HIGHLIGHTS: YANGA 3 - 1 TP MAZEMBE| CLEMENT MZIZE NA AZIZ KI WALIVYOMALIZA SHUGHULI KWA MKAPA.

  Рет қаралды 151,555

Yanga TV

Yanga TV

Күн бұрын

Пікірлер: 132
@calskim4173
@calskim4173 Ай бұрын
Man of the match Clemee Nzinze Bull straika
@helenwailly1558
@helenwailly1558 Ай бұрын
Namshukuru sana Mungu kusema ule ukweli sikutegemea
@myself-T2
@myself-T2 Ай бұрын
asante Mungu,asante wachezaj wetu,asante viongozi na mwisho kabisa asante kwa mashabiki wenzangu tulioweza kufika uwanjani kuisapoti team yetu
@luwanda03
@luwanda03 Ай бұрын
Niliogopa kuangalia mpira. Nikaenda kulala ili kusudi nikiamka nikutane na matokeo tu. Leo tungefungwa kitaa kungekuwa kugumu mno. Asanteni sana kwa huu ushindi.
@PiusMaliloMalillo
@PiusMaliloMalillo Ай бұрын
Me nikaa amua kuckilza kweny radio... Eti Bora kusikia nnavy fungwa kuliko Kuona😂😂
@JohnBenedict123
@JohnBenedict123 Ай бұрын
​@@PiusMaliloMalillo😂😂😂
@evanamkondya4257
@evanamkondya4257 Ай бұрын
Acha wogaaaah 😂😂😂
@radhiamussa1629
@radhiamussa1629 Ай бұрын
Ukubwa nikuangalia hivyohivyo na roho mkononi 😂
@glorymlay580
@glorymlay580 Ай бұрын
Mimi nilizima data na kuzima cm kabisaaaa nikakaa mahali ambapo sisikii kitu kuhusu mpira Nikawasha saa kumi na mbili nikakuta magoli 3 hahaaaaa❤❤❤❤
@AziCure
@AziCure Ай бұрын
Allahamdulillah 🎉🎉🎉 Nyuma mwiko! Oya hyo kamba y Mzize,,,inabeba ladha y game nzima❤ The power😂😂 Accuracy 😂😂 Speed😂😂 Brilliant!!! we should measure the speed,,it's ICBM🎉🎉🎉
@am_mwinyi
@am_mwinyi Ай бұрын
Gusa achia twende kwao🔥🔥🔥🇹🇿💚💛🖤🏆⚽️🥇
@UmmyHamisi-ru2rw
@UmmyHamisi-ru2rw Ай бұрын
Kocha ana vibe atar😂
@frida-oi6kw
@frida-oi6kw Ай бұрын
Yani hatari😂😂😂😂
@ImamuAsii
@ImamuAsii Ай бұрын
Mimi ndio furaha yangu kumuona kocha anachangilia namba hio
@UmmyHamisi-ru2rw
@UmmyHamisi-ru2rw Ай бұрын
@@ImamuAsii km kocha wa Chelsea wa zaman Antonio conte 😆ana vibe atar 😆😆
@kolosii4351
@kolosii4351 Ай бұрын
Hongera mashabiki wa yanga. Sio rahisi kujitokeza wakati timu yako ina point moja tu. Mfano wa kuigwa.
@chidyblake1017
@chidyblake1017 Ай бұрын
Another samatta in the making ....Mzize is a top striker who continues to improve his game everyday...He needs another top club for further development...All the best to him
@iconifc
@iconifc Ай бұрын
Yanga ❤🇰🇪🇹🇿
@LilianTwarira
@LilianTwarira Ай бұрын
Utulivu na umaliziaji wa Aziz Ki kwenye ulee msitu. Perfect 👌
@KhalifaMuzd
@KhalifaMuzd Ай бұрын
😂😂😂😂 et Msitu
@SamwelTheophanes
@SamwelTheophanes Ай бұрын
​@@KhalifaMuzd😂😂😂😂 msitu gani Sasa pale alikuwa pekeake
@KhalifaMuzd
@KhalifaMuzd Ай бұрын
​@@SamwelTheophanessi ndio an mtu peke ake mpaka alijua yupo Offside😂😂
@fatmaomar8335
@fatmaomar8335 Ай бұрын
Gusa aachia twende kwao yanga bingwa insha Allah 💚💚💛💛
@africanbabaz4739
@africanbabaz4739 Ай бұрын
Wa kwanza mm like hpa
@putilegamagama6049
@putilegamagama6049 Ай бұрын
❤❤Hongera mtani kwa mchezo mzuri na magoli mazuri, hii ndo maana halisi ya mpira burudani. Hongera sana❤❤ #TanzaniaUpendoDaima.
@innocentmmandago3029
@innocentmmandago3029 Ай бұрын
Tumshukuru Mungu
@sophiaazizingaiwa3857
@sophiaazizingaiwa3857 Ай бұрын
Mlisema ramovic Huwa hashangilii akifunga haya Leo mmemuona Ako na furaha😅#YANGAMITANOTENA 💛💚
@DoreenTesha-kk2kw
@DoreenTesha-kk2kw Ай бұрын
Mzize nakupenda Hadi naumwaa😂
@pacomezouzoua9175
@pacomezouzoua9175 Ай бұрын
Maestro clement mzize🙌🙌🙌🎉
@boscokalinga5267
@boscokalinga5267 Ай бұрын
Yanga Africa
@HabibaKhamisi-xo8tz
@HabibaKhamisi-xo8tz Ай бұрын
Mzize mmojaaaaa sawa na ateba 1000 🤣🤣🤣🤣🤣
@ItzzzTjayy
@ItzzzTjayy Ай бұрын
Tuliza matako wew
@abubakarimakange5278
@abubakarimakange5278 Ай бұрын
Kuonesha wewe ni bora usijifananishe na mwenzako kuna srikers wangapi bongo. Why not DUBE au MUSONDA
@HabibaKhamisi-xo8tz
@HabibaKhamisi-xo8tz Ай бұрын
@@abubakarimakange5278 kwani ww unaonaje koloooooooo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@HabibaKhamisi-xo8tz
@HabibaKhamisi-xo8tz Ай бұрын
@@ItzzzTjayy na ww tuliza kamdomo hako leo kipigo tu huko tunisia mtashenyetwaaaa nyie mpk mnarudi huku mmechokaaaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@PhilimonKabisa
@PhilimonKabisa Ай бұрын
Yanga sisi ni wamba 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@fatmasuleiman3885
@fatmasuleiman3885 Ай бұрын
Yanga hii vijana mpo vzr sana mwenyezimungu azidi kuwalina msipate maradĥ
@DoryGeorge
@DoryGeorge Ай бұрын
Mzize ana balaa
@Mari89wx
@Mari89wx Ай бұрын
TOUCH, RELEASE, ATTACK 👉🏽✅✅
@BitalioChronicles
@BitalioChronicles Ай бұрын
Mungu tukupe Nini Baba, sema lolote baba wanao tupo tayari ❤🎉
@ExaudMosha
@ExaudMosha Ай бұрын
Mzize😂😂😂😂
@ArnoldRwegasira-hp9gt
@ArnoldRwegasira-hp9gt Ай бұрын
Dube noma goal mbili kausika kwenye mpango
@Mnamata
@Mnamata Ай бұрын
Good
@Kimweri_tz
@Kimweri_tz Ай бұрын
Goli la Mzize ni fantastic
@sebastiansalamba313
@sebastiansalamba313 Ай бұрын
Mi sikutegemea mwenzenu halooooo yanga
@fatmaomar8335
@fatmaomar8335 Ай бұрын
Alhamdulillah 🙏kwa ushindi wa Leo
@selemanmcharazo
@selemanmcharazo Ай бұрын
Good performance for our coach and our players for fighting but my request to be careful in defence for the team like Alhilal if you give One chance One goal and they are very strong defensive very difficult to make turn back you're need to be very clinical but Inshallah we believe we take all 6 remained points
@upendoluva2066
@upendoluva2066 Ай бұрын
Nashkr mungu kwa Kila tulichoomba na tumekipata .wachenzaji wetu tunawashkuru.
@MwaniPh
@MwaniPh Ай бұрын
Hatar sana
@WakudamshY
@WakudamshY Ай бұрын
Noma sana😂😂
@MuslihiShafii
@MuslihiShafii Ай бұрын
Al hamdulilah
@RajabuUzanda
@RajabuUzanda Ай бұрын
Acha uhoga hao ndo wananchi Dua kwa MC wafungwe Ishaallah
@ShijaKagoke-oc2zu
@ShijaKagoke-oc2zu Ай бұрын
Alhamdulillah 🤲🔰🙏
@radhiamussa1629
@radhiamussa1629 Ай бұрын
Ma Shaa allah wachezaji wazidi kuwa wakatili langoninakuwa watulivu namakini ili tufurahi kwa magoli mengi zaidi qmbayo leo yangekuwa faida pia so safu ya ushambuliaji wajitahidi kuwa makini kutumia nafasi na pia makosa yanayopelekea tufungwa tujitahidi sana kuyafanyia kazi mengi yanafanana makosa yake na kuzidi kujilinda na kuzuia kwa pamoja wakati wa kushambulia maana timu zilizobakia ni tafu inabidi twende kimkakati pia wachezaji wazidi kujituma maana energy yakucheza full time bado ila naimani watatufaurahisha zaidi soon mechi zilizokakia ni do or die ni final za kipekee kutupeleka nchi ya ahadi
@GodfreyKarino
@GodfreyKarino Ай бұрын
Mzize mzize mzize ni mwamba kwelikweli
@OnaryYohana
@OnaryYohana Ай бұрын
😂😂😂😂aiseeee guseni like
@amaniomar1755
@amaniomar1755 Ай бұрын
Gusa Achia Twende Kwao 🎉🎉🎉
@SisalSisalc
@SisalSisalc Ай бұрын
Mzize angekuwa ubaya ubwege wangewasha moto uwanjani
@ZainabySaidi
@ZainabySaidi Ай бұрын
Goli la mzize kipa hakukuwa na ulazima wa kudaka uhai wako ni bora Zaidi brother
@salhasaid9667
@salhasaid9667 Ай бұрын
@marthageorge5043
@marthageorge5043 Ай бұрын
💚💛💛💛💚
@KapondaZenaida
@KapondaZenaida Ай бұрын
GUSA ACHIA TWENDE KWAO 💚💚💚💚💚🔰
@rehemamahendeka-rm2ek
@rehemamahendeka-rm2ek Ай бұрын
Wananchiiiiiiiii iiiiiiiih iiiiiiih iiiiiih,hizi ndizo RAHA/BURDAN ZETU,fa masihara weye,shkrn shkrn shkrn vzr mno vjn,hadi 2..30,weyeeeee hadi nimekumbuka lile neno letu lileeeeee "WAPE SALAMU",Hongereni vjn wetu.
@Marvel_tz
@Marvel_tz Ай бұрын
Yanga
@VeronicaMichael-q7t
@VeronicaMichael-q7t Ай бұрын
Waoo
@muddymuzungu4357
@muddymuzungu4357 Ай бұрын
Mchezaji wa Mazembe alikua analia nini😂😂😂😂😂 baada ya goli kuingia😂
@MICHAELNYONI-h7h
@MICHAELNYONI-h7h Ай бұрын
alikua anjuakita tokeann
@watupipo
@watupipo Ай бұрын
Highlight ndegu Iko wapi
@jackmoshi
@jackmoshi Ай бұрын
tp wazembe kweli
@Dully_star
@Dully_star Ай бұрын
Mmeridisha masindano eenh😊😊
@mohamedhamdoun5268
@mohamedhamdoun5268 Ай бұрын
Azam TV , ushindi WA yanga wanaumia , mpk sasa hatuoni marejeo ya mechii hii😂
@namdigumagwenge193
@namdigumagwenge193 Ай бұрын
Tumemiss Supu 😂😂😂🎉
@ClassicMedia-Tz1
@ClassicMedia-Tz1 Ай бұрын
Younger
@najmakinya8779
@najmakinya8779 Ай бұрын
Tupeni full Mach
@augistinemasabo5313
@augistinemasabo5313 Ай бұрын
😂😂😂woyooo
@IsackCharles-j8u
@IsackCharles-j8u Ай бұрын
Leo saa moja kunabomoabomoa, maasikari wa Tunisia wajiandae Kwa ulinzi viti vitavunjwa
@patrickndizeye2190
@patrickndizeye2190 Ай бұрын
Mazembe wameteseka sana😂😂😂😂
@frida-oi6kw
@frida-oi6kw Ай бұрын
Dah ila uwanja leo ulitepeta kweli😢😢😢😢😢😢
@JeniphaRobert
@JeniphaRobert Ай бұрын
Mbn Azam hawajalusha na nyie mmelusha mmetuwekea saut shidaa nini tunataka yenye sauti 💚💚💚💚💚💛💛💛💛💛
@KizzyMahmud
@KizzyMahmud Ай бұрын
Tulia kishandu
@JeniphaRobert
@JeniphaRobert Ай бұрын
@KizzyMahmud 🤣🤣🤣 kosa langu nini
@TitoMorwo
@TitoMorwo Ай бұрын
Mzize afungiwe na caf kam tutapita maan adhabu zitakua nying kwa team zingine😂😊
@pacomezouzoua9175
@pacomezouzoua9175 Ай бұрын
Yule DR khalid aucho ni kama ubongo/brain au injini ya timu yani cjui kama tutampata mbadala wa huyu mwamba jamaa ni top top quality player na akitokaga tu timu inakosa balance kabisa inaanza kuyumba😢
@frida-oi6kw
@frida-oi6kw Ай бұрын
Inabidi aanze kutafutwa mwengine mapema sanaaa...maana uyo nae age gooo😢😢😅😅
@Fineboy-k2t
@Fineboy-k2t Ай бұрын
well said👏
@AyubuMsami
@AyubuMsami 24 күн бұрын
Yaani acha tu mchezo ulikuwa mkali sana kwangu
@edsonmakweta6347
@edsonmakweta6347 Ай бұрын
mimi ni SIMBA damu ila kwa YANGA hii tutulie tuu wanasimba wenzangu tusije tukauponza 😂😂😂
@madibasenior412
@madibasenior412 Ай бұрын
Tunataka full highlights ya hii mechi ya mazembe
@MalinoKadwame-u1c
@MalinoKadwame-u1c Ай бұрын
Kaz imeish haaao robo
@rosemaryluhwago
@rosemaryluhwago Ай бұрын
Jamani Ali kamwe simuoni Yuko wapi semaji
@mwanahamisihatibu590
@mwanahamisihatibu590 Ай бұрын
Tunashukuru na tunamuomba Allah atujaalie mechi zijazo tushinde pia
@YusuphSiyumwe
@YusuphSiyumwe Ай бұрын
Jamani tutanenepa
@muddymuzungu4357
@muddymuzungu4357 Ай бұрын
Tunaomba mechi zetu zilizobaki atangaze Gharib mzinga Tafadhali Sio mpenja wa malila
@seciliamchalo5627
@seciliamchalo5627 Ай бұрын
Kabisa tuna zali naye akitutangazia huwa tunashinda goli zaidi ya mbili
@SamsonFilbert
@SamsonFilbert Ай бұрын
Dundo kali hli
@TonnyManeno-m1h
@TonnyManeno-m1h Ай бұрын
Jamani mbona hatuoni highlights Azam au yanga tv
@mwajumampokileomckapela7541
@mwajumampokileomckapela7541 Ай бұрын
Mmetuheshimisha kituo kinachofutaa MC Alger pambaneni mpaka kieleweke 💚🟢💛😌⚽
@FilomenaRaymond
@FilomenaRaymond Ай бұрын
Iga upalalaizi😂😂
@HabibaKhamisi-xo8tz
@HabibaKhamisi-xo8tz Ай бұрын
Makolo tunataka msime na mazembeee vibonde piaaaa😂😂😂😂 maan nyie huwezo wa kumfunga hamnaaaa
@hildaelkana7132
@hildaelkana7132 Ай бұрын
Kocha kachachuka balaa
@AishaAmour-d3h
@AishaAmour-d3h Ай бұрын
Ateba unamjua lkn mtu wang😂😂😂
@FrancisNgomaitara
@FrancisNgomaitara Ай бұрын
Sio kila mtu anapenda upuuz wenu wa masingeri upumbavu mtupu kwann msitupe highlit pekee
@SylvesterKameo
@SylvesterKameo Ай бұрын
Binadamu tuna vionjo tofauti. Huwezi kupenda kila kitu au kuchukia kila kitu. Pia huwezi kumridhisha kila mtu. Binadamu tumeumbwa na moyo wa wa kupenda au kuchukia. Kuwa uvumilivu na kustahimiliana.
@kolosii4351
@kolosii4351 Ай бұрын
Kama hupendi wengine wanapenda.
@HabibaKhamisi-xo8tz
@HabibaKhamisi-xo8tz Ай бұрын
Alhamdulillah 🙏🙏 maana nilikuwa sn hata hamu yakula nilikuwa na waza 🤔🤔itakuwaje matokeo
@GodfreyHiza-x1p
@GodfreyHiza-x1p Ай бұрын
Ko mmeona mkituwekea goal la mazembe tutafaidi
@latifanura8787
@latifanura8787 Ай бұрын
Jamaniiiii Mimi ndonaona natokeo muda huu kumbe nimepitwa namengi daaah ila mzize anajua kuwatesa wapinzani kwakwl mpka kamlza yule jamaa daah sio pw iyo ndogusa achia bhn piga kelele kwa yanga yakeeeee
@Muna-en4yq
@Muna-en4yq Ай бұрын
Wana yanga wenzangu hili bao la tatu nani kafunga
@NassTwin
@NassTwin Ай бұрын
Hii sio highlight sasa. Maana mmeonyesha magoli yenu tu. Highlight inatakiwa kuonyesha magoli yote. Admin HANA AKILI
@ROMWALDPMBELE
@ROMWALDPMBELE Ай бұрын
😂😂😂
@SuleMuntalikilumbi
@SuleMuntalikilumbi Ай бұрын
Kibonde wakwanza niwewe ulokula5
@Regi-g9x
@Regi-g9x Ай бұрын
Vibonde vya nyokooo
@amanizavala
@amanizavala Ай бұрын
Utopolo mmekutana na vibonde
@scholarhaule9956
@scholarhaule9956 Ай бұрын
Sawa lkn ww kibonde zaid tumekupiga mara4 mfululizo 😊
@kolosii4351
@kolosii4351 Ай бұрын
Tumekubali sisi ni vibonde.
@frida-oi6kw
@frida-oi6kw Ай бұрын
We kweli ukapimwe akili zako .....unazani tp mazembe ni kibonde kama wewe....
@ZenoMashaka
@ZenoMashaka Ай бұрын
Njoo bas ww mzima😁😁
@HajiMbarouk-t8u
@HajiMbarouk-t8u Ай бұрын
Fala kwel wew
@Francylau
@Francylau Ай бұрын
🙄🙄🙄 vinamuda bas n swala la muda tu
@Felixramadhani-m2v
@Felixramadhani-m2v Ай бұрын
fund
@WilliamOmbeni-c1v
@WilliamOmbeni-c1v Ай бұрын
Ujinga tu
@kafumutv.6082
@kafumutv.6082 Ай бұрын
Mbona highlights hamuwekiii mnaboa.... Azam awek na nyie hamuwekiii ndio nn sasa..
@bollywoodentertainment8081
@bollywoodentertainment8081 Ай бұрын
Tatizo Copyright
@jessicamwasandube944
@jessicamwasandube944 Ай бұрын
Wee mzinze wewe
@billaljuma6297
@billaljuma6297 Ай бұрын
💚💛💛💛💛💛
IL'HAN - Qalqam | Official Music Video
03:17
Ilhan Ihsanov
Рет қаралды 700 М.
Don’t Choose The Wrong Box 😱
00:41
Topper Guild
Рет қаралды 62 МЛН
When you have a very capricious child 😂😘👍
00:16
Like Asiya
Рет қаралды 18 МЛН
Quilt Challenge, No Skills, Just Luck#Funnyfamily #Partygames #Funny
00:32
Family Games Media
Рет қаралды 55 МЛН
Charles Kalumba National team goalkeeper
9:17
Barry Mutapa CA ZM
Рет қаралды 139
Tundu Lissu: Watu hawaji kwenye maandamano kwasababu hawakiamini chama tena
28:12
DKT. NCHEMBA AKABIDHIWA NOTI MPYA 2025
5:07
Hazina TV - Wizara ya Fedha
Рет қаралды 289 М.
IL'HAN - Qalqam | Official Music Video
03:17
Ilhan Ihsanov
Рет қаралды 700 М.