Uyu jamaa ally masudi inabidi aende jeshini mana anaufahamu sana na mambo ya kivita safi sana.. mashalah
@danchisunga45063 ай бұрын
Na akawa saidiye Rusia kupigana ukrain
@user-qq6mv6vh3e3 ай бұрын
Kabisa
@user-qq6mv6vh3e3 ай бұрын
@@danchisunga4506😂😂😂
@kwisa48993 ай бұрын
kuna watu wanajua zaidi yake
@jamilaathumani54813 ай бұрын
@@kwisa4899 iyo Sasa nichuki...mungu akimpa mja wake heshim na ukubali ..acha roho mbaya na nongwa
@pascalmanyama23043 ай бұрын
Hakuna jipya hapo,hizo storm shadow na ATACMS Russia anazitungua kila wakati pia kule Syria ameshakutana nazo ndio maana unamuona Assad bado anadunda.Kinachofanyika hapo ni biashara tuu na kitafanya ukraine iongezewe dozi ya mapigo kitu ambacho ni hatari kwa maisha ya watu.
@yahayaannu36633 ай бұрын
Facts 💯
@mathiaslaurent7563 ай бұрын
Na wakifanya hivyo basi urusi itabidi iwaze kumuua rais wa Ukraine
@user-ko4ix1ye7e3 ай бұрын
Kiukwel ally masubi anajua sana na huwa namkubali sana anaongea Kwa upana sana na huwa Hana ushabiki katika kuzungumzia haya mambo kiukwel jamaa anajua sana🔥🔥
@samirhumud74083 ай бұрын
Ushabiki anao
@MAHAN-SMART3 ай бұрын
Kaka Aliy masubi wewe ni level nyengine kabisa unastahiki heshima kubwa sana
@madaiincubationcenter49473 ай бұрын
Asanteni sana kwa taarifa za kisayansi
@hudumablack93393 ай бұрын
Pamoja na hayo yote, bado Urusi itaendelea kuyachukua maeneo mengi zaidi ya Ukraine.
@AjudeKaluwa-bp1zz3 ай бұрын
Asante sana kwa taarifa
@user-es7jn7cp5d3 ай бұрын
Asante mchambuzi kutupatia elimu wengi hatujui Mambo tumekalili urus mpaka tunasema Putin ni mungu waka mungu hazihakiwi na kitu chochote hapa dunia🙏🙏🙏
@africanmandetraveler28473 ай бұрын
Kwani marekani ndie mungu ,Ukraine ilishashindwa kitambo inategemea msaada wa nje ndo maana NATO wanahaha kwa uoga.Putin baba wa dunia.
@rumdeesonsoa18113 ай бұрын
@@africanmandetraveler2847Imagine Ukraine ilikuwa hairuhusiwi kulenga ndani ya Urusi. Vp kama Ukraine inaruhusiwa kulenga ndani ya Urusi tangu zamani?
@martinisadru98993 ай бұрын
@@africanmandetraveler2847sasa! Ndugu yangu,, hivi kweli sisi wabara tukawavamie wazanzibar? Kisa wanajitenga, hivi inakujia akilini mwako nini kitatokea, Ukraine ni ka, inchi kadogo sana,,, kasipo omba msaada wataangamizwa kwa muda mfupi sana. Hata tz bara tukiivamia zanzibar, wataomba msaada tu.
@toymadebho70483 ай бұрын
ally your the best all the time
@user-qq6mv6vh3e3 ай бұрын
Hatari
@MsodokiTheson3 ай бұрын
Kuomba like ni mambo ya kichoko
@adamhashim33523 ай бұрын
Sijui wazipeleke wapi
@DanjeseGaaray2 ай бұрын
Wacha waombe like
@ibrahimmakata21113 ай бұрын
Yaan mambo yote haya /bidii yote hii/umahiri wote huu wakutengeneza vifaa vyote hivi kwahyo lengo la binaadam ni kuuwana sisi kwa sisi ...Mwenyezi Mungu anatumuvilia kwa mengi sana wallah😢
@sadikihamisi74913 ай бұрын
Nando mana alo leta kifo ni binadamu!!!!
@bensonphilip96733 ай бұрын
Jamaa alisha tanguliza satellite ku disturb gps ili isi run
@user-jy4pm3hh9s3 ай бұрын
Aatarr
@user-tg3ev7fo9i3 ай бұрын
Hongera sana kaka
@user-yw3qh6qj8g3 ай бұрын
Daaah,marekani anapesa
@sadikihamisi74913 ай бұрын
Marekni hana pesa bali ana makaratas,....
@mndambokilavo25023 ай бұрын
Aisee vita ni biashara kubwa kuliko maelezo ndio maana watu hawataki viishe
@danchisunga45063 ай бұрын
100%
@danchisunga45063 ай бұрын
Nchi zina ingiza hela sio mchezo
@user-jy4pm3hh9s3 ай бұрын
Ally unajua kuchambua siyo kama dj smaa yupogi kishabiki sana
@mangiclaus3 ай бұрын
Kuna watu wanakuja kuomba likes hapa.... Mimi naomba ndege za F16 5 kuna jirani yangu ananisumbua huku wazo
@denislramadhani78573 ай бұрын
Urusi anawatazama tu kwa mbali
@atutweve41603 ай бұрын
HANA LOLOTE🤣
@peteremmanuelymatwimatwiem32583 ай бұрын
@@atutweve4160sawa kijana ngoja tuone
@rumdeesonsoa18113 ай бұрын
Anatazama na huku anaumia
@salumabdallah29903 ай бұрын
Kama hana lolote mbona wameshindwa mpaka sasa😂😂😂@@atutweve4160
@sbboymkaliofficial91083 ай бұрын
Makombora yote urusi anayaharibu yakiwa kwenye ma gara kabra haja fika uwanja WA vita 😂😂😂
@user-jy4pm3hh9s3 ай бұрын
Uu
@Aminmwansile-we8vn3 ай бұрын
Taifa la kushindana na marekani katika Dunia hii Bado halijazaliwa toka utawala wa Roma ulivyoanguka
@nizarrama2253 ай бұрын
😂 upo gizani unadanganywa na media, marekani shughuli yake imeshaisha hafurukuti kwa Urusi na yeye ndio chanzo cha huu mzozo, nayeye ndio anayepigana na Urusi nchini Ukraine kwakushirikiana na NATO yake lakini bado ameshindwa kufua dafu mbele ya Urusi! Urusi ni super power angalia walivyowafurusha ufaransa marekani ukanda wa Saheel Africa kuanzia Niger, Mali, Burkina Faso, Senegal sasahivi Chad! Marekani wameshindwa kuzuia uchaguzi wa uraisi nchini Urusi na raisi keshaapishwa hvyo dunia tuliyonayo ni tofauti na dunia ile aliyokuwa anatawala marekani nandio maana unaona BRICS ilianzishwa na Urusi na bado marekani alishindwa kuizuia 😂😂 hvyo ukiwa unaongea uwe unaongea facts
@KibwanaJunioh3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂hakuna kitu kama hicho haya ni mawazo yako tu
@africanmandetraveler28473 ай бұрын
Asante kwa maoni yako na ndoto zako feki.
@modestwenceslaus93 ай бұрын
Sahihi kabisa na aseyekubali ukweli huu akajitie kitanzi😂😂😂😂😂😂
@HamadJuma-kj5td3 ай бұрын
Wewe umeshiba propaganda za magharibi jiangalie wasije kutowa hicho kinyesi
@barakamalinga3 ай бұрын
👏
@AderickPutin-jm9kb13 күн бұрын
urusi Ina mfumo mzuri sana
@hamidamussa-sy4fm3 ай бұрын
Pesa wanazo marekani
@Mumewangu3 ай бұрын
Ukrein sasa itaangamizwa na urusi
@user-yw3qh6qj8g3 ай бұрын
Siorahisi kamaunavyofikili
@bonifacemeela52473 ай бұрын
@@user-yw3qh6qj8gAtaangamizwa Vibaya sana Zielensky anatafuta balaa
@atutweve41603 ай бұрын
UNAOTA ANGESHA ANGAMIZA ILA ALIJUA NATO GANG WATAMFANYA MBAYA,SASA NDO MBAYA ATAFANYWA
@sultanbakary42923 ай бұрын
@@user-yw3qh6qj8g Nyie subrin muone Ukraine arushe bomu ndan ya urus ndio tutapata majibu sahh ndio ombeen na mkifrah
@peteremmanuelymatwimatwiem32583 ай бұрын
Hivi ta nato hawezi kutoboa hiii wekaakilini
@jamessiame51693 ай бұрын
Safi sana Ukraine vitisho vya vula avimuzuwii,tembo kunywa maji
@muhammadmbaraka45153 ай бұрын
Silaha hizo ni hatari kwa majeshi dhaifu... lakini zikikutana na majeshi madhubuti ya URUSI zinafanywa kuwa biscuits
@jumamussantuiche3 ай бұрын
Atuna shaka na urussi.ulaya na marekani iyali yao kuhishi watu au mbwa,putini kasema.
@mchinatz93353 ай бұрын
NIKO HAPA NASUBIRI HAYO MASHAMBULIZI YA UKRAIN KWA URUSI ALAFU MTAONA MAJIBU YA URUSI KWA UKRAIN
@leonardjohnson20583 ай бұрын
Siyo yeye mwenye nuclear tu atachapika
@mathiaslaurent7563 ай бұрын
Nina mashaka sana na mfumo wa ulinzi wa makombora wa nchi ya urusi!!
@hajiameir86883 ай бұрын
Mimi nauliza tu vifaru hatari vya ambrahams viko wapi navyo vilitutisha sana lakini sasa hatuvioni
@LastdayJesu41533 ай бұрын
Tunaelekea kipindi ambacho Urusi itarusha kombora USA
Huyu jamaa anaetusimulia sio mtu wa kawaida ni wa systim haiwezekani mtu wa kawaida tu ujue hivi vitu halafu awe mtaani tu huyu jamaa ni mwanajeshi yupo mtaani ni systim
@emanuelidamiani29433 ай бұрын
Aiseeeeeee kwa gharama hizo kuna kufilisika taifa. Yaaani manyang'au hawaoni hata aibu nchi zote hizo mnapigana na nchi moja na inawapa shida hivyo!!!! Ama kweli Mungu akiwa upande wako, mbona maadui watatawanyika kwa njia saba. Ngoja tu inyeshe tuone panapovuja. Ila Putin naye apunguze upole sasa, washavuka redline sana, washamlaghai sana ila yeye anavumilia, hao sio watu hao watamnyea akiwaendekeza.
@bonifasiemanueli213 ай бұрын
URUSI na yeye alishaumia sema basi tu ni sili ya Inchi,
@ekimnkande28733 ай бұрын
Silaha ni hatari mrusi .wenyewe kashituka yataMfikia
Hivyo ni vita vya dunia tu sababu Ukraine hawana watu watakuwa na ujuzi wa kutumia hizo sila .......
@boniphace13 ай бұрын
Kuna watu hawapo kwenye mifumo ya serikali ila wana uelewa wa mambo sana. Serikali ijifunze kuona watu nje ya Box.
@robertmhikwa81743 ай бұрын
sahihi kabisa
@DavidCharles-yi1lq3 ай бұрын
Gharama ya kombora moja ni billion nne afu inatungulia na ndege zisizo na ruban toka iran zenye gharama ya million 10 ndo maana marekan anaichukia sana iran
@sadikiwilibadi45333 ай бұрын
Ukren edeleen kujitetea msionewe au msiwe mateka
@muhengamakunga3 ай бұрын
rasia ina bidi apige nyuklia ili apunguze mazoea uklein sio watu poa bora wafe kama ni vikwazo ulisha wekewa sasa urusi hana tena cha kupoteza
Hivi huyu Ally masubi Kuna ubaya gani akipewa uwaziri wa ulinzi
@HomeboyTZ193 ай бұрын
mpe uwaziri wa familia yako, kwa hivi vi uchambuzi uchwara ndio unawaza uwaziri? we boya kweli
@vibetz99913 ай бұрын
Walipuane tu, tushawachoka
@user-dg7wf6fg2j3 ай бұрын
Wakilipuana wanaumia nyasi
@NdovuDentalClinic_2 ай бұрын
Kwa gharama hizi tuendelee Kula bia vita haviishi ni biashara za watu hizi 😂😂😂
@rashidiiddi24333 ай бұрын
Ujue Russia amejipanga Yani kabla yakuingia vitani alijua kabisa hatopigana na ukrein bali atapbana na NATO kiwanja cha mapambano Kiko ukrein nawenyewe wanaijua nguvu ya Russia ndomana hawamvamii kijeshi bali wamewapeleka wanajeshi wao kinyemera lkn Bado wanapigwa kwaiyo hayo wewe nimaoni Yako tu
@africanmandetraveler28473 ай бұрын
Urusi kiboko mpaka imebidi watume siraha zao zote kumdhibiti mrusi.Wasicho tambua Urusi amejipanga wakimwaga mboga mrusi anamwaga ugali.
@DanjeseGaaray2 ай бұрын
Mmmh hakuna anayejua
@mtulivu-ir1nq3 ай бұрын
Urusi hatopigwa Hadi mmarekani apigike na yeye🙌🙌🙌
@ekimnkande28733 ай бұрын
Wasitishane moto moto
@show...0023 ай бұрын
nuclear itumike tyu ili heshima iwepo
@user-rx6tx3zi7q3 ай бұрын
Kwel
@HajjiSilima-rd3uh3 ай бұрын
Duhh! Ukrain anajitia kitanzi Sasa anakubali kizembe kujitoa kafara
@danchisunga45063 ай бұрын
Ukrain, amesha isha, kuna nini tena chakuogopa, kama tinzi mbona muda. Groly to ukrain
@goodluckygobam44773 ай бұрын
Hapa watu washaingia kwenye mfumo acha watu wanyooshwe kwanza
@AliNassor-qt6fm3 ай бұрын
Tupo tunaangalia viva Russia
@malkiawagiza13273 ай бұрын
Zelensky hana la kusema anafanya kile ambacho Wamarekani wanamwambia.
@atutweve41603 ай бұрын
🙄🙄🙄🙄🙄
@godfreydavid68473 ай бұрын
Urusi anatishia kutumia silaha za maangamizi....Hii inamaaniaha kwenye conventional war ameishiwa mbinu
@kibwamoko87673 ай бұрын
Wewe unaweza kupambana na Manchi yote ya NATO bila Silaha za Maangamizi. Wewe Mtu mmoja unaweza ukapigana na watu 40, lazima watakushinda tu otherwise utumie bunduki kujaribu kujitetea.
@godfreydavid68473 ай бұрын
@@kibwamoko8767 Nchi 40 Vipi? Wewe Kwa akili yako unadhani Urusi anapigana na nchi 40 za NATO? Ushawahi kusikia F 16, F 22 au Ggripen zikishambulia Urusi, ushawahi kusikia Subs za Marekani au U8ngereza zikishambulia Urusi. Ukraine hupewa msaada mdogo wa silaha za kujilinda Tena Kwa masharti asipige ndani ya ardhi ya Urusi. Urusi husaidiwa silaha na Korea Kaskazini, China, Irani, Venezuela, Azebaijan, Belarus, na husaidiwa Majeshi na nchi Kama Mali, Ivory Coast na Guinea Bissau. Urusi vita ya conventional ameshafeli maana mipango yake imekufa ndio maaana anatishia kutumia silaha za maangamizi
@HamadJuma-kj5td3 ай бұрын
Wewe ni kiziro ambacho hakina shaka ndani yake ety kaishiwa mbnu😂😂
@godfreydavid68473 ай бұрын
@@HamadJuma-kj5td Yah ameishiwa mbinu...Msaada mdogo anaopewa Ukraine una masharti lukuki, mfano haruhusiwi kupiga ndani ya mipaka ya Urusi. Yeye Ukraine anaruhusiwa tu kushambulia ndani ya mipaka yake hivyo humfanya Urusi kuwa mizani inayombeba. Mwaka Jana Finland imejiumga NATO bila kuogopa vitisho vya Urusi. Ukiona taifa lenye silaha za. Nuclear linatishia kutumia basi majinyamezid unga. Urusi husaidiwa na Iran, China, Korea Kaskani, Venezuela na hata nchi za AFrica ikiwemo Burkina Faso. Mipango ya Urusi imeshafeli..Taifa kubwa kupigana na taifa changa Tena lililopakana nalo na mpaka sasa miaka miwili ishapita na kutoamgusha dola ni dalili za kushindwa
@hajiameir86883 ай бұрын
Mimi nauliza tu putin yy hana makombora ya kufika ndani ya kiev kama anayo basi kazi ipo
@user-qq1wn1sw5q3 ай бұрын
Hapo NATO wanatangaza biashara ya silaha.mana walkwah kuwapa cluster bombs na Bado haijafua dadu
@MaugadoMaugado3 ай бұрын
sasa kam ymetengnezwa 370 why USA amptie Ukraine kwkuw makombala c machache
@khalidmdotta38433 ай бұрын
Hiyo mkwara tushazoea walitamba na mavifaru kikowapi yaani ninachokiona vita hii itakuwa kubwa kwa ujinga wa marecani
@lukafbbwebelof38743 ай бұрын
Ukraine bye bye Nato na Marekani wamekutoa kafara. Utakwisha na kusahaulika
@atutweve41603 ай бұрын
UNAOTA 😳🙄🤣🤣🤣🤣
@daxenkiller62743 ай бұрын
Afe nato au ukrain mbon kam WANATAK UKRAINE iishe
@hamidamussa-sy4fm3 ай бұрын
Hawo anao watisha pia wanazo marekan ufarasa uingeleza nk.
@clementsabuni753 ай бұрын
Tatizo hao Marekani na uingereza ufarasa kwao hakuna vita ndo faida yao ni wachochezi tuu inatakiwa putini anatakiwa kushambulia nyumbani kwao.
@atutweve41603 ай бұрын
@@clementsabuni75ANAUWEZO? Yani hakuna anachokijua hawachochei ni kwamba mrusi anatka kutake over europe hapo anapita njia akimaliza aingie nchi nyingine, mnadhani kwanini wanamzuia? Yani hamjui lengo la mrusi ????? Yani kama afrika atokee kiongozi anatka kuchukua Afrika yote ndoivo
@atutweve41603 ай бұрын
@@clementsabuni75Hawachochei hamjui kitu,,wanajikinga sababu ana lengo la kuchukua ulaya yote hivo wakimuacha watatawaliwa kwani hamjui kitu na mnacoment nini? Unadhani wangemzuia wangejua kuna ka ugovi kadogo na ukraine? Wanajua anapita njia tu kwenda nchi zote za ulaya so lazima azuiliwe kwa nguvu ajue mipaka yake
Mzee tupe kidogo putin na taliban alio waalika.wageni wake
@zebedayokatamaduni96763 ай бұрын
Urus si anasema ana moto 🔥, sasa hata wenzake wana moto 🔥, awashe moto na wenzake watawasha moto 🔥😂.
@clementsabuni753 ай бұрын
Makombora yatadunguliwa tuu
@zebedayokatamaduni96763 ай бұрын
@@clementsabuni75 ) acha wawashiane moto 🔥. Moto kwa moto 🔥😂😂😂
@atutweve41603 ай бұрын
@@zebedayokatamaduni9676wamemvumilia wamechoka miaka miwili sasa wanamtizama tu sasa hata mtu mpole upole hufika mwisho nahisi sasa umefika muda na wao kumuonesha kuwa jitafakari na utubu lasivo moto kwa moto, kweli mtoto akinunua wembe mpe
@Shafikimanga73 ай бұрын
Nina uhakika, wakitumia tuu haya makombora hypersonic missile zitahusika, nyuklia itahusika maana NATO hawatakua tayari kudhalilika
@atutweve41603 ай бұрын
Kiufupi Watu weupe wote si watu wakujishusha so hapa hadi dunia ifike mwisho ndo mambo yataisha, watakaobahatika kubaki ama watapata kazi ya kujenga dunia na kutafuta madawa nk, wataaza kuishi kama babu zetu kwa kula madawa ya porini yani kuishi natural
@PatrickKagiraneza-ok8cw3 ай бұрын
Naku haidi hivyo vyote havita fanya lolote...vita dunguliwa kbsa...
@rashidmaty78243 ай бұрын
Aly ww ni pro American,iyo ipo wazi
@user-eg1ts2fu9z3 ай бұрын
Putin ni kiongozi ambaye Haogipi Kwa chochot ni mtu wa vitendo tu
@atutweve41603 ай бұрын
UNAOTA 🤣🫣😂😂😂😂NDO ANAVODHANI
@jahrean-tc85613 ай бұрын
Kuna Chanel moja nimemuona zelenks anaiomba nato kuifosi Russia kufanya mazungumzo ya amani dj smaa uko wap
@husseinhemedi93143 ай бұрын
Putin acha huruma igeuze Kiev majivu
@HajjiSilima-rd3uh3 ай бұрын
Imefika ahadi Putin kupambana na Hawa manyang'au wa magharibi ila Kiev anaelekezwa kuzimu ni Hawa jamaa
@kilogreekachananawatuwasio40543 ай бұрын
HAWA WAZUNGU WAMETUWAI ENZI ZA MABABU ZETU KUCHUKUA MALI NYINGI KUJIWEKA VIZURI MPAKA MWISHO WA DUNIA SILAA ZOTE HIZO LAZIMA UPATE MADINI KUTOKA AFRICA MATILIONI YA MADOLLA WAMECHIMBA KWETU 😢😢😢😢😢😢
Utakapovamiwa siku na Kenya au Kagame ndo utaacha mdomo 😊
@josepheriah59773 ай бұрын
Putin afe
@lameckraphael37433 ай бұрын
Chambua athar na madhara yake katika kusababisha vita,wachambua siraha tu jamaa angu
@atutweve41603 ай бұрын
ZINALIPUA KILA KITU KUTOKANA NA ENEO LILIPOSETIWA
@LylyShaban3 ай бұрын
Huyu ally ni pro_west hamna kitu leo nimeamua kumchana kabisa tuletee dj smaa wetu ndio katufanya tuwe hapa sns
@abdurashidinasorodini3 ай бұрын
acha ujinga wewe wasilisha wewe sasa kama waweza mbona dharau nyingi sana
@atutweve41603 ай бұрын
Hhhhhhhh ANAONGEA UKWELI NA NI MSOMI MKOME ALLY NA UMUACHE MTIZAME
@mbembelatv3 ай бұрын
Sepa t af unsubscribe uone km kuna kitakachoharibika😂
@salimfaraj55093 ай бұрын
Russia na yeye ampe Hizbollah makombora aweze kuipiga Israel
@hamidamussa-sy4fm3 ай бұрын
Islaeli ataipiga urusi
@mohammedhamad93923 ай бұрын
Mikojo yako
@jamessiame51693 ай бұрын
Urusi anaogopa islael
@nizarrama2253 ай бұрын
@@jamessiame5169😂 unafurahisha
@nizarrama2253 ай бұрын
@@hamidamussa-sy4fm😂 unafurahisha
@kilogreekachananawatuwasio40543 ай бұрын
HAYO MADUBWANA YAMETENGENEZWA NA MAGARAMA MAKUBWA YA KUULIA KUWAUWA MINADAMU NAKUWALIBU NCHI SASA DUNIA TUNAELEKEA WAPI 😢WEKENI PROGRAM MOJA NDUGU ZANGU CHANNEL YETU MUIPE JINA ICHO KIPINDI DUNIANI TUNAELEKEA WAPI???????😢😢😢😢😢😢😢😢
@danchisunga45063 ай бұрын
Mbona naye putin, anayishambulia Ukrain kutoka aridhin mwake? Sawa kabisa ukrain ishamburiye tu. Pun ana dhani yeye, ndo yeye, atachapwa tu
@atutweve41603 ай бұрын
URUSI KAWAONEA SANA UKRAINE JAMANI MIMI SIPENDI MTU MUONEVU NA ANATAKA KUWA MBABE, MUNGU TUSAIDIE KIUKWELI WATU WAIVI WAZUIWE KWA NGUVU SANA 🙏🏿🙏🏿🙏🏿
@ManyaSumaili3 ай бұрын
Wewe nakuunga mukono ata mimi sipendi mutu kaoneya mwenziye
@hajiramadhanihaji3553 ай бұрын
Lipo taifa lililouwa watu kama marekani?
@PAULNYANDILE3 ай бұрын
ukapimwe akili kwanza ndiyo uje ukomenti@@ManyaSumaili
@PAULNYANDILE3 ай бұрын
ukapimwe akili kwanza ndiyo uje ukoment
@atutweve41603 ай бұрын
@@hajiramadhanihaji355 MAREKANI ndo mkombozi wa wanyonge hakuna unachokijua 🤣yani yule ni God Father ukionewa anakuja KIRANJA MKUU
@emanuelmaraki97583 ай бұрын
Pigaaa ao urusi nyie mnashambulia ukreni mnaona sawa yeye urusi akipigwa sio swa subiri muone chamtemakuni vita sio masiara pigaaaaa ao warusiiiiii wapuziii urusi ameingia chooo chaa kikeee
@atutweve41603 ай бұрын
SIJUI KWANINI WATU WANAONA SAWA URUSI KUVAMIA UKRAINE AMEWAKOSESHA WATU MAISHA, watoto wamebakwa wanawake wamekufa nyie watanzania nmeamini ni watu waajabu mno, bora wewe umeongea tofauti
@PAULNYANDILE3 ай бұрын
dogo ukapimwe akili kwanza ndiyo uje kukoment humu.
@atutweve41603 ай бұрын
@@PAULNYANDILE POVU🤣🤣🤣🤣🤣
@PAULNYANDILE3 ай бұрын
@@atutweve4160 nope swala siyo povu dogo ila inshu ni uwelewa wa uhalisia au mambo ivyo tu, ila kwa kiwango cha upeo wako wa kufikilia ndiyo umeishia hapo na kuona kwamba nipovu et.
@husseinhemedi93143 ай бұрын
Putin acha huruma igeuze Kiev majivu
@atutweve41603 ай бұрын
HANA HURUMA HANA UWEZO UO FAMILIA YAKE INAISHI NCHI ZA NATO ATAIUA PIA 🤣🤣🤣🤣