HISTORIA USIYOIJUA JINSI MAREHEMU REMMY ONGALA ALIVYOKOKA KANISANI KWA ASKOFU GWAJIMA

  Рет қаралды 57,305

Josephat Gwajima RudishaTv

Josephat Gwajima RudishaTv

2 ай бұрын

Dr Josephat Gwajima is the Senior Pastor of a Largest Church in Tanzania. He is also the Arch-Bishop and founder of Ufufuo na Uzima Churches worldwide. God is using him to raise the dead, heal the sick and performing of signs and wonders in the name of Jesus. Follow his Facebook page jgwajima Instagram bishopgwajima
Join our Live Online Services every sunday at 1030 East Africa Time

Пікірлер: 131
@ngelellageorge8571
@ngelellageorge8571 24 күн бұрын
Hallelujah kwa ushuhuda huo wa jengo la baa hadi kanisa na kuokoa wengi kutoka kifo cha dhambi na kuwafanya watu wafike mbinguni salama.
@imansmwatete4953
@imansmwatete4953 2 ай бұрын
The pastor of this generation....knowledgeable and anointed.
@piusnkwale
@piusnkwale 2 ай бұрын
Baba yangu gwajima.Mungu aendelee kukupa uzima na mafunuo zaidi
@HAAM670
@HAAM670 2 ай бұрын
Glory to God, Glory to God. Ushuhuda unatia moyo kabisa wa kusonga mbeleee. Thank you Bishop JG. Tanzania Yote kwa YESU
@itiamekimbui722
@itiamekimbui722 2 ай бұрын
kwakweli baba ni library ya maisha. mungu ashindi kukuinua pamoja na sisi you are our marking scheme 🇰🇪
@Sidathikibuga
@Sidathikibuga Күн бұрын
Haleluya baba yang ❤❤❤❤❤❤❤
@thadeusmathiews2564
@thadeusmathiews2564 5 күн бұрын
The living testmony nime barikiwa
@YEDIDIAPHILIPO
@YEDIDIAPHILIPO 2 күн бұрын
So powerful🙏🙌
@user-po7zh4zz2k
@user-po7zh4zz2k 2 ай бұрын
MUNGU AKUBARIKI sana Askofu J. Gwajima.
@samwelmjika9871
@samwelmjika9871 2 ай бұрын
Very powerful teaching
@EmirataJkente
@EmirataJkente 2 ай бұрын
Amina Baba. Mungu wa mbinguni yumo ndani yako. Tunsonga mbele kwa neno lako.mungu azidi kukupa nguvu zaidi na mamlaka ya juu sana kugeuza falume za dunia kuwa falme za mwanakondoo.
@Kiyonga2014
@Kiyonga2014 2 ай бұрын
Bishop Gwajima you are the best pastor!
@user-wb9cq7zy3x
@user-wb9cq7zy3x Ай бұрын
Baba mungu akupe neema zaidi na matrio zaidi nimeamka kwa ushuda huu
@rodriguesvictorvalerio6886
@rodriguesvictorvalerio6886 2 ай бұрын
Asante baba wa mataifa. Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿 tunakupenda, na tunatarajia ujio wako ardhi hii.
@livingmunisi5963
@livingmunisi5963 2 ай бұрын
Yani mchungaji gwajima nayapenda sana mahubiri yako na shuhuda zako natamani tuwe na TV ya ufufuo na uzima
@MilloWamilonga-ft8ir
@MilloWamilonga-ft8ir 2 ай бұрын
Mbona hajamfufua mwendazake jiwe magufuli
@fidonifidel
@fidonifidel Ай бұрын
​@@MilloWamilonga-ft8irHauna ufahamu wowote juu ya Mungu
@revocatusassey2507
@revocatusassey2507 2 ай бұрын
Nimebarikiwa sana baba Mungu akutunze
@mussathomas3661
@mussathomas3661 2 ай бұрын
Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu nabarikiwa sana na neno lako Mungu akutunze
@IssacAman
@IssacAman 2 ай бұрын
Amina Gwajima nabarikiwa sana na wew
@vieterinamoko5087
@vieterinamoko5087 2 ай бұрын
The Testimony is very encouranging,God's our provider.
@annendungutheremnant7242
@annendungutheremnant7242 2 ай бұрын
Wow I love this
@devothamagawa7161
@devothamagawa7161 2 ай бұрын
jina la Yesu libarikiwe❤
@kesiawailes1223
@kesiawailes1223 2 ай бұрын
Unanifanya niendelee kusimama katika kusudi la MUNGU
@kapanikapani5280
@kapanikapani5280 2 ай бұрын
Asante sana mtumishi kwahakika nimebarikiwa sana
@joycemughogho3773
@joycemughogho3773 2 ай бұрын
Amina mtumishi kwa ushuhuda huu nimetiwa nguvu sana❤
@pastorheri715
@pastorheri715 2 ай бұрын
Nakubali kunolewa katika jina la Yesu Kristo wa Nazareth
@piuslyimo486
@piuslyimo486 2 ай бұрын
Gwaji boyyyyyyyyy
@ceciliamaswai8219
@ceciliamaswai8219 2 ай бұрын
Nimekuelewa Sana mchungaji Gwajima
@richardmanyilizu-rp8hf
@richardmanyilizu-rp8hf 2 ай бұрын
Amen Mungu akubariki mtumishi
@RaymondMuya
@RaymondMuya 2 ай бұрын
Mchungaji hongera sana kwa ushuhuda wa lemi ongala kuokokea kanisani kwako
@jacklinemoses2247
@jacklinemoses2247 2 ай бұрын
Amen baba yangu kusudi la Mungu litasimama imara kwenye kizazi changu Kwa jina la Yesu amen
@marymuthoni1551
@marymuthoni1551 2 ай бұрын
Amina, Mungu ni mwamunifu kwa yote, asante
@beatricefilbert1171
@beatricefilbert1171 2 ай бұрын
Amen dady nakupenda
@jobmunyali7229
@jobmunyali7229 2 ай бұрын
GOD is good 👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
@user-fg1bc2ff5s
@user-fg1bc2ff5s Ай бұрын
mungu akutie nguvu mtumishi wa Mungu
@josephshida469
@josephshida469 2 ай бұрын
Amina nakuelewa sana mzee
@RichardHenjewele-gs8rk
@RichardHenjewele-gs8rk 2 ай бұрын
Amen
@obadiambilinyi27
@obadiambilinyi27 2 ай бұрын
Very powerful,
@pastorprospermlembasayunip500
@pastorprospermlembasayunip500 Ай бұрын
Haleluyaaaaaa
@ntezumwamijeremie7064
@ntezumwamijeremie7064 2 ай бұрын
Mchungaji Ngwajima nafwata mafundisho miujiza ambayo Mungu anakutumikisha.Nakupenda.Mchungaji mwezako Jeremie From Glory of Christ/Rwanda
@essaukapufi424
@essaukapufi424 2 ай бұрын
Asante Baba,
@ArcoiriscelestialTv
@ArcoiriscelestialTv 2 ай бұрын
Amem gwajima
@michaelmassae3970
@michaelmassae3970 Ай бұрын
Mungu akubariki
@yuzzob
@yuzzob Ай бұрын
Mungu akubariki, ujumbe umenipa booster nikiwa mwendoksi kivukoni-Kimara nikalichubguza eneo nilipofika ubongo
@saidatowainda525
@saidatowainda525 2 ай бұрын
Barikiwa sana Dadii
@stephennganga4827
@stephennganga4827 Ай бұрын
Mtumishi ubalikiwe sana.
@annissdaprincess3846
@annissdaprincess3846 Ай бұрын
Amina hallelujah
@priestkingagrey
@priestkingagrey 2 ай бұрын
Hallelujah 🔥
@pastorprospermlembasayunip500
@pastorprospermlembasayunip500 Ай бұрын
Ushuhuda mzuri sana
@giftkelvin7
@giftkelvin7 2 ай бұрын
This is very powerful testmony, pastor andika kitabu cha hii story
@praxedajovinary4560
@praxedajovinary4560 2 ай бұрын
Mungu wa mbinguni azidi kukutumia apendavyo
@RaymondMuya
@RaymondMuya 2 ай бұрын
Napenda sana mafundisho yako
@isacksimonmahungilo
@isacksimonmahungilo 2 ай бұрын
Ila nakumbuka mchungaj gwajima s alitaka kumfufua amina chifupa
@braisonjohnnzunda
@braisonjohnnzunda 2 ай бұрын
Kwakweli wewe ni hazina ya ajabu sana ubarikiwe baba
@michaelmangoni989
@michaelmangoni989 2 ай бұрын
Mungu ni mwema
@philibethnyagawa
@philibethnyagawa 2 ай бұрын
Mimi PHILIBETH NYAGAWA NIMEPATA NGUVU MPYAAA AMENI BARIKIWA SANA
@TetekoOg
@TetekoOg Ай бұрын
Kwakwel nimebalikiwa sana
@Maryc2G
@Maryc2G 2 ай бұрын
Nikiinuliwa na wengine watainuliwa kupitia mimi 👏🏽👏🏽👋🏽👋🏽
@favourndila8474
@favourndila8474 2 ай бұрын
Ameeen
@ibrahimuezekieli8845
@ibrahimuezekieli8845 2 ай бұрын
Ameeni🙏
@WestonMbuba-ff4jk
@WestonMbuba-ff4jk 2 ай бұрын
Mvula ana sauti nzuri sana
@agnesnzali3175
@agnesnzali3175 2 ай бұрын
Ushuhuda wa kujenga sana huu
@dorahmavazi111
@dorahmavazi111 2 ай бұрын
Mungu ni mkuu
@vitaasumani4613
@vitaasumani4613 2 ай бұрын
Mungu yupo jamani
@wanguwangu34
@wanguwangu34 2 ай бұрын
Ushuhuda huu unabariki sana na kuinua.
@MosesKaponda
@MosesKaponda 2 ай бұрын
❤❤
@byukatorerotv2608
@byukatorerotv2608 Ай бұрын
Our Mukuru Please translation need
@YonaTisho-iu2ng
@YonaTisho-iu2ng 2 ай бұрын
Mapambo kwa wanawake ni tatizo kubwa sanaa.Watumishi mtadaiwa damu zao na mnajua ukweli wote
@user-mw3oq4vz6k
@user-mw3oq4vz6k 2 ай бұрын
Mapambo wp ww mnakaa kuhukum watu et mapambo ko hutaki watu wajipambe
@GloriousRestorationTV
@GloriousRestorationTV 2 ай бұрын
Kwahiyo wewe ujumbe woooooote umeona mapambo tuuuuu!!!!
@kilianmtotowamungu3885
@kilianmtotowamungu3885 2 ай бұрын
Kila kanisa lina misingi yake msingi wako ni sawa na hiyo mingine pia ni sawa .kosa kutaka wengine wafanye na msingi wa kanisa lako
@SamwelKipenzi
@SamwelKipenzi 2 ай бұрын
1Petro3:3, Mapambo, mapambo, mapambo, wanawake wengi wataingia motoni kwa sababu ya mapambo. nguo za kubana, makeup, makucha bandia, suruali za kike, , nguo fupi,nguo za mabega wazi na mtiti wazi, na wote wanaotetea mapambo bila kujua mnamtetea shetani, ni heri mtu anapozuia mapambo unyamaze kuliko kuunga mokono utapata hukumu ileile anayopata kahaba, BWANA YESU atusaidie. Mathayo18:7 Ole wao waletao mambo kukosesha.
@makoyelwango6048
@makoyelwango6048 2 ай бұрын
Ukweli muhimu
@GoodluckAmos
@GoodluckAmos 2 ай бұрын
Mch Gwajima amenifanya niinuke upya kiroho kun vitu nilitaka kufanya nikaacha sasa nakiri ntafanya na ntafanya tena, nmejifunza meng sana
@GloriousRestorationTV
@GloriousRestorationTV 2 ай бұрын
Ubarikiwe sana..
@beatricefilbert1171
@beatricefilbert1171 2 ай бұрын
Usikate tamaa songa mbele
@IsaacMichael-fw4cx
@IsaacMichael-fw4cx 2 ай бұрын
Ubarikiwe kwa kujifunza
@fredrickryoba2452
@fredrickryoba2452 2 ай бұрын
Amen hata Mm pia ameniinua
@IssacAman
@IssacAman 2 ай бұрын
Kweli kabisa kwa ushuhuda huo Mungu atuongoze wote Tz
@jobmunyali7229
@jobmunyali7229 2 ай бұрын
🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🕊️🔥
@ndemabhwila
@ndemabhwila Ай бұрын
Huko ulikoenda mungu amekuacha siasa ni mambo ya kidunia. Wacha polojo
@rerisamba
@rerisamba 2 ай бұрын
Imagine mtu alihubiria mpaka kina Remmy halafu mtu ameanza huduma juzi na kufungua account utube ana mnena huyu masiah wa Mungu hua inaniuma kweli
@samwelmakuni8079
@samwelmakuni8079 2 ай бұрын
Hata mimi kichwa ngumu 😢 leo nimeelewa
@ndemabhwila
@ndemabhwila Ай бұрын
Gwajima uko wapi bashite anavuluga inchi umekaa kimya mbinguni huendi ng.'o
@sylvanuskavindi2756
@sylvanuskavindi2756 Ай бұрын
Waumini wa hilo kanisa wana mihemko kama boss wao.
@Maryc2G
@Maryc2G 2 ай бұрын
Face your Goriath👍🏽
@davidolotu9950
@davidolotu9950 Ай бұрын
Nimepata nguvu mpya
@user-rb6il4sn2e
@user-rb6il4sn2e 2 ай бұрын
Baba Askofu siku gani Mungu wa ufufuo na uzima atakuruhusu uje Burundi?
@user-fq8dd7gc9e
@user-fq8dd7gc9e 2 ай бұрын
Huwa namaliza bando bila kujuta Kwa huyu mwamba
@user-lt1bi5nr1x
@user-lt1bi5nr1x 2 ай бұрын
Mwaka gani
@hazygardmericho9571
@hazygardmericho9571 2 ай бұрын
Mahubiri haya nasikiliza mwanzo mwisho, ila ushuda mwingi na miujiza nasinzia
@RaymondMuya
@RaymondMuya 2 ай бұрын
Haya ndio mafundisho ya kiroho
@user-cq8nd4ek8w
@user-cq8nd4ek8w 2 ай бұрын
BWANA AZIDI KUKUINUA
@piusnkwale
@piusnkwale 2 ай бұрын
Aleluiaaaa
@tadeichaula3278
@tadeichaula3278 2 ай бұрын
Penda sana pastor Gwajima
@user-tl4sw7xz8c
@user-tl4sw7xz8c Ай бұрын
1994 makasi alikuwa ameshaokoka tayali apo umedanganya
@NamkundaelPotential
@NamkundaelPotential Ай бұрын
😂😂😂❤
@benedictobucke9062
@benedictobucke9062 2 ай бұрын
Kemea mapambo kwa wanawake, kemea uvaaji wa kidunia, kemea mitindo ya kidunia ya unyoaji nywele, kemea makeup, kemea upakaji rangi kucha na midomo. Tafadhali onya na karipia, wengi wanaenda kuzimu ya moto kwa sababu ya Mambo hayo
@aloycesilwela3485
@aloycesilwela3485 2 ай бұрын
Ni watu wa rohoni peke yao watakuelewa lkn hawa wa mwilini sijui
@HannahRichard-ru3rj
@HannahRichard-ru3rj 2 ай бұрын
Very true many things are come from under the world
@JuliusMatiku-ux4ch
@JuliusMatiku-ux4ch 2 ай бұрын
Sawa yesu
@ndemabhwila
@ndemabhwila Ай бұрын
Tengua kauli ulisema yule ni daudi alubeti bashite wakati jina lake ni makonda
@MCNgakungaJunior
@MCNgakungaJunior 2 ай бұрын
JASUSI LA MBINGUNI!UBARIKIWE SANA!KIUKWELI WEWE NI MTUMISHI WA TOFAUTI SANA.MUNGU AKUZIDISHE MARA ELFU NA ELFU.
@user-cw3vu8mu3k
@user-cw3vu8mu3k 2 ай бұрын
Nimewasikikiza mababa wa kiroho lakin sijawahi mpata mtu kama Gwajima anakufundisha kila kitu wap ameteleza wap ameumizwa wap ametumia ujanja wap analiongopa wap alitumia imani wap alivunjwa moyo hajifanyi kwamba yeye n tofauti huyu sasa ukisoma kitabu chake utaokota kitu
@benjamenshepa1000
@benjamenshepa1000 Ай бұрын
Pia mwakasege
@milley7185
@milley7185 2 ай бұрын
Ukiwa unataka kuomba pesa Je 😂😂😂😂 tupige simu
@GoldenchipsChips
@GoldenchipsChips Ай бұрын
😅akaenda akamuomba MUNGU PESA AKAMPA 😂😂
@benjamenshepa1000
@benjamenshepa1000 Ай бұрын
Sasa Cha ajjabu nini au kwa akili zako umefikilia zililushwa zikaanguka. Tumia ufahamu Mungu analeta pesa kupitia watu
@directorabson
@directorabson 2 ай бұрын
Aliye na Mungu mwache TU usimzuie barabarani
@rachelkimaro653
@rachelkimaro653 2 ай бұрын
Askofu Gwajima Ana akili nyingi sanaa nikianza kumsikiliza huwa siwezi ishia njiani barikiwa sanaa na Yesu akupe umri mrefu utimize maono aliyowekeza ndani yko
@gracenyangusi6230
@gracenyangusi6230 2 ай бұрын
😅😅😅❤
@user-zu5ee3qe6u
@user-zu5ee3qe6u 2 ай бұрын
Tuko kanisan tunapigiwa hadith 😢hivi tumesali tayar ama
@Julina9099
@Julina9099 Ай бұрын
Hadithi umeisikiliza toka rohon mtu wa Mungu
@aminathatwahir8462
@aminathatwahir8462 2 ай бұрын
Woow woow......huu ni ushuhuda wa vizazi na vizazi. Ubarikiwe sana sana kwa kushare huu ushuhuda kwakweli umeniinua. Mungu akubariki sana na ni maombi yangu akupe hatua zaidi na zaidi. Wewe ni hazina kwa nchi yetu. Ubarikiwe sana
@MilloWamilonga-ft8ir
@MilloWamilonga-ft8ir 2 ай бұрын
Wapumbavu ndio watamsikiliza pimbi huyu. Mbona hajamfufua mwendazake jiwe la magufuli aliyempendelea kwenye ubunge. Ana laana kuu huyu msukuma.
@benjamenshepa1000
@benjamenshepa1000 Ай бұрын
Mungu akusamehe saana ndugu yangu hujuw usemalo
Heartwarming: Stranger Saves Puppy from Hot Car #shorts
00:22
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 21 МЛН
Я нашел кто меня пранкует!
00:51
Аришнев
Рет қаралды 4,3 МЛН
Wait for the last one! 👀
00:28
Josh Horton
Рет қаралды 159 МЛН
NACHOTAKA NIWE / NIKIWA NAWE NITASHINDA/ MUNGU MWENYE ENZI/USINIPITE MWOKOZI #subscribe #GuzaTv,
1:01:53
𝗚𝘂𝘇𝗮 𝗧𝘃. (𝑻𝒐𝒖𝒄𝒉𝒊𝒏𝒈 𝒍𝒊𝒗𝒆𝒔)
Рет қаралды 123 М.
Hotuba ya Askofu Gwajima 'iliyomvunja mbavu' Rais Magufuli bungeni
9:30
Daily News Digital
Рет қаралды 486 М.
tumelogwa Bishop Gwajima
5:05
UZIMA TV
Рет қаралды 869
BISHOP PM NKAMBULE MOMS FUNERAL BISHOP MAKAMU PROPPHESY
29:11
Bishop P M Nkambule
Рет қаралды 29
KEKIMA YA BISHOP GWAJIMA || RETREAT CAMP DAR ES SALAAM
56:31
Pastor Dickson Kabigumila
Рет қаралды 14 М.
MICHORO YA UOVU: BISHOP DR JOSEPHAT GWAJIMA: 03.11.2019
2:48:13
Josephat Gwajima RudishaTv
Рет қаралды 27 М.
Heartwarming: Stranger Saves Puppy from Hot Car #shorts
00:22
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 21 МЛН