JIUNGE NA CHENEL YETU YA DHARURA KWA KUBONYEZA youtube.com/@HopeforAfricaTv?...
Пікірлер: 93
@theresiagideon21789 ай бұрын
Mchungaji ubarikiwe sana na haya mafundisho, Mungu amenitendea muujiza mkubwa sana, nilikuwa na tatizo lililonisumbua kwa muda wa miaka mitano na kidogo nimetumia dawa za kila aina na hospital nilikuwa naambiwa ni kawaida tuu. Mwezi ulioisha nilikusikiliza ukiwa makambi ya Kwaraa ulitoa kisa cha mama wa Dodoma aliyeuguliwa na mtoto wake. Nami nikaingia kuomba kama ulivyoelekeza nikamwambia Mungu wewe sio mgonjwa wala mwenye dhambi ndio maana ulishuka kwa sisi wagonjwa na wenye dhambi basi naomba uzima wako ndani yangu. Hiyo hali imetoweka mpaka leo sijaiona tena. Mungu azidi kukutumia kwaajili ya utukufu wake Ameen🙏
@waltergekone38799 ай бұрын
Amen
@margaretwanjiru90969 ай бұрын
Amin Amin
@aishaally18599 ай бұрын
Hakika Mungu wetu ni mwaminifu tukiomba kwa imani
@theresiagideon21789 ай бұрын
@@aishaally1859 Amen amen
@petiewilliam97769 ай бұрын
Amen 🙏....Praise the LORD
@AgostinoSampala-dr5ml9 ай бұрын
pastor Mungu akubariki Mimi nipo Israel saizi na vita inaendelea pia ninamatumaini ya kuzidi kuwa salama mpaka nitakapo rudi Tanzania. Wahimize vijana wenzangu kupambana kwa kumtegemea Mungu maana ndie kimbilio letu na ngao Yetu.
@rehemanashon37399 ай бұрын
Nina USHUHUDA Mimi mwenyewe nyumba yangu Iko kwenye lenta miaka kumi Sasa ,batinzipo ila mbao za only 3.6M zimetushinda.Zikipatikana tu tatizo lingine linaibuka Pesa zinaenda kwenye tatizo.Hili SoMo ni Kwa ajili yangu na Nina Imani Sasa hii nyumba inaenda kuisha Kwa Jina la Yesu Kristo. Maombi Yako Pastor 🙏🙏
@zaitunimkanyagasi65017 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu,nafurahi Sana kusikiliza nafundisho yako
@judithnjalambaya24509 ай бұрын
Amina .Nashukuru sana kwa Mafundisho yanayonifungua akili zangu .Ubarikiwe pastor Mbaga napata ujasiri mkubwa kupitia mafundisho yako🙏🙏🙏
@calebmakori9 ай бұрын
Amen Mungu kwanza. God help me to have teachable spirit and obedient to your word . Pray for me
@Patience7638 ай бұрын
Waaaaaaaa mafundisho yameniponda ila nimefundishika mungu niongozeee
@purity1349 ай бұрын
Amina,hii somo lilikua langu ,help me God to become successful for whatever i put my hand on in Jesus name
Somo hili litafanya kitu kwangu mwaka huu...Mungu WA MBINGUNI ukatende kadri uwezavyo kwetu sote....
@dicksonmakungu71849 ай бұрын
Nabarikiwa sana mafundisho haya nahitaji maombi pst
@danykiza19968 ай бұрын
Ubarikiwe sana
@RubaR-nr5wz9 ай бұрын
Asante sana nimepata mengi ya kujifunza na kunikuza imani yangu mungu azidi kukupa hekima zake na kuendelea kuzidi kudumu katika utukufu wake yesu kristo amen ubarikiwe pia
@aleroalero2778 ай бұрын
Hata mimk niliwahi sahau mzigo kariakoo siku mbili sikumbuki niliuach wapi, nikafunga jamani .. nikasikia sauti inaniambia ni rudi kuangalia, nikakumbuka sehemu ni liyosahau nikajipa moyo mkuu mana kuna sauti ilikua inanirudisha nyuma kwamba napoteza tu muda... nikaenda nikakuta mizigo kwenye duka wamenihifadhi, Mungu ni mwema sana
@evasesoa84378 ай бұрын
Thanks man of God unanibariki na mahubiri yako napata ufahamu zaidi ni omba halafu bisha ndio kanuni
@evasesoa84378 ай бұрын
Nafurahi kujifunza ufalme wa mbinguni
@olphanyamweya31549 ай бұрын
Amen 🙏🙏 MUCHUNGANJI,Leo tu nimetoka kunena kwamba nimechoka na hii life Asante YESU ,naomba msahee
@rodahadhiambo36378 ай бұрын
Mungu atukuzwe ,hili Somo mungu alitaka niskilize ,ubarikiwe sana pastor ,Mungu azidi kukutumia kuongea na watu wake ,
@user-qg3tn7sx8g8 ай бұрын
Bwana akutie nguvu pr
@serafineslaa10829 ай бұрын
Mungu akubariki na injili isonge mbele
@EstherMwenze-dx6qjАй бұрын
Pastor pray for me I want to be preacher and am working on it,I can recall I prayed God to bless me with job then I shall further my studies to preach his gospel
@vickytorry1009 ай бұрын
Barikiwa sana PST MMBAGA hakika ni mengi nimejifunza kwako. Bwana Yesu asifiwe🙏🏾
@gracemoraa39638 ай бұрын
Also this message is for me paster .nisajua shida yangu iko wait.Mungu akupaliki kwa hi some.
@naturelle10979 ай бұрын
Mchungaji huyu namkubali kwa mafundisho yake!❤
@Coachsamwel9 ай бұрын
Be blessed pastor... napenda sana kujifunza habar ya Ufalme wa Mungu
@user-qz6ir2oy1d9 ай бұрын
Nikweli Mimi niliskiliza haya masomo nilikuwa nimeajiliwa kwa duka la mtu nilianza kuona duka langu kiroho nikamwambia mungu mwaka huu mwezi wa sta niwe na duka langu kwa Imani tarehe 20/06/2023 nilimiki duka langu namshukuru sana huyu mungu kwa Imani anajibu sana mungu analipa sana watu wa mungu.
@aishaally18599 ай бұрын
Amen amen nami napokea kwa jina la Bwana wetu YESU kristo
@jenestermabati44099 ай бұрын
Ubarikiwe Pr.Nabarikiwa kwa mafundisho yako
@wilfridamanono26679 ай бұрын
Watching from Kenya, nice teaching be blessed
@johnnyangaresi23879 ай бұрын
Thank you pastor i have learned something thank you for encouraging me
@deusntobi668211 күн бұрын
Amina
@shaniachanceline27519 ай бұрын
Amen! Nabarikiwa sana na somo hili ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@SaitotiHinyura9 ай бұрын
Asante sana Mungu kwa ujumbe huu wenye kunifumbua akili zangu za kimwili na kiroho.Amina.
@kenansyprian69549 ай бұрын
Pastor asantee kwa mahubiri yako. Naomba tusaidie uchambuzi wa Kina wa Historia ya Israel na Palestina.
@laridistrict47109 ай бұрын
nashukuru mtumishi wa mungu.Kweli kabisa umetaja kinacho subua maisha yangu ya kwanba kila nilicho nacho ni silaha ya mungu.nimeamuaa kwa jna la yesu ushindi niwa yesu ndani yangu na milele zote yesu ni rafiki mpendwa....neema ili nisimame mpaka mwisho
@abilityemmanuel30009 ай бұрын
pastor ubarikiwe unanitia nguvu katika neno la mungu mmebaki wachache saana
@EmmanuelyJoseph-cu8xv9 ай бұрын
Nashukuru sana Mungu mwema Kwa kunipa kazi na kunipa mke mwema hakika Mungu ni mwaminifu sana. Ila nina jaribu napitia kwenye familia yangu plz nahitaji msaada wa maombi
@eustina09 ай бұрын
Aminaa Mungu nmwema atakuepushia jaribu lako
@EmmanuelyJoseph-cu8xv9 ай бұрын
@@eustina0 Amina nashukul sana 🙏🙏
@eustina09 ай бұрын
@@EmmanuelyJoseph-cu8xv karibu sana
@scolaebenezer45388 ай бұрын
Thanks man of God,be blessed
@kabalizasekanabomarko60639 ай бұрын
Amen Amen. Ni kweli izo ni chawa kichwani. Mungu akubariki sana.
@bigirimanairad28839 ай бұрын
Amen Mbarikiwe.
@AndreaSangopirlo-vc9zu9 ай бұрын
Ubarikiwe mchungaji alie kwenye group la mchungaji
@AndreaSangopirlo-vc9zu9 ай бұрын
Aniweke
@serafineslaa10829 ай бұрын
Hakika mchungaji,Mbaga mafundisho yako mambo mengi nimeyafanya kwa vitendo na kwa imani kwa vitendo na nimefanikiwa vitu vingi.Shamba nimelima,kabla sijanununua nilimshirikisha Mungu na hata sijaona shamba niliomba magunia 20 na zaidi.Ikawa hivi nilipolima nikapata magunia 22.Unafundisha imani halisi
@lynnijayiongadi81349 ай бұрын
Amen
@perisbosibori22499 ай бұрын
Sure, GOD is everything in everything in our lives. Thank you Pastor for this lesson and wonderful message. May our LORD protect you as you continue serving Him in His vineyard.
@graceoyoo34189 ай бұрын
Amina pastor
@abigaelmwadena22629 ай бұрын
Ameen ameen barikiwa Sana Mutumishi wa Mungu
@rhinakiza9 ай бұрын
Amen 🙏🏼 🙏🏼
@nabibyaamos3639 ай бұрын
Hili somo limenihusu kwa kiasi cha haja,asante mchungaji.
@user-ff6jb5mf5z9 ай бұрын
Ninabarikiwa Pastor
@user-os3vo4sm2n9 ай бұрын
AMEN 🙏🙏🙏🙏
@jofryoba77629 ай бұрын
Ubarikiwe Sana mch.wangu
@MairaFuraha9 ай бұрын
Mubarikiwe sana
@jamesmwakitalima9 ай бұрын
Leo nimepona kwenye matumizi ya sabuni,nimeacha
@waltergekone38799 ай бұрын
Amen
@BarnabasJonas-nv4ig9 ай бұрын
AMINA
@user-ue7wo8th7d9 ай бұрын
Amen 🇰🇪
@kabalizasekanabomarko60639 ай бұрын
Nimebarikiwa sana na mahubiri yako.
@josianeniyonkuru57969 ай бұрын
Amina🙏✍🙏✍
@jimin773109 ай бұрын
Na iwe ivyo🙏🏿🙏🏿
@seiframadhan33879 ай бұрын
Huyu Mungu acheni tu aitwe Mungu huwa ananifanyia vitu mpaka nashangaa nitamuabudu nakumuamini kwa kila kitu nitaendelea kushukulu kwa mapenzi yake
@LeneyaAline-pp2mi9 ай бұрын
🎉❤❤🙏🙏
@kabalizasekanabomarko60639 ай бұрын
Naitaji pia bwana anisaidiye. Nimerudi nyuma sana kwa kutowa ao kusaidiya maskini na mayatima.
@user-eg1sy1cs2n9 ай бұрын
Msomaji ana vituo vingi mno
@ThomasErro-tx9td9 ай бұрын
Mch nikweli unajitahidi sana kufundisha, na unafundisha neno la Mungu kwa ufasaha sana, lakini hao watu wako wa dini ya sabato wako zaidi kushika dini, na siku ya saba na roho mtakatifu haikubali hata moja, naww unamkubali roho mtakatifu, je hukutani na wachungaji wenzako kwenye kongamano yenu, je hapo wanachukuliaje, ukizingatia wanamkashifu roho mtakatifu
@theresiamwanamkejasiri65109 ай бұрын
Wasabato wasio amini Roho mtakatifu hao sio wasabato achana nao,tena ni wachungaji,Hapana kwa kweli,
@annmjemah56559 ай бұрын
Ni kweli mchungaji hata mimi niliacha laptop airport ya dsm kwenye vitotoli . security guard akaitunza nikarudi kutika kongowe hadi kiwanjani namuuliza receptionist anasema sijui ngoja nimuulize mlinzi mkuu . Kumbe aliichukua
@laridistrict47109 ай бұрын
Ombea ndoa yangu
@MSM3749 ай бұрын
Inawasha
@margaretwanjiru90969 ай бұрын
Kila saa nashukuru Mungu kwa kufanya nipate kukujua Pastor Mbaga.... maana umenifundisha mengi na kupata kumjua Mungu zaidi na zaidi na kukua kiimani kila saa... Barikiwa sana sana MCHUNGAJI WA MUNGU🙏🏻🙏🏻
@eustina09 ай бұрын
Mungu nmwema
@user-he7cf3wp2p9 ай бұрын
Paster nashukuru MUNGU sana kwa ajili yako hakika kupitia mafundisho yako nimeona mwanga mkubwa ktk safari yangu ya kwenda mbinguni mungu amefungua fahamu zangu
@annmjemah56559 ай бұрын
So mlinzi aliichukua akqitunza
@LevinaRutashongerwaКүн бұрын
Wee umefanikiwa mangapi nunua ndege basi tujue umefanikiwa hata wewe hujafanikiwa