sheikh kaelezea vzuri kuwa aya yahusu vita vya tabuk kwa taarifa kuwa baada ya kurejea kwake vita taabuk wapo maswahaba wapo njiani wamwinda wamuue na mtume saww akapewa bishara akamwita SWAHABA HUDHAIFA NA kumwambia unawajua WANAFIKI? AKAMWAMBIA ANDIKA MAJINA YA WANAFIKI 12 na asimweleze mtu yeyote..
@أبوفيصل-د3ش10 ай бұрын
Hamynas wew ni muongo.Hakuna swahaba Aliyetaka Kumuua Mtume.Chunga sana Ulimi wako.Pia Wanafiki hawakuwahi kwenda Vitani.kama Quraan inavosema
@hassanmsangi41495 ай бұрын
kumbe mashekhe wengi wa kisuni wanatakiwa warudi madrasa kusoma historia ya uisilam hili ndio tatizo lao kubwa hawaijui historia ya uisilam
@FrankGiroli Жыл бұрын
Shekh ujumbe wako una hekima,ucha mungu,na uzalendo ndani yake!!, hapa hakuna waislamu wala wakristu?!!!! ss wote ni wamoja na mungu wetu ni mmoja hakuna mwenye mungu wake hapa,mm ni mkristu,na mungu yupo nyuma yenu kwa watu kama wewe!!
@jamalsalum8726 Жыл бұрын
Wanaafiq(Mashia) 1 na sera yao ya TAQIYA
@maulidmnukwa3171 Жыл бұрын
Watu Kweli wamechoka
@MohammedMashaka-wk6yd Жыл бұрын
Shekhe huyu mm nataka kuja kusoma kwako
@AhmedAli-gh1lm Жыл бұрын
Sheikh wangu kwa nini usifanyike mjadada au munaqasha wa wazi na hawa watu tukaonesha makosa yao na pia kuelimisha umma juu ya upotofu wao?
Hawa Shia bila kujichanganya nasisi hawapati kuungwa mkono
@abujaffar2153 Жыл бұрын
Sheikh wacha kudanganya watu yaani watu wauone kisha iwe kujitahidi
@abdalamakajula3883 Жыл бұрын
Sheikh Pumbavu...
@mohdkhatib223 Жыл бұрын
Mashia ni makafiri 100%
@hassanmfaume4522 Жыл бұрын
Wewe ndio sufaha..!
@ustadhisampakatema3812 Жыл бұрын
Huna jambo ww tulia dawa ikuingie...
@abubakarmustwafa8662 Жыл бұрын
Pumbavu babaako na mamaako,wenye mtoto baradhuli mfirwaji,kama weye Mshia
@swalehemrombo9301 Жыл бұрын
Mpumbavu ni wewe ambae mpk Leo hujaiona haki Bado uko ktk ujahilia wa kishia.!!
@JailaniRamadhan-it3kp2 ай бұрын
Shekh samir mi ninakuomba kuliko kuwahutubia waumin wako hawo hayo unayodai ni madudu ya shia hali ya kuwa hawo wa umin wako 90 hawajui hata kuswali tafuta mda hapo hapo tanga kunavyuo vya kishia vingiii nenda hapo au andika barua waambie mkutane uwanjani waje waumin wako wooote na mashia waje alf ufanye nao mjadala kwa hayo unayodai ili waumin wako wapate kukuamin zaud😅😅😅
@hamynas Жыл бұрын
kuhusu kunyamaza maovu ya maswahaba waovu sijui imekaaje maana desturi ya ALLAH na QURAN haipo hivyo...waovu woote waliopita wametajwa ktk kur an na maovu yao yametajwa kinagaubaga..nyinyi mna imani za kuunda unda sana masheikh wa hovyo kabisa
@c.e.o_abdiroush Жыл бұрын
Kuma ww mshia mkubwa Makafiri nyinyi2
@hamynas Жыл бұрын
@@c.e.o_abdiroush hayaa bingwa wa matusi kaingia ooh shia wana midomo michafu huu hapa vepee? ha ha ha haaa
@abuu_hassanaini176 Жыл бұрын
Mashia wachafu kama hilo lijalala kama jina lake nakilemba kama tairi ya trekta lajifanya jema kuma litukanaji kuwatusi maswahaba zetu acahanen na sisi , hatupo pamoja nanyi .
@i.dclassic116 Жыл бұрын
Toa ushaidi wa maswahaba waovu
@mkude Жыл бұрын
Hela za Iran hizo zitawatokea puani,nyinyi ni waovu wakubwa, na wala sio waislamu
@hamynas Жыл бұрын
sheikh pia kaeleza uzuri kuhusu ali a.s kuruhusu nguzo ya dini kuvunjwa akatulia tulii.. mbona watu wa MUSA A.S walivyoachwa na HARUN A.S waliandaa sanamu la dhahabu na wakaiwacha DINI KABISAA( SIYO NGUZO YA DINI) wakawa wanaabudu SANAMU BADALA YA MUNGU na harun hakufanya kitu na MUSA alivyokuja akamuuliza mbona hukuwakataza?akasema walitaka kuniua...SASA SHEIKH UNAYEONGEA KAMA SHOGA HAPO hivi vitu hivi huvijui?
@mdoemhando3436 Жыл бұрын
Tumia lugha nzuri tu kama unakusudia radhi za Allah wala huna haja ya kutukana
@hamynas Жыл бұрын
@@mdoemhando3436 sheikh anajifanya kichwa ngumu na mapozi yake ya uongeaji hayo sijui vepee
@mohdkhatib223 Жыл бұрын
Nguruwe wa kishia hawana hoja kwa ahlusunna waljamaa
@hamynas Жыл бұрын
@@mohdkhatib223 asli ya ahlusuna wal jamaa ni nini na lini ?hebu tuanzie hapo kwanza tujue mumetokea wapi AHLUSUNA WALJAMAA
@abuu_hassanaini176 Жыл бұрын
Kwann ya husein kwann isiwe ya Allah ! washirikina nyinyi na hamna adabu na hao masheikh zenu tooooka jinga we
@hamynas Жыл бұрын
sasa sheikh akuue nani na una lipi la kuuliwa au unajikweza tuu..wewe watafute washia masheikh zao wameshasema wanahitaji mijadala na nyie siyo kazi kuwahutubia waumini ambao asilimia 90 hata wudhu hawaujui hata ukimuuliza wewe suni wa imam gani ?anaropoka tuu mimi suni shafii..hebu jielezee kwa nn shafii badala ya hambali?hata hajui wala hamjui huyo shafii ni nani hatari sana
@abuuyaasiriibrahimkyone.2911 Жыл бұрын
Kisu kimuvuka kikafikia mfupa, au mwiba umevuka kiatu sasa wachoma unyayo, maumivu ni makali kweli kweli. Jinga kabisa wewe. Sasa waropokwa kama harufu ya mzoga. Wewe jishia kubwa kabisa.
@saidkondo5112 Жыл бұрын
Mara ngapi wanaitwa katika mijadala hao mashia wanakimbia, hawaji
@hamynas Жыл бұрын
@@saidkondo5112 wapo pale makao yao makuu mkakae mfanye mjadala au sehemu iliyokua huru na wahuni wenu pia inafaa ninyi mna tabia ya kujaza wahuni na kufanya fujo mijadala inakosa heshima na adabu
@hamynas Жыл бұрын
@@abuuyaasiriibrahimkyone.2911 hoja iliyopo ni kuwa mawlid siku hizi hazivutii bila kuwaalika masheikh wanaowatukana mashia hamuna ajenda wala mnachofanya zaidi ya matusi na shutuma kwa mashia ilihali hizo shutuma zinawarejea ninyi wenyewe
@hamynas Жыл бұрын
@@abuuyaasiriibrahimkyone.2911 mfano unafiki wa maswahaba umeandikwa ktk vitabu vya kisuni hayo mnasema mapungufu ya quran imendikwa ktk vitabu vya wasuni wenyewe pale mama aisha anaposema kuna sura imeliwa na mbuzi