KWAYA YA MAPENDO - KIGANGO CHA MWANDIGA PAROKIA YA BIKIRA MARIA MSHINDAJI - KIGOMA MJINI JIMBO KATOLIKI LA KIGOMA WASILIANA NAO KWA +255 752 932 119
Пікірлер: 120
@eugendominick91296 жыл бұрын
safi Sana nafurahi kuona kazi za nyumbani niko Mwanza ila nyumbani Kiganza kiukweri mko juu Na nyinyi
@neemataris327310 ай бұрын
Wimbo mzuri sana huu,unatafakalisha sana makuu ya Mungu anayonitendea
@christopherjumanne27146 жыл бұрын
Jamani kanisa la watu wote takatifu Katoriki nalielewa sana jamani!!!!! Mbarikiwe sanaaaaaaa
@russiathomas92705 жыл бұрын
Ningekuwa Malibu ningejiunga Mungu awabariki sana
@tostaostephano17613 жыл бұрын
Abarikiwe sana mtunzi wa wimbo huu kwa maneno mazuri yenye hakima ya ki Mungu!!
@floraphilipo20336 жыл бұрын
Wimbo mzuri Sana, mbarikiwe na Mungu. Endeleeni kufanya kazi yake kwa uaminifu mtafika mbali.
@oswaldnyanda23645 жыл бұрын
nawakubali sana,,,,,hasa album yenu ya kwanza ni hatari
@samwela.kasamalo21136 жыл бұрын
Hongereni sana watumishi wa Mungu, hakika mmefanya vizuri saaana
@robsonngwasi72186 жыл бұрын
Kweli mpo juu hakika uimbaji ni kipaji nimefarijika sana najivunia kuwa mkatoliki
@frankmwalembe3323 жыл бұрын
Hongereni Sana Wekeni Na Zile Zote!Hasa Za Dioniz Kipanya Jamaniiii
@suzanakassiano96117 жыл бұрын
nawapongeza kwa kazi nzur ndugu zangu
@ditrammgimba27596 жыл бұрын
Organist,,,,,hongera zako,,,,kinanda kimetulia,,,,keep it up,,,,,
@neemataris327310 ай бұрын
Mungu awainue zaidi ili mzidi kumwimbia.
@jacksonkanzira97895 жыл бұрын
Katika tungo zote za Mwl Deo Nkoko ninazozifahamu, wimbo huu umenigusa kwa kweli. Hongereni
@francoisbalinda83203 жыл бұрын
Aksanti sana kwa wimbo na Mungu awabariki.
@johnkellybrown4923 жыл бұрын
Nice song, Mungu yuko juu kabisa
@lucasbenjamin67327 жыл бұрын
Kazi nzuri sana mungu awabariki kwa huduma yenu nzuri
@agerpityswai15556 жыл бұрын
Mumeniispire sana hongera sana nkoko utunzi mzuri mungu azidi kukubariki
@anatolialusasi44115 жыл бұрын
Wanakwaya... pongezi kwenu kwa kuimba vizuri ... nyimbo zenu ni nzuri
@honestevansiana53803 жыл бұрын
So nc nimebarikiwa Sana na huu wimb
@pricydomue59436 жыл бұрын
Mwl. Deo pongezi sana, wanakwaya mmeutendea haki wimbo hongereni sana
@felisterjonas8184 жыл бұрын
wimbo huu unanifaliji sana hakika uko juu
@donatusmkuyu7936 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana na wimbo huu,I real proud to be catholic
@anatolialusasi44115 жыл бұрын
Kaka Deo Mungu huyu aliye juu azidi sana kukunyenyekeza ili mwisho kabisa akujalie Mbingu yake tukufu iliyo juu
@bujunebusanya39664 жыл бұрын
Dada Anatolia Lusasi, neno bora kabisaa
@jacquelineshabani5975 жыл бұрын
Kweli kabisa mungu yupo juu
@isaackgabrieltv55146 жыл бұрын
hongera holy trinity mnazidi kun'gaa
@davidamundala97207 жыл бұрын
Baba Mungu asifiwe kwa ukubwa wake Baba sababu mi kweli. Mupewe baraka ya Mungu kwa uyu wimbo nzuru sana yenyi kutangaza ukweli Wa utukufu Wa Mungu. Asante sana. D. Alphonse Marie.
@leopordbosco42217 жыл бұрын
Mbarikiwe sana wanakwaya wangu nawapenda sana Mungu awajaze upendo wa ajabu kama jina lenu lilivyo
@aloycefabian49537 жыл бұрын
amina mwalimu wetu
@milliamleonceelias84276 жыл бұрын
nyimbo tam sana hongeren
@philipmilenganilo63246 жыл бұрын
nimebarikiwa na wimbo huu penda sana mapendo kwaya yangu,mungu azid kutupa afya tele ili awamu ijayo tuwe pamoja.by paulina anderson
@franciusfabian71766 жыл бұрын
Asanteni kwa uimbaji mzuri Ndg zangu,nipo nafarijika na kubarikiwa kwa wimbo huu mziro
@orinarichard52936 жыл бұрын
Kweli mko juuuu sana.Mungu awabariki mzidi kuieneza neno mkisaidiwa na Roho Mtakatifu
@joeljoseph7855 жыл бұрын
Mzidi kubarikiwa kwa uimbaji wenu ulio tukuka
@edwinbikolela4197 жыл бұрын
kazi nzuri sana jamani!
@janethmillinga49986 жыл бұрын
Hongereni sana waimbaji, mtunzi pia,, organist safi sana,, ni nyimbo ambayo inanigusa sana,, mbarikiwe sana kwa kazi nzuri
@philipobarnaba89915 жыл бұрын
Mmefanya vizuri Sana sichoki kuangalia
@suzannakipapy59516 жыл бұрын
Hongereni saaanaa Kwaya ya Mapendo. Nimebarikiwa na uimbaji wenu.
@elielepetit81076 жыл бұрын
asante saana kwa nyimbo izi
@GeorgeAlexSadallah2 ай бұрын
Asante sana wimbo mzuri
@mcdady56496 жыл бұрын
hatari sana aseeeeee
@winifirdamayara24196 жыл бұрын
nabuludika kwelikweli safisana
@dafrozanestorymjasilimali33123 жыл бұрын
Nimewamiss Sana kwaya ya mapendo nitumiemien dvd yenu dat
@mugoohsulumbi5176 жыл бұрын
hongeren saan wanakwaya wa kigango cha mwandiga kigoma kwa kuimba vzr, lkn pia Trinity studio hakika mmeitendea haki n
@robsonngwasi72186 жыл бұрын
Nimewapenda sana kweli uimbaji ni kipaji hongereni sana
@fukijunior17477 жыл бұрын
hatariiiii saaana kazi nzuri
@annastaziamushi69746 жыл бұрын
dah huu wimbo narudia mara kumi kumi...I cant explain cwtness yake dah ukichanganya na clear yapicha zenye matabasamu wallahy unaiona mbingu hii hapa..Big up sana mtuzi wanakwaya wenyewe nakubwa zaidi production.
@marymalley88706 жыл бұрын
Mungu azidi kuwaimarish Kwan hap mnasali mara mbili
@donatusmkuyu7936 жыл бұрын
Hongeren sana mbarikiwe kwaya ya mapendo wimbo mzuri sana
@venancekababaye22656 жыл бұрын
Ah, nimewakubali! Hongereni sana.
@kulwamathias17356 жыл бұрын
so nice God bless them
@albertokebeje13656 жыл бұрын
Hongereni mmeimba vizuri sana.
@norbertsam54307 жыл бұрын
Hongera HT - Studios kwa ubora wa picha. Hongereni saana. Pia nawapongeza wanakwaya wote kwa kuimba vizuri bila kumsahau my bro Nkoko kwa utunzi wake. Barikiweni!
@aloycefabian49537 жыл бұрын
asante sana
@zachariamagolanga81786 жыл бұрын
Kweli yuko juu.Tuyakubali mapungufu yetu na hekima ya kimungu ituongoze tufike huko juu aliko.Hongereni wa Mwandiga.Mwl.Nkoko uko juu na kazi nzuri.
@luvisa24724 жыл бұрын
Hii record companyinayojiita Holy Trinity Studio waache kuweka introduction ya nyimbo yao katika kila nyimbo walizo record, yaani inaudhi unapo taka kusikiliza nyimbo lazima kwanza usikize introduction ya sauti yao kitu ambacho kinaboa. Tunajua mmerekodi hii nyimbo sasa hakuna sababu ya kutufanya tuwasikilize nyinyi kabla ya nyimbo.Rajo na Verony na Tanganyika production hawaweki signature sound yao, unakwenda straight kwenye music. Makampuni makubwa ya kurekodi wahaweki introduction ya nyimbo kwenye musiki walio record Mnasound mpo patronize and hungry to be known and recognized
@martinjohn73826 жыл бұрын
Ni nyimbo zuri sanaaa pongezi kwenu na Mwenyezi Mungu awabariki, lakin nawezaje kuipata CD yenu m npo udom
@mkuyu-ben.67466 жыл бұрын
Fantastic!
@mema43576 жыл бұрын
Wow! Amazing, kastaili flani Hivi ka Uimbaji nice Offcourse
@jacquelineshabani5975 жыл бұрын
Wimbo huu unanifariji sana
@omarygesa28844 жыл бұрын
Hakika wimbo mtamu sana
@philipmilenganilo63246 жыл бұрын
nawapenda sana wana mapendo.nawamis sana, mungu awabariki sana kwa kazi nzuri.mungu azid kuwapa tena na tena ili mzid kumtumikia.
@aloycefabian49536 жыл бұрын
amina
@wernerkahemela34553 жыл бұрын
That's catholic Bwana, hapana chezeaaa, tafakari kubwa Sana, mbarikiwe
@winifirdamayara24196 жыл бұрын
safi sana wapendwa
@rizy67 жыл бұрын
Naomba niwe wa 4 kuwapongeza mtandaoni najua wengi walishawapongeza kwa kazi hii Nzuri sana. Sauti zipo vema sana, tabasamu nk hongereni sana wana Mwandiga Mungu awabariki sana
@henrikoyilima57236 жыл бұрын
hongereni sana kwakaz nzurii sana pia nampongeza sana mtaalamu De Nkoko anaandika vtu vzurii
@emmanuelevarist73776 жыл бұрын
mungu awabaliki sana natamani nipate CD yenu kwakweli
@oscarmhagama36885 жыл бұрын
Thanks im blessed through your tallent
@alansixbert46535 жыл бұрын
Huu wimbo ni Mara ya mia ngapi Sijui naurudia na Kila Mda Naona mpya tu...
@eugendominick91296 жыл бұрын
mlakeze yani mbaninipa raha
@lawrencejohnson55374 жыл бұрын
God bless them,
@kanisiusmarko78526 жыл бұрын
Pongezi kwa wanakwaya, holly trinity video production, kaka mtongole umefanya kazi nzuri sana. Ila mwl Deo Nkoko jamani nyimbo zake zimezingatia utunzi wa kisanaa yaan jina la wimbo wawezalikuta mwisho ama katikati ya wimbo, mfano ni nusu kwa nusu, upo juu, ipo juu, ipo tu, ni shangwe tu na mdogomdogo.
@kanisiusmarko78526 жыл бұрын
Nimejikuta nauangalia huu wimbo kila siku iendayo kwa Mungu asante Mungu kuwajaalia watumishi wako sauti za kukutukuza
@benwabiblia7 жыл бұрын
Naomba niwe wa kwanza kuwapongeza ndugu zangu HOLY TRINITY STUDIOS, The Actual Catholic studio in Tanzania. Video quality mmeitendea haki sana. Video is clear, Animations ziko safi. I love it. Lets Keep on the good work. Amina!
@kaigamutongore87917 жыл бұрын
Asante
@bihogorakaroli96917 жыл бұрын
studio mko zaidi ya safiiiii honera kwenu trinity
@kibelatv36546 жыл бұрын
Hongera Deo nkoko kwa kazi
@jacksonruitiari92454 жыл бұрын
Where can I get this album? Watching you frm Mombasa.
@nagagwanagagwa95917 жыл бұрын
roman Catholic penda sana dhehebu langu.
@eugendominick91296 жыл бұрын
kama namuona mtu WA Kiganza nkoko
@elihurumaobura84827 жыл бұрын
Good art work kaka. Keep it up
@kaigamutongore87917 жыл бұрын
Elihuruma Obura asantee
@benjaminmasala76387 жыл бұрын
Mko vizuri Hongera Mwalimu Deo Nkoko kwa wimbo mzuri
@adriyoutube56723 жыл бұрын
Fr. Adrian Ichaka Kazi nzuri Mungu awabariki kwa upendo na majitoleo yenu, msirudi nyuma!
@odilojohn50287 жыл бұрын
with this quality, i dare to say you are good, your the best.....
@philipobarnaba89915 жыл бұрын
Mbarikiwe Sana
@mt.cesiliampanda70627 ай бұрын
❤❤❤❤
@eugendominick91296 жыл бұрын
kila siku Kama mpya
@robbiirene29806 жыл бұрын
Amina
@elvisishengoma73847 жыл бұрын
safi sana naipata vipi CD hii,hongera HT
@aloycefabian49537 жыл бұрын
Asante na utaipata DVD punde tu baada ya uzinduzi, tutajitahidi zifike sehemu zote
@gervasvitus19255 жыл бұрын
HD ya nguvu mbalikiwe sana kanisa dogo lkn mambo yake makubwa@
@ROBERTBALAMA6 жыл бұрын
Iko vizuri sana, Je kwa Jimbo la Iringa tunaipataje DVD?
@litandadrakama39597 жыл бұрын
Kazi nzuri Bro.mutongole tuweke nyingine bs.
@litandadrakama39597 жыл бұрын
okay
@jdidjejeixjjrrj32204 жыл бұрын
@@HOLYTRINITYSTUDIOS في
@jdidjejeixjjrrj32204 жыл бұрын
صباح يوم
@jdidjejeixjjrrj32204 жыл бұрын
The one of
@jdidjejeixjjrrj32204 жыл бұрын
@@HOLYTRINITYSTUDIOS 0 0, ,,., bbb66000q to00
@paulmutunga6 жыл бұрын
what a wonderful music....love love this song so much, How can I get the full album?
@paulmutunga6 жыл бұрын
am from kenya
@paulmutunga6 жыл бұрын
When Do we expect it it Nairobi
@jacobtomas77297 жыл бұрын
mko vzur
@juliusmushobozi25647 жыл бұрын
iko vizuri
@mt.cesiliampanda70627 ай бұрын
❤❤
@linturevocatus81596 жыл бұрын
wapendwa nyimbo hii ntaipataje?
@MchainaT27 жыл бұрын
Kwanza niwapongeze HT kwa kazi nzuri hakika mnafanya kazi katika ubora wa kimataifa niwashauli kitu kimoja tu sasa niwakati wa kutafuta adsence kwenye akaunti yenu ya youtube ili muendelee kufanya kazi kwa manufaa ya kwaya husika na manufaa yenu pia, tupanue wigo wa biashara mtandaoni jitahidini mlifanyie kazi hili.
@kaigamutongore87917 жыл бұрын
mchaina Tv tunalifanyia kazi mkuu. thanks so much for ur advice.
@danielmadembwe59205 жыл бұрын
nitapataje mziki wake nota
@kafulyawilson85675 жыл бұрын
ingia swahili music ipooooooo.......
@ilonginusmbele89356 жыл бұрын
M
@thomasjovita92035 жыл бұрын
Mungu mwema awabariki Sana kwa mahubiri kwa njia ya wimbo huu