atimaye leo upo Wasafi Tv wow
@anassiamissi29383 жыл бұрын
Mozambique
@emflashtv62113 жыл бұрын
Me naamin muda wa harmonze ni huu jamn 2021
@catherineraphael15895 жыл бұрын
Nachompendea harmonize ni mnyenyevu sana ana. Jua kujishusha
@felixmghuna1754 жыл бұрын
Ni sahihi kabisa
@emilydominick31234 жыл бұрын
Kwani ulitaka. Ajipandixhe kwalipi Ana nini Chakujipandisha
@mirajiyasini73324 жыл бұрын
Sasa wcb ndowanafundixhwag ivyo
@lusekelokijalo44803 жыл бұрын
Kwel
@ELISSKGTV3 жыл бұрын
I love you KONDE Gang...yaani ulitishia hadi bosi ..haha
@ezapesambili21304 жыл бұрын
Leo tena nimerudii kucoment 2020 \5\5; Usailit wa harmonize kweli ulionekana
@ramseymayunga276 Жыл бұрын
Good harmonize 🇿🇦👍
@alexmurogo9985 жыл бұрын
I think harmonize ame outgrow wcb. Anafaa aondoke awe kivyake na pia awachukue wasanii chipukizi aanzishe label yake. Amefika ile place ya 'when your idols become your rivals'. As long as ako wcb atakuwa hindered kwenda to the next level.
@birikumanapascal67983 жыл бұрын
sikuzote msani anatakiwa kujiongeza, i'm so proud kwa kuona ujasili wa konde boy, na jinsigani anavyo jituma
@Vickyoung_Ensanako5 жыл бұрын
If you knew how you guys inspired us to start impressing Kiswahili in Kenya, you couldn't have forced that Kizungu. Lol
@abrahmaniomar98585 жыл бұрын
konde boy sio mwalimu wa kiswahili kashidwa nyerere nyie wafuasibwa wazungu mtabaki kuws slave2, siye wabingonwe take english as joke lunguage
@sara_2283 жыл бұрын
Harmonize wcb
@gervasmlowe9165 жыл бұрын
Baba atabaki kuwa baba konde boy usilewe sifa umejibu point nice it
@jofreykayomo75613 жыл бұрын
saf sana harmonize yan ameongea ukweli baba uwezi kumlinganisha na mtoto big up sana ameongea ukweli diamond n level nyingne jaman
@ComedyPlustz5 жыл бұрын
Konde boy ipo vzr
@auntiemylee31574 жыл бұрын
2020 watching😂😂 Interview tuliachia akina ibrah c jeshi
@abdihalimosman57714 жыл бұрын
😂😂😂🤦🏻♂️
@zakiaathuman36363 жыл бұрын
I don't wanna be number one akati sikuhizi majukwaani utaskia...when I say Harmonize say number one😄
@kulwabjoseph92423 жыл бұрын
Kwel jeshiii
@osmandingi2 жыл бұрын
Lazima ukiwa msanii ujione wewe ndo Bora
@jensennashon61475 жыл бұрын
hollaaaaa kwa Konde Booooy...love yo Melody bro
@aljimmykabumbabinazam99043 жыл бұрын
I love you harmonize jeshiiii konde genge
@officialmrtop10185 жыл бұрын
Jibu nzuri sana najuwa wew unaelewa vizuri uchonganishi wawatu mbali mbali sababu kabla hujawa Harmonize wa Leo ulikutana na maneno mengi ukacgonganishwa wakakuzarau so huwezi kuyasikiza maneno hayo unaelewa na umewazoea big up sana
@yusuphmlangali72955 жыл бұрын
Big up kajibu kwa akili sana hapa konde boy
@patrickasifiwemugara43935 жыл бұрын
Harmonize ni namba 1 kwangu. He is talented than dian, with time you will...
@emilydominick31234 жыл бұрын
We nifarasi
@emilydominick31234 жыл бұрын
Namba moja awe Harmonize kwako bora ht ungesema Ryvvan
@shukurumakenga71723 жыл бұрын
Toboa ap he is talented than Dian with time you will
@yaedlifemedia32035 жыл бұрын
Jamaa kavaa elen maskin ya mungu dah wanadai swaga.safi sana mdogo wangu rajab inasikitisha ila kwasababu maisha hayo ndio unayoyatala be blessed vaa mbaka gauni sisi tunalik tu
@abdulkhaleed94205 жыл бұрын
Acha ushamba wewe
@yaedlifemedia32035 жыл бұрын
@@abdulkhaleed9420 amjanja ww mtoto wakiislam jibinue tu lif goes on
@News254Kenya5 жыл бұрын
Nani anatizama hii Leo? Like kama yesi.
@thecourtcourt17534 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/eIOkc3eJhbaWmpY
@bahatijeshi90873 жыл бұрын
Jeshi nisha kubali unaweza unamuzidi mbona huwamini jeeeshii
@riamiurassa77655 жыл бұрын
Ereni za nn mzeee laana iwe nanyi wote mnaojifanya mastaaa kufanya vitu kinyume na sheria kama unaona. Ni vibaya kwa jamaa kuvaa Helen b like apa
@ayoayoo12225 жыл бұрын
Kama huwezi ku afford piga kimya
@hadijaabdallah54775 жыл бұрын
@@ayoayoo1222 ww shoga fala
@ZainabZainab-tv9ir5 жыл бұрын
Allaah anawaone
@soniadeliciaussonia95975 жыл бұрын
hawajielw sasa wanaume wavae heren nasis tuvae nini
@hassanmkungile60214 жыл бұрын
Anaish kama star kua star muonekano bna
@TibihikaGerad6 ай бұрын
Konde nimekukubar kama umekumbuka aliye kutoa kwenye mbali nimejisikia vizur mko poa♥️♥️🤝
@georgekagwebe24615 жыл бұрын
Mbna you know!! You know!! Ming sema kiswahili lugha ya taifa mamaee
Wacha dharaau kutaja wasani wengine 🤨kiba anawajambisha
@evelynouma9755 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@harmoniofficialtz60655 жыл бұрын
Majina haya ni ya watu wakubwa tunatengenezwa then tunakuwa na malengo ya kwenda kujitegemea na sikuendelea kulelewa NakubaliSana unachokiwazia brother @Harmonize
@hamisndusu3625 Жыл бұрын
Saf sana
@khalilfeisal86475 жыл бұрын
" I don't wanna" io kizungu joo. C mumpatie likes
@thecourtcourt17534 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/eIOkc3eJhbaWmpY
@gene20373 жыл бұрын
Who told you that😁
@amiriomari95685 жыл бұрын
Harmoniz saivi anakujavizuri mungu amjalie
@sammysammy20014 жыл бұрын
Big up yeye pia anafurahia mwanao akingara
@Driuddagascows4382 жыл бұрын
Harmonize ni tofauti na platnum😍
@zainahali12745 жыл бұрын
Kondeboy ndio kusema 😍😍😍
@janerupia41894 жыл бұрын
Harmonizer nimeipenda hyooo KATIBU family WCB
@leeiddykgg85045 жыл бұрын
shukran kubwa sana kwa simba alie mpokea wcb .pia homo nakupa hongela sana kwa mziki wako mzl i love u
@iddyjm48304 жыл бұрын
good san brother unajua kujielez
@husnahassan47714 жыл бұрын
Aaliyah icho kingerez vepe😶😶 mbn unafoc
@HassanHassan-dk5db3 жыл бұрын
Much respect harmonize
@TeresiahWairimu-ir7rq Жыл бұрын
am watching this 2o22
@bobanjuma664 жыл бұрын
mungu mbele sisi nyuma....diamond lazma akubali...tizama fally kwa koffi olomide alafu utaona kama kila kitu kinawezekana
@khamysamursally59324 жыл бұрын
Mungu atawasimamia wala msikubali kuchonganishwa pia Mungu awape masikilizano Utulivu na mapenzi yake kama zamani hongera sana kwa Interview nzuri Sanaa sanaaa tena sanaaaaa 💪
@chicharitoronaldo59505 жыл бұрын
Unafanya vizuri konde boy ila level ya simba ni nyengine🔥bado sana bro hao wachonganishi wasikujaze upepo ukajiona umefika!!!
@sospetersiame9065 жыл бұрын
Wengi wanaoshindana na mondi kwa kutaka kujiona wao bora wanaishia kuwa under ground kabisa na kupotea mm rich mavoko kashuka kabisa
@chicharitoronaldo59505 жыл бұрын
@@sospetersiame906 kweli kabisa
@yusufrajabu84255 жыл бұрын
Mtu anaejishusha skuzote kamwe eshima yake haiwezi telemka, kwamaana yeye anajua fika diamond ndio kamfikisha hapo sa hiweje alinganishwe nae,
@hamidaabdallah81464 жыл бұрын
Kond 😍umejibu vizuri lakini usivae hayo mahereni tuna kukubali unaweza
@alfamolide41245 жыл бұрын
Harmonaz nakupenda sana sana
@ludwickernest35885 жыл бұрын
Huna pesa unyanyaswe, ukiwa nazo tena unyanyaswee mzee baba ringaaaa tena huringi kabisaaa daah!! Harmo ringaaaa ndiyo maana ya pesa, unazo usiringe afu masikini afanye nini
@ramadhanimadanga99323 жыл бұрын
Shbk wa kingkiba
@Official_Dabby5 жыл бұрын
Harmonize utu tumaringo umeanza utashtuka Bratheee..Ongea lugha yako,Kizungu hauwezi my friend
@aminashabani49705 жыл бұрын
😄😄😄😄😄mbn utuuu
@fuadaladawi12552 ай бұрын
Hatmonize for ever
@sofiakomba36415 жыл бұрын
ongezeni ubunifu WA maswali mko wengi ila maswali yenu yamebezi kwenye Umbea sana, wat about mtaa? mnasaidiaje jamiii?
@babachibu54105 жыл бұрын
Niko pamoja na we
@catherineraphael15895 жыл бұрын
Unaakili sana
@mzeemohamed80655 жыл бұрын
Akili nyingi yaan kelele tu
@marcsthinker38825 жыл бұрын
Ndio mambo wanayoyapenda watu
@dorrisatieno33465 жыл бұрын
Hmz nataka niku one me niko. Kenya
@kingrasdee4452 жыл бұрын
Kwo unaona saaafiiii kushndan na boss wak alokufnya mpka leo unashndana.
@speedreacts013 жыл бұрын
Likes za 2021 ssaru to the world eastern Africa hip hop lady am targeting Cardy B
@clarafavor59745 жыл бұрын
Safi Kaka kaza we unajua wasafi nzima ,,,,,wanasubili ...unajua sanaa
@afrobongobeats16865 жыл бұрын
Mondi hakuna wakushindana nae tz labda kama ni njia ya support
@selemanimsahani39194 жыл бұрын
Block 88.9 haiktakiwa ifutwe kamwe kipndi kilikuwa makini sana jonijooo alikua mwenye maswali ya busara kuliko wote inaniuma Kama muhuska ndo mimi
uwe na shukuran kumbuka uriko toka wewe mmakonde !!!ro
@ndihokubwayohilali4763 жыл бұрын
Nakubali boss we nimwanaume
@florawilliam57855 жыл бұрын
M Nakupenda ila hizo Helen znanikela usipovaa hutajulikana au vip
@hamisjawewa5723 жыл бұрын
Dada una wv
@TanzaniOman4 жыл бұрын
Kiengereza kimetutawala kiswahili hakina uhuru 😅 jaman eee mnatubana san mlio fundishwa kiengereza mkiwa na madevu yenu
@vincentsunhotlangwe51385 жыл бұрын
Harmonize big up saana nikwel ulifundishwa na mama ,
@saumusanjiama69912 жыл бұрын
🦁🐘msigombanee nyie mme toka mbali
@dianasamson93115 жыл бұрын
Napenda Sifa zako... maana ni Mwanamme. Kanyaga twende! Aliye na kesi nae basi dua zake za kuku hazikumpata mwewe... tulizeni tuone kazi... maneno ya nn jamani... Rizki mafungu saba Mungu ndie atoaye... refusheni midomo tukaneni .. na laana zenu... al and all it's about God and a person. Leave him alone. Mtajamba mishuzi bure maisha ya wengine yawatie roho ninyi... wengine kula yao kama mm... ila makelele mengiii! Fanyeni kazi. Nawakumbusheni tu kauli mbio... Hapa Kazi tu! Harmonize ..Diamond wanafanya kazi na wanalipa kodi ww je?
@abrahburaheze88795 жыл бұрын
We unaenita mi paka mm paka kweli tena paka wa africa tukiachana ushabiki Baba na mama wamekuza wewe vibalehe vinakusumbuwa unataka uanze maisha yako wakati haujakoma subiri kitakacho kukuta sasa We nishabiki wa nje usie juwa mambo ya ndani utakalia kupiga bwabwa tu ila nilicgokisema ni icho mm nampa tu hu mwana mmoja hana jipya tena kitendo cha kutoka tu ktk rebo kimempunguzia takribani ya mashabiki bilioni mm niwakwanza na ninaona siku zinavyozidi kwenda anazidi kupotea hi nikwamba mziki wa tanzania nafasi yetu na umarufu huwa tumezowea kuwa kitu kimoja unapojitenga tu basi umekwisha sisi tunabebana kimaisha mfano mdogo tu kanumba na rey walikuwa masta wakubwa lakini rey alibebwa sana na kanumba vip kanumba alivyokufa rey akuwa na jipya tena na shabiki alipoteza.....
@marcelvanemar4743 жыл бұрын
mimi namupeda sana harmonize nawibo ariyiba kwakifo kya magufuli a namupeda sana sana
@mudifataki94405 жыл бұрын
mmmhhh hereni mtt w kiislamu mwz mtukufu wote huu
@sophiaomary86275 жыл бұрын
MUDI FATAKI dah unapotea kakangu Helen tena pesa mwana haram broo muogope mwenyenzi mungu
U know zimekuwa nyingi mpaka kero tunajua kama mnajua #kidhungu
@rhinaamiry85355 жыл бұрын
Yani mtihani hamo kavaa mielen mwezi wote huu 😱
@roselineawinja66045 жыл бұрын
Hapa Leo napita, nikienda kupambana na hali yangu
@kayumbasosthenes35965 жыл бұрын
nmeipenda wcb media kwer nyinyi mnafanya kaz hamna kubebana
@theshadow91695 жыл бұрын
Harmonize yuko karibu sana akumfikia simba....ii ni fact....
@darkplatnum90064 жыл бұрын
Ukiisikia hii interview bhna dara mambo ni meng sana
@franklinrobert7727 Жыл бұрын
If someone likes this I will come back and watch again
@SpikesTrendy3 жыл бұрын
April 2021 wangapi tuko hapa
@youngtwite75805 жыл бұрын
harmonize ndugu usilewe sifa ukaanza ndugu kama unataka kushindana na mondi utapotea kama upepo jini huyoo
@mzungualex33735 жыл бұрын
Elewa alichoongea
@Abu-Hamza2545 жыл бұрын
young twite Kweli wallhi
@runnahcrazy25565 жыл бұрын
nakubali mzee hahahhhaha
@maltinmchite86155 жыл бұрын
Mond hatar
@nadiaemanuel81325 жыл бұрын
young twite 😂😂😂😂
@andrewemalli51885 жыл бұрын
Ataisha huyu manake naona hana shukrani.
@nakyboyrealprinc80115 жыл бұрын
Kweri kabisa my blood acha wachonge wew ni mtoto wadiamondi wanao chonga acha wachonge ustoke wcb chama LA wana real Prince konde genge
@kaulimbiu1815 жыл бұрын
Bishoo sana Mmakonde, body guards wa nini ndani ya FM station? Kuna wa kukukaba au kukudhuru humo ndani? Wapeleke wakamchunge Sarah asipakuliwe na Mwarabu Fighter
@ismailngwali49455 жыл бұрын
Kauli Mbiu Misifa 2
@nellymatalanga50335 жыл бұрын
😂😂😂😂😂 utajua je hela zipo
@KladesKladseee5 жыл бұрын
Kauli Mbiu 😂😂😂😂😂
@joxeesalifsalif49655 жыл бұрын
Harmonize anasumbuliwa na tamaa
@daveinspirations66495 жыл бұрын
Umejua kidhungu mdogo wangu hongera
@sammyboy24856 ай бұрын
Kwan mara ya kwanza kaka nimekuskia ukiongea maneno ambayo Yana uzito mkubwa na funzo kwa jamii nzima keep it up broo
@naifathassan26074 жыл бұрын
Daaah kaka mnafiki huyooo
@majaliwapili29285 жыл бұрын
Wewe harmonize unaakili kweli umewajibu vizuri hawa wahuni
@ayoayoo12225 жыл бұрын
Ww leta maringo utoke WCB alafu tukupe miaka mitatu tu tukupige na chini na kama huamini muulize Q boy na mavoko skuizi twaona kama wanatupigia kelele tu ata wakitoa singo hatushtuki..
@alovijoseph.18725 жыл бұрын
Nakubali hizi studio.
@josephtemba105203 жыл бұрын
Hiii nimeielewa mkuuuu...
@hamzachipisya52352 жыл бұрын
Mkumbushe harmonize interview hii
@shagoldtz88664 жыл бұрын
Kijana wng😍😍❤
@daudimasese37245 жыл бұрын
hamonaizi is the second after diamond is the good challenge
@khamickagere61583 жыл бұрын
Hamoniz kajibu poa sana
@rashidmagona27115 жыл бұрын
mtot wa kiume unavaaje hereni ndug yng! daah kwel kuna kiba mmoja2 dunian
@Abu-Hamza2545 жыл бұрын
rashid magona Au sio bwana jama ampotea
@mgolakatembo93804 жыл бұрын
Hapo nimekuelewa sana hamonaiz usikubali kuchonganiswa na bosiwako ambae amekutambulisha kwetu sisi mashabiki wake paka tukakufaham nawewe tena bilakujali umetokawapi mwishowe tukakuelewa paka hapo ulipo sasa nikwaajili ya simbaaa ushauli tengeneza ngoma zako fungua uklasawako usifananishe kabisa nazasimba unatuboa sana
@tonyboy95135 жыл бұрын
Harmonize yupo vzur
@unyangobabu9795 жыл бұрын
Aaaaaah noma xanaaa harmonize awez kufany chochot bil mond
@dianasamson93115 жыл бұрын
Kwa sababu Mond ni Mungu... subiri uone.
@neemdamas54574 жыл бұрын
Mkishakua mastar Basi vingereza vyaajabu
@zulachama10675 жыл бұрын
Tatizo mnatengeneza sifa hamtengenezi kumbukumbu,gari moja Tanzania nzima
@dalalimollelarusha71515 жыл бұрын
ukiwa star bana shida tupu konde boy analazimisha kunywa majiii😂😂😂
@elpinarichard18845 жыл бұрын
Inanikera hili pozi la kunywa maji😂😂
@angelangel-wq4sx5 жыл бұрын
We atcha tu analasimichwa
@ommytz53025 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@antonmwadilo72445 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂imebidi nrudilie io video nione io mambo na maji
@tausak45685 жыл бұрын
MOLLEL TV 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@linnerphilip4260 Жыл бұрын
We mchawii harmonize
@dullahthebarber3265 жыл бұрын
Kaka kondeboy uko juu kufikia Sasa ila mafuns wasikufanye mkadharau mentor wako diamond... Dumisha heshma kama kawa