Subhana Allah Zanzibar inatoka mbali huyu karume kutunyanganya mamlaka yetu kuyapelka Tanganyika hatutokusamrhe mpka kiama
@mohammadalrawaahy47074 жыл бұрын
kweli laana ya ALLAAH juu yake
@nduryamwadzaya39724 жыл бұрын
Kwenda.
@sirajimakame19723 жыл бұрын
Kumayo ww mbwa ww
@ismailjuma36924 жыл бұрын
Allah akbaru,Allah akbaru,Allah akbaru,jamani iko wapi zanziber yetu zanziber ambayo ilikua ya chako ni changu na changu ni chako,zanziber ilikua ikufuata sheria za Allah jamani machozi yananitoka ila nabaki kusema Alhamdulillah kwani kheri minallah washari minallah
@rizbfighter85744 жыл бұрын
Mfuate yuko uingereza😁😁😁
@gangmore90914 жыл бұрын
Mungu awahukumu wote waliohusika na hili kuwazulumu wazanzibar kwa shindikizo la nyerere
@abdulrahmansalim97734 жыл бұрын
Ameen Ya Rabi Allameen.
@gangmore90914 жыл бұрын
@@abdulrahmansalim9773 Amin Amin katutia shimonii
@shamsahaji62024 жыл бұрын
Amin
@fugameza60114 жыл бұрын
Wamebaki kufa mvunguni mwa kitanda Allah atawalipa
@TeamKRX4 жыл бұрын
Kina nani hao ebu nipe wanaokufa mivunguni hasira nao wametupeleka tanganyika mpaka Leo tushazeeka mina 44 alasijielewi
@pastoryconrad73134 жыл бұрын
ZANZIBAR YA 1964 IS GONE AND IT WILL NEVER COME BACK AGAIN.
@hijaabbas8974 жыл бұрын
Mmmmmm shda kwel waafrica maneno yote n kutaka kuomba tu
@nduryamwadzaya39724 жыл бұрын
MAPINDUZI OYEEEE
@TeamKRX4 жыл бұрын
Inasikitisha kwani huyu jemshid yuko hai jamani siarudi atawale jamani kuliko hawa wanyamulenge hawakusoma hawana utu kazi kututia maradh tu wao wenyee halafu wanamisura mibayaaa sijui wameubwa hawa sayari ya wanyama hawasikii hawajali
@mustayoo4 жыл бұрын
mswaliye mtume sana na allah atakutosheleza kiu yako
@swahibal-karama1454 жыл бұрын
Kwani huyu mzee mbona anapoteza time anakiongea nini?. Mbona haeleweki?. Porojo tu halina msingi wowote.
@saymarsaymar46544 жыл бұрын
Kwa nn watu walikua wanakimbia wakimuona? Ujue kuna jambo hapo. Mzee maelezo yako hayajanyooka. Kila siku akufungashe ww tu.
@rayisadesigns26464 жыл бұрын
alikimbia ili kumuita nduguye, si kwamba alimkimbia yeye labda kutokana udhalimu wake. laahasha, sikiliza mazungumzo uzuri ndugu yangu. Na isitoshe huyo ni kiongozi mkubwa anapokuja uraiani kama mtu wa kawaida lazima watu washituke. Nukta yenye mazingatio hapa alikuwa anavua sawa na raia wengine na ndiyo ikawa chanzo cha kufahamiana na huyu mzee kipindi cha ujana wao na pia ndiyo ikawa asbabu ya kujenga usuhuba kiasi cha kumfungia chombo chake ili kumsaidia kukikokota baharini, swali dogo la kidadisi angekuwa jahili na fedhuli aliyepitiliza kwa kuchupa mipaka angekuwa anawasaidia watu kama hawa kwa kukivuta chombo chao dhalili kwa chombo chake chenye thamani ya kumilikiwa na mtu mwenye hadhi ya kifalme, tena wakivua sehemu moja hususan walipokuwa wakikutana baharini kwenye uvuvi?! Hebu tuvute picha kwa viongozi wetu wa sasa barani Afrika na Ulimwenguni unaweza walau kuwasogelea kama hivi?! Almuhim, tunapoambiwa mambo nyeti kama haya ni vyema tuyachanganue kwa mtazamo chanya hususan kwa kuyapima, kuyachuja na kisha yale tutakayoyaridhia tuyachanganye na yaliyokuwepo ktk vichwa vyetu, Afuan.
@saymarsaymar46544 жыл бұрын
Yupo uengereza mfate mbona
@maikosaga36324 жыл бұрын
Sasa tunafanyaje mzee mbona hueleweki???
@mukrimismail91424 жыл бұрын
Ilikuwa karume nnampenda sana lakini kumbe ametutia majangani na katupokoja uhuru wetu, karume ametutia kwenye nakama mpaka leo tunateseka
@yanayojiri19004 жыл бұрын
Hukosei
@sawbaa63324 жыл бұрын
Unateseka unateseka nn achaunafiki ulita serekali ukulishe
@hafidhali30204 жыл бұрын
Karume kachukua nchi yetu kawakabodhi washenzi tunastrugle mpaka leo,neema yote iliokuwepo zanzibar imetoweka umebakia ushenzi
@saymarsaymar46544 жыл бұрын
Ukhanisi wenu, wafate basi huko Oman
@hafidhali30204 жыл бұрын
@@saymarsaymar4654 tunasemea wazanzinari hatusemei wazanzibara ,kila mzanzinari halisi anaumia na huu utawala uliopo wa kishenzi maana hao wote wanaojiita maraisi hapo znzibar ni vibaraka wa tanganyika
@albahryonlinetv93194 жыл бұрын
Jaman vjana tusomen historia ya nchi yetu il tuje ikombowa duu jaman hali hii tata zanzibar ilpata uhuru wake mapema tuu kabla ya kupnduliwa
@abdulrahmansalim97734 жыл бұрын
Majahil hawana mpya wanafik
@hijaabbas8974 жыл бұрын
Mmm na mbona unatutia shaka mzee wetu hukua mkewe hata sahv unadai matibabu kama mwanamke anamdai mumewe
@ahmedalbalooshi85184 жыл бұрын
Rausa,mchango wako unautata.Allah amewaumba viumbe vyake kwa namna alivopenda.Sisi sote tumeumbwa na hatukujiumba. Jambo la kusikitisha ni mauwaji ya makusudi ya Wa Zanzibari ,baada ya Mapinduzi,na mateso ya kila aina na kupalilia chuki za ukabila ambazo mpaka leo zatumika kuwabagua wananchi.
@sawbaa63324 жыл бұрын
Kwawatu kamass tulio soma ww unadaganya dhahir
@saymarsaymar46544 жыл бұрын
Haaaaaa!
@mussachicha92114 жыл бұрын
Umesoma lakin watu walishuhudia Sasa Nani mwenye facts
@fahmikhamis57254 жыл бұрын
Ww si umesoma kwa ccm
@ankallypandu76484 жыл бұрын
Wacheni siasa za kisenge wewe umesoma tu boya wewe, huyu mzee mpemba alikuwepo, wewe pumbavu umesoma tu wacha ujinga
@ukhtyalpha13444 жыл бұрын
Ndio mume zoweya kudanganywa kweli na CCM na mmelishwa kasumba ya chuki basi mmejipiga mihuri ya kiziwai kipofu bububu ndani nyoyo zenu kina Saw baa lakini sie toloyaona mavamizi hayo haramu tunajuwa ukweli uko wapi muongo unae ndani ya chupi yako mzowea vya kunyonga vyakuchinja haviwezi
@sawbaa63324 жыл бұрын
Achaunafiki mzeee ww kutunga uongo
@shamsahaji62024 жыл бұрын
Tuletee ukweli wako ww basi ..kwani unatesekaa??mxiuuuu roho dhaifu tu.