Nguo za heshima zina haiba na heshima kwa Mwanamke. Tizama vipi walivyo pendezi.
@MsAggie58 ай бұрын
Zivaliwe siku zote sio ya ndoa tu
@omanmct1358 ай бұрын
Mabruki esma naic❤❤mashallah
@halimakindamba48838 ай бұрын
Mashallah Mashallah ndoa Ni Jambo La Ghery na Ikawe Ghery yenu
@ME-kb8rk8 ай бұрын
Hmmmm zuchu ikiwa kuolewa na D "UCHAWI UPO!" Hata kuingia WCB ni UCHAWI wa Khadija Kopa.
@sharifaaliy15198 ай бұрын
Allah awape wepesi na diamond na zuhura iimaliza ya ESMA tuu na ijumaa ya Leo Allah alete wepesi andoshe uzito wote uliokuwepo lnshallah ❤❤❤
@yusternyirenda72318 ай бұрын
Mimi binafsi nawaombea kheri kila siku AMEN ingawa mimi ni mkristo lakini nawaombea kwa imani yangu hata kama sio imani yao momi nawaombea iwe ndoa kweli kweli.
@MsAggie58 ай бұрын
Tatizo masharti
@salmakhalid61968 ай бұрын
In Shaa Allah Allah atajalia diamond na zuchu watimize na Yao yarraby❤
@LeahKulwa-ee5uw8 ай бұрын
Jamani esma ongera ila ukatulie na ndoa Yako achana na mambo ya usichana jamani ukadumu maswala ya kuachika sio mazurii ni aibu kwa mwanamke tuliza akili mambo ya mitandaoni achana nayo fokasi na mmeo tu mungu ailinde ndoa Yako awaepushe na mabaya yote
@MuniraShughuli-kc7vj8 ай бұрын
Alhamdhulillah ila sio vyema kichwa nywele aonesha bana
@petroniesindarubaza24208 ай бұрын
Jamaniii utani wa mashaaa na Djumaa😂😂😂😂😊😊
@BarbaraPatience-qt9cc8 ай бұрын
Juma jamani!!!!! Yaani mpaka nasikia Raha!!! Nakuombea mema ESMA
@dignakanje45088 ай бұрын
Hii familiya ikipoa Labda mitandao ifungwe .Wanavijimambo Kila kukicha
@AzaAzamhmod8 ай бұрын
Elfu mabrook esma❤❤ Queen darling ❤❤😂😂mume anae anatamba nae. Haya bana
@mariamhassan17238 ай бұрын
Queendarling kapendeza ❤
@abdulbandidu1198 ай бұрын
Choko ndo anaanza kupiga vigele vigele,na anaanzisha nyimbo za harusi,sijui ni kitu gan wasafi wananufaika na machoko,maana wameyajaza pale.
@beyondintrusion16638 ай бұрын
Ww ni mkamilifu?
@AshuuuBakari8 ай бұрын
Yaaani ktk vifijo cha juma ndio kinasikika kigelegele kama jike
@BahatiSunga-yk9qf8 ай бұрын
Hongera Sana
@kimah98558 ай бұрын
Hongera kwao ❤❤❤❤
@naimamohamed22168 ай бұрын
Jamani hiyo ni ibada tukufu kwann mnazungumza maneno machafu
@darajalakidatukilomgi23628 ай бұрын
Wahuni wamejaa ata heshima hakuna
@omanmct1358 ай бұрын
Aaallah awadumishe
@JanetAhmad-v3h8 ай бұрын
ndoa sawa kudumu njo nasubili tu sijui kuna jini gani
@rukiaiddyyahaya95068 ай бұрын
Ngoja ramadhani iishe utasikia wameachana
@missindependent18938 ай бұрын
🙄🙄🙄🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️
@zubedasaif33248 ай бұрын
Ramadan imewadia
@stevenchai-h6i8 ай бұрын
@Musangwe oficial....sky naomba ufatilie hio community ambayo inapigana pila protection yoyote na inakusanya kijiji
@yasminoluoch1698 ай бұрын
Mashallah ❤❤❤❤❤
@mwanaishaabubakar50138 ай бұрын
Wanadamu hawana jema. Ukizini watasema, ukiolewa jambo la kheri utasema. Weye uliyesema mmezini halafu ndio mnaowana ilitaka je? Aendelee kuzini au?
@evelynemugeni23698 ай бұрын
👌👌👌
@AbcD-bn1nz8 ай бұрын
Hao ndo watu 😂 ishi vile ujuavyo
@rosemahenge90718 ай бұрын
Hao ndiyo binadamu mwaya wana rangi nyingi kama kinyonga😂😂na ni nani ambae huwa hazini kisha anaolewa,wengi tu huwa tunayapitia hayo
@yasminoluoch1698 ай бұрын
Yani hawana jema kabsaaa wallah
@XerinLogistics8 ай бұрын
Sio hawana wema kuna vitu vengn mua mnangalia na upand wapili?hii ni ndoa yangapi kwa Esma? Zaid hata ya nne? Kwaio itakua kazi kuolewa na kuachana na kuolewa tena mwisho wake lini?fikiri kbl ujaropoka
@shantellemwanakombo37038 ай бұрын
MashaAllah ndoa ya3
@fathiyahmuzney73678 ай бұрын
Ya nne😂
@ukhutfatumah11548 ай бұрын
Mashallah mashallah
@OmanOman-p4t8 ай бұрын
Allah aidumishe ndowa yake
@Naju6458 ай бұрын
Allah awadumishe
@zeshsulesh60848 ай бұрын
Ndoa haitangazwi,huyo zuchu haolewi hapo
@OmanOman-iu7jf8 ай бұрын
Kizuchu kimependeza
@noel32908 ай бұрын
Esko we ongoza maombi, sisi tumuombee esma ilhali we una 🎤
@princessprincesss25958 ай бұрын
Yani drama tu anajifanya kama hawajuwani vile full kuona aibu😂😂😂 jamani bongo ipo juu
@zeshsulesh60848 ай бұрын
Ramadhan mwezi ujao
@shadiwaigwa92308 ай бұрын
Tunawaombea wa baraka,
@setiseti52818 ай бұрын
Dadaangu ongora sana
@Mlasidunia8 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@RandB_Channel8 ай бұрын
Kufunga ndoa tu bahati unayo lakini sasa kudumu njo kuko kasheshe kubwa mmmm . Bada ya siku mtaanza sikiya vijembe sisi macho yetu tu
@MsAggie58 ай бұрын
Mitandaoni 😂😂
@vero578 ай бұрын
NASIKIA SAUTI YA JUMA HAPO NA MASHA LOVE, KHAAAA!!!! ESMA NDOA ZINA TOSHA JAMANI 🤣🤣🤣🤣
@georgenzai13558 ай бұрын
Ameolewa na Mmakonde....unacheza na mjomba msumari weweeee mkitoka moja kwa moja hadi Mtwara akalime korosho😅😅😅😅😅😅
@missindependent18938 ай бұрын
😂😂😂😅😅😅😅😊😊😊
@damariszuckschwert94898 ай бұрын
Wanaume wanauthubutu...,hii movie au??
@robertphilip3858 ай бұрын
Wasani bwana ndoa zao zinadumu mbili
@FatmaOmar-zl7cq8 ай бұрын
Juma nini lkn
@mariamkimtai6938 ай бұрын
Atulie sasa ameolewa sana 😂😂😂😂😂 kila mwaka dada haji manara
@missindependent18938 ай бұрын
🙄🙄🙄🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️
@zarinayusuph42528 ай бұрын
Hapo anasikika juma lokole
@jamilajamila96828 ай бұрын
Jamani juma lini na wewe utaowa?watu waje kufuturu kwako pia ramadhani hii inshallah
@aminathaabubakarmasoud5658 ай бұрын
Mke uji huyo 😂😂
@aisharamdan83588 ай бұрын
Kituo kinachofata chakulelea watt diamond haoi Leo wala kesho
@sabihaibrahim1438 ай бұрын
subutuuu aowe mondi freemason wamuuwe sekunde
@Mariam-fm8vq8 ай бұрын
Maskini zuchu bado ni mpira wa zoezi kwa mondi😂😂😂😂😂😂😂😂
@emmanuelmchomvu26768 ай бұрын
Kujidai dini yenye haki ushubwada mtupu kila siku kuolewa kuachika n swala l Kawaida, mwez mtukufu umekarbia after apo yupo kwnye kuzini, kila mtu amini anachokiona kipo sawa tukutane mbele uko
@fatmaZakiya8 ай бұрын
Dini inaruhusu uolewe kila ukiachika au kuachwa na sio kuzini miaka kumi ndio kuowana na hiyo ndio haki kama haikuhusu usiikosoe ama silimu usome uijue vizuri
@zeshsulesh60848 ай бұрын
Hilo lichoko juma linaboa hapo
@KarabatakMustapha8 ай бұрын
Wanao oza ndo wataanza vidomo domo
@abdulbandidu1198 ай бұрын
Choko ni choko tu
@MsAggie58 ай бұрын
Makelele mengiii tumsikie yeye tu hata aibu haoni 😂😂
@yusternyirenda72318 ай бұрын
Ndoa ninayoiomba ni ya diamond na zuchu tu, hizi zingine za kujirudia rudia hazina mvuto 😂😂😂
@zuhurayusuph48268 ай бұрын
Nimechoka hapo zuchu kaambiw tupishe Wana familia tupige picha
@mwanaishaabubakar50138 ай бұрын
Hii ndoa haina utilivu fujo hakuna nidhamu ya uislamu mmepeleka huyo baradhuli Mauzinde wa Dar domo limeregea kama merenda wa mgagani. Haipendezi fujo kama mko Kariakoo ovyooo kama mpo Kariakoo Sokoni. Weye utaowa au utaolewa
@fathiyahmuzney73678 ай бұрын
Ndoa ya nne utulie sasa😂😂😂😂
@salomewandya72578 ай бұрын
Juma sikuwezi🤣🤣🤣🤣
@NassimAliahmed8 ай бұрын
Hhhhhhh wounafiki tuuuu diamonde ana olewa n'a aliyah😅😅😅
@OlgaAmboulou8 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@salomewandya72578 ай бұрын
Jembe ni Jembe manager wa Hamo??
@fettyrashid90428 ай бұрын
Meneja wa yule kijana aliyeimba mapopo popopoo, sijui unaimbwa hivyo kuimba siwezi
@ngoni79448 ай бұрын
Unasema haina mbwembwe, subiri wakifanya pati reception ndio utaijua hii familia kila kitu Chao ni michango, watachangisha tuu watu
@@rereshap9416 hii familia ya diamond kila birthday ya kila mwanafamilia wanachangisha kwao na valentines day. Michango kwao ni miradi
@MariamAbdullah-q6x8 ай бұрын
Juma twasubiria yakwako inshallah 😂😂😂😂
@theblessedone75268 ай бұрын
😂😂😂hivi huyu Esma bado anasema ana sehemu za siri???
@missindependent18938 ай бұрын
🙄🙄🙄🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️
@emmanuelnyakunga83208 ай бұрын
Ikiisha Ramadhani wanaachana tu hao😂
@sabihaibrahim1438 ай бұрын
😂😂😂😂 za kufungia hizo
@mwanjumajongette81878 ай бұрын
MUNGU amdumishe kwa ndoa yao
@awatifalghanim11068 ай бұрын
Anapo sowema Haifa zogooooo.
@kmotivation11308 ай бұрын
angetakiwa kuolewa na Haji manara
@gracewairimu8008 ай бұрын
Nawaombea hii idumu
@damariszuckschwert94898 ай бұрын
Juma lokole anaita mwanaume mwenzake jembe? Kweli siyo riziki
@vero578 ай бұрын
HII NI KWELI AU ???? MBONA MAKELELE HIVII??????
@abdhillahijjuma86338 ай бұрын
Juma lokole anatamani aolewe yeye
@RoverRoom8 ай бұрын
Kesho tu atachoka kimya kimya😂😂😂hakuna wakuoa ama wakuolewa kwa nyumba ie ni Kiki za ndoa tu
@jacqueli188 ай бұрын
Waislam wape ndoa na ubwabwa umewamaliza😂😂😂
@hawaramadhani69548 ай бұрын
Unapenda uzinifu ww....y uitaje dini hapo ??? Ndoa ni ibada,ni riziki kuna wanaozitaka na wanakosa wengine huenda Kwa waganga ila wapii hakuna mwanamke anayependa kuolewa na kuachika vingine hakuna namna uteseke ukae tu haya nyie na dini yenu ya mwili mmoja halafu tunashangaa mtu akifa hamzikwi pamoja khaaaaaa si mzikwe wote sasa
@AmedeusKessy-o1h8 ай бұрын
UISLAM NI DINI YA AJABU SANA WAO KUOA NA KUACHA NI JAMBO LA KAWAIDA SANA,UYO KAOLEWA SABABU MWEZI WAO KUFUNGWA SHETANI UMEKARIBIA ,BAADA YA HAPO ANAACHWA TENA
@chikusangalala77598 ай бұрын
Wanafi hakuna zuchu wala nini ni tanasha tu
@AshuuuBakari8 ай бұрын
Juma eti Queen zingatia tumbo 😅linani
@sabihaibrahim1438 ай бұрын
itakuwa mimba pengine
@sikudhanimohammad76928 ай бұрын
@@sabihaibrahim143ndy ana mimba. Amechoka kabisa
@sabihaibrahim1438 ай бұрын
@@sikudhanimohammad7692 ohoo mtihani
@maligeltabatholomeo81288 ай бұрын
😂😂😂😂juma na zuchu sauti nazisikia zakishambenga😂
@karaniomoit52598 ай бұрын
Huyu anaolewa mara ngapi hahahaha
@sabihaibrahim1438 ай бұрын
si anaachwa anaolewa bora lakini kuliko kuzini tu zinaa ni uchafu
@aishaahmed50288 ай бұрын
Naona kasoma msahafu mzima 😂n vp mtu anasoma na watu wanafanya zogo hivyo ilikuwa iwe wakae kimya
@RehemaMbogo8 ай бұрын
Hapo namsikia t jumalokolee
@Rody4508 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 anaolewa kila siku angetumia akili apate mtu wa kumkula tu jo umarufu na utajiri imemuingia akilini haezi akaishi kwa ndoa
@Chettymlambalipsi-lb9km8 ай бұрын
Kabisa 😅😅😅
@zainabwage46588 ай бұрын
Bd ya lokole lin anaolewa 😂😂😂rafik yake kaolewa yeye anasubir nn?
@sabihaibrahim1438 ай бұрын
ataowa ni mwanaume yulee
@mohdmohd84288 ай бұрын
Lokole poor poor😢😊
@chikusangalala77598 ай бұрын
Esma kama manala mtu na kaka yake
@rizikiabdalla25018 ай бұрын
Punguzaaa ukali wa maneno
@Bravo-or8oy8 ай бұрын
Mwaka wa pili huu wanasema hivyo hivyo ndoa ya Zuchu na mondi inakuja soon🙄wafanye kweli waache longo longo siku hazigandi
@Maryam-vj1rb8 ай бұрын
Wame zini alfuharusi😂😂😂
@sabihaibrahim1438 ай бұрын
mzinifu aolewe na mzinifu mwenziye ndo hukumu yake
@bigbro-my6xj8 ай бұрын
Ukizini tu hautakiwi kufunga ndoa?? Je wewe uliolewa ukiwa bikra na mumeo na yeye alikua bikra hivyo hivyo au ndo umeamua kutoa yako ya moyoni kwa esma
@sabihaibrahim1438 ай бұрын
@@bigbro-my6xj akiingiza dini usikasirike ila kuzini ndo mufunge ndoa sio vizuri na mashekh wengine wanasema haifai ila ipo fatuwa inatumika waowane kuliko kuzini kwa iyo usikasirikiye maneno ya Mungu
@bigbro-my6xj8 ай бұрын
@@sabihaibrahim143 sawa ni vyema wameoana
@lilyjones35848 ай бұрын
Huyo Esma kila siku anaolewa!!! Hebu watuache! Kiki zao zinaboa