Mimi ni martin. Kutoka. Mpeketoni mafidisho. Malo yamenidia sana
@lispermueller-xi8xy Жыл бұрын
Babangu wacha Mungu aendee kkueka huishi miaka mingi,napenda mafunzo yako sana ,nisipokuskiza kichwa inauma
@JaneJane-h2i5 ай бұрын
Angalia mtoto wa mumgu❤❤❤ hakika nakupenda muchungaji ❤❤❤❤❤❤❤
@yohalimwajuma312523 күн бұрын
Baba.mungu.ahendeleye.nakukupa.nguvu.namafundisho
@JaneJane-h2i5 ай бұрын
Pr uje Uganda 🇺🇬
@emertonmwakina8593 Жыл бұрын
Pst Daniel mungu akubariki nakupenda na kusema masaibu tunayoyapitia kwa ndoa ukweli mtupu mafundisho haya.
@MartinMuthara Жыл бұрын
Mungu akumbaki. Muchungaji. Ni. Martin mpeketoni. Hongera naba muchungaji
@wamtekowamteko8028 Жыл бұрын
BABA tunaomba uje na Dodoma tafadhari! Ninahitaji sana mafundisho yako hasa nikikuona mtumishi
@LeahNgowoko-zq4xp Жыл бұрын
Hakika pasto imenigusa sana.ndoa yangu imesambalatika kupitia mama mkwe.mpaka Sasa miaka minne.
@ValerianaMdendele Жыл бұрын
Asante mtumishi wa Mungu umenikumbusha ndoa yangu ilivunjika kwasababu yamama mkwe na wifi zangu yaan mme alikuwa hawezi kufanya lolote bila kushirikisha hawa watu hata mngejadili chumbani lazma kikao kikakaliwe wakisema ndio au hapana ndio kitakachofanyika yaan asante kwakutujenga kweli mwenye masikio naaskiee na kuelewa