JIUNGE KWENYE GROUP LETU LA WHATSAPP KAMA TEAM MAXIMUM TV chat.whatsapp.com/CfaBdED329gJqvzl2P6bFr SHERIA ZJFATILIWE
@aishamtangi72723 жыл бұрын
Huyo hawa Kaka zahri amesha kuwa Teja msimfuatilie atawadhuru,kunguru hafugiki bwana
@المهلهلالحراصي3 жыл бұрын
Jaman kuna watu hawana fadhala kabisa mweeee mtu umepata bahati umelipiwa kodi umelipiwa maji umelipiwa umeme na mtaji juu umepewa na na hela ya kula unapewa khaaa kweli kunguru ni kunguru tu hawezi kufugika kabisa huku waarabun hapawezi huyu maisha ya huku tunajua sisi tunao ishi huku hongera kaka kwa moyo wako wa huruma ulio nao
@zaiiomary89703 жыл бұрын
Nimejiunga name
@zaiiomary89703 жыл бұрын
Nimejiunga name
@naimaathumani11373 жыл бұрын
nahitaji msaada wako kaka zahiri
@judithmwambe47673 жыл бұрын
Aminaaaaa....Mungu yu pamoja nanyi hatowaacha kamwe.Ahsante Mungu wangu.
@naipendatanzania32483 жыл бұрын
Tunamshukuru Allah kwa neema ii kuwatoa ktk uu mtihan jitaid kuweka Imani zenu kwa Allah atawasaidia ktk kila jambo
@bethmsigwa67423 жыл бұрын
Afadhari mmemkamata afungwe tu
@zaitonakondo46173 жыл бұрын
Yaan mungu ni mwema kapatikana uyu shetani afadhali
@Awatee3 жыл бұрын
@@zaitonakondo4617 😂😂😂😂shetan tena
@zaitonakondo46173 жыл бұрын
@@Awatee yaan uyo ni shetani hana mana ata kdogo
@samiramahmud4063 жыл бұрын
Poleni sana kaka Zahir, Alhamdullillah Mmempata na Mmemkabidhi Pahali anapotakiwa Na Mmejivua Allah Akulindeni na Akunusuruni na kila Shari, Yaa Rabbi 🤲 Huyu Hawa anafata group mabaya, Hizo Ni Akili zake Potofu tu Za utoto lakini Ipo siku Atazinduka na Atajuta Na Shilingi keshaitupa Chooni, Maana kupata mtu Akakuchukulia kama Ndugu yake,baada ya shukrani, Ukamfanyia vituko Ni Akili mbaya sana Tumuombe Allah SWT Amzindue na Amuongoze Atoke kwenye hayo Ma group Mabaya Na Arudi kwa mama yake Yaa Rabbi 🤲
@bimkubwaothman37263 жыл бұрын
Alhamdulillah sihaba fabi kaepukana na kifungo Mungu ambariki huyo aliyetoa ushirikiano mukamkamata
@remiomar71543 жыл бұрын
Poleni Sana Kwa mtihani muliopata Kwa hawa nilikuwa n hamu iliapatikane mungu atawahidhi n kila mbaya wenu mola atawadhirishia vizuri mulivyo jivua nae dunia itamfunza maana alishashindikana kufunzwa n mamaake
@anifamickidard45553 жыл бұрын
Pole sana Zahir hakika mungu atakuvusha Kwa Kila jambo gumu unalopitia ,,,, Allah atakulinda Kwa Kila Baya ,,, huyu mungu si binadam atalipa kwa wote wanaokufanyia ubaya ,,,,
@sistajoy13 жыл бұрын
🙏🏾🙏🏾😭😭ina humaaaaaaa,....
@husnaameen93093 жыл бұрын
Bora salama ,nilikuwa nakuimbeeni dua kila kukicha apatikane ili mjivue nae mungu ni mwema ,imetimia hiyo endeleeni tu na huduma kwa wengine kwani wapo wenye shida na utu pia na malipo yapo kwa Allah inshaAllah mungu awape afya na nguvu mtimize m alengo yenu inshaAllah ,poleni Sana fabi na bro zahiri mungu awajalie afya njema ,Ameen
@al-mamarial-mamari54573 жыл бұрын
Alhamdulillah. Mungu awaepushie hili na jengine. Ameen
@reymaabintabdillah37273 жыл бұрын
Mungu mwema Sana'a Mungu hafananishwi na chochote hutoa haki kwa yeyote alhamdulillah polen sana
@rukiasaidi34203 жыл бұрын
Poleni Sana kaka zahri kwa usumbufu wa Hawa kunguru afugiki acha aone dunia
@dottokulwa91453 жыл бұрын
Asante kaka sasa umefanya jambo nzuri sana yule jibwa koko
@julianajacksoni42753 жыл бұрын
Huyu binti Namuonea huruma.. Anasa zimemlevya. Akili hana maisha aliyochagua yanamteketeza mwenyewe.. Hapo alipo ata afya yake sidhan Kama yuko salama.. Amechezea bahati ila tu kaka zangu kuweni makini mazingira mnayoishi sababu anapafahamu asije kuwaletea matatizo..
@sharifanyumayo63143 жыл бұрын
Ahsante mungu yani bora Fabi kaepukana na adhabu isiyomhusu, hyu bintibona tulikuwa twampenda sana jmn! Leo nimeamin ni bora umfadhir mbuz mwisho wake utamla mboga. Aende jela tu hyo hawez ishi kwa kutisha watu hivyo mjinga hyo
@rokiroki18253 жыл бұрын
ALLAH amnusuru amuokoe na hicho anachikifanya kaka zahiri mwenyez mungu nimwema pole na majanga ya hawa ALLAH atakulipa kak
@rahmarahma9203 жыл бұрын
Mungu nimwema Kaka zahiri poleni sana Mungu AENDELEE Kuwasimamia
@bennytyrant98053 жыл бұрын
Yani nilikua namuwaza Fabi wangu hahahahahhaa afadhali na kasura kamerudi ka furaha🤗🥰🥰🥰@maximum tv
@rahemaheri16153 жыл бұрын
Na mm nilikuwa namuwaza
@myunaniniahmad64633 жыл бұрын
Alitia huruma sana.
@rosecruiz43483 жыл бұрын
🤣🤣
@aminanahimana73463 жыл бұрын
😁😁😁
@mariamgodfrey533 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@aminahassanali11903 жыл бұрын
Alhamdulh allh awanusur na jingine yarab
@fatmaothmanally94163 жыл бұрын
Alhamdulillah Allah akuepushie na majini km hawa zahir na Fabian
@مباركا-ر3ف3 жыл бұрын
Alhamdullah Alhamdullah tunakushukuru mwenyeez mungu kupatikana kwa Hawa kwa sasa Zahir na Fabi wako huru Alhamdullah mwenyeez mungu kubwa
@julianajacksoni42753 жыл бұрын
Sijasikiliza bado.. Ila Namshukuru Mungu mmempata na mmejitoa na matatizo yake
@فاطمةسعيد-ث2ق3 жыл бұрын
Kabisa yani allahmdulillah km mumemkamata nijambo la kushukulu 😭😭
@saadacharasaada19583 жыл бұрын
Sjaskiliza ila nimeinua milono kumpata huyu dem
@aminamsimbe40343 жыл бұрын
Bange hizo
@nurazain66162 жыл бұрын
Poleni sana kaka zangu kwa miti hani hii kma mnavo jwa dunia mbaya sana lkn malipo kwa mungu msivunjike moyo bina damu wte si sawa
@sharifaabdullah68253 жыл бұрын
Wakwanza leo Tijuane' timu zahidi
@lucyemiliano98113 жыл бұрын
Kwanini msiachanenae uyoawez kujirekebisha ataumpendevp kashazoea tabia zake
Hakuna kisicho kuwa permernent kila jambo huja na kusudi asante mungu kumleta hawa aende magereza huyo najuwa mungu alikuwa na kusudi mungu awalinde nyote azidi kuwapa hekima na maarifa katika hii kazi.
@khadijahali48373 жыл бұрын
Kama mmefurahi kwa kukamatwa huyu kunguru piga keleleeeee 🤣🤣🤣🤣🤣
@mdzainb37223 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂💃💃
@naamohamed10423 жыл бұрын
😁😁😁😁narud baada ya muda mfupi
@khadijahali48373 жыл бұрын
@@naamohamed1042 poa karibu
@arafahassan52573 жыл бұрын
Nice
@aishajuma77393 жыл бұрын
😂😂
@ummiissaabdulissaabdul81173 жыл бұрын
subhanallah sina la kusema isipokua namuomba mungu aniongozee watoto wangu mana ikiwa ni mzazi ni tuombe mungu wallah mana huu mtian
@nurafedrick3783 жыл бұрын
Hayoo magunia ya mkaa pelekeeni mama happy simwanae anauzaa mkaa
@judithmelvinealuchio89683 жыл бұрын
umenena 🙏🙏🙏I support you dear
@janesemngindo48783 жыл бұрын
Poleni Sana Zahir namshukuru Mungu yameisha vizuri hawahusu Tena huyo na aendelee na nuksi zake atakavyo. Naomba mtoe sadaka kwa kupona balaa lililokuwa linawasubiri. Anzeni upya maisha kwa kutojihusisha na watu design ya Hawa ambao ni mikosi tupu endeleeni na wenye shida za kiukweli. Zidisheni ibada ili Mwenyezi Mungu awaonyeshee watu wenye ukweli na kuwaepusha na matapeli wanaotumia wema wenu bure kumbe ni waongo. Mungu aendelee kuwalinda.
@Raya-em8wz3 жыл бұрын
Alhamdulilah
@edinahmaganga27223 жыл бұрын
Nimejisikia vizuri sana kwa kukamatwa kwa hawa poleni sana kaka zangu Mungu hawezi kuwaacha nawaombea sana Mungu aendelee kuwatetea msipatwe na mabaya hawa ni mtu mbaya sana ni nyoka mwenye sumu kali muachane nae hana shukurani kabisa
Duuh pole mdogoangu Zahir Muhimu umeshajivua Kunguru hafugiki acha aende Wala usikate tamaa ya kuacha kusaidia wengine sababu ya watu kama Hawa Mungu awabariki na team yako Zahir majaribu ni mengi na yanakatisha tamaa
@kadigatanzaniya47923 жыл бұрын
Fabi na zahir wazur mashallah
@sifatiiman3 жыл бұрын
Sana
@Mamatonny20653 жыл бұрын
Zahir pole Sana Kwa Matatizo yanayokuzunguka.Mwenyezi Mungu atakusaidia na utaweza kuwashinda wanaokuonea.Mimi nitapenda nikuone nikija huko Tanzania . ili nikupe pole yangu..
kama kweli wanadamu wengine wameficha tabia kwenye visigino Hawa akilia utathani malaika jama poleni sana brother Zahir Fabi na team nzima mungu awazidishia💓🙏🙏🙏🇰🇪🇪🇺
@aminaally20143 жыл бұрын
Hizo mike niliziona mbili kwa nini kila mmoja asiwe na ya kwake
@cattythebandtz37813 жыл бұрын
Mungu akubariki zahiri' pia pamoja na kumrudisha kwao hakikisha umemsamehe.
@mwajabuamiri34573 жыл бұрын
Mungu ampe ufunuo wa akili ili ajue kuwa haya ayatendayo cyo mazuri. Mungu awatie nguvu Zahir na wenzio wote muweze kuwapa msaada wahitaji.
@safiyasafiya50143 жыл бұрын
Kweli zahir bora hama uepuke balaa maana hao watu mtihani
@leylahbillah48763 жыл бұрын
Alhamdulillah jmn daah huyo mpelekeni police tu kaka zahir
@neemazee18643 жыл бұрын
Arafu ni mzuli kwann lkn anafanya ivyo jamani
@khadijahali48373 жыл бұрын
Alhamdullilah, Zahir na team yako mlipambana vya kutosha, kwa ajili ya kumbadilisha sema ndo hvy kunguru afugiki 🤔🤔
@sulemohd48123 жыл бұрын
Mnakazingumu nyie munguawasamehe
@kadijahajali39183 жыл бұрын
Mwambie atuliye hawa maradhi mengi mm namuoneya huruma huyo bado mdongo nzur mashauwalah mungu ajaliye atubu tena ulevi
@rukiyyarukiyya63173 жыл бұрын
Alhamdulklah hawa kupatikana ila huyo hawa niadui mkubwa mungu ataxia kuwasimamia kakazsngu
@aishamohammed21243 жыл бұрын
Nimefurah Sana leo kupatkana kwa Hawa, zahri na Fabian , Allah hawape Maisha maref pia muendelea na Moyo huohuo,
@joycenshala13103 жыл бұрын
Asante Mungu kwa kumuokoa Fabian kwenye matatizo
@mamakeaisha49263 жыл бұрын
Amepoteza bahati adi namuhurumia msichana mrembo amejitia kwenye maisha magumu
@sophierseyyd11623 жыл бұрын
Watu tunashda mpk miguu lkn tunatoa ili wezetu mnyanyuke nasis tutanyanyuliwa na mungu lkn khaaa hamunashukran why lkn tumejithd lkn ww si wakutufnyia hv hawa daah roho inaniuma yaaan😰 hawa na kuita hawa hii dunia mungu alimtuma zahir kuja kubdl maisha yk unasikiliza maneno ya watu unarud kwenye laaana tena Allah akupe wepes ili ujue unachotenda kibaya🙏
@TheSalma19993 жыл бұрын
Hata mimi sina kitu nilimchangia hawa lakini hawa umetukosea sana
@monirangerera71553 жыл бұрын
Nilijuwa tu mungu awezi kukuacha hail mana umemtendea wema hilo ni lishenzi likubwa ndomana linastahili kupigwa kutolewa manundu kuna muda wema haufai kabisa Ila mungu mkubwa kwajinsi ulivyo mtendea wema lazima mungu akujalie mmmemkamata alhamdulilah siku nyingine husimtolee dhamana kabisa jitu hulijuwi
@monaa74183 жыл бұрын
Alhamdulillahi mmejivuwa n isha allah atoweza kuwafanyiyeni chchte kwauwezo w allah
@eshialabonita77363 жыл бұрын
Duh sikio la kufa . Binti mdogo anachezea maisha
@thelonewolf44293 жыл бұрын
bora ameonekana changudoa sugu habebeki pole sana team maximum especially Zahir
@jamilajamila45723 жыл бұрын
Kweli ni changudoa sugu do habebeki hata apewe nini mmh
@judithmelvinealuchio89683 жыл бұрын
mume nifurahisha hadi nikacheka jamani huyo ni kuro fala asiye juwa thamani ya mwili wake jamani 😂😂😂
@leahally46183 жыл бұрын
Ndio zahir Sasa awaangalie tuwachangie wenye mahitaj muhim walemavu wagonjwa wadangaji kuwaacha Sasa
@arafakiloli7493 жыл бұрын
Subhannahllah poleni sana Allah awalipe kwa ujira wenu.huyo kashachagua maisha yake.
@zanifazan13293 жыл бұрын
Alhamdulillah bora mulivyo mkamata
@sweetluc26603 жыл бұрын
Poleni kaka zangu Mungu atawasaidia Hawa mwulidishen kwao atawapa shida huyo
@julietmlaki28163 жыл бұрын
ASHUKURIWE MWENYEZI MUNGU,NILIANZA KUWAZA NAMNA AMBAVYO KES INAMRUDIA FABI.YAN HAWA DADA POA ACHANENI NAO KABISAAAAAA YAN MM NAUMIA JUU YA ALIYOYATENDA HAWA NA AKINA THREE MPAKA BASI.ILA ZAHIR KAKAANGU HUDUMIEN WAGONJWA WENYE MADONDA AMBAYO HATA WACHANGIAJI WANAYAONA,ILA SIJUI WALEVI,MADADA POA,MAKAKA POA ACHANENI NAO KABISA.MUNGU ATAWALINDA TU MAANA HII NI VITA NA USHUHUDA MZURI UNAKUJA KWENU NA MTAMSHANGAA HUYI MUNGU ATAKAVYOWAINUA.
@judithkatoto33163 жыл бұрын
Waoooo Asant mungu kaka angunzairi mungu atakubariji tu
@luluathanas15433 жыл бұрын
Daaaaaaaaa hatar inaitwa tenda wema nenda zako pole kipenzi wa wengi zahir
@najmamimi50073 жыл бұрын
Binafsi nimefurai sana kupatikana kwake hakika mwenye haki huwa haanguki na akianguka hawezi kuumia na akiumia ni kodogo maana Maana Mungu humshika mkono na kumwongoza.....Mungu azidi kuwa upande wenu daima
@asya68613 жыл бұрын
Alhamdulillah
@roselambert67003 жыл бұрын
Poleni sana Mungu ameona mlichokuwa mnafanya,msikate tamaa kwa ajili ya mtu ambaye ameshajikatia tamaa
@hebronsdaughter16613 жыл бұрын
Alhamdulilah akatumikie kifungo chake
@mwajumakabesha56623 жыл бұрын
Alhamdulillah ALLAH Ashukuriw, Mfanye kazi acheni imani zawatu wasiyo jionea imani.
@ummulkurthumabeid29143 жыл бұрын
Dahu kweli mungu mwema ubaya hauozi allah atakuepushieni na mtihn hii
@deborabrown21143 жыл бұрын
Poleni sana jamani
@mariamhamisi5983 жыл бұрын
Pole San kaka zahir mungu yupo pamoja nawe atakulinda
@ummohammed83803 жыл бұрын
Subhana allah Waswahili wameshasema Asofunzwa na mama ake hufunzwa na ulimwengu
@johntay88133 жыл бұрын
Alhamndulillah yani mungu ni mwema kuona mmempata iyo hawa
@fidaally56183 жыл бұрын
Yani uyo kazoea msisha yake ayo
@neemakaluwa5363 жыл бұрын
Malaya, hanithi, hawaaminiki kaangu, pole sana Zahar mungu akupe nguvu na subra usivunjike
@fettyharoun13333 жыл бұрын
Alhamdulillah nime furahi sana kuona amekamatwa ashukuliwe wallah 🙏
@ashamaggimba8763 жыл бұрын
Mungu Ni mwema, namshukuru amewaepusha na janga Hilo Alhamdullilah
@abubakarramadhani64143 жыл бұрын
Daaaah zahiri allah akulipe kaka angu
@aishaathman73403 жыл бұрын
Mi nilijua tu atakamatwa huyu kahaba mtoto. Mji haujui vizuri. mjinga sana asikutishe nyau! Zahiri chapa kazi zako kama kawa.
@rukiakhamsin92203 жыл бұрын
Alhamdulillahi,Alhamdulillahi,Alhamdulillahi 🙏🙏🙏🙏🙏nimefurahi sana Hawa amepatikana nashukuru kakangu zahir,na fabiani mutoke Kwenye hayo matatizo
Mi niwashauri kitu kuanzia sasaiv mdili na wagonjwa tyu bas hao wenye mazingira magumu waaekeni kando mana naisi hata yule asna ambae nae katelekezwa na mzazi mwezie yawezekana ikawa yule dada ndo boss wake ambae alikua anaishi nae ila awataki kusema ukweli
@Atb3003 жыл бұрын
Uyu dem sikio la kufa kitampata kitu tu
@veronicavenance62643 жыл бұрын
Kabisaaa
@bakariomari24omar213 жыл бұрын
Wajina wako huyo🤣
@mariamfaki11663 жыл бұрын
Huyu ni jambazi alificha tu kucha
@deborahnsimire97283 жыл бұрын
Pole sana Kaka zahir MUNGU Awa bariki nakuwalinda kwakila changamoto munayo pitiya. twaleni police wakuwalinda kwajili ya Hawa asije akawafanyiye kitu kibaya
kaka zahir mung akuvue hili na jengine inshaallah..
@winfridakaaya27583 жыл бұрын
Bora mmejitoa mungu ni mwemaa
@fatmasinde85963 жыл бұрын
Nimempenda Mama Hawa ni muelewa sanaa😘
@lilianphilemon9073 жыл бұрын
🙄mchawi sio kwamba abebe tunguli huyu mtoto ni balaa
@nasraali83633 жыл бұрын
Alhamdulillah 🥺
@vero573 жыл бұрын
. Mama hawa uje dar kuchukua mwanao tuu
@rajeep-ni7lh3 жыл бұрын
Thanks Allah everything becomes alright InshaAllah
@nuryatmussa99663 жыл бұрын
Afadhali fabi atalala usingiz 😊kilichobaki fanyeni dua na sadaka inshaalah Mwenyez Mungu Awakinge na mabalaa
@teddyoscar68763 жыл бұрын
Yaani huyu mtoto hawa hana akili kabisa, na watakuja kumuuwa hana maisha hapa duniani labda Mungu tu amsimamie kiumbe wake,
@ismailyusuph7403 жыл бұрын
Yaani Hapo Tatizo ni hiyo biashara ‘ amini usiamini ni wachache sana huwa wanaacha hata wakipewa MITAJI’ ...Watafanya tu katika mazingira tofauti...!...kiufupi hizo ni laana za hiyo biashara..! Kiufupi sehemu ya KUTOLEA WATOTO haiuzwi...!..lazma uwe na LAANA..!
@hildanzogolo13583 жыл бұрын
Jamani fabi ni mpole mpk raha
@sabihahamed96823 жыл бұрын
Subhana allah..duhhh wallah nahic km niko mdotoni.
@zettyhassani22443 жыл бұрын
Hili litoto jmn,mungu waongoze watt wetu
@naamohamed10423 жыл бұрын
Amiiin
@nasratanzania16903 жыл бұрын
Amin kabisa jmn haswa wasichana jmn wanatuaibisha
@sakinaabdallah77133 жыл бұрын
Si aende akatafute huo utajiri mjinga mkubwa huyo ni hayawani hamumwezi Bora tuu mumesahau jela angalau huko akifa Watu watamzika
@hamidaala28323 жыл бұрын
AaminaYaaarab
@jasminjuma63903 жыл бұрын
Amiin
@vivianrweyemamu15553 жыл бұрын
Kweli binadamu vigeugeu unapata njia ya kutoboa kimaisha unaona Bora uuze k jaman dah wkt wengine tunataman tupate hata msaada lakin mungu ndo anaejua mwenye bahati huwa habaatishi
@ruthobiga47783 жыл бұрын
Good news, God is great 🙏
@asmhatanzania86973 жыл бұрын
Subhanaallah Binaadam ni Mtu wa ajabu Sana, Huyo alizoea kujiuza na kuacha ni ngumu