HEKAHEKA: DSM isivyoishiwa vituko…hiki kimetokea baada ya mwanamke kutotimiza ahadi

  Рет қаралды 80,189

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

May 16, 2017 Mtangazaji Geah Habibu kupitia Leo Tena ya Clouds FM ametuletea Heka Heka ya mwanamke ambaye alitoa ahadi lakini akashindwa kutimiza ahadi hiyo hivyo kupelekea wanawake wenzie kumjia juu Inadaiwa kuwa mwanamke huyo aliahidi kutoa beseni kwa ajili ya mtoto wa rafiki yake kwenye sherehe lakini hakufanya hivyo

Пікірлер: 247
@naimanurdin8984
@naimanurdin8984 4 жыл бұрын
Msiba huu jamani wanawake wenzangu Allah atujalie Yenye kheri juu Yetu Ameen
@fatwimamakungu5456
@fatwimamakungu5456 7 жыл бұрын
Hahaha kawakomeshaa hahaha kanigurahisha kuzaa ww utegemee beseni kwa shost hahaha AMSHA DUDE HAHAHA
@misskenyamiss2892
@misskenyamiss2892 7 жыл бұрын
Subhanallah Wanawake hatuna Aibu kudhalilishana sana huku
@ameenaameena1600
@ameenaameena1600 7 жыл бұрын
😅😅😅😅Hadi lakuongeaa nimelikosaa Kwa kuchekaa Jamani munayawezaa
@happiliciousdiva9767
@happiliciousdiva9767 7 жыл бұрын
Ameena Ameena 😂😂😂😂😂😂😂😂Umetoa sadaka sio mbayaaa
@afrahoman2844
@afrahoman2844 2 жыл бұрын
Iyo tama unatamaa nauwezo una 🤣🤣🤣🤣🤣🤣bongo laha sana
@samirasamir7734
@samirasamir7734 7 жыл бұрын
ujinga uo mnapenda kujitoa faham tuu uyo alo zaa ndo ajielewi unakopa ela kwa shughuli 😅😅😅😅😅
@rehemaalu2320
@rehemaalu2320 7 жыл бұрын
nani mjinga hapo
@khadijawendomwachirenje3513
@khadijawendomwachirenje3513 7 жыл бұрын
watanzania mwanifurahisha jamani 😂😂😂😂😂unakopa Pesa Laki tatu hiyo NI 15 k za Kenya hii aibu jamani unabeba Mimba ukitarajia mtu akupe beseni
@aminarajabu5827
@aminarajabu5827 4 жыл бұрын
Mh!
@eashaeasha9776
@eashaeasha9776 2 жыл бұрын
Tuache 🐜
@emmypc8362
@emmypc8362 5 жыл бұрын
Hahahahahaha wamewezwa hakiamungu unajipapatua kwa beseni la jerani🤣🤣🤣🤣🤣
@rithamario7951
@rithamario7951 4 жыл бұрын
Shule muhimu ujinga muondolewe yani ujinga mtupu hasa mwenye mtoto ndio umeniaibisba looooh🙄
@blesseddeebrownie7334
@blesseddeebrownie7334 5 жыл бұрын
kwani mm ndo sielew au ..beseni beseni hili la kuogea au beseni gani...😂😂
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 5 жыл бұрын
Uko gozani kama mimi🤣🤣🤣🤣🤣🤣 beseni lafanyiwa party ya laki 5.
@halimaabdi2026
@halimaabdi2026 5 жыл бұрын
Blessed Dee Brownie 😂😂😂
@tumainpeter3805
@tumainpeter3805 5 жыл бұрын
Yan hata mm ndo nataka niulize hahahahaaaaa
@esthermadauda3012
@esthermadauda3012 5 жыл бұрын
Yaani Geah hata wewe unashitakiwa,na huyo, mtangazaji mwenzio mwanamke mwenzio anayechonga sanaaa kisheria wote ndani
@dottnatt7110
@dottnatt7110 5 жыл бұрын
Wanawake shikamooo🙌 mtu unakopa laki 5 halafu unaletewa beseni la elfu 50🙌🙌🙌
@ezequielgamba6952
@ezequielgamba6952 7 жыл бұрын
ndyo maana nasemaga wanawake wengine hawanaga akili sasa ww unaenda kukopa hela laki tatu kwakua mwajuma ndala ndefu anakuletea beseni hlo beseni ni shilingi ngapi ya huyo dada ambaye ajakuletea beseni kakukomesha kwel unataka ulibwe hii vpi ww ulitaka makubwa kuwafurahsha watu washafurai kakae kitako uitafute hela uliyo kopa uludishe usichinje ng'ombe kwa oda ya utumbo upooo
@alialesry5131
@alialesry5131 7 жыл бұрын
hata mimi nashangaa hizo pesa za kununua mchele Angenunua beseni ...jinga hilo mama mtotot
@neemakilomoni4258
@neemakilomoni4258 7 жыл бұрын
Uswahili ume wazidi acha yakukute kumbe shughuli ume kopa ovyooo 😠😠
@happysamweli4438
@happysamweli4438 4 жыл бұрын
vitu vingine bna sasa gharam zote hizo si angenunu mabesen hata kumi aya mambo ya mashostiiiiíiiiiii😂😂😂😂😂😂
@stellandeka4739
@stellandeka4739 5 жыл бұрын
Naishi uswahilini lakini huo upuuzi sifanyiiii,
@stephanozibe2740
@stephanozibe2740 6 жыл бұрын
Geah H wew unajua kuanika majamboz
@najmacharles3233
@najmacharles3233 Жыл бұрын
Huyo mweny mtoto Tahira mimi nikajua wao walishampa hela kumbe hawajampa kumanina zao wote na wew Geah uwe makini na kipindi chako ukiona hivyo unaita hata polis kata yeye aliotoa ahadi mungu akumjalia ridhki wesenge wote wamuache dada wa watu kupenda shuhuli hela hamna wadangaji nyie walikopa hela hao mbwa kabisa hao😏😏😏😏😏
@salhamm742
@salhamm742 7 жыл бұрын
hee mtengemea cha ndungu hufa masikini eee chezea umbea ww Uwiiiiiii mbavu zang mee
@azzahussein5292
@azzahussein5292 6 жыл бұрын
HASARA KWA WAUME ZAO WAMEOA WAKE VIMEO UKIONA UNA MKE KAMA HAWA HASARA TUPU HAHAHAHAH
@salharunguma4210
@salharunguma4210 2 жыл бұрын
Sasa yy alietaka kuleta besen kwnn acandae yy mwnyw hy sherehe jaman🙄🙄mji una mambo huu
@salmeally4464
@salmeally4464 4 жыл бұрын
cc wanawake cku zote hatuna akili apo ukute hy mama mtoto anaishi ktk nyumba ya kupanga na hana ata kazi anaenda kukopa hela ya kufanya sherehe kisa analetewa kibeseni haaa😂😂😂😂hy hela alofanyia kibeseni c angefanya mtaji wa biashara kweli akili ni nywele😂😂😂
@verohmchihiyo5029
@verohmchihiyo5029 5 жыл бұрын
geah bhana et sare zenu zilikuwa nzur😂😂😂
@aminarajabu5827
@aminarajabu5827 4 жыл бұрын
😂😂😂😂
@alexandrinadomaino1085
@alexandrinadomaino1085 7 жыл бұрын
Upuuzi tu kuna wanawake wengine sijuhi veeepeee
@reemiiomar9386
@reemiiomar9386 7 жыл бұрын
mutaka kuingaa kina zari n mambo hamuyawezi bora ukasubiri ukazaa salama ukasubiri hz zawadii 😂😂😂😂😂z mtoto
@asminikika9618
@asminikika9618 7 жыл бұрын
yani huyo mama mtt ovyo sana ukopehela kwajili yashuhur pumbavuuuuuuuuu......
@thresherjordan6829
@thresherjordan6829 4 жыл бұрын
Ana saut kama ya ebitokeeee uyooo mletaj besen
@humaidalnaamani4183
@humaidalnaamani4183 4 жыл бұрын
Hii yaonyesha dd mzazi aonyesha alikuwa hakufanya chakula wala kitu chochote waonyesha alikuwa ana tafuta vya bure
@officialsalmazayn2938
@officialsalmazayn2938 5 жыл бұрын
Sijapata Beseni Sijapata Bakuli 😂😆😂😆 Aiseee Niache Niendele Kuwana kirafiki Na Wafulana maan Wasichani Sisi Mmmh 😤😤😤
@eliaserick1237
@eliaserick1237 7 жыл бұрын
yani wanawake nyinyi dah sasa izo pesa alofanyia yote ayoo c angenunua besen, alafu mnasemag mkiwezeshwa mnawez wakt akili zenu zipo vicginoni
@mamuuomar2596
@mamuuomar2596 7 жыл бұрын
hahahaaa nywele pia zanyolewa jamani mbavu zangu nihoi 😃😃😃😃😃
@jenyjenny7709
@jenyjenny7709 7 жыл бұрын
Hussein Uko Right 100% Wadada Wa kibongo akili Hamna ya nini kufanya Party utegemee beseni kwa shoga? Verry stupid dada ungewashtaki polisi malaya hao hawajielewi na uhakika Hata shule hawakusoma, idiots🖕
@halimakayuni2516
@halimakayuni2516 4 жыл бұрын
Dada
@levinamushi270
@levinamushi270 5 жыл бұрын
Sasa gharama za beseni mbona ni ndogo kuliko gharama alizotumia si bora angejinunulia tu ayo mabeseni 😂😂😂😂wanawake wengine jmn
@mwanahalimamwachili9679
@mwanahalimamwachili9679 7 жыл бұрын
Haki nyi wa mama kweli hiyo ni haki kweli,Mnamdhalilisha huyo mama then awalipe.hiyoo haiwezekani ungetaka kulipwa usingemfanyia hayo.usingechukuwa sheria mikononi,Wewe mdada nenda kwa vyombo vya sheria kwani mliandikishiana mmmmh haiwezekani.
@annamunishi8944
@annamunishi8944 7 жыл бұрын
Hahahahahaaaaa
@dainessgwatitmwendawazimum7065
@dainessgwatitmwendawazimum7065 4 жыл бұрын
Wanawake tunamambo mungu tunusuru
@nikitadiamorelivingstone2831
@nikitadiamorelivingstone2831 7 жыл бұрын
uswahilini ni nomaa, mimba ubebe wewe, mtoto wa kwako, beseni nikuletee mimi, aibu tupu, hizo pesa za shughuli si ungenunua beseni la mtoto.
@mamawa3mamawa321
@mamawa3mamawa321 4 жыл бұрын
Kabisa na angepata vitu vya kutushaa
@fatumaomari8115
@fatumaomari8115 6 жыл бұрын
Haaaaah me nitaleta siniaa kabisa wanawakee tuache kungoja vya kupokeaa bavuu zangu kabilaa gani huyo dada aliyepewa ahadii fekiii
@kitonekantasha1687
@kitonekantasha1687 7 жыл бұрын
Musa na simama na weewe pia sasa besen la 15 tu na laki 3 wapi na wapi jaman 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mie naenda Polise tena naenda kufungua kesi sim ya maana wamenichukulia
@abbyalex2598
@abbyalex2598 4 жыл бұрын
nyia ni hatari
@abbyalex2598
@abbyalex2598 4 жыл бұрын
😆😭
@dottnatt7110
@dottnatt7110 5 жыл бұрын
Sasa hiyo lak 3si ungemtoa mtt shopping ya nguvu😀😀 yaan unakopa pesa lak 3 unaletewa beseni la elfu 40
@ريهامالسريري-ل1ص
@ريهامالسريري-ل1ص 7 жыл бұрын
Hahaha da gea et sare zenu zilikuwa nzur wadada wabong buana
@tracyjustice1600
@tracyjustice1600 7 жыл бұрын
yule aliyeimba hile nyimbo ya Vituko uswahilini ajakosea eeeh! Mimba yako mtoto wako unataka watu wakupe beseni only in Tanzania mambo haya
@namirihamisi3899
@namirihamisi3899 4 жыл бұрын
ujinga huo mchele kilo.mia ni sh. laki mbil hujamnunulia mwanao nguo za kuvaa? pumbavu mkubwa kwani lazima hata kama kakuahidi si lazima kukupa.
@waukweelinikkon6555
@waukweelinikkon6555 7 жыл бұрын
kweli wanawake wa tz aibu,kutwa mmekalia shuhuri
@mamujally3814
@mamujally3814 7 жыл бұрын
hakuombwa alitoa ahadi mwenyewe ataleta hilo beseni(kwetu Mombasa tunasema hidaya)makosa sana jambo huezi yanini umuahidi mwenzio tena kwa simu anasema yupo njiani anakuja. huyo shogayake pia ana subra mm ningemuanza na makofi mjinga huyu
@rukiaiddyyahaya9506
@rukiaiddyyahaya9506 4 жыл бұрын
Mungu wangu nimecheka mpaka mbavu zangu
@zaitunabdala8170
@zaitunabdala8170 4 жыл бұрын
Jamani muacheni Musa kaenda kufata kigoma hahhaaa
@GjfffFhfdg
@GjfffFhfdg Жыл бұрын
Musimlaumu mama mtoto kwasababu Hawa watu wanajuana uyo alieaidi beseni ndio mwenye makosa
@sabinaraphael2064
@sabinaraphael2064 7 жыл бұрын
Hao ndo wanawake wa dar me napita
@nadyahassan7924
@nadyahassan7924 5 жыл бұрын
kula kwako cho wategemea kwa rafik hahaha siku nyingine mkome kutegemea kwa mtu
@froridaanthony3278
@froridaanthony3278 3 жыл бұрын
ahadi ni deni ayo mambo wanajuana yanavyofanyika
@saumuhassan1365
@saumuhassan1365 7 жыл бұрын
Mmmh! Hatareeee sana
@kadhiaally4530
@kadhiaally4530 6 жыл бұрын
Na kama wanamjua uyo dada tapel kwann walimwaminiiii waliyatakaa
@pendoellytarimo2387
@pendoellytarimo2387 5 жыл бұрын
Fala kweli usimlipe hata mia kuzaa uzae wew besen kwa hhhhhh
@khyrahasaleh6120
@khyrahasaleh6120 5 жыл бұрын
Pendoelly Tarimo hhhh
@husnaiyasulesh4687
@husnaiyasulesh4687 3 жыл бұрын
Sasa kama ulimjuw kwanin ulifanya yote hayo wakat ushamjuw ndiyo tabia yake akiahid atoi alaf anakwambia nakup besen unakop pesa huna akili mama alaf hujawah kumtunz alaf wew u atak utuzwe uliskia wapi bibie
@officialsalmazayn2938
@officialsalmazayn2938 5 жыл бұрын
Ndomana Me Sipendi Kirafiki Na Wanawake 😤😤😤😤😤
@rosemarybenjamin5866
@rosemarybenjamin5866 7 жыл бұрын
jaman kwan kibesen ndo Nini?!!m nilijua besen ni dishi ama nn
@aboudousalim1566
@aboudousalim1566 7 жыл бұрын
kayataka uyoooo
@memisaphusseni7190
@memisaphusseni7190 5 жыл бұрын
Ni hidaya Kenya tunasema ivyo
@deborahelling9579
@deborahelling9579 6 жыл бұрын
Misenge kweli yani lak5 zima unatumia kununua vitu why usingejinunulia yor self vya mwanao kawapatia sana 😂😂😂😂😂😂😂😂Next AMtofanya upumbafuuu ovyoo ukatumie lak5 ukategemee besen kwa shoga ujui sikuizi magu kabana 😂😂😂😂😂
@hooralshehhi2460
@hooralshehhi2460 7 жыл бұрын
mwachekesha nyinyi 😅😅😅😅😅
@dianacharles8147
@dianacharles8147 4 жыл бұрын
Naomba husininyoe nywele🤣🤣
@sabinaraphael2064
@sabinaraphael2064 7 жыл бұрын
Mmmh ninoma
@ummyissa4622
@ummyissa4622 7 жыл бұрын
kukosa kazi huko @mfyuuuu
@zuuniece6635
@zuuniece6635 7 жыл бұрын
huyo shoga huyo wakukamata na kutandika fimbo cheza hahahahahah ctaki shoga mjini mie
@namirihamisi3899
@namirihamisi3899 4 жыл бұрын
laki 5 umeifanyia khasara halafu ukae na njaa
@happinessfrancis6916
@happinessfrancis6916 7 жыл бұрын
Wanawake wengine ni sheeeda kama wajinga unashindwa kufanya vitu vya maendeleo unagombea ujinga ingekuwa mm sitoi chochote maana ni upuuzi mtupu
@salamaabdallah9726
@salamaabdallah9726 7 жыл бұрын
mnavisa sanaa
@daimavlog
@daimavlog 7 жыл бұрын
Musa mbishi vitu vingine hujui learn to take it easy. Ila hii kesi imenichekeshe. Beseni ndo kwanza nalisikia hihii
@zaudatmakula3454
@zaudatmakula3454 7 жыл бұрын
na nywele za kumbu kumbu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@prisnainosent6846
@prisnainosent6846 6 жыл бұрын
wanawake munaongea sana munamatatizo kwani zawad lazima
@rachelanaeli6246
@rachelanaeli6246 4 жыл бұрын
Hahaa
@rayouaabdallah1394
@rayouaabdallah1394 2 жыл бұрын
Uyo aloahidiwa ni mjinga akili hana ww garama zote izo kwaajili ya kibeseni garama zote izo siiungeenda kununua mwenyeo
@fatwimamakungu5456
@fatwimamakungu5456 7 жыл бұрын
zuu niece ebu omba radhi haraka iwezekanavo sasa ivi sio wazaramo awa wasukuma na makabira yote wanapenda shughuri na kutunzana ss wazarama tume wachia wao tena ata wazanzibar wapo sasa ivi watu wanapenda kupewa ss wazaramo tunapiga kazi tunaingiza mkwanja wekaraga bao
@salomebenson5545
@salomebenson5545 6 жыл бұрын
Sipendi kuish uswahilin maisha sintoish uswahilini😕😕wazaramo nothing kabisa😂😂😂😂😂😂😂
@daimasaimon9913
@daimasaimon9913 5 жыл бұрын
Ukute sio wazaramo usijaji kabila la watu maana wanaojiuza ote si wahaya
@froridaanthony3278
@froridaanthony3278 3 жыл бұрын
jaman uswahilini
@kakasele1786
@kakasele1786 7 жыл бұрын
mussa Una vituko....ila ushaul wako sawa ahaaaa
@aishamnamba1064
@aishamnamba1064 5 жыл бұрын
Yani ngalama iyo ungemununulia mwanao nguo munyewe au munataka ufali ujulikane umepewa besen pole
@kitonekantasha1687
@kitonekantasha1687 7 жыл бұрын
sasa izo ulizo kopa siungenunua besen BASHITE WEWE mama mtoto
@sibawayhisalum2707
@sibawayhisalum2707 7 жыл бұрын
Kitone Kantasha1 hahahaa tatizo kaahidiwa bora alikuwa amwambie kweli tu
@kitonekantasha1687
@kitonekantasha1687 7 жыл бұрын
Mie nampa big up sana kwa ahadi aliyo ifanya iv inaingiaje akilini ugarimie ma laki 3 yote hayo eti kisa waletewa besen la elf 15 jaman mie ningeenda polis na hiv anaushahid wa audio ai jaman naenda tena na sema sumsung 7s wameuchukua
@sibawayhisalum2707
@sibawayhisalum2707 7 жыл бұрын
hahahaa noma jmni haa
@arafsaaa8844
@arafsaaa8844 7 жыл бұрын
Kitone Kantasha1 😃😃😃😃😃😃😃
@aishamnyeke1163
@aishamnyeke1163 5 жыл бұрын
Wajinga sana inachosha RB wameitoa wap bwanaa
@khalossalim213
@khalossalim213 5 жыл бұрын
Sasa hizo hela ulozofanyia shughuli si ungejinunulia beseni mwenyewe
@faridabakari8511
@faridabakari8511 7 жыл бұрын
niutoto mukikuwa mtaachaa ....wanaqake 😁😁😂😂😂😆😆😃😅
@aminakawawa1935
@aminakawawa1935 6 жыл бұрын
uswahili tu jamani khaaaa 👀 👀
@abrahmaniomar9858
@abrahmaniomar9858 5 жыл бұрын
Duuuu hiii ya mwaka. Geah wewe hauna kitu umeshidwa kuwazuia na ubavu wako wote aaaah
@stephanozibe2740
@stephanozibe2740 6 жыл бұрын
Ujamkopa lakni ad apo ujue
@aishaelias3867
@aishaelias3867 5 жыл бұрын
Mimi ndio sielewi jamani au ?? Beseni ni nini?? Beseni yakuoshea mtoto au??? Umlipe kwanini? Kwani ni denni??? Mmmh stupidity elimu elimu elimu jamani
@kirigitidorothy7201
@kirigitidorothy7201 2 жыл бұрын
Mi nisingetoa chochote tna na nguo yangu nisingekubali ichaniwe huu n ujinga puuuuuu
@loveahmed7892
@loveahmed7892 Жыл бұрын
Kuna beseni linauzwa ndani kuna nguo za mtoto bei ya beseni 40000
@kajoakother6041
@kajoakother6041 4 жыл бұрын
Wewe dada kwani unawaogopa hebuwajibu kwanirazima zawadi
@rachaelmbega9691
@rachaelmbega9691 Жыл бұрын
Jaman wanawake wa dar kwa shuhuli du mmewezwa
@husnaiyasulesh4687
@husnaiyasulesh4687 3 жыл бұрын
Ningekuwa mim uyo dada nilie ahid ningekimbilia police kusem wamenivae nyumban kwangu
@zuuniece6635
@zuuniece6635 7 жыл бұрын
ila wazaramo akili zenu mnazijua wenyewe
@sakinamubaraka1246
@sakinamubaraka1246 5 жыл бұрын
😁😁😁mnatuonea
@daimasaimon9913
@daimasaimon9913 5 жыл бұрын
Ukute hata sio wazaramo.... kwani wanaojiuza wote wahaya😀😀😀😀
@rahmaali4009
@rahmaali4009 5 жыл бұрын
Wazaramo mnatuonea Hao sio Wazaramo
@dottnatt7110
@dottnatt7110 5 жыл бұрын
Shika adabu zako...Wazaramo uliuliza hao kabila ama wajiropokea tuu ndezi ww
@rahmaali4009
@rahmaali4009 5 жыл бұрын
Sio kosa lako hujui maana na hataanbiw maana kwa sababu msungo huna chochote unachokijua hapo ulipo hata uki toka kufanywa na bhnaako huji jisi yakujisafisha sio mm nilosema mzee chapuo Huyo,🤣🤣🤣🤣
@ghadeeralamri386
@ghadeeralamri386 5 жыл бұрын
Yani mimi ningewapiga wote makofi washenzi kabisa yani naye ametulia ananyolewa pangechimbika
@totoladinda3028
@totoladinda3028 7 жыл бұрын
Jamani beseni hilo ni beseni gani??beseni la kawaida au😂😂😂😂hiyo laki tano c angenunua beseni
@khadijaa815
@khadijaa815 5 жыл бұрын
Yaani nacheka mpk basi beseni ndo lipi linopelekwa kwa shangwe
@aishaelias3867
@aishaelias3867 5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂kwani ni deni????😂😂😂😂🙌🏼kumbaf kabisa hiyo laki tano haitoshi beseni????????????????
@ayunramadhan3104
@ayunramadhan3104 5 жыл бұрын
Kuna makabila kwa mashuhuli namba 1 we we ulofanya shughuli huna akili wakati unapanua mapaja nayy alikuwepo mmezoea kabila fulan cheeeèeef from dubai
@hassanlunguya5372
@hassanlunguya5372 7 жыл бұрын
hataree
@doreenalexander6493
@doreenalexander6493 2 жыл бұрын
Kujifanya mapana 60 madhara yake ndio haya jikune mkono unapofokia
@khalifamohammed2364
@khalifamohammed2364 5 жыл бұрын
Hivi huyo mm mtt ameolewa? Mbona amekuwa mjinga hv? Bwege huyo ndo akome macku yajayo
@isabellachejo4880
@isabellachejo4880 5 жыл бұрын
Wanawake jamani
@rahmaali4009
@rahmaali4009 5 жыл бұрын
Duh tz Kuna vitoko
@namirihamisi3899
@namirihamisi3899 4 жыл бұрын
umekopa.lipa si umejifurahisha nafs yako?
@irentirop6304
@irentirop6304 7 жыл бұрын
Mamake mtoto mjinga sana sana
@bitunihussein495
@bitunihussein495 7 жыл бұрын
Heka heka hii imenichekesha mpaka basi dawa ya moto moto-shost ukaambiwa upo kazini hahahaaaa
@irentirop6304
@irentirop6304 7 жыл бұрын
BI TUNI HUSSEIN Hhahahaha lakini mamake ndio Mjinga
@arafsaaa8844
@arafsaaa8844 7 жыл бұрын
Iren Tirop tena zaid yamjinga wamezid kupenda mashereh
@amneiddi8692
@amneiddi8692 6 жыл бұрын
yan hata maziwa ya watoto hawajui,wangenikuta mie wangefurah kwan besen laki 5 jaman wanawake wakiswahil washamba sana na hakuna sheria kama hiyo upuuz mtupu
@najmacharles3233
@najmacharles3233 Жыл бұрын
Kwani alizaa ili ategemee mashoga ningekuwa mimi wangejuta eti wanikate nywele mara wanichanie gauni mara wachukue simu yangu kumanina labda sijazaliwa URU KISHUMUNDU ningevunja mtu mguu nahuyo mjumbe piah tahira
@deborahelling9579
@deborahelling9579 6 жыл бұрын
Sasa kumbee ajawai mpa mwezio beseni ya nini kumtaka kumnyoa nywele mbwaa nyinyi Wasenge sana nyinyi .....KWani mlitumwa? afu ujue kila siku sio juma3 au juma4 au juma5 ujue kabiia aftre juma5 kuna Alhamis ijuma mbwaa nyinyi Mkamchukulie vitu vyake ina Khusu mlitumwa makuma nyinyi Kawapatia sana kumame zenuu nyinyi
@chynabongoo3563
@chynabongoo3563 5 жыл бұрын
Ahadi ni deni halipe tuu ilo deni
@MaryamMaryam-nt5so
@MaryamMaryam-nt5so 7 жыл бұрын
😂😂😂duuuh nywele pia zatolewa
@irenejustine2765
@irenejustine2765 5 жыл бұрын
Uswahilini kazi hahahaaaa
@merrymerry4282
@merrymerry4282 5 жыл бұрын
iyo.kweli.kaka
DUNIA (Ep 48)
23:19
ASMA FILMS
Рет қаралды 152 М.
GITUMI GIAKWA KURUTA KIREMBA  MARY WA HEZEH GUTARIRIA
1:11:54
Ngugi wa karanja Mcee TV
Рет қаралды 5 М.
Ful Video ☝🏻☝🏻☝🏻
1:01
Arkeolog
Рет қаралды 14 МЛН
The Lost World: Living Room Edition
0:46
Daniel LaBelle
Рет қаралды 27 МЛН
Zifahamu dalili za Tembo aliyekasirika
3:53
TAWA TANZANIA
Рет қаралды 22 М.
Pre-Algebra Final Exam Review
1:56:08
The Organic Chemistry Tutor
Рет қаралды 335 М.
Dibalik Kehidupan Ustadz Felix Siauw - Daniel Tetangga Kamu
1:40:08
Daniel Mananta Network
Рет қаралды 6 МЛН
Scammers PANIC After I Hack Their Live CCTV Cameras!
23:20
NanoBaiter
Рет қаралды 29 МЛН
KITALA ANAYETREND KUONGEA KICHAGA APATIKANA, AONGLEA VIDEO ZAKE
9:15
Ful Video ☝🏻☝🏻☝🏻
1:01
Arkeolog
Рет қаралды 14 МЛН