Am from Mombasa but huyu jamaa anajua sana anachozungumza congratulations 👏
@hassanrashid943612 күн бұрын
Hans Rafael ni mwamba kweli kweli for me ni mchambuzi wangu bora kwa sasa.
@ShedrackYohana-v4c11 күн бұрын
Hans rafaeli nimchambuz wangu Bora kwa sasa
@Stevennaminga11 күн бұрын
Nawakubari sana kazi njema.
@user-ou4ck8uj2b11 күн бұрын
Hans unajua
@andrew05024 күн бұрын
Kwan Geoff Lea wa EFM/TVE naye amekuja huku Crown? mbona nmesikia sauti yake
@nabiimgongolwa87287 күн бұрын
UONGOZI UKIWA WA KIJANJAJANJA WACHEZAJI HUKATA TAMAA.
@BuruhaniRashidiКүн бұрын
Namuelewa hansi
@MaepoHassan10 күн бұрын
Ww ni bora kwa sasa
@anithawidambe754312 күн бұрын
Kocha na viongozi sikilizeni France Rafaeli anavyoonea yupo sahihi sana fuateni anavyopanga timu
@jaffjeff691211 күн бұрын
@anitha kuuchambua ni jambo lingine ila kuucheza kwake sasa
@eddyology73047 күн бұрын
Mpira ungekua unachezwa mdomoni wangemsikiliza
@SaidFupi7 күн бұрын
Na mpira unapangwa mdomoni ndio maan kocha hachez ila ndie anaetengenez timu
@Jumaaissa-mm6eg9 күн бұрын
Jemedar jau
@anithawidambe754312 күн бұрын
Nyie pangeni kikosi kwakufuata huyu jamaamkaka
@ChachaMakuru-s9o5 күн бұрын
😂😂😂😂😂et watazuiaje juma ayo bna
@Ezeqsweya111611 күн бұрын
Rafael ni konki
@sikapendinakapenda417010 күн бұрын
Huyu au Hawa watangazaji wote wa WASAFI wote ni Utopolo na wapo kwa ajili ya kuijenga Utopolo na sio SIMBA. Haitotokea never on earth wakaitakia mema SSC. Hivyo ku-comment hapa ni kama kujichoresha. Bora kusikiliza Clouds ambao wanatafuta balance na sio bias.
@eddyology73047 күн бұрын
Hii ni CROWN. Sio wasafi
@paulpaschal618510 күн бұрын
Huyu msimu ulopita akiwa wasafi baada ya usajili alisema YEYE HAWADAI SIMBA WAMESAJILI KWELI na hatawalaumu...ila kuelekea mwisho wa msimu akawa anasema SIMBA WANAFELI KUANGALIA WACHEZAJI WAZURI WA KUWASAJILI,akajisahaulisha maneno yake...haya maneno yake yatunzeni halafu ikitokea wachezaji wamefeli tumsikie anachosema