Dahhhh nimeliaaa 😢😢😢 MUNGU akubariki Chino. Wewe ni Mwana, Rafiki wa kweli 🎉🎉🎉 We love you Chino❤❤❤
@RoseeyRoseey10 ай бұрын
Huyu chino atafanikiwa sana wachache wenye moyo kama wake Mungu akubariki na akuepushe na kila baya.
@AminaAmine-v4m10 ай бұрын
Mungu namie nipe riziki niwalee watoto wa mdogo wangu allh amurehemu😢😢😢
@Lassana75510 ай бұрын
Ameen
@zuweinaalhabsya877310 ай бұрын
Amiin yarab Allah akufanyie wepesi yarab
@saidibanda834710 ай бұрын
Pole sana
@mohamedally522510 ай бұрын
Mbn km hiyo sehem inaingia maji
@bernaberna415910 ай бұрын
Pole
@FazilaAali-r8d10 ай бұрын
Chino kaka angu utafanikiwa sana mungu akupe baraka uzidikupata zaidi yahicho itakua biliget kaka aminia chino ❤❤❤❤❤❤
@reisedyy491010 ай бұрын
Toa namba chino tukutumie chochote. Wewe ni mtu katika watu🙌🏾
@juniorsonofgod567510 ай бұрын
Nikweli kbs
@jamilally391610 ай бұрын
nikweli
@StephenMiyeye10 ай бұрын
@@juniorsonofgod5675😢😢
@NanyondoJoseph10 ай бұрын
😂ila watu
@aisharamdan835810 ай бұрын
Sana nikijana mdogo anamoyo wakipekee Sana
@shamsaali98210 ай бұрын
Pure gold heart and genuine person may l Allah blessing you and family inshaallah big respect ✊ love you brother peace love and unity always ❤
@EzekielMolel-c4f10 ай бұрын
V😮
@estakapufi758210 ай бұрын
Kafanya kitu kizuli sana, hichi kitu kakiwaza usiku na mchana kwakuwa kampoteza mtu anaempenda safi sana mungu azidi kukupa umli mlevu sana.
@margarethpolepole743810 ай бұрын
Mungy akubariki sana mtoto Chino kwa kumjali mzazi wako na kumjali kumjengea rafiki yako marehemu Dereva wako wazazi wake Mungu akupe nguvu zaidi
@ezekiamgimbaofficial569410 ай бұрын
Blessed 😇 Chino watu wajifunze kwako😢😢😢😢😢😢
@YoungllyNonga10 ай бұрын
I support you bro chino god bless you long life 😊
@yasminoluoch16910 ай бұрын
You wil never luck Chino huwa nakukubali sana Allah azidi kufungulia Mashallah...much love frm mombasa kenya❤❤❤
@twalebleboss968710 ай бұрын
NAPENDA VIJANA KAMA...#CHINO...UPEO WA AKILI NA MTAZAMO..PAMOJA NA HURUMA NA UTU...#MAASHAALLAH ..Allah azidi kukuongezea....#AMEEN 🙏🤲🙌
@shalifahaly716210 ай бұрын
pole kaka na ongera kwa kuanza kuitimiza ahadi iliyo aid Mungu akujalie na akuongoze
@godwinkileo770210 ай бұрын
Kama ni mapenzi ya Mungu, ubarikiwe sana, ila kama ni kafara ushindwe kwa jina la Yesu.
@Grtudajunior-cw5zp10 ай бұрын
Ishi chinno be blessed with your family unamoyo pure sanaaa mungu akuweke sanaaaa
@geofreymalekana800010 ай бұрын
Kafanya jambo zuri sana kumkumbuka mama wa rafiki yake hakika ni faraja nzuri sana, bigup to chino 👏👏
@annawinstone942610 ай бұрын
Mungu bado anawatu wake hapa dunian jamani 😍😍😍😍 hii imeniliza
@sabraali111810 ай бұрын
Mungu akuzidishie uwe na Imani hiyo hiyo ktk maisha yako yote mashaallah ❤
@FayeezAlbahassaney10 ай бұрын
Sabra
@maryamChumas10 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
@Kokafamil10 ай бұрын
Acheni imani potofu jamani yeye na Mungu wake ndio anajua kama ni kafara au ni kudra za Mungu don’t be so quickly to judge
@sonicaghendewa988610 ай бұрын
Urafiki wa Wanaume huwa ni urafiki hasaaaaaa wa kweli kabisaaa. Sisi wanawake sasa🙌🙌🙌
@boscokikoti10 ай бұрын
Hahah
@mrsinia306410 ай бұрын
nyie wachawi😂😂
@faridaabdallah742410 ай бұрын
Tunaroho mbaya hatupendi mwamamke mwenzako akuzidi tuna urafiki wa kinafki
@ngowibeatrice170110 ай бұрын
Sio wanaume chino anaroho nzuri
@FatumaMohamedi-t6t10 ай бұрын
Inategemea mm nilikua na rafiki yangu hata sain ameweka ktk hat yang.
@khamisramadhan68610 ай бұрын
Mungu akuzidixhie brother🎉🎉🎉🎉🎉
@asyahassan265610 ай бұрын
In Shaa Allah Mwenyezi Mungu akuzidishie. Akubarik. Ameen
@LailaLaila-kg2qd10 ай бұрын
Dah we kaka Mungu awe nawe milele ❤❤
@pizzycrazzy10 ай бұрын
God bless you kaka🙌🏻🙏🏻
@ZuberSalum-mq4jy10 ай бұрын
Bro we ni bora sana kwaku hoji unaweza kuwafanya watu watoe mashauzi kwenye majibu bali jibu kuwa funzo kwa mpokeaji kabisa rstcp
@StimaOfficial10 ай бұрын
Mchizi ana moyo wa ajabu sana Atafanikiwa sana🎉
@ChenchiKing10 ай бұрын
Kweli Ahutukwazi Tajiri Mungu Akupe Maisha Marefu Kwa Kweli Na Moyo Kam Huu Na Wasanii Watu Wajifunze Hapa🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@JohnRossan-pk5cl10 ай бұрын
Chino mungu akuzidishie ktk utaftaji wako kubwa sana hilia
@wahidaabeid571210 ай бұрын
Mungu yupo pamoja na wewe kwa Kila jambo kadri na Nia Yako mungu atakufikisha mbali na tutaona ameen
@StivemarleyBaruswage-sx6gd10 ай бұрын
God bless u chino kid akuwekee wepesi katika mitikasi yako
@davidwalalason763010 ай бұрын
Bigup to chinno kidd. He's loyal❤
@patriciatumain17210 ай бұрын
Chino wanna man mungu akubariki katika kila Jambo lako ufanyalo
@emmanuelmwansasu34710 ай бұрын
Dah initia uzuni na faraja chino mungu akuzidishie umeonesha moyo wa huruma sn na upendo
@NgengeMkeni-uo5hq10 ай бұрын
Ubarikiwe zaidi Chinno, endelea kuwa na moyo huo huo
@Gabonfreeman10 ай бұрын
God bless you brother 🎉🎉🎉
@wolframmwalo243210 ай бұрын
Nakuunga mkono chino nawe ukifika level ya rangi Venco Group Limited tutakupa rangi bure
@lisaabdallah141510 ай бұрын
Dah nimetoa machozi ila chino mama amekuzaa na una moyo wa mama ako sio rahisi wamama walio toka kwenye dhiki akakubari kufanya hayo ubalikiwe sana na uzidi ulipo pungua inshallam
@zubeaslay656610 ай бұрын
Mungu azidi kukubariki #Chino💯🙏✨Love from 🇺🇸
@JosephMoses-y5p10 ай бұрын
Huu ndio ubinadamu big up sana
@fauzenkassim842410 ай бұрын
Mashaallah M-mungu akusimamie InshaAllah 🤲
@BHALEEALI10 ай бұрын
Mungu akupe ulipo pungukiwa na akupe umri mrefu wa mafanikio
@agreyjonas501510 ай бұрын
Ish sana mwanang chino una moyo wa kipekee sana 😢😢😢😢 ni wachache sna
@yousufyousuf596310 ай бұрын
Oya big up bro allah akuzidishiye kwa moyo wako
@hanifamziray27710 ай бұрын
Hongera sn sn unamoyo wa kutoa broo alkah akuzidishie
@bernaberna415910 ай бұрын
Hongera sana mungu akufungulie Tena riziki ❤❤
@MgeniMawazo10 ай бұрын
🎉🎉Mungu akubariki na akuraisishie kwa kila unaco kifanya
@florahhemedy405310 ай бұрын
Pure heart ❤️ wee chinooo
@mrsinia306410 ай бұрын
Wew ni mfano wa kuigwa chino very congrats for that 👊👊
@bongo3910 ай бұрын
Hongera kijana mungu atakubariki zaidi
@naimarishedy152310 ай бұрын
Mungu akuzidishie kwa roho Yako inshallah
@skyscapeinternational965810 ай бұрын
chino mungu amjalie kikubwa kwakuwa ana moyo uliokuwa saaafiii
@Zubaiba10 ай бұрын
Seleman kinyonyi Mbona una mpiga mungu ,kazi ya mungu haina makosa,ila mungu akusamehe ktk kauli yako
@alizaharan147110 ай бұрын
MUNGU ALUONGEZEE KWAKWELI NA PIA MAMA ANAMOYO KAMA WAKWAKO AU UMECHUKUWA MOYO WA MAMA YAKO MUNGU AKUSIMAMIE
@hassanmasuke507810 ай бұрын
Utafika mbali bro mungu akuweke
@venusmillonge424010 ай бұрын
Sasa hawa ndio watu hata wakiomba mchango mnawachangia sio wale wanapost only gud times......chino toa number tukushike mkono
@mariamkibindo174110 ай бұрын
Pure gold heart
@salamaalihemed622010 ай бұрын
Mashaallh mungu akupe nguvu n umri mrefu
@wilsonjaphet554710 ай бұрын
Iyo sehemu msingi wangenyenyua juu kidogo Inaonekana mvua ikinyesha maji yanatuwama
@Officalnaph10 ай бұрын
yaaah inaonekana ni sehem ya maji hivyo msingi ulitakiwa kuwa juu sana
@feezdidthis222010 ай бұрын
Sharo pia alifia apo apo.. Kuna nini apo kabuku
@NapatNapat-x6i9 ай бұрын
Yaan kk chino mungu akuvuwe hili na jengine
@albertmalenge-cs6zy10 ай бұрын
Daaah very emotional aiseeeh👏👏👏😢😢
@ZainabuIddy-r1o10 ай бұрын
Congratulations ❤
@Zubaiba10 ай бұрын
Mungu akuzidishie
@1czay10 ай бұрын
Mungu amzidishie mara dufuu❤❤
@InnocentRichard-qs8ux10 ай бұрын
Why mtangaze hizi?
@dianajohnson72689 ай бұрын
Mungu akubariki sana
@MwanjiNzala-mo5ni2 күн бұрын
Na asingemtoa mwenzie kafara mpaka leo.angekuwa anasota sema nn ela.zinahitaji ujasiri sana
@hamischitanda369310 ай бұрын
Wasanii waongo unasema tulikuwa tunawashangaa au ndio watu wa kwanza kuja kuwaokoa
@maryamChumas10 ай бұрын
Barikiwa sanaaa chinoo❤❤❤❤❤❤❤
@dulahshabani815910 ай бұрын
Siku zote ukitoa kwa moyo mungu anakupa zaidi hivyo chino ni mfano mzuri so tujifunze kutoa
@ALIKHAMIS-un4fv10 ай бұрын
Cha kusema innallilah wainna ilaih rajiun Allah amepanga na anachotaka anafanya ndugu umeongea kwa moyo safi Allah akufanye uwache music urudi ktk dini ya haki ambayo ni uislamu kwa utafaulu
@halimamwaita292910 ай бұрын
Mungu akuzidishie.inshalh
@GladnessSanga-ek6wd9 ай бұрын
Mungu akubarik jmn
@AderickErick10 ай бұрын
Dah so pain jinsi brother anavyoelezea kwel n kutoka moyon mung atasimama na wewe chino
@BarackaSaim-ev3gk10 ай бұрын
Hongera sana bro
@omanmct13510 ай бұрын
Subhanalllah neno lamungu halina makosa
@simbajumanne971810 ай бұрын
Mariooo mama yake hana nyumba ila kamjengea paulaaa .hiii ndio bongoooo
@ChoroTesla10 ай бұрын
inawezekana wakati wa ajari jamaa alipata internal bleeding yawezekana kichwani au kwenye maeneo ya kifua na kupelekea kupoteza uhai wake ndo mana chino anasema jamaa livyotoka akawa anajishika kichwa
@Zubaiba10 ай бұрын
Ndugu zangu mlio.na imani ya uganga,muamini mungu,maana mnampatisha marehem dhambi,hakun mtu anayekufa bali ni ahadi yake ishafika
@husseinyusuph545814 сағат бұрын
Miez mitano mbele marenji manini kama sio kafara nini?
@jamilaathumani548110 ай бұрын
Chino kaka wewe unaroho nzur sana ,,ila punguza show off mala nyingi watu sio wema na sio wazur,,,acha kuonyesha mafanikio yako kwanza na kama ukitoa misaada ,,mala nyingi watu sio wema,,ila ongera na mungu akubariki kaka mana unaroho nzur sana
@mrsinia306410 ай бұрын
ila so kwaubaya anatak kuwamotivate nawengine
@jamesmwamakula668410 ай бұрын
Kwan ww ungejua kama kafanya haya? elewà màaña ya kuwa msanii±kioo cha jamii!
@asyahassan265610 ай бұрын
He is a very nice guy, no doubt
@salimmwabundu95810 ай бұрын
Mungu azidi kukubariki
@djjackdjjack505510 ай бұрын
God bless you chino
@JacksonMwanyamba10 ай бұрын
Chino mungu akubariki sana.
@SalamaNauthar10 ай бұрын
MUNGU Akubariki chino'
@kiosoomastory10 ай бұрын
Duuuh dunian watu kama ww hawafik 100,una moyo wa utoaji sana
@EmmanuelNyinyigwa10 ай бұрын
Wasanii wanapo Anza hua Wana Moto Safi. Shida hua nipale wanapo taka kikubwa ndo na mikataba ya kuzm inaanzia hapo
@SwaleheAlly98210 ай бұрын
Allah huma amiin 🤲🤲🤲
@RahimuOmari-n3y10 ай бұрын
Kifo ni siri ya mungu tumuachie yeye muumba alie tuumba basi waliopona poleni sana na huyo aliefariki mungu ampumzishe mahali pema