Ukuwe unatuleteya hizi historia Kila mara baba Yetu SKY# we love you ❤️🇨🇩
@Gabby-jm8 Жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌🙌
@bigirumanalululouise4540 Жыл бұрын
❤❤❤❤❤
@aminaabdallah3644 Жыл бұрын
Cr7🔥🔥
@hassanbakari4525 Жыл бұрын
NDUGU ZETU KINA MESSI WATUPISHE TENA,,VIJANA NAO WATENGENEZE HISTORIA..AMBANDUKI
@yamusahmasoud9107 Жыл бұрын
Sky kaka good job ww chakula yaufahamu wetu kaka
@samwelkitinx588 Жыл бұрын
SnS Big up 💯 nime penda ii 🫡💯
@ahmedhafidh3515 Жыл бұрын
Ushauri kaka Sky....Unapoelezea jambo linalohusu namba, au idadi y pesa basi weka izo namba au idadi y pesa kwny screen...hii itawasaidia watu kufaham zaid..kuliko kusem kw manen matupu. Shukrn
@SaadaomaryHusseinАй бұрын
Hatariiiiiiiii
@thompsonkiputa6842 Жыл бұрын
CR7 is 🔥
@ARAFATVSHOW Жыл бұрын
wow 💙💙💙🤍🤍🤍
@vailetheanyambilile9749 Жыл бұрын
😢😢😢😢😢😢Mbappe aise nime zaliwa naye mwaka moja 😅😅😅😅Vipaji vina lipa duuh 😂😂😂😂 Mwaka 24 anapesa zote hizo Bwana ni bariki na mimi Amen
@kassamruzuru4913 Жыл бұрын
😂😂😂 😂😂
@vailetheanyambilile9749 Жыл бұрын
@@kassamruzuru4913 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@luisojr3480 Жыл бұрын
Daaaa life iz not fair🤣
@vailetheanyambilile9749 Жыл бұрын
@@luisojr3480 🤣🤣🤣🤣Haki ya Mungu 🤣🤣
@abdulrasheedkhanke2317 Жыл бұрын
Hazard analipwa kukaa tu 😂😂 sijui mm nlikosea wapi?@skywalker kuna watu wananyota kaka😂😂
@luisojr3480 Жыл бұрын
Hakika kaka kuna watu wanabahati
@markkayuni9775 Жыл бұрын
Kweli mpira wa migu una pesa mingi lakini muziki unapesa nyingi zaidi mtu kama burna boy kwa mwaka anaingiza USD 100 kama angekua mchezq soka kwenye iyo list angeshika no 4 sio poa🙌
@khamiskhamis3108 Жыл бұрын
Ronaldo is life
@blackmamba7553 Жыл бұрын
Sijamsikia Samatta😢
@veryboyplatnumz3506 Жыл бұрын
Sky hizi news letaga kwa sana
@emmanueloinoth Жыл бұрын
taja wachezaji wa Africa wanaolipwa zaidi duniani
@faqueabdala4099 Жыл бұрын
Mo Salah
@MrderuloBibber Жыл бұрын
P,tau
@moseskulola6913 Жыл бұрын
Semeni Tena eti ule Messi anamushida Ronaldo..mashabiki wa Messi wa semeni Tena acheni Ronaldo Ni MTU mwenigine
@Fgldesigns Жыл бұрын
Hakuna aliye sema Messi anamshinda Ronaldo kulipwa pesa nyingi kwakuwa All Nasr walitoa pesa nyingi ili kushawishi aende na ndomaana alienda na bado yupo
@_evin711 Жыл бұрын
@@Fgldesigns ofa aliopewa messi kwenda uarabuni ni dau kubwa zaidi kumzidi ronaldo sema yeye anataka arudi barcelona
@abdulazizsharif2984 Жыл бұрын
Kwanza Christiano kampita Messi zaidi ya mara4 inshort mashahara ya Ronaldo unaweza kuwalipa wote wa 10 bora #* ❤ for him
@Aviero_07 Жыл бұрын
Oya mzee baba chukuwa soda apo nakuja kulipa.. SIUUUUUUUUUUUUUU 😂😂
@mfalmekaitaba2425 Жыл бұрын
Dah! Ronaldo anamzunguka Messi mara 4 ... Mpira unapesa aisee Lkn kumbukeni #Benzema kasaini mkataba na team ya Saud kwa mwaka atakuwa anaingiza £200m,nafikiri atakuwa nyuma ya Ronaldo tu.
@erickmillanei4346 Жыл бұрын
Hata hivyo Bado Ronaldo analipwa pesa nyingi 2 huyo mtu ni bAlaa
Mbona sijamuona Frankie de Jong wakati anaingiza mkwanja wa kutosha
@eliaskassim8321 Жыл бұрын
Unamlipa wew??
@enockezekiel4125 Жыл бұрын
Kwani hazard analipwa mshahara na tim gani currently...
@faqueabdala4099 Жыл бұрын
Real Madrid
@marcemarco3747 Жыл бұрын
HOCHO CHANZO CHAKO NI CHA KIPUUZI FATILIA MAMBO KWANZA NDO UTWELEZE UKITAA KUJUA UKWEL NENDA VYANZO VYA MAANA NDO UTAJUA VZUR HUO MWINGINE UJINGA TUU... MBAPE ANA HELA IPI AU MKWANZJA UPI WA KUMZID MESSI.???
@sulleyalmass9814 Жыл бұрын
Huujaambiwa mbape ana pesa nying kumlko mess unaambiwa anaingiza currently mbona kichwa chako kigum kuelewa mzee khaaa
@eliaskassim8321 Жыл бұрын
Wewe kichwa ngumu sana
@kulwanzobe7657 Жыл бұрын
Pesa nje ya uwanja kivp wanaingiza pesa??
@Majambo_Duniani_Tv Жыл бұрын
biashara, mikataba na makampuni mbalimbali hasa ya fashion na michezo